O: OBULWARE OBWA KORONA. T: UGONJWA WA KORONA O: Obulwaye bwa Korona buwenjira musialo Sefu sia konga taree 13-3-2019. T: Ugonjwa wa korona uliingia kwa dunia yetu mnamo tarehe kumi na tatu mwezi wa Desemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. O: Okhuvula obulwayoba buckhasandi abandu muno kho kata omusala sikuo mala kwanyolekha lwaangu tawe. T: Kufika kwa huo ugonjwa uliwakandamiza watu sana na hata dawe yake haikupatikana haraka. O: Obutwaye bwa lura msíalo silapangua; buchina, boola tanzania buola obuganda handi khubula Kenya yani sialo sia obamari. T: Kusambaa kwa huu ungonjwa ulikuwa hivi; nchini China, ukafika Tanzania, ukafika Uganda na ndio ukafika Kenya nchi ya weusi. O: Buno ni bulwaye bwa malema msialo syosi. T: Huu ni ugonjwa wa kulemaza dunia yote. O: Khusunga abuadodo buno ni obulware bundi lobuakhasya abandu khuakhasya msyalo asua Kenya. T: Kwa kusema ukweli huu ni ugonjwa mwingine ulioshinda watu kwa nchi ya Kenya. O: Nonu ala okhekhala khulondana nende malako eka bakhongo wa afya ababola mbu khorie ebyakhuria ebirera amani mumiri, handi huteme khufwala, stimaski abura abundu wa khustia kosa wa huihala. T: Kutokana na sheria za kujikinga dhidi ya korona, wakuu wa afya walisema tunafaa kukula vyakula vyakula kuleta nguvu mwilini na tujaribu kuvaa barakoa kila mahali tunapoenda au kukaa. O: Mwalakhesania mumikhono ta mumila, mwalekhana ambi ta mwikhala stimita indula nende inusu, wasaba mumatsi. T: Msisalimiane kwa mikono na msikae karibu karibu, mnafaaa kukaa mita moja na nusu na unawe kwa maji. O: VULWARE VWA KORONA VUKHORERE MAKHUWA MALAYI KHUSHIRA MAVI. T: UGONJWA WA KORONA UMEFANYA MAZURI KULIKO MABAYA O: Vuluare vya korona vyetsa musialo muno mwika kwa elefu mbili kumi na tisa. T: Ugonjwa huu wa korona uliingia kwa hii dunia mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa O: Ovuluare runo vuri sa nga myaka. T: Ugonjwa huu ulikuwa tu kama maradhi ya kawaida O: Handi nuetha sa nga sindi sindi sia makana. T: Tena ulikuja kama kitu cha maajabu sana. O: Basomi huari huchitabu, huaria mno masika kata kari sa nga machi kala havua da. T: Wanafunzi tulikuwa na balaa, tulikuwa na matanga mengi ikawa ni kama maji yasiyo isha O: Kata mukanisa sihuathithanga da mana niva rano sa mashaliti handikari sa kasilalu. T: Hata hatukuwa tunaenda kanisa, hii ikawa sheria za kijinga tu. O: llavola mbu hufuale virega vya molu. T: Ikawa kuwa tuvae barakoa. O: Alanainchi vangi vafua nga vulolo mana reha uorozi atieno natangasia mbu vurimundu yehale waye. O: Wamainchi wengi waliaga dunia na kiongozi Atieno akatangaza kuwa kila mtu akae nyumbni kwake. O: Huesindukha hulola mbu hula ao aumao murechi. T: Tulishangaa kuona kuwa hakukuwepo na asiyeogopa. O: Yahonyaho vanainchi zaidi, ingawaji nahand vaera thinda, mana ni vévula rwana rudi didi nga thimbeva thia musino. T: Alisaidia wanainchi zaidi ingawaje wengine walipachikwa mimba wakazaa watoto wadogo wadogo sana. O: Vuluare vya korona vya kira vananchi huomanya mahuwa mangi kata hufuala barakoa, hufunikha munwa ni kuholola husava ni hurula wosiuosi. T: Ugonjwa wa korona ulifanya wananchi tukajua maneno mengi sana hata kuvaa barakoa, kufunika mdomo tukikohoa na kunawa mikono tukitoka popote. O: Vyakiri banainchi vamanyaho hufuala imasili, hata vakenya isinua fualanga chibarakoa kata sa husala mihoro huad huakorua. T: Ilifanya wananchi wakajua kuvaa barakoa, hata wakenya sai tunavaa barakoa na kunawa mikono tena tulisahau. O: Kala lano vakira ananchi ninuhol olaho hufunik hanga minwa kwerue. T: Hata sai ilifanya wanainchi tukikohoa huwa tunafunika midomo yetu. O: Vakiraho vananchi vehandngaho mumadala kavu. T: Ulifanya wananchi wakaa kwa maboma yao. O: Handi vehalanga inalta ndala nende inusu. T: Tena walikuwa wanakaa mita moja na nusu. O: Bikiraho betusi nende bana bavaho nende vuheri, huvela vevusi vano vandi ni vanywi va malwa lano nivakolukha mudula ni vavavalulu. T: Ilifanya wazazi na watoto wakakuwa pamoja kwa amani kwa sababu hawa wazazi walikuwa walevi na wakifika kwa boma wanakuwa wakali. O: BULWARE VWA KORONA VUKHORERE MAKHUWA MALAYI KHUSHIRA MAVI. T: UGONJWA WA KORONA UMEFANYA MAZURI KULIKO MABAYA. O: Vulware vwa korona vwachaka omwaka kwa elfu thibiri nende ishirini. T: Ugonjwa wa korona ulianza mwaka wa elfu mbili na ishirini O: Obwarula msialp silangwa vuchina. T: Ulitoka kwa nchi inayoitwa China. O: Obwachaka omwosi kwa hadaru. T: Ulianza mwezi wa tatu. O: Efwe avanafunzi kwali msikuli omuda sikuabwa da omuruchi wa Kenya na mala navola mbyu evikuli vyosi vya Kenya vinyale hufungwa. T: Sisi wanafunzi tulikuwa shuleni na bila kupoteza muda rais wa Kenya akasema shule zote za nchini Kenya ziwezwe kufungwa O: Avana vosi avevikuli vya puraimari ni virimo vya sekondari alala nende vichuo. T: Wanafunzi wote wa shule za msingi, upili na wa vyuo vikuu. O: Baada ya liwiki lilala hubwa omuruchi wefu Uhuru yatangasia muthiredio nende muthitivi mbu ethikanisa thiosithikalwe. T: Baada ya wiki moja kuisha Rais wetu Uhuru alitangaza kwa radio na kwa televisheni kuwa kanisa zote zifungwe. O: Avakenya huadonga vakafwiri. T: Wakenya tulisalia wapagani O: Omuruchi wefu namala navola mbu evikuli vilafungulwa omwosi kwa hurano. T: Rais wetu alimaliza akasema kuwa shule zitafunguliwa mwezi wa tano. O: Omwosi okwo kuwetha nikuvwa. T: Huo mwezi ukaisha. O: Avana alala nende avevusi mumadala valira. T: Watoto pamoja na wazazi nyumbani walilia O: Nivasava evikuli vifungulwe lakini ovulware vwazida nivuva vungi. T: Wakiomba shule zifunguliwe lakini ugonjwa ulizidi kuwa mwingi O: Avandu vangi vafwa. T: Watu wengi walifariki O: Vifo niviva vingi msialo mpaka omuruchi wa Tanzania omuruchi Magufuli Pombe nafwa. T: Vifo vikawa vingi duniani mpaka Rais wa Tanzania Rais Magufuli Pombe akafariki. O: Elano Tanzania nidonga bila omuruchi lakini veetsa nivakonya. T: Hivyo Tanzania ikasalia bila Rais lakini walikuja wakatafuta. O: Avandu vafwithanga ithuri nende ingolobe nga thingoho. T: Watu walikuwa wanafariki kila wakati kama kuku. O: Enivetha nivavola mbu omundu nafwa asihwe eviha evo. T: Walikuja wakasema kuwa mtu akifa azikwe huo wakati. O: Omuhongo wa afya yamala navola mbu kwehonyere tsibarakoa hufuniha omunwa nende amolu handi kwehonyere thisanitaiza. T: Waziri wa afya alisema tutumie barakoa kufunika mdomo na mapua na pia tutumie kidudufishaji. O: Huepukane nende hukenda huthia muthiarusi, mumasika yaani muivunjihi bwa bandu. T: Tuepukane na kuenda kwa harusi, matanga yaani mahali ambapo kuna watu wengi. O: KORONA YA KHOLA MAVI KUSHIRA MALAI. T: KORONA ILIFANYA MABAYA KULIKO MAZURI. O: Obulwaye bwa korona bwera abandu bangi musialo. T: Ugonjwa wa korona uliua watu wengi duniani O: Obulwaye buno ni bubi mno. T: Huu ugonjwa ni mbaya sana O: Bunyala bwera abandu bakhongo nende abandu badidi bosi. T: Unaweza ua watu wakubwa na wadogo wote. O: Obulware buno bwarusandia mchingira chisavi. T: Huu ugonjwa unatuhangaisha kwa njia mingi. O: Omundu nari nende buluare buno sinivulai dawe. T: Mtu akiwa na huu ugonjwa si vizuri. O: Siekhoyere yekhonyere luchukuchiro nende wasiye khandi nende okhugusana nende mundu undi. T: Hafai kutumia mswaki na mwenzake na tena asigusane na mtu mwingine. O: Iserikali yefwe ibola mbu ihala nande mundu chimita chiviri. T: Serikali yetu inasema kuwa kuwa mbali na mtu kwa umbali wa mita mbili O: Korona buno vuvula musala kwaye. T: Huu korona hauna dawa yake. O: Mhasi nari nende vuluare sahoyerwe khununia mwana kose khumutira muchimoni. T: Mwanamke akiwa na huu ugonjwa hafai kumyonyesha mtoto wala kumshika kwa uso O: Bandu bari nende bulwaye buno babolerwa barehe khutira muchimoni kose obueni bwabu. T: Watu waliyo na huu ugonjwa wanaambiwa wawache kujisha kwa uso. O: Iserikali yabola nende yaraa chisheria chibola mbu solatema khuwetira mubweni, khutiratira bindu nende nobulira bulware muno tsia msibutali siriambi nawe kose tsia kuorantine. T: Serikali ikasema na kuweka sheria zinazosema kuwa usijaribu kujishika kwa uso, kushika vit una unaposkia dalili za huu ugonjwa nenda hospitali iliyo karibu nawe au uende kuorantine. O: Kata yaratsingira tsia hunyala khueikala nende bulwaye buno. fuala imaski nende osabe mikhono. T: Hata ikaweka njia za kujikinga dhidi ya huu ugonjwa, vaa barakoa na unawe mikono O: BULWALE BWA KORONA BUKHOLERE MALAYI KHUSHILA MABI. T: UGONJWA WA KORONA UMEFANYA MAZURI KULOKO MABAYA. O: Kwali mwosi kwa khudaru ni kuri ekhumi nende khasasaba, omwaka kwa elfu thibiri nende makhumi kabiri. T: Ulikuwa mwezi wa tatu tarehe kumi na sita, mwaka wa elfu mbili na ishirini O: Olwa omuruchi we sialo siefwe Uhuru Kenyatta yatangasia mbu bikuli biosi bifungwe khubera bulware bwa korona bulire Kenya. T: Ambapo Rais wa nchi yetu Uhuru Kenyatta alitangaza kuwa shule zote zifungwe kwa sababu ugonjwa wa korona umefika Kenya. O: Bulware buno bwagama manyakhano mangi, bandu bangi bafwa, bana bangi badong’a nende butsuni bunji. T: Ugonjwa huu ulileta kuhaingaika sana, watu wengi walifariki, watoto wengi wakabaki na huzuni sana. O: Korona bwakira khwakosia bandu befu bakhongokhongo. T: Korona ilifanya tukawapoteza watu wetu wakubwa wakubwa. O: Alari korona bwaruekesea khuikhala nikhuli abalafu. T: Isipokuwa korona ilitufunza kukaa tukiwa safi. O: Bwaruekesea khusaba buli sikha, khufunikha munwa nende molu nende khwikhala imita nende wasio. T: Ulitufunza kunawa kila wakati, kufunika vinywa na mapua na kaka umbali wa mita kutoka kwa mwenzio. O: Bikuli biosi bana badong’a mudala khu miosi tisa. T: Shule zote wanafunzi walisalia nyumbani kwa miezi tisa. O: Abandu ba afya batema bakonye maresi ka Korona lakini sibanyola dawe. T: Watu waafya walijaribu kutafuta dawa ya korona lakini hawakupata O: Kwadong’a nikhwang’ang’a biha biosi. T: Tulibaki tu butwaa wakati wote. O: Tsikasi tsiosi tsiafungwa, mitoka kiosi nikidong’a nikiemele. T: Kazi zote zilifungwa, magari yote yakabaki yamesimama. O: Bulware buno bwakila basani bosi mu Kenya balusia tsinyimbo tsia Korona. T: Huu ugonjwa uliwafanya wasanii wote Kenya wakatoa nyimbo za Korona O: Bulware buno bwakila khwamanya khusaba buli sikha. T: Ugonjwa huu ulifanya tukajua kunawa kila wakati. O: Ishida yari khukosia bandu bakhongo balayi bakenya. T: Balaa ilikuwa kuwapoteza watu wakubwa wazuri wakenya. O: Omwaka kwa elfu tsibiri nende makhumi kabili kulaba kwa khukumbuka mukalenda ya Kenya. T: Mwaka wa elfu mbili na ishirini utakuwa wa kukumbukwa kwa kalenda ya Kenya O: OBULWAYE BWA KORONA. T: UGONJWA WA KORONA O: Obulwaye buno bwarula musialo sia china omwaka kwa elfu thibiri nende mahumi kaviri. T: Ugonjwa huu ulitoka nchini China mwaka wa elfu mbili na ishirini. O: Obulware buno bwera avandu vaangi muno. T: Huu ugonjwa uliwaua watu wengi sana. O: Omusuku shetani owalera obulwaye buno humukemea anyole hushirwa. T: Tunamkemea mwovu shetani aliyeleta huu ugonjwa akapatwe kushindwa. O: Ngolwa obulwaye buno bwola msialo sia Kenya obwera abandu abangi muno. T: Ugonjwa huu ulipofika nchini Kenya uliwaua watu wengi sana. O: Khu mwaka oko beetsa bafunga bikuli vyosi msialo sia Kenya. T: Kwa huo mwaka walikuja wakazifunga shole zote nchini Kenya. O: Khwasaba kusaba lakini bwahaya. T: Tulinawa mara kadhaa lakini ulishindikana. O: Buri mundu yaborerwa mbu salanyorekhana dawe avundu wosi wosi. T: Kila mtu aliambiwa kuwa asipatikane mahali popote. O: Esie nga mwana khubolera mbari wikhale mdala sola kendakenda dawe. T: Mimi kama mtoto nakwambia kuwa ukae nyumbani usitembee. O: Ikhala aria woswosi wori. T: Keti pale popote ulipo. O: Khandi khusaba mbu osabe mikhono kiao khulwa busirikho. T: Tena nakuomba unawe mikono zote kwa kuwa bado ungalipo. O: Abandu vangi bafua khulwa bulwaye vuno vwa korona T: Watu wengi walikufa kutokana na huu ugonjwa wa korona. O: Nyeenya khukhubora mbari solabaya nende bulwaye buno dawe. T: Nataka kukuomba kuwa usicheze na huu ugonjwa O: Khandi khuri nende vindu viria vya noviriramo nonyola bulwaye buno. T: Tena tuko na vitu zile ambavyo ukipita ndani utapatwa na huu ugonjwa O: Ni vindu nga ihoma. T: Ni vitu kama homa. O: INGOMBE T: NG’OMBE O: Ing'ombe ni eisolo ya makulu kanee. Ing'ombe irukwangwa T: Ng’ombe ni mnyanma wa miguu mine. Ng’ombe anafugwa O: mudala hulondekhana nende tsifaida tsinyingi tsiairerera khuvandu. T: Nyumba kulingana na faida nyingi ambazo analeta kwa watu O: Ifaida eya amberi hung'ombe ni amaveere. T: Faida ya kwanza kwa ng;ombe ni maziwa. O: Mundu yesiyesi uri nende tsingombe tsia amabere khasiyakhakosa tsisende khaba. T: Mtu yeyote aliye na ng’ombe wa maziwa hawezi akakosa pesa. O: Khubwaa dodo tsing’ombe tsibulanga khalala khu mwika. T: Kwa ukweli ng’ombe hujifungua mara moja kwa mwaka O: Ingombe iberesianga omurimi amabeere tsilita makhumi kabiri nende akulu. T: Ng’ombe khumpea mkulima maziwa lita kumi na mbili kuendelae. O: Ing’ombe iberesenianga inyama. T: Ng’ombe huwapa nyama O: Abaandu bangi bajama einyama eya eing’ombe khushirakho eya eisolo eindi yosoyosi. T: Watu wengi wanapenda nyama ya ng’ombe kuliko ya mnyama yeyote. O: Khurulana nende ing;ombe abaandu bangi banyoola tsikasi nga etsia khukusia inyama. T: Kutokana na ng’ombe watu wengine wanapata kazi kama vile kuuza nyama. O: Ing’ombe yosi iberesiananga imbolera eya masingO: T: Ng’ombe pia huwapa mbolea ya zamadi O: Ing’ombe niimala khuekhonya abaandu badoolanga amasingo nibakara alala T: Ng’ombe akimaliza kuenda choo watu huokota mazamadi wakiweka pamoja. O: Amasingo nikooma abaandu bakeekhonyeranga khukhuraka. Abaandu beekhonyeranga amasingo khuoma tsinyumba, tsikanisa, bikuli nende amaduka. T: Zamadi ikikauka watu hutumia kwa kupanda. Watu hutumia kuboma nyumba, kanisa, shule na duka O: Nibwaadodo eing’ombe irukhoonyanga khurima tsindalo tsikhongokhongO: T: Niukweli ng’ombe anatusaidia kulima shamba kubwakubwa. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni siruke sia mudala. T: Ng’ombe ni mfugo wa nyumbani O: Abaandu nibo abarukanga ing’ombe. T: Watu ndio wanafuga ng’ombe. O: Esiruke esio sikhoonyanga nende ebiidu bisabi. T: Mfugo huo husaidia na vitu vingi. O: Esiaamberi ni mbari eing’ombe iberesiananga amabeere nende inyama. T: Yakwanza ni maziwa ng’ombe anatupatia maziwa na nyama. O:Ing’ombe khandi irukhoonyanga nende eriseerO: T: Ng’ombe tena anatusaidia na ngozi. O: Khwekhoonyeranga eriseero khukasia ebilaarO: T: Tunatumia ng’ozi kutengeneza viatu. O: Ebilaro ebio bimenyaanga lukari. T: Viati hivyo huishi sana O: Khuboola obwadodo eing’ombe ni esiruke esilayi lukari. T: Kusema ukweli ng’ombe ni mfugo mzuri sana. O: Mabeere nende einyama khuinianga muing’ombe . Noonywa ababere oba nende eisangalo isabi. T: Maziwa na nyama tunatoa kwa ng’ombe. Ukinywa maziwa unakuwa mchangamfu sana O: Einyama nayo irukhoonyanga oba nende amaani. T: Nyama nayo hutusaidia unakuwa na nguvu. O: Ing’ombe niyeekhonya, buchafu bwayo obwo khuburumikhiranga nga imbolera khuraaka ebiakhulia nende khukhusia amadimwa. T: Ng’ombe akienda choo, kinyesi chake hicho tunatumia kama mbolea, kupandia vyakula na kukuza mahindi. O: Khubukulanga amasingo ka ing’ombe nikhura mumadimwa nikamera luangu. T: Huwa tunachukua zamadi ya ng’ombe tunaweka kwa mahindi yanastawi haraka. O: Khasoonyakhana khukula ebia mumaduuka, kata noori nende einyumba ya bunyasi nende eliloba niweekhonyera amasingo khuoma. T: Hata hauwezi kununua vitu kwa duka, hata ukiwa na nyumba ya nyasi na udongo unatumia zamadi kuboma. O: Ing’ombe siakhuria siayo ni bunyasi nende amatsi. T: kachula chake ni nyasi Ng’ombe na maji. O: Khasiiri nende eikasi isabi khaba. Niwakhaiboya nooiberesia bunyasi nootsia khu tsikasi tsindi. T: Hana kazi mingi ukimfunga unampea nyasi naunaenda kufanya kazi zako zingine. O: Nookalukha noikalukhania noiberesia amatsi. Eing’ombe noorinda bilayi ni yoosi ikhuberesia amabeere bilayi. T: Unamchukua unamgeuza na kumpea maji, ng’ombe ukimtunza vyema yeye pia anakupea maziwa vizuri. O: Onyala wakusia amabeere noonyola tsisende niweekhonyera kata khumeda tsingombe tsindi. T: Unaweza uza maziwa ukapata pesa ukatumia kuongeza ng’ombe wengine. O: Eing’ombe iri nende tsifaida etsia akulu. Khwajama eingombe muno, iri nende obulayi khushira ebiruke bindi, sakira abaandu bangi bairukanga. T: Ng’ombe ana faida ya juu. Tunampenda ng’ombe sana, anauzuri kuwaliko mifugo wengine, ndiyo maana watu wengi wanamfuga O:ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni siruke sirukwangwa nende abandu bangi lukari. Abandu baikhera lukari. Obwatoto ni khuba ing’ombe imenyanga nende abandu mungo mwabwe. T: Ng’ombe ni mfugo anwyefugwa na watu wengi sana, watu wanampenda sana, ukweli ni kwamba ng’ombe anaishi na watu kwa boma zaO: O: Tsinyanga tsino mumdu anyala khulomaloma natso kata nitsiranyala khulomaloma tawe. O:Omuruki wefwe unyala biosi yabilonga khulwa obunyala bwaye Khulomaloma nabio ni biurira ni khasibiakhasunga tawe. T: Siku hizi mtu anaweza kuzungumza nao hata kama hawawezi kuzungumza. Kiongozi wetu mueza yote aliwaumba kwa uwezo wake, tunazungumza nao wanasikia nao hawawezi kuzungumza. O: Ing’ombe iruberesinaga amabere khukasirianga obubiri nende khukaira amalware mangi T: T: T: Ng’ombe anatupea damu inayotupea afya nzema mwilini na kuzuia magonjwa mengi O: O .Eng’ombe iruberesianga ebikhabindi eriani rilayi lukari nende amalasire ka khurumikhiranga nikhurira obusuma nomba nikhudasia ebikha bia basinja nikhunywa nikari amabisi endiO: T: Ng’ombe anatupea damu inayotupea afya nzema mwilini na kuzuia magonjwa mengi O: Amabaanga ka ing’ome ni omusala mulayi lukari. Onyala khuba mubusirikhi nobolerwa mbari obula amabaanga mumubiri kwao noorumwa khutsaka khweekhonyera amabanga ka ing’ombe khuonyale khukalusia bila amalware khandi mabi. T: Damu ya ng’ombe ni dawa muzuri sana, unaweza kuwa katika matibabu na unaambiwa ya kwamba hauna hauna damu mwilini mwako naunatumwa kwenda kutumia damu ya ng’ombe ndipo ukaweze kurudisha bila magonjwa mengine mabaya. O: Bandi barukanga tsing’ombe khunyoola imbolera yokhuraka biakhuria biabwe. T: Watu hufuga ng’ombe kupata mbolea yakupandia vyakula vyaO: O: Bikha bindi bakusinga khubanyole matongolo kakhukobera abana babwe musikuli nende abene khuekhonyera. T: Wakati mwingine huuza ili wapate pesa yakupelekea watoto wao shuleni na wao wenyewe kutumia. O: Abandu basiange basaba muruke siruki sino mubungi, musiriinde bilayi lukari khuluakhubera siosi ni siruki sia omulongi wefwe yasilonga ni sirukhonyanga likari mu tsishida tsiefwe tsia khunyolanga bikha biosi biosi. T: Watu wangu, nawaomba mfuge mfugo huyu kwa wingi, mmutunze vyema kwa maana yeye pia ni mfugo wa muumba wetu alimuumba na anatusaidia sana kwa shida zetu tunazozikumba wakati wowote O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe nisiruki esia bandu bangi bajama khubera ni siruki sireranga tsifaida tsisabi mubandu. T: Ng’ombe ni mfugo ambaye anapendwa na watu wengi, ni mfugo ambaye analeta faida kwa binadamu O:Ingombe iri nende tsifaida tsisabi lukari. Noba nende tsing’ombe tsisabi onyola tsifaida kama khunyola mabeere, khandi nookusia noonyola tsisende tsisabi. T: Ng’ombe anafaida nyingi sana, ukiwa na ng’ombe wengi unapata faida kama vile kupata maziwa tena unauza na kupata pesa O: Noobwatoto mbari tsing’ombe tsiri nende tsifaida tsisabi khuburi mundu. T: S. Ni ukweli kwamba ng’ombe wana faida nyingi sana kwa kila mtu. O: Nookhera mabere ka ing’ombe olakusiria abandu, ewe mwene olanyola matongolo mangi lukari T: Ukukikama maziwa kutoka kwa ng’ombe utauzia watu, wewe mwenyewe utapata pesa mingi sana. O: Tsifaida tsindi etsia ing’ombe ni noosinja einyama ya ing’ombe noira khukusia olanyola matongolo magi lukari. Inyama ya ing’ombe ni matongolo, nookusia ingombe yene ni matongolo ni nookula ing’ombe imosi yosi okhusia ibe ikhongO: T: Faida ingine ya ng’ombe ni kuwa ukimchija nyama ya ng’ombe ukipeleka kuuza unapata pesa mingi sana, nyama ya ng’ombe ni pesa, ukiuza ng’ombe mwenyewe ni pesa na ukinunua ndama unamkuza awe mkubwa. O:Ing’ombe khare bakuka befu ba khare bari baumanga tsingubo nende marungeti kakhuevumba, babukulanga ing’ombe nibasinja banyole risero na khuefwimba nende tsingubo thia khuefuala. T: Ng’ombe kitambo babu zetu wa kale hawakuwa na nguo na gubigubi ya kujifunika, walikuwa wanamchukua ng’ombe na kumchinja ili wapate ngozi ya kujifunika na nguo za kuvaa O:Masingo koomanga tsinyumba tsiefu kalulanga khu tsingombe. Masingo kosi karuberesianga imbolera ya khuraka ebindu biefu mundalO: Nikhuramo imbolera ya masingo bindu biefu mundalo bikhola bilai lukari nende khunyola biakhuria bisabi. T: Zamadi inatumika katika kuboma nyumba zetu hutoka kwa ng’ombe. Zamadi pia hutupea mbolea ya kupandia vitu zetu shambani. Tukiweka mbolea ya zamadi vitu zetu shambani zinafanya vizuri sana na tunapata vyakula vingi. O: O Mabanga ka ingombe ni musala noobula mabanga mumubiri. Noobukula amabanga noodekha noria, noomala olaba nende mabanga masabi mumubiri. T: Damu ya ng’ombe ni dawa ukiwa na upungufu wa damu mwilini. Ukichukua damu upike ule umalize utakuwa na damu nyingi mwilini. O: Ing’ombe ni siruke silayi , balukhya bajama khubiruka mubungi, khasiwakhatsia mudala mwa mundu wakosa ing’ombe. T: Ng’ombe ni mfugo mzuri, Walukha wanapenda kuwafuga kwa wingi, hauwezi ukaenda kwa boma ya mtu ukakosa ng’ombe O: Ing’ombe ni siruke sia ndajama sana khushira viruke biosi. T: Ng’ombe ni mfugo ambaye napenda sana kuliko mifugo wote O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni isolo ya khurukanga mudala. Isolo ino ni indai mudala yaani ing’ombe iri nende tsifaida tsisabi lukari. T: Ng’ombe ni mnyama tunayemfuga nyumbani. Mnyama huyu ni mzuri nyumbani yaani ng’ombe ana na faida nyingi sana. O: Ing’ombe yiinyikhana irindwe bilayi. Yenyekhana inyole biakhuria bilayi nga matsi, bunyasi, lusi nende bunyasi buwa sisungu. Ing’ombe yosi yinyikhana irindwe bilayi nga mundu. Yiinyikhana ikone abundu alayi. T: Ng’ombe anafaa alindwe vizuri. Anafaa apate vyakula bora kama maji, nyasi, mabingobingo na nyazi ya kizungu. Ng’ombe pia anafaa alindwe vyema kama mtu. Anafaa alale mahala pasafi. O: Mudala nooruka ing’ombe onyola tsifaida tsisabi khubera ingombe niibula onyola mabeere, onyala wakusia amabere akO: Nooruka ing’ombe ikhasi ori nende ifaida isabi. T: Nyumbani unapofuga ng’ombe unapata faida nyingi kwa sababu ng’ombe akijifungua unapata maziwa, unaweza kuuza maziwa hayO: Ukifuga ng’ombe wakike unakuwa na faida mingi O: Niweenya ing’ombe ibe nende afiya indai wenyekhana oisirikhe, inyole biakhuria bingi nende amatsi mangi. T: Ukitaka ng’ombe awe na afya njema unatakikana umtibu, apate vyakula vingi na maji mengi O: Ing’ombe isatsa irukhonyanga khurima tsindalo tsiefu nende inyama. T: Ng’ombe ndume hutusaidia kulima shamba zetu na nyama. O: Mundu yesi naaruka ing’ombe inyala yakalukhasia bulamu buaye. Abandu bangi beekula tsinganga tsia tsing’ombe, nende khukusia amabeere. T: Mtu pia akifuga ng’ombe anaweza kubadilisha maisha yake. Watu wengi walifungua biashara ya ng’ombe na kuuza maziwa O: Ing’ombe niindai lukari, nooruka ing’ombe khasiwakhatsia khuria owa Jirani tawe. Buri mmbu aruke ing’ombe yaye. T: ng’ombe Ng’ombe ni mzuri sana, ukimfuga ng’onbe hauwezi ukaenda kula kwa jirani. Kila mtu afuge wake. O: Ingombe ni indai lukari, nikhuruka tsing’ombe khasikhwakhanyola khusanda tawe. Tsing’ombe nitsindai lukari. T: Ng’ombe ni mzuri sana, tukiwafuga ng’ombe hatuwezi tukateseka. Ng’ombe ni mzuri sana. O: OMUNDU T: BINADAMU O: Omundu khuba musialo muno ni khuba Nyasaye yamulonga. Khandi omundu niye owalongibwa einyanga ya khasasaba. Nyasaye yamulonga okhumurindira ebiruko biaye. T: binadamu kuwa ulimwenguni humu ni kwa kuwa aliumbwa na Mungu. Tena binadamu ndiye aliyeumbwa siku sita, Mungu alimuumba atunze viumbe wake. O: Omundu yalongibwa niyeetsa musialO: Omundu nga ari musialo muno akhoekhane akhole mirimo kia Nyasaye, okhubera nga olwa yakhulonga yeenya mbari okhole mirimo kiaye. T: Binadamu aliumbwa akaja duniani, mtu alivyo duniani anapaswa kufanya kazi ya mungu, kwa maana alivyotuumba alitaka afanye kazi yake. O: Noori musialo muno okhoere khubulukha einyanga ya saba. Einyanga eyo khukoya khutsia mukelesia ya Nyasaye, khandi norula mukelesia okhoya khukhola mirimo kia mudala. T: Ukiwa duniani humu unapaswa kupumzika siku ya saba. Siku hiyo tunastahili kwenda katika kanisa la Mungu. Tena unapotoka kanisani unapaswa kufanya kazi za nyumbani. O: Omundu nga olwa yalongwa yaruka tsisolo khumurerera amabeere nende einyama. Einyanga eilari eya khutsia mukelesia onyala khutsia mundalo mwao nooraka ebiakhuria ebia onyala khukooba mukelesia. T: Binadamu jinsi alivyoumbwa alifuga wanyama kumletea maziwa na nyama. Siku ambayo si ya kwemba kanisani waweza kwenda kwenye shamba lako ukapanda vyakula vyako unaweza peleka kanisani O: Nookoba ebiakhuria mukelesia khandi omukhulundu alakhulamira, oleendelea khunyola ebiakhuria bingi. Niweendelea khukhola emirimo kia Nyasaye olava omwitsa wa nyasaye T: Ukipeleka vyakula kanisani tena kasisi atakuombea, utaendelea kupata vyakula vingi, ukiendelea kufanya kazi za Mungu utakuwa rafiki wa Mungu. O: Etsinyanga tsia ori mutsishida Nyasaye anyaala yakhurusiamO: Abeetsa bange ebasaba mweendeleye khutsia mukelesia T: Wakati ambao uko kwenye shida anaweza akakuokoa. Rafiki zangu nawasihi mwendelee kwenda kanisani O: ING’OMBE NEINDAI LUKARI T: NG’OMBE NI MUHIMU SANA O: Ing’ombe niindai lukari khulwa khuba irurereranga amabeere, inyama nende amapesa. T: Ng’ombe ni muhimu sana kwa kuwa hutupea maziwa, nyama na pesa O: Khasiwinyikhana obe nende wasiwasi khaba. Nionyolanga amabeere burin nyanga onyala abaana bao T: Haustahili kuwa na shaka hapana. Unapopata maziwa kila siku unaweza wasomesha watoto wakO: O: Ing’ombe ni indayi lukari khubera igamanga mabeere nende khulipira abaana befu mapesa musikuli. T: Ngombe ni muhimu sana kwa maana huleta maziwa tunalipia watoto wetu karo shuleni. O:Bakofu bangi bajama ing’ombe khulwa khuba ya mabere nende inyama. T: Wazee wengi wanampenda ng’ombe kwa maana hutupa maziwa na nyama. O: INGOKHO T: KUKU O: Ingokho niindai lukari khubeera mukeni niyeetsa, ndaajama ingokho khuluakhubera mabuyu. T: T: Kuku ni muhimu sana kwa maana mgeni akija, . Nampenda kuku kwa sababu ya mayai O:Esie ndajama ingokho khuluakhuba ikhonyanga lukari. T: Mimi napenda kuku kwa maana husaidia sana. O: Inyanga ndala mukeni yetsa khurukeendera nango ndari nende ingokho Ndatsia ndasinja ingokho mani nimboola mbari ingokho ni esindu silayi khusialo sinO: T: Siku moja mgeni alikuja kututembelea nyumbani nilikuwa na kuku nikaenda nikamchinja kisha nikasema kuwa kuku ni kitu cha muhimu ulimwenguni humu. O: bajama ingokho khulokhubera inyala khukhuberesia ebindu bingi nga amabuyu, eriana kata amapesa, amapesa akandi onyala khukurira ebindu bingi ebiawenya. T: Watu wanapenda kuku kwa kuwa anaweza kukupea vitu vingi kama vile mayai, mboga na hata pesa, pesa zingine unaweza ukanunua vitu vingine ambavyo unataka O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Kharekhare tsinyanga tsia bakuka befu balitsingi nende tsingombe. Tsingombe etsio tsabakhonyanga lukari. T: Hapo zamani enzi za babu zetu walikuwa na ng’ombe. Ng’ombe hao walikuwa wakiwasaidia sana. O: Tsing’ombe tsino khubera tsina tsikhonye? Ni khubera tsiri nende tsifaida tsinyingi lukari. T: T: Ng’ombe hawa mbona wanasaidia? Ni kwa kuwa wana manufaa mingi Zaidi. O: Beebusi befu baba baraaka ebindu bisabi khubera tsing’ombe etsio. Abulao owakhaya tsisolo tsino. T:Wazazi wetu walikuwa wamepanda vitu vingi kwa sababu ng’ombe hao. Akuna asiyependa wanyama hawa. O: Tsikhurerera amabere nikhungwa itsiri nende ingolobe. Noongwa amabeere ako ni malayi lukari, kabula bubi buosibuosi obunyala khunyasia obulamu buefu. T: Hutuletea maziwa tukinywa asubui na jioni, ukinywa maziwa hayo ni nzuri Zaidi,hayana ubaya wowote ambao unaweza dhuru afya yetu. O: Inyama yosi khuria. Khuritsanga ingombe muno muno mundu naafwire mumasika. Khuritsanga mpaka khwerusiakho beene. Niindali lukari, ikhurerera amaani mumubiri. T:Nyama pia tunala. Tunakula ng’ombe sana sana mtu akifa kwenye matanga, tunala hadi tujitoe wenyewe. Nimzuri sana, hutuletea nguvu mwilini. O: Tsing’ombe tsiefu stibestanga nende Ameera mangi, tsingombe etsio ni tsiduasi. T:Ng’ombe wetu huwa na majina mengi, ng’ommbe hao ni wa kiume. O: Lisero liario likaasianga tsingubo tsiabakuuka befu mumadala nibatsia khukeenda. T:Ngozi yake hutengeneza nguo za babu zetu kwa maboma wakienda kutenbea O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni siruki esia abaandu baruka mumadala kabu. T: Ng’ombe ni mfugo ambaye watu hufuga kwa boma zaO: O: Esindu sino ni siruki sirukwa nende abandu. T: Kitu hiki ni mfugo anayefugwa na watu. O: Ingo’ombe ni sindu sindi sia abaandu bajama khibira kikerO: T: Ng’ombe ni kitu kingine ambacho watu wanapenda. O: Sindu sino siberesianga abaandu mabeere nende inyama. T: Kitu hiki huwapa watu maziwa na nyama O: O: Sindu sino sienyekhana sisangarirwe lukari. T: Kitu hiki kinafaa kifurahiwe sana O: Sikhoere sirie nga mundu. Mundu akhoere asiesie amatsi, aremere lusi, irie mpaka iikure. Nileekure khasiyakhakherwa mabere masabi khaba. T: Anafaa ale kama mtu. Mtu anafaa ampee maji, amkatie mabingobingo, ale hadi ashibe. O: Khandi buchafu bwa ing’ombe kalangwangwa mbari masingO: Masingo kano karukhonyanga imbolera ya sikhaya bila khurumikhira matongolo kosikosi. T: Tena kinyesi cha ng’ombe huitwa eti mazamadi, zamadi hii hutusaidia na mbolea ya bure bila kutumia pesa yoyote. O: Omundu naabuula masingo noora khubiakhuria bia yarak ani bimera bilayi. T: Mtu akiwa na zamadi kisha aweke kwenye chakula alichokipanda kinastawi vyema. O: Abandu bakhare bakulanga ing’ombe isiri inamu nibaisinja nibamalayo rikhoba erio T: Watu wa kale walikuwa wakimnunua ng’ombe aliye hai wanamnjinja na kumaliza ngozi hiyO: O: Erikhoba erio babukulaanga nibabakala mumubasu mpaka riume nga rikina. Nirimala tsinyanga tsindindi ni bakaasia siindu sia khukonaangakhO: T: Ngozi hiyo wlikuwa wanachukua na kuanika kwa jua hadi ikauke kama jiwe.ikimaliza siku chache wanatengeneza kitu cha kulalia. O: Tsing’ombe tsiosi tsikhoonyanga abaandu khurima. Mundu anyalanga khurera tsing’ombe tsimurimire indalo yaye. Mundu kata naabula matongolo naari nende tsing’ombe anyala yatsikusia naanyola mapesa naakhorera sindu sia yeenyere. Basaba khuruke tsingombe mubuungi. T: Ng’ome pia huwasaidia watu kulima. Mtu anaweza kuleta ng’ombe wamlimie shamba lake. Mtu hata kama hana pesa akiwa na ng’ombe anaweza wauza naapate pesa na anafanyia kitu ambacho anataka. Nawaomba tufuge ng’ombe kwa wingi. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni siruki siri nende bukhonyi bukhongo musialo sinO: Buadodo ingombe ibetsanga mbari ibulao khwakhakosere ebiindu bisabi bilayi. T: Ng’ombe ni mfugo aliye na faida kubwa ulimwenguni humu. Ukweli ng’ombe angekuwa hayupo tungekosa vitu vingi sana. O: Irukhoonyanga nende ebiindu nga mabeere, inyama nende ebiindu bindi bisabi lukari. Kata ingoma ya mulolanga niikasibwa ino ni risero ria ing’ombe. T: Hutusaidia na vitu kama maziwa, nyama na vitu vingine vingi Zaidi, hata ngoma mnayoona ikitengenezwa ni ngozi ya ng’ombe O: Irukhonyanga nende ebiindu bindi nga masingO: Khwekhonyeranga masingo khukasia tsinyumba mana tsilolokha bilayi. T: Hutusaidia na vitu vingine kama zamadi. Tunatumia zamadi kutengeneza nyumba kisha zionekane vizuri. O: Masingo ako nookinga nooyira mundalo nooraka amadimwa kanyala kalula tsingore. T: Mazamadi hayo ukibeba upeleke shambani upandie mahindi yanayeza toka makubwa. O: Biakhuria bia khunyala khudedera tsing’ombe etsio mana tsibe nende mubiri mulayi ni lusi. T: Vyakula ambavyo tunaweza katia ng’ombe hao kisha wawe na afya bora ni mabingobingo O: Khandi tsiinyikhana tsirie lusi luyera ili tsirere mabeere kayera. T: Tena wanafaa wale mabingobingo ya kutosha ili watoe waziwa yanayotosha. O: Mabeere ako onyala khusatsa nikeekhola mayu. Kata onyala khukariira busuma. Tsiruo tsindi tsinjalava, noosuda ambi tsinyala tiskhukuda bidinyu waumia. Etsia kienyeji bulayi buatsio ni onyala khutsira owa bunyasi buri mani tsiekura. T: Maziwa hayo unaweza kuyahifadhi yakagandamana. Hata unaweza tumia kula sima. Kuna wengine wakali. Ukisonga karibu wanaweza wakakugonga vibaya ukaumia. Wa kienyeji uzuri wao unaweza waweka mahali ambapo kuna nyasi wale kisha washib O: Ishida ni khunyola, onyala wabukula ndala nookusia noonyola amapesa akoonyala khuekhonyera. Inyama yoololanga abandu nibaria ibetsanga tsing’ombe. Kata noosika sa inyama eyo bilayi inyala khuikhala tsinyanga tsisai munO: T: Ukipatwa na shida unachukua mmoja unauza unapata pesa ambayo unaweza tumia. Nyama unayoona watu wakila huwa inakuwa ya ng’ombe. Hata ukikausha tu nyama hiyo vizuri inaweza kuishi siku mingi sana O: Khuebio biosi khurinde tsingombe etsio bilayi. T: Kwa hayo yote tutunze ng’ombe hao vizuri O:Ing’ombe ni siruke siri nede obukhonyi bukhongo mu sialo sinO: Buadodo ingombe ibetsanga mbari ibulao khuakhakosere ebindu bisabi. T: Ng’ombe ni mfugi ambaye ana usaidizi mkubwa ulimwenguni huu. Ukweli ng’ombe angekuwa eti hayupo tungekosa vitu vingi. O: Irukhonyanga nende ebindu nga mabeere, inyama nende ebindu bindi bisabi kata ing’oma yoosi ikasibwangawa khurula khu riseero ria ing’ombe. Irukhonyanga nende ebindu bindi nga masingO: Masingo karukhonyanga khukasia tsinyumba mana tsilorekhe bilayi. Kata masingo ako nookinga nookoba mundalo nooraka madimwa kanyala khukhola tsingore. T: Hutusaidia na vitu kama maziwa, nyama na vitu vingine vingi hata ngoma huundwa kutoka kwa ngozi ya ng’ombe. Hutusaidia na vitu vingine kama zamadi. Zamadi hutusaidia kuunda nyumba kisha zionekane vizuri. Hata zamadi hiyo ukibeba upeleke kwa shamba na upande mahindi yatasitawi vizuri O: Biakhuria bia khunyala khudedera tsing’ombe mana tsibe nende mubiri mulayi ni lusi nende obunyasi. Tsingombe tsia igiredi nitsio etsi khurakiranga lusi lusabi ili irusie amabeere mangi. T: Vyakula ambavyo tunaweza katia ng’ombe kisha wawe na afya bora ni mabingobingo na nyasi, ng’ombe wa gredi ndio wale ambao tunawapandia mabingobingo mengi ilia toe maziwa mengi. O: Budinyu nibukhunyola onyala wabukula ndala wakusia noonyola mapesa ka khuekhonyuera khumala budinyu obwO: Inyama eya ololanga abandu nibaria ilulanga khu ing’ombe . kata noosika inyama eyo bilayi inyala yeekhala tsnyanga tsisabi muno. Khu ebio biosi, khurindu tsing’ombe bilayi. T: na shida unaweza chukua ng’ombe mmoja ukamuuza na kupata pesa ya kutumia kumaliza shida hiyO: Nyama unayoona watu wakila hutoka kwa ng’ombe. Hata unapokausha nyama hiyo vizuri inaweza kukaa siku mingi sana,kwa hayo yote tulinde ng’ombe vizuri. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni omuruko kurukwangwa mudala nende musinO: Ing’ombe ni isolo iri nende makulu kane nende tsinjika tsibiri. Ing’ombe iri nende tsifaida khushira imbusi. Ebiindu bia ing’ombe iberesianga mundu ni mabeere, risero nende tsifaida tsindi. Khurulana nende tsifaida tsino mundu yajama tsing’ombe kata sakira tsingomba tsiamenya mudala khandi munyumba mwaye. T: Ng’ombe ni mfugo anayefugwa nyumbani na mwituni. Ng’ombe ni myama mwenye miguu minne na pembe mbili. Ng’ombe anafaida kushinda mbuzi. Vitu ambavyo ng’ombe humpa mtu ni maziwa, ngozi na faida zingine. Kutokana na faida hizo mtu anapenda ng’ombe hata ndiyo maana ng’ombe anaishi kwa boma na tena kwa nyumba yake. O: Esikeranga mumdu naaruka ing’ombe ni khuberaikonyanga biakhuria yene, niyakhamala khukonya biakhuria ilaria niimala ilakherwa amabeere. Khuluakhubera tsifaida tsino, binadamu yakheera tsing’ombe khushira sindu sindi, kata khubulamu bua binadamu ing’ombe niindayi lukari. T: kinachomfanya mtu afuge ng’ombe ni kwa maana hutafuta chakula mwenyewe, akishatafuta chakula atakula akimaliza atakamwa maziwa. Kutokana na faida hizi,binadamu anapenda ng’ombe kuliko kitu kingine, hata kwa maisha ya binadamu ng’ombe ni muhimu sana. O: Abaandu basangarira tsing’ombe khukuakhuba tsiri nende tsifaida tsisabi . Niimaririsia mbola mbari tsing’ombe ni tsindai lukaro sana, abaandu baruka khubungi khukhira esindu sindi T: Watu hufurahia ng’ombe kwa maana wako na faida nyingi. Nikimalizia nasema kuwa ng’ombe ni mzuri sana, watu walifuga kwa wingi kushinda kitu kingine. O: SIRUKE SIANGE NI ING’OMBE T: MFUGO WANGU NI NG’OMBE O: Ing’ombe ni sindu esia abandu bajama sana khubeera ing’ombe iri nende manufaa masabi lukari khubandu. Baandu baijama khuluobera bamanya sindu sia bainyolangakhO: Ing’ombe ni sindu silayi lukari. T: Ng’ombe ni kitu ambacho watu wanapenda kwa manaa ng’ombe ana faida mingi sana kwa watu. Watu wanampenda kwa maana wanajua kile wanachokipata kutoka kwake. Ng’ombe ni kitu mzuri sana. O: Khubola bwatoto ing’ombe ni sindu sinyala khukhukhonya abundu adinyu lukari. Inganga yayo ni nookwamire abuundu adinyu onyala waikusia noomala tsishughuli tsiaO: Nibilayi khube nende tsing’ombe. T: Kusema kweli ng’ombe nikitu kinachoweza kukusaidia mahali pagumu sana. Manufaa yake ni kama umekwama mahali pagumu unaweza muuza na umalize shughuli zakO: Nibora tuwe na ng’ombe. O: Khandi sikera niimbola mbari ing’ombe ni siruko silayi khubera mbu onyala khukusia mabeere khandi ewe mwene onyala khunywa noonyola bulamu bulayi. Kata onyala khubula isukari munyumba nookusia mabeere ako nookula. T: Tena kinachofanya niseme ng’ombe ni mfugo mzuri ni kwa sababu unaweza uza maziwa tena wewe mwenyewe unaweza kunywa na uwe na afya bora. Hata unaweza kosa sukari kwa nyumba na unauza maziwa hayo na unanunua O: Buatoto khubetsenge abandu bashughulikira ing’ombe burisikha khandi khuiberesie amatsi. Noorukire ing’ombe ya sisungu ikhoere khuria lusi mpaka inyole mabeere mangi khandi mabofu karia aka noongwa nourira bulayi buakO: Ni bilayi orisie ing’ombe yao bilayi, khubera niwinya khukusia onyola inganga. Ing’ombe ni sindu silayi lukari, ikhonya T: Ukweli tuwe watu wakushughulikia ng’ombe kila wakati tena tumpee maji. Ukifuga ng’ombe wa gredi anafaa ale mabingobingo hadi apate maziwa mingi tena mzuri yale ambayo ukinywa unahisi utamu wake. Ni vyema ulishe ng’ombe wako vizuri kwa sababu ukitaka kumuuza unapata faida. Ng’ombe ni kitu nzuri sana anasaidia O: Abandu baruke tsing’ombe tsilabakhonya. T: Watu wafuge ng’ombe watawasaidia. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni isolo eya babdu barukanga. Khuri nende tsing’ombe tsia aina tsibiri. Khuri nende ingombe ikhueberesianga amabeere ni khuri nende eikhuberesianga enyama. T: Ng’ombe ni m,nyama ambaye watu walifuga. Tuna ng’ombe wa aina mbili. Tunang’ombe ambao hutupa maziwa na tuna ile ambayo hutupa nyama. O: Ing’ombe iri nende tsifaida tsisabi. Ifaida eyamberi ni bandu khurima tsindalO: Nori nende indalo ikhongo noobula amapesa kakhulimira, olakhaba sa tsisurusi tsibiri. T: Ng’ombe anafaida nyingi sana. Faida ya kwanza ni watu kulimia shamba, ukiwa na shamba kubwa na hauna pesa ya kulimia utatafuta tu ndume wawili O: Ing’ombe yosi iri nga mundu. Ikinganga inda khu miosi tisa niitsaka khulira. Niyakhamala khuibula, khalano ni mundu atsaka khuikhera, Niwakhamala khuikhera, okinga amabeere kayo nooyira khusiiro khukusia onyole amapesa. T: Ng’ombe pia ako kama binadanu. Hubeba mimba kwa miezi tisa na inaanza kulia. Akishajifugua mtu anaanza kumkama, ukimaliza kumkama,unabeba maziwa yake unapeleka kwa soko kuuza unapata pesa O: Niimaririsia ndakha khubola rikhua riange. Noori nende ing’ombe mudala orakosa khuiberesia ebiakhuria nende matsi. Nooruka ing’ombe soolasanda khaba. Mundu yajama ing’ombe khuluobera ni indayi. T: Nikimalizia nataka kusema neno langu. Ukiwa na ng’ombe nyumbani usikose kumpea chakula na maji. Ukifuga ng’ombe hautateseka kamwe. Mtu anampenda ng’ombe kwa maana ni nzuri O: INGOMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni siruke esirukwangwa mudala. Sikendanga khu makulu kane. Siruke sino nooringera murue kwasio olalola mbari siri nende tsinjika tsibiri. T: Ng’ombe ni mfugo anayefugwa nyumbani. Hutembea kwa miguu miwili. Mfugo huu ukiangalia kichwani pake utaona eti ana pembe mbili. O: Khulua isaino abaandu babukule isolo ino nibairuka mudala. Bairuka mudaka khuobera bayuumbakhira inyumba, inyumba ino ilangibwanga mbari siduoli. Siduoli sino abaandu bandi boombakhanga mutsingira tsikabukhane. Khuri nende abaandi abeekhonyeranga mabadi naabandi abeekhonyeranga maloba. T: kwa sasa watu wachukue mnyama huyu wamfuge kwa boma. Walimfuga kwa boma kwa maana walimjengea nyumba, nyumba hii huitwa eti zizi, zizi hii watu wengine hujenga kwa njia tofauti. Kuna wale ambayo hutumia mabati na wengine hutumia udongo. O: Kharano nyinya khukhuborera mbari ing’ombe iri nende tsifaida tsisabi muno. Noodekhisia khubukulanga ing’ombe nikhuira owabu mukhana. Khuri nende aina tsibiri etsia tsingombe, Isurusi nende iduwasi. Ni kata saiino tsirio sa T: kwa hivyo nataka kukuambia kuwa ng’ombe anafaida mingi sana. Ukioa unachukua ng’ombe unapeleka kwa kina msichana. Tuna aina mbili ya ng’ombe kike na kiume. Hata saizi wapo tu. O: Bakhare bakheranga ing’ombe na kata saiino basiri baikhera sa. Silayi ni mbari ing’ombe ino niyeekhonya butsafu obuo ni imbolera indayi lukari. Masingo kaing’ombe kakera sikaamo nisimera bilayi. T: Wakale walikuwa wanakama ng’ombe n ahata sasa bado wanakama tu. Uzuri ni kwamba akienda choo kinyesi chake hicho ni mbolea nzuri sana, zamadi ya ng’ombe hufanya mimea kumea vizuri O: Ni buadodo nga sidere sia mubasu niimbola mbu niinywa amabeere ka ing’ombe iri nende amabere malayi muno. Obaamo mani. Amabanga ka ingombe kosi ni malayi mumubiri kua mundu. Mabanga ako sonywa tawe nikasiri mabisi. Barua abakangwetsanga nikari mabisi lakini noolajila khasiwakhakanywa. T: Ni ukweli kama mchana wa jua nikisema kuwa nikinywa maziwa ya ng’ombe ambaye anamaziwa mazuru sana. Unakuwa na nguvu. Damu ya ng’ombe pia ni mzuri kwa mwili ya mtu. Damu hiyo haunywi yakiwa mabichi. Kuna wale ambao hunywa yakiwa mabichi lakini kama haujazoea hauwezi kunywa O: Ing’ombe ino ndakhasabire buri mundu aruke isolo ino. Khubola tsa buandieri ing’ombe iri isolo indai muno. T: Ng’ombe ningeomba kila mtu afuge mnyama huyu. Kusema ukweli ng’ombe ni mnyama mzuri O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni siruke sia mudala. Ing’ombe niyamaana mubulamu bua mundu. O: Kharano ndakha khukhuborera mbari siruke siosi siosi nisia maana lukari. Esiaamberi khukhoya khuetsomie Nyasaye khubera niye mulongi wa ebiindu binO: Ing’ombe mudaala khukhoya khuirinde munO. T: Ng’ombe ni mfugo anayefugwa nyumbani. Ng’ombe ni muhimu kwa maisha ya mtu. Kwa hivyo nataka kusema kuwa mfugo wowote ni wa maana sana. Kwanza tunafaa tumsifu Mungu kwa maana yeye ndiye muumba wa vitu hivi. Ng’ombe nyumbani tunafaa tumlinde sana. O: Khandi mudala ing’ombe ikhoye ibe nende obusafi. Mukhoikhane muifure msala ili tsingua tsiirulekhO: Ing’ombe iberesinianga amabeere. Kata mundu anyala khukooba mabere ako musiiro nibanyola mapesa. Sakira Nyasaye yalonga biruke ebio namanyire mbari ni ebia muhimu khurimenya eria mundu. T: Tena nyumbani ng’ombe anafaa awe msafi. Mnafaa muipulizie dawa ili kupe watoke. Ng’ombe hupeana maziwa. Ata mtu anaweza peleka maziwa hayo sokoni naapate pesa. Ndiyo maana Mungu aliumba mifugo hao akijua kuwa ni muhimu kwa maisha ya mtu. O: Esia bulayi lukari ni mbari ingombe iruberesia imbolera. Imbolera eyo irukhonyanga khuraka madimwa kefwe. Kata onyola khunyola mundu abula mapesa aka khukula imbolera lakini abukula imbolera eya masingo narakira noonyola madimwa ako kakhorere bilayi. O: Nimaririsia nnya khubola mbari mukhoya murinde ing’ombe muno: Kata mukhoya murinde biruke T: Cha muhimu Zaidi ni kwamba ng’ombe hutupea mbolea. Mbolea hiyo hutumika kupanda mahindi yetu. Hata unaweza pata mtu hana pesa ya kununua mbolea lakini anachukua mbolea ya mazamadi anapandia unapata mahindi hayo yamefanya vizuri. O: Nimaririsia nyenya khubola mbari mukhoya murinde ing’ombe muno. Kata mukhoya murinde biruke T: Nikimalizia nataka kusema kuwa mnastahili kulinda ng’ombe sana. Hata mnafaa kulinda mifugo. O: Khuebio biosi okhoya orinde ing’ombe. ebindu bingi, irula khu ng’ombe kata inyama yakhuria. Onyala khunyola mundu wundi yarumana khubucha bamukurire inyama. Khwebo basaba khandi muruke tsing’ombe. T: Kwa hayo yote unafaa kulinda ing’ombe. Vitu vingi ,vinatoka kwa ng’ombe hata nyama ya kula. unaweza pata mtu mwingine akitumana katika duka la kuuzia nyama anunuliwe nyama. Kwa hayo nawaomba mfuge ng’ombe. O: IN’GOMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni isolo eya maana lukari khubulamu bwa abaandu. Khandi ing’ombe ni isolo ya mudala. Mundu yesiyesi naabula ing’ombe nisikhaya kabisa. Mubulamu buefu khuekhoyera khuba nende tsing’ombe. T: Ng’ombe ni mnyama wa maana sana kwa maisha ya watu. Tena ng’ombe ni mnyama wa nyumbani. Mtu yeyote kama hana ng’ombe ni bura kabisa. Kwa maisha yetu twafaa tuwe na ng’ombe. O: Kharano, kata nooba mudala okhoere obe nende ing’ombe. Khandi ing’ombe iri nende tsifaida tsisabi muno. Ing’ombe yakhomera iri nende amaani masabi muno. Khandi ingombe inyala khuba riani khuluobera noosika inyama ya ing’ombe onyala khuria nga riani. T: Kahivyo, hata ukiwa nyumbaniunastahili kuwa na ng’ombe. Tena ng’ombe anafaida nyingi sana. Ng’ombe aliye nona ana nguvu nyingi sana. Tena ng’ombe anaweza kuwa mboga kwa maana ukikausha nyama ya ng’ombe unaweza kula kama mboga O: Esie khasindakheekhala mudala bila ing’ombe dawe. Khubera ing’obe iri nende amaani masabi muno. Masika nikari abundu ing’ombe inyala khusinjwa. T: Mimi siezi keti kwa boma bila ng’ombe hapana, kwa maana ng’ombe ananguvu nyingi sana. Matanga yakiwa mahali ng’ombe anaweza chinjwa. O: Ing’ombe isurusi nio ikhoere mberi. Noobula ing’ombe isurusi yewe aba buongo bwao bwabiiya. T: Ng’ombe ndume ndiye anastahili kwanza. Kama hauna ng’ombe ndume wewe ni kama uliharibika akili. O: Ing’ombe niindayi muno, khubulamu bua abaandu. T: Ng’ombe ni muhimu sana kwa maisha ya binadamu. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni siruke, omundu yajama ing’ombe khuluobera ing’ombe iri nende tsifaida tsisaabi. Tsifaida tsino ni amabeere, inyama nende amasingo. T: Ng’ombe ni mfugo, mtu anampenda ng’ombe kwa kuwa ng’ombe anafaida nyingi sana. Faida hizi ni maziwa, nyama na mazamadi. O: Esiye ndajama ing’ombe khuluobera iruberesianga ebiakhuria. Ing’ombe niibula imberetsianga mabeere. Ngoobanga mabeere khukusia khusiro niinyola matongolo. T: Mimi napenda ng’ombe kwa maana hutupea chakula. Ng’ombe akijifungua hutupa maziwa. Huwa napeleka maziwa kuuza sokoni naninapata pesa O: Wamanyakho mbu mabanga kaingombe ni musala okua khusirikha noori muluare. Nootsa khukusia olanyola mapesa amangi. T: Unajua kwamba damu ya ng’ombe ni dawa ya kutibu ukiwa mgonjwa. Ukienda kuuza unapata pesa mingi. O: Masingo ka ing’ombe ni imbolera. Imbolera irukhonyanga khuraka madimwa nende amaragwe. O: Inyama ya ing’ombe niindayi lukari, iri nende esiuuya. T: Zamadi ya ng’ombe ni mbolea. Mbolea hutusaidia kupanda mahindi na maharagwe. Nyama ya ng’ombe nitamu sana ina ladha O: Erisero ria ingombe, khare bakofu bakaasianga tsingubo tsia khufuala. Nende abaafundi bakasianga ebilaaro. Bia maasai. Notsia mudala mwa mundu olanyola tsing’ombe nitsiaya. T: Ngozi ya ng’ombe kitambo wazee walikuwa wanatengeneza nguo za kuvaa,. Na fundi walikuwa wanatengeneza viatu za Maasai, ukienda kwa boma ya mtu utapata ng’ombe wakichunga O: Ingombe ni isolo indai nibilai omundu nairuka. T: Ng’ombe ni mnyama mzuri ni vizuri mtu akimfuga. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Nikhulomaloma khuing’ombe ino ni eisolo eya khuaruka mudala. Khasiilomalomanga dawe. T. T: Tukizungumzia kwa ng’ombe huyu ni mnyama tuliye fuga nyumbani. Huwa azungumzi kamwe O: Ing’ombe khurukiranga musidwoli, khasikhurukiranga munyumba khaba. Khuikasirianga sidwoli siayo ambi nende inyumba. T: Ng’ombe tunamfuga kwenye zizi, hatumfugi kwa nyumba kamwe. Tunamtengenezea zizi yakekaribu na nyumba. O: Khurukanga tsing’ombe tsia kienyenji nende etsia sisuungu. Khutsing’ombe tsino khuri nende etsi amabeere nende inyama. T: Tunafuga ng’ombe wa kienyeji na wakizungu. Kwa ng’ombe hawa tunawale wa maziwa na nyama O: Etsia sisungu nitsio etsia khunywetsanga amabere netsa inyama nitsi etsia khuritsanga. T: Wakizungu ndio tunakunywa maziwa nawa nyama ndio tunaokula. O: Efwe khurukanga etsia kienyeji nitsio etsia khukheranga nikhungwa amabeere. T: Sisi hufuga wa kienyeji ndio tunaokama tukikunywa maziwa O: Imbolera ya tsing’ooombe ilangwangwa mbari masingo. Khubukulanga masiko kano nikhura alala nikabola. Imbolera eyo niindai kata khushira eya sisungu T: Mbolea ya ng’ombe inaitwa zamazi. Huwa tunachukua zamadi na tunaweka pamoja na yanaoza. Mblea hiyo ni nzuri hata kuliko ya kizungu. O: Noobusia amasingo kano kashira imbolre ya muduka. Noorakira amadimwa nikamera, ni nootsa khufuna noonyola tsingore. T: Ukisanya mbolea hii inashinda ya duka. Ukipandia mahindi yanamea, na ukienda kuvuna unapata kubwa. O: Ifaida yindi eya tsing’ombe ni nibakhamala khusinja ing’ombe riseero riayo beekhonyeranga khukasia ebindu kama ingoma nende bilaro. T: Faida ingine ya ng’ombe ni wakimaliza kuchinja ng’ombe ngozi yake wanatumia kutengeneza vitu kama ngoma na viatu O: Ebindu bingi ebia khuekhonyeranga khukasirianga eriseero ria ing’ombe. T: Vitu vingi ambavyo tunatumia hutengenezwa kwa ngozi ya ng’ombe. O: Ing’ombe bora khuikasie bilayi iri nende tsifaida tsisabi. Nikhuruka ing’ombe khukhoyere khube nende bunyasi bua khuusirisia. Ing’ombe niindayi ni nikhuiruka iri nende tsifaida tsisabi. T: Ng’ombe bora tumtengeneze vizuri ana faida nyingi. Tukifuga ng’ombe tuwe na nyasi ya kumlisha ng’ombe ni nzuri tukumfuga ana faida nyingi. O: O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe neisolo yarukwa mudala niruberesianga amabeere, inyama nende amapesa. T: Ng’ombe ni mnyama aliyefugwa nyumbani hutupatia maziwa, nyama na pesa. O: Ing’ombe niisiri indidi khasiiritsanga bunyasi kata khandi khasiiritsaka amasafu khaba. T: Ng’ombe akiwa akali mdogo huwa hali nyasi hata tena huwa hali matawi. O: Efue baraga beebusi beefu barurumanga hutsie khuaye tsingombe kata nende khuiereesia amatsi. T: Sisi vijana wazazi wetu hututuma twende tuchunge ng’ombe hata na kuipea maji. O: O: Beebusi befu baruboreranga mbari ing’ombe ni isolo iri nende sifune sikhongo kwani ing’ombe noobula mapesa ka khulipa musikuli ni bakusia ingombe ni banyola nga baliipa mapesa musikuli. T: Wazazi wetu hutuambia kwamba ng’ombe ni mnyama ambaye ana sababu, kikubwa ni kwamba ng’ombe kama hauna pesa ya kulipa shuleni wanauza ng’ombe na wanapata jinsi ya kulipa karo shuleni. O: Kando nende ako ing’ombe ikhasi iri nende tsifaida tsingari khuluobera ilanyola inda alafu yiibule alafu ochake khukusiamabeere. T: Kando na hayo ng’ombe wa kike ana faida kubwa kwa sababu anapopata ujauzito halafu ajifungue halafu uanze kuuza maziwa. O: Noonyola budinyu nga obere noobula muunyu nookusia sa mabeere nonyola nga okula munyu ni ing’ombe iba yakhakhukhonya. T: Ukipata ugumu kama hauna chumvi unauza tu maziwa naunapata jinsi ya kununua chumvi na ng’ombe atakuwa amekusaidia. O: Khuitsurisie mbari ingombe iruberesianga inyama. Inyama ya ing’ombe niinulu nookaranga. Abaandu baiyanza. T: Tukumbuke ya kwamba ng’ombe hutupa nyama, nyama ya ng’ombe nitamu ukikaanga . watu wanaipenda. O: Ing’ombe ni siindu sia maangalimu khubeera yosi irimanga mumikunda kiefu. T: Ng’ombe ni kitu ya ajabu kwa sababu pia hulima kwa mashamba yetu O: HuiItsurisia mbari ing’ombe iinisianga masero aka beekhonyeranga khukasia bilaro nende tsingoma. T: Nakukumbusha kwamba ng’ombe hutoa ngozi wanayotumia kutengeneza viatu na ngoma. O: Ing’ombe niindayi Khulua khubera irubetsanga tsifaida tsisaabi lukari. T: Ng’ombe ni mzuri kwa sababu hutupa faida nyingi sana O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe niisolo iriya eya khurukanga mudala riefu. Ing’ombe ni isolo indayi munO: Olanyola tsingombe tsikabukhane. T: Ng’ombe ni mnyama yule ambaye tunafuga nyumbani kwetu. Ng’ombe ni mnyama mzuri sana utapata kuwa ng’ombe wametofautiana. O: O: Khuri nende tsing’ombe tsia igiredi, nende etsia kienyeji. T: Tuko na ng’ombe wa gredi ambao na wa kienyeji. O: Etsingombe tsiruberesianga amabeere nende einyama. Khandi kata ing’ombe iruberesianga mang’ondO: T: Ng’ombe hutupa maziwa na nyama, tena ng’ombe hutupa pesa. O: Olanyola abandu bangi bajama einyama eya ing’ombe. T: Utakuta watu wengi wanapenda nyama ya ng’ombe. O: Kata kario, olanyola abandu bari nende tsimbeka tsikabukhane etsia bakhera khuria khu ing’ombe. T: Hata hivyo, utakuta watu wakiwa na sehemu tofauti ambazo wanapenda kukula kwa ng’ombe. O: O: Abandi bakhera khusamba ing’ombe mpaka yuume nibamala bairia. Inyama eyo inyala khumenya khu bikha birambi lukari. T: Wengine wanapenda kuchoma ng’ombe hadi ikauke wakimaliza wanakula, nyama hiyo huweza kuishi kwa muda mrefu sana. O: Khandi ing’ombe iruberesianga amabeere malayi. Mabeere ako kanyala khukobua biuma ni kamala kakasibua khungira ikabukhane. T: Tena ng’ombe hutupa maziwa mazuri, maziwa hayo yanaweza pelekwa viwandani kisha yakatengenezwe kwa njia tofauti. O: Kario kata mabeere akakasibuanga kaba nga busie. Omundu naakusia amabeere ako alanyola mapesa mangi lukari. T: Kuna maziwa ambayo hutengenezwa na kuwa kama unga. Mtu akiuza maziwa hayo atapata pesa mingi sana. O: Khuri nende rstingombe tsiria etsikhonyanga abaandu khurima. Etsing’ombe etsio ni tsisurusi ni tsiamanya khurima lukari. Kata tsiruo etsikhonyanga khukinga ebiindu bisirO: Omundu ari nende tsingombe etsio anyala khunyola amang’ondO: T: Tuna ng’ombe ambao husaidia watu kulima. Ng’ombe hao ni ndume na wanajua kulima sana, hata kuna wale ambao husaidia kubeba vitu nzito, mtu akiwa na ng’ombe hawa anaweza pata pesa. O: Khandi tsing’ombe tsinyala khururerera eimbolera indayi. Mundu naari nende ing’ombe anyala khunyola imbolera eya khuraka ebiakhuria biaye. Niyakharaka ebiakhuria ebio T: Tena ng’ombe wanaweza kutuletea mbolea nzuri, mtu akiwa na ng’ombe anaweza pata mbolea ya kupandia vyakula vyake. Akipanda vyakula hivyO: O: bikhulanga bilayi lukari nende khuinisia ebiakhuria bingi khandi ebilayi. Esie ndajama ing’ombe lukari. T: Hutoka vizuri na kuto vyakula vingi tena vizuri mimi napenda ng’ombe sana. O: ING’OMBE NENDE IMBUSI T: NG’OMBE NA MBUZI O: Ing’ombe nende imbusi ni biruke bia mudala. Inyanga ndala tsing’ombe tsiatsa khuaya ni tsimbusi tsiadong’a mudala. Tsimbusi tsiatsaka khuana nitsiinya khuria, lakini omundu khasiyariio owa khuaya. Tsing’ombe nga tsiamala khuaya ni tsimbusi tsiurera. Khalano khuari khukorirwe mbari tsimbusi tsiari nende obukora bundi awendio. Tsimbusi tsiakhalaka mukoye ni tsiekisa. T: Ng’ombe na mbuzi ni mifugo wa nyumbani, siku moja ng’ombe walienda kuchunga na mbuzi wakabaki nyumbani, walianza kulia wakitaka kula, lakini mtu hakuwepo wa kuwachunga. Ng’ombe walipomaliza kuchunga na mbuzi wakanyamaza. Hivyo basi hatukuwa tumejua kuwa mbuzi walikuwa na ujanja mwingine hapo. Mbuzi walikata Kamba wakajificha. O: Abaana ba tsimbusia batsia nibatsaaka khununa tsing’ombe.Khuatsa nikhutsaka khukhera nikhukororue mbari ni sina esikera ing’ombe niirarusia amabeere. T: Kimeme/kibuli wakaanza kunyonya ng’ombe tulienda tukaanza kukama hatukuwa tumejua ni nini kimemsababisha ng’ombe asitoe maziwa O: Khulula ao, bene tsimbusi bamanya mbari nakhoere batsiririe mani nibatsaka khutsiira musiairo.tsimbusi tiatsaka khumenya tsiong’ane nende tsing’ombe tsiosi tsiong’ane. Kata kario, tsimbusi nende tsing’ombe tsiaba tsajamana lukari. Bulayi bwa ing’ombe ni mbari iruberesianga amabeere, eriseero nende inyama. Imbusi yoosi iruberesianga inyama, amabeere, nende risero ria khukaasirianga mishipi, bilaro nende tsingoma. Miruko ekio kiosi ni milayi khu efwe bandu boosi. T: Kutoka hapo wenye mbuzi walijua kwamba wanastahili kuwapelekea maji malishoni, mbuzi wakaanza kuishi na ng’ombe wakawa wanapendana sana, uzuri wa ng’ombe ni kuwa hutupa maziwa na ngozi na nyama, mbuzi pia hutupa nyama maziwa na ngozi ambayo huwa tunatengenezea mishipi, viatu na ngoma mifugo hao wote ni wazuri kwa sisi wat wote. O: OMUNDU T: BINADAMU O: Binadamu ni silongi sia Nyasaye. Ari nende bulayi khushira esindu siosi siosi khusialo khuno. Binadamu ni silongi silayi khua khubera Nyasaye yasilonga khumikhono kiaye mungira ikabukhane. T: Binadamu ni kiumbe cha Mungu. Anaumuhimu kuliko kitu chochote ulimwenguni humu. Binadamu ni kiumbe kizuri kwa sababu Mungu alimuumba kwa mikono yake kwa njia tofauti O: Nyasaye yalonga mundu ili arinde indalo nende ebiindu biosi musialo muno. Nyasaye yaberesia omundu maani ka khukhola siosi siosi khusialo. T: Mungu aliumba mtu ili alinde shamba na vitu vyote ulimwenguni humu. Mungu alipea binadamu nguvu ya kufanya chochote ulimwenguni O: Binadamu ari nende bulayi khushira esindu siosi siosi khubeera Nyasaye yamuberesia obuongo bwa khupara nende khukhola ebiindu ebia esisolo khasisiakhanyala khukhola bila khupara. Nyasaye yaboorera binadamu arinde ebindu biosi khubeera niye ari nende obunyala bua khubirinda. T: Binadamu ana uzuri kulioko kitu chochote kwa sababu Mungu alimpea akili ya kufikiria na kufanya vitu ambavyo mnyama yeyote hawezi kufanya bila kufikiria. Mungu aliambia binadamu alinde vitu vyote kwa maana yeye ndiye aliye na uwezo wa kuzilinda. O: Binadamu ari nende Bunyala bwa khukasia esiindu sia khukhola mirimo. Khuboola buadieri binadamu ni silongi siri nende Bunyala musialo. T: Binadamu ana uwezo wa kutengeneza kitu cha kufanya kazi, kusema ukweli binadamu ni kiumbe aliye na uwezo ulimwenguni O: INGOKHO T: KUKU O: Ingokho niindari iri nende obukhonyi bukhongo. Ingokho yoosi iri nende mabaya ka khuburukha. Ingokho yamenya nende abaandu mubialo bikabukhane, ni khandi irurereranga mabuyu nende bimwinyi. T: Kuku ni mzuri ako na faida kubwa. Kuku pia ana ubaya wake wa kufugwa. Kuku anaishi na watu sehemu tofautitofauti tena hutupa mayai na vifaranga. O: Abaandu baruka tsingokho khubera ibarereranga eriani. Mbole mbari abandu babula ingokho beekholanga sikhaya. Omundu yesiyesi owajama ingokho yeenyekhana khuiruka. T: Watu walifuga kuku kwa sababu huwaletea mboga niseme kuwa ambao hawana kuku wanajifanya bure. Mtu yeyote ambaye anapenda kuku anastahili kumfuga. O: Bimwinyi nibialulwa alafu bikhule olanyola nibakusia ili khunyola amapesa aka khurumikhira, ni khandi olaba nende amaani aka khukurira tsingokho ebiakhuria. Kata ebakeni nibeetsa noobasinjira sa. T: Vifaranga wakiaguliwa alafu wakue unapata wakiuzwa ili tupate pesa ya kutumia na tena utakua na nguvu ya kununulia kuku chakula, hata wageni wakija unawachinjia tu. O: Sindu sindi esia ingokho ikhonyanga ni niwiirusibwe musikuli noonyola mbari mudala mapesa kabulao onyala wabukula ingokho ndala nootsia oikusia khusiiro ili khunyola amapesa ka khurungu musikuli. T: Kitu kingine ambacho kuku anasaidia ni ukifukuzwa shuleni na unapata kuwa nyumbani pesa haiku uneza chukua kuku moja na uuze sokoni ili upate pesa ya kulipa shuleni. O: Khandi mabuyu onyola bafukire busuma ni inyanga ibira endio. Ingokho ni indayi lukari, khuruke tsinyingi ili khumede ebindu bingi. Nikhukhola khurio buri sindu silatsia bilayi. T: Tena mayai ukipata wamepikia ugali na siku inapita hivyo. Kuku ni nzuri sana tufuge wengi ili tuongeze vitu vingi, tukifanya hivyo kila kitu kitaenda vizuri. O: INGOKHO T: KUKU O: Esie ndajama ingokho khubeera imberesianga Amatsi malayi mudala. Ingokho inyala khukhuberesia ebiindu bingi ebia weenya. Ingokho yeene ibulanga makhua mangi, esie nggandola ewe nga muruki onyala wanyola inganga ikhongo khurulana nende ingokho. T: Mimi napenda kuku kwa sababu ananipea maji mzuri nyumbani. Kuku anaweza kukupea vitu vingi unavyovitaka. Kuku mwenyewe hana maneno mengi, mimi ninavyo ona wewe kama mfugaji unaeza pata faida kubwa kutokana na kuku. O: Esikera niimbola mbari ingokho iruberesianga ebiindu bingi ni khubeera ingokho ngairi awo inyala khukhuberesia mabuyu aka khumekera obusuma. Khandi onyala khukusia amabuyu ako. Khandi onyala khukusia ingokho yene mana waria esiindu sinulu. T: Kinachofanya niseme kuku hutupa vitu vingi ni kwa sababu kuku alipohapo anaweza akakupa mayai ambayo tunamegea ugali. Tena unaweza uza mayai hayo tena unaweza uza kuku mwenyewe tena ule kitoweo. O: Sindu sianyala khuboola sibi khuingokho ni inyala khubotsa ebiakhuria bingi nikari mbu ori khuumbakha . T: Kitu ninachoweza kusema kibaya kwa kuku ni kuwa anaweza kula vyakula vingi ukiwa kwenye gumzo. O: Abaandu bangi bajama tsingokho khubeera niwakhanyola bakeni onyala khubukula ingokho yawo eyyendio noosinjira abakeni bao abo. Khandi noodekha ingokho khasiibukula ebikha birambi dawe, kata mukeni wao naari luangu anyala say aria obusuma buawo. Etsingokho netsilai, abaandu baruke tsingokho. T: Watu wengi wanapenda kuku kwa sababu ukipata wageni unaweza chukua kuku wako huyo na umchinjie wageni wako hao. Tena ukipika kuku haichukui muda mrefu kamwe. Hata mgeni wako akiwa haraka anaweza tu kula ugali wako. Kuku ni wazuri watu wafuge kuku. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni isolo indayi khumundu. Mundu yenyekhana ashughulikire ing’ombe inyole oluwa ikona abundu andayi. Abaandu bajama khukurikha ing’ombe Ameera nga akefu. Ing’ombe yefu yajama khunywa amatsi malafu ni khandi niindayi khumundu. T: Ng’ombe ni mnyama mzuri kwa mtu. Mtu anatakikana ashugulike ng’ombe apate jinsi anavyolala mahali pazuri. Watu wanapenda kubandika ng’ombe majina kama yetu. Ng’ombe wetu anapenda kunywa maji maji safi na tena ni mzuri kwa mtu. O: Ing’ombe yajama khuria ebiindu nga bunyasi, lusi, milabi ili nookhera onyolemo amabeere . Amabeere kagamiranga mundu tsisende ni kakhonyanga mundu naari mwana mudidi abe nende bulamu bulayi. T: Ng’ombe anapenda kukula vitu kama nyasi, mabingobingo, mbegu ya viazi vitamu ili unapo kama upate maziwa. Maziwa humletea mtu pesa na husaidia mtu akiwa na mtoto mdogo awe na afya bora. O: Ing’ombe ikhonyanga mundu lukari, oori nende budinyu akobanga akoobanga musiiro naakusia ni anyola mapesa niyeekhonyera. Ingombe ni siruke sikhongo sishira mundu ni shiri nende amakulu kane. T: Ng’ombe humsaidia mtu sana ambaye ana ugumu humpeleka sokoni anamuuza na anapata pesa na anatumia. Ng’ombe ni mfugo kubwa anayeshinda mtu na ana miguu minne. O: Ing’ombe yeefu eya igiredi ikonanga musiduwoli khurula itsuri mpaka ingolobe. Ebiakhuria biayo khuikooberanga nikhuamala khubikhenga khenga. Khuiberesianga amatsi ka khunyua koosi, khuretsangamo itsumbi ama isabuni. Amatsi niko bulamu khu buri sindu. T: Ng’ombe wetu wa gredi hulala zizini kutoka asubuhi hadi jioni. Vyakula vyake tunampelekea tukimaliza kukata. Tunampea maji ya kunywa pia, tunaweka ndani chumvi ama sabuni. Maji ndio uzima kwa kila kitu. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni isolo indayi khumundu. Mundu yenyekhana ashughulikire ing’ombe inyole oluwa ikona abundu andayi. Abaandu bajama khukurikha ing’ombe Ameera nga akefu. Ing’ombe yefu yajama khunywa amatsi malafu ni khandi niindayi khumundu. T: Ng’ombe ni mnyama mzuri kwa mtu. Mtu anatakikana ashugulike ng’ombe apate jinsi anavyolala mahali pazuri. Watu wanapenda kubandika ng’ombe majina kama yetu. Ng’ombe wetu anapenda kunywa maji maji safi na tena ni mzuri kwa mtu. O: Ing’ombe yajama khuria ebiindu nga bunyasi, lusi, milabi ili nookhera onyolemo amabeere . Amabeere kagamiranga mundu tsisende ni kakhonyanga mundu naari mwana mudidi abe nende bulamu bulayi. T: Ng’ombe anapenda kukula vitu kama nyasi, mabingobingo, mbegu ya viazi vitamu ili unapo kama upate maziwa. Maziwa humletea mtu pesa na husaidia mtu akiwa na mtoto mdogo awe na afya bora. O: Ing’ombe ikhonyanga mundu lukari, oori nende budinyu akobanga akoobanga musiiro naakusia ni anyola mapesa niyeekhonyera. Ingombe ni siruke sikhongo sishira mundu ni shiri nende amakulu kane. T: Ng’ombe humsaidia mtu sana ambaye ana ugumu humpeleka sokoni anamuuza na anapata pesa na anatumia. Ng’ombe ni mfugo kubwa anayeshinda mtu na ana miguu minne. O: Ing’ombe yeefu eya igiredi ikonanga musiduwoli khurula itsuri mpaka ingolobe. Ebiakhuria biayo khuikooberanga nikhuamala khubikhenga khenga. Khuiberesianga amatsi ka khunyua koosi, khuretsangamo itsumbi ama isabuni. Amatsi niko bulamu khu buri sindu. T: Ng’ombe wetu wa gredi hulala zizini kutoka asubuhi hadi jioni. Vyakula vyake tunampelekea tukimaliza kukata. Tunampea maji ya kunywa pia, tunaweka ndani chumvi ama sabuni. Maji ndio uzima kwa kila kitu. O: Abandu bajama khusinja ing’ombe inyanga lwa sikuku khubera ibetsanga inyanga indayi khu mundu. Sakira mundu yayijama khushira ebindu binbi biingi. Kata abaandu ba khare bari bajama eriseero ria ing’ombe. T: Watu wanapenda kuchinja ng’ombe siku ya sikukuu kwa sababu huwa siku nzuri kwa mtu. Ndio sababu mtu anampenda kuliko vitu vingine vingi. Hata watu wa zamani walikua wanapenda ngozi ya ng’ombe. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe niisolo ya khuruka mudala. Inyala khurera inyama khandi inyala khurera mabere. Ing’ombe yoosi inyala khunyua matsi. Onyala khuiremera lusi. Nibilayi ing’ombe ninyola khuria bilayi. T: Ng’ombe ni mnyama wa kufuga nyumbani. Anaweza leta nyama tena anaweza leta maziwa. Ng’ombe pia anaweza kunywa maji, unaweza mkatia mabingobingo. Ni vizuri ng’ombe akipata kula vizuri. O: Ingombe ni sindu silayi sinyala khukhonya mundu. Onyala khukusia ing’ombe wanyola amapesa kama tsielefu mia tsidaru. Mundu naari nende ing’ombe aikhorera bindu bilayi kama khuifura nende khuisirikha. T: Ng’ombe ni kitu kizuri kinaweza kusaidia mtu. Unaweza kuuza ng’ombe ukapata pesa kama elfu mia tatu. Mtu akiwa na ng’ombe anamfanyia vitu vizuri kama kumpuliza na kumtibu. O: Khare nende ako, ing’ombe inyala khurima indalo khandi onyala khurusiamo inyama. Inyama ya ing’ombe ni indayi lukari. Inyama eyo niindayi khu abandu. T: Kando na hayo ng’ombe anaweza lima shamba tena unaweza toa nyama. Nyama ya ng’ombe ni nzuri sana, nyama hiyo ni nzuri kwa watu. O: Khuitsurisia ing’ombe inyala khusinjibwa au ikusibwe. Inyala khusinjibwa mu arusi. Ing’ombe ni siindu silayi, inyala khurera mabeere malayi lukari. Buri mundu anyale khurinda ing’ombe yaye. T: Kukukumbusha ng’ombe anaweza kusimamishwa ama auzwe. Anaweza kusimamishwa kwa arusi. Ng’ombe ni kitu kizuri. Anaweza leta maziwa vizuri sana. Kila mtu aweze kulinda ng’ombe wake. O: Ingombe ni indayi lukari khubera iri nende tsifaida. T: Ng’ombe ni nzuri sana kwa sababu ana faida. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe niisolo ya khuruka mudala. Inyala khurera inyama khandi inyala khurera mabere. Ing’ombe yoosi inyala khunyua matsi. Onyala khuiremera lusi. Nibilayi ing’ombe ninyola khuria bilayi. T: Ng’ombe ni mnyama wa kufuga nyumbani. Anaweza leta nyama tena anaweza leta maziwa. Ng’ombe pia anaweza kunywa maji, unaweza mkatia mabingobingo. Ni vizuri ng’ombe akipata kula vizuri. O: Ingombe ni sindu silayi sinyala khukhonya mundu. Onyala khukusia ing’ombe wanyola amapesa kama tsielefu mia tsidaru. Mundu naari nende ing’ombe aikhorera bindu bilayi kama khuifura nende khuisirikha. T: Ng’ombe ni kitu kizuri kinaweza kusaidia mtu. Unaweza kuuza ng’ombe ukapata pesa kama elfu mia tatu. Mtu akiwa na ng’ombe anamfanyia vitu vizuri kama kumpuliza na kumtibu. O: Khare nende ako, ing’ombe inyala khurima indalo khandi onyala khurusiamo inyama. Inyama ya ing’ombe ni indayi lukari. Inyama eyo niindayi khu abandu. T: Kando na hayo ng’ombe anaweza lima shamba tena unaweza toa nyama. Nyama ya ng’ombe ni nzuri sana, nyama hiyo ni nzuri kwa watu. O: Khuitsurisia ing’ombe inyala khusinjibwa au ikusibwe. Inyala khusinjibwa mu arusi. Ing’ombe ni siindu silayi, inyala khurera mabeere malayi lukari. Buri mundu anyale khurinda ing’ombe yaye. T: Kukukumbusha ng’ombe anaweza kusimamishwa ama auzwe. Anaweza kusimamishwa kwa arusi. Ng’ombe ni kitu kizuri. Anaweza leta maziwa vizuri sana. Kila mtu aweze kulinda ng’ombe wake. O: Ingombe ni indayi lukari khubera iri nende tsifaida. T: Ng’ombe ni nzuri sana kwa sababu ana faida. O: Tsinjugu T: Njugu O: Yari yuula inyanga ya khurusia tsinjugu ni simuna sitsia khuiba mundalo ya bene tsinjugu nende O: khurerera kukhu. T: Ilikuwa imefika siku ya kutoa njugu na kidiri akaenda kuiba kwa shamba ya wenyewe njugu na kuletea nyanya yake O: Inyanga ndala simuna yatsia khuiba naanyorekhana nende mwene indalo kukhu yetsa yamanya mbari simuuna khhasisiatsa khuraka tsinjugu khaba. T: Siku moja kidiri alienda kuiba akapatikana na mwenye shamba nyanya alikuja kujua ya kwamba kidiri hakuenda kupanda njugu. O: Khurula inyanga eyo kukhu khasiyamwenya simuna khaba. Simuna ni isolo ya makesi mangi. Abulao mundu yesiyesi oonyala khuruka simuna. T: Kutokea siku hiyo nyanya hakumtaka kidiri. Kidiri ni mnyama wa akili mingi. Akuna mtu yeyote ambaye anaweza fuga kidiri. O: SIMUNA NENDE KUKHU T: KIDIRI NA NYANYA O: Simuna ni isolo imenyanga musino. Bandu bangi basijama khulukhubera sibetsanga nisianula. T: Kidiri ni mnyama anayeishi msituni. Watu wengi wanampenda kwa sababu huwa tamu. O: Khare khare khuario nende simuna nende kukhu. Kukhu yari niyajama simuna. Simuna yari mukesi khushira kukhung’ene. Kalano yari inyaga ya khuraka madimwa, kukhu yari nende indalo ingerekha. Kukhu yari yeenya khutsia khuraka ingerekha lakini kwari nende mwalo mukhongo. T: Zamani za kale paliondokea kidiri na nyanya. Nyanya alikuwa anampenda kidiri, kidiri alikuwa mwerevu kumliko nyanya yake. Sasa ilikuwa siku ya kupanda mahindi, nyanya alikuwa na shamba ng’ambo.nyanya alikuwa anataka kwenda kupanda ng’ambo lakini kulikuwa na mto mkubwa O: Kharano kukhu yatsia khuborera simuna batsie khusiiro bakule tsinjugu. Nga babakhusiro kukhu yasia khukula tsinjugu nende riani nende tsimbegu tsia misala. T: Sasa nyanya alienda kumwambia kidiri waende sokoni wnunue njugu. Walipokuwa sokoni nyanya alienda kununua njugu, mboga na mbegu ya miti. O: Yari yakhoola tsinyanga tsia khuraka tsinjugu, simuna siaborera kukhu mbari niwiinya tsinjugu etsio tsimere bilayi, bukula tsinjugu etsio okarange alafu obukule matsi orokosie, oreemo majani nende isukari. T: Ilipowadia siku za kupanda njugu, kidiri alimwambia nyanya kuwa ukitaka njugu hizo zimee vizuri, chukua njugu hizo ukaange, kisha uchukue maji utokoshe, uwekemo majani na sukari O: Kukhu ngayamala yamuveresia simuna tsinjugu atsie arake. Simuna siabukula tsinguju nende ichai naachake tsimbiro khutsia mundalo. Kumbe simuna siatsia khunina musaala mukhongo nisitsaka khuria tsinjugu. Simuuna siaria tsinjugu mpaka tsiamala. T: Nyanya alipomaliza alimpea kidiri njugu aende apande. Kidiri alichukua njugu na chai akaanza mbio kwenda shambani. Kumbe kidiri alienda kupanda mti mkubwa akaanza kula njugu,kidiri alikula njugu hadi akamaliza. O: S.Simuuna siakalukha mudala niyeebakhire riloba. Yakadia kukhu mbari amarire khuraka T: Kidiri alirudi nyumbani akiwa amejipaka udongo. Alidanganya nyanya kuwa amemaliza kupanda. O: Tsinjugu T: Njugu O: Yari yuula inyanga ya khurusia tsinjugu ni simuna sitsia khuiba mundalo ya bene tsinjugu nende O: khurerera kukhu. T: Ilikuwa imefika siku ya kutoa njugu na kidiri akaenda kuiba kwa shamba ya wenyewe njugu na kuletea nyanya yake O: Inyanga ndala simuna yatsia khuiba naanyorekhana nende mwene indalo kukhu yetsa yamanya mbari simuuna khhasisiatsa khuraka tsinjugu khaba. T: Siku moja kidiri alienda kuiba akapatikana na mwenye shamba nyanya alikuja kujua ya kwamba kidiri hakuenda kupanda njugu. O: Khurula inyanga eyo kukhu khasiyamwenya simuna khaba. Simuna ni isolo ya makesi mangi. Abulao mundu yesiyesi oonyala khuruka simuna. T: Kutokea siku hiyo nyanya hakumtaka kidiri. Kidiri ni mnyama wa akili mingi. Akuna mtu yeyote ambaye anaweza fuga kidiri. O: Liseero. Nooba nende tsing’ombe tsinyingi oli nende mapesa masabi. Khandi tsing’ombe tsino tsirukhonyanga khurima tsindalo tsiefu, nori nende tsindalo tsikhongo irakho sa ijoki niweerakho khutsirimia. T: Ngozi. Ukiwa na ng’ombe wengi unapesa mingi, tena ng’ombe hawa hutusaidia kulima mashamba yetu ukiwa na mashamba makubwa unaweka fao na unawaweka kulima O: Abaandu baruke tsing’ombe tsisaabi khubera tsing’ombe tsiri nende bulayi bukhongo. Ndajama tsing’ombe. T: Watu wafuge ng’ombe wengi kwa sababu ng’ombe wana umuhimu kubwa. Napenda ng’ombe. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni isolo indayi muno. Ing’ombe ino noorairisia siyakhakhomera dawe. Isolo ino okhoyere khuiba biakhulia nga bunyasi, lusi, milabi, masakara ka madimwa nende busie bwa madimwa. Khandi ing’ombe okhoyere oiberesia amatsi malafu akalimo itsumbi. T: N’gombe ni mnyama mzuri sana ng’ombe usipomlisha hawezinona kamwe. Mnyama huyu anafaa kupewa vyakula kama vile nyasi, mabingobingo, mbegu ya viazi vitamu, muhindi na unga wa mahindi. Tena ng’ombe unafaa kumpea maji ambayo yana chumvi. O: Ing’ombe niindayi mubulamu bwa mundu. Ing’ombe niwiinya ikhule bilayi nooyumbakhira inyumba yayo eilwangwa mbari siduoli. Sisduoli esio siinyikhana sibe silafu lukari. Khandi siinyikhana babukulange bilayi. Khandi ingombe yenyekhana isingwe bilayi bulinyanga. Ingombe eyo iri nende tsifaida tsiayo. Iruberesianga inyama eya baandu bakusianga mubutsa. Khandi iruberesianga mabeere nende inyama. Imbolera eya tsing’ombe khuretsanga mumadimwa kefu. Amasingo ka ing’ombe koosi karukhonyanga khuumbakha tsinyumba tsia bunyasi. T: Ng’ombe ni mzuri kwa maisha ya mtu ng’ombe ukitaka akuwe vizuri unamjengea nyumba yake ambayo inaitwa zizi, hiyo inatakikana iwe safi sana. Tena inatakikana tena inatakikana ichukuliwe vizuri. Tena ng’ombe anafaa aogeshwe vizuri kila siku. Ng’ombe huyo anafaida zake. Hutupea nyama ambayo watu huuza kwenye duka la kuuzia nyama. Tena hutupea maziwa na nyama. Mbolea ya ng’ombe tunaweka kwa mahindi yetu. Zamadi ya ng’ombe pia hutusaidia kujenga nyumba za nyasi. O: Obulayi bwa ing’ombe ni khuruberesia T: Uzuri wa ng’ombe ni kupeana. O: Liseero. Nooba nende tsing’ombe tsinyingi oli nende mapesa masabi. Khandi tsing’ombe tsino tsirukhonyanga khurima tsindalo tsiefu, nori nende tsindalo tsikhongo irakho sa ijoki niweerakho khutsirimia. T: Ngozi. Ukiwa na ng’ombe wengi unapesa mingi, tena ng’ombe hawa hutusaidia kulima mashamba yetu ukiwa na mashamba makubwa unaweka fao na unawaweka kulima O: Abaandu baruke tsing’ombe tsisaabi khubera tsing’ombe tsiri nende bulayi bukhongo. Ndajama tsing’ombe. T: Watu wafuge ng’ombe wengi kwa sababu ng’ombe wana umuhimu kubwa. Napenda ng’ombe. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: S.Ing’ombe ni siruke silayi. Esiruke sino siberesianga abaandu inyama nende ebiindu bindi. T: Ng’ombe ni mfugo mzuri. Mfugo huyu huwapea watu nyama na vitu vingine. O: S. Ing’ombe ni sindu sia maana khu bulamu bua omundu. T: Ng’ombe ni kitu cha maana kwa maisha ya mtu. O: Ing’ombe ino ikhonyanga mundu abundu wa ari nende bundinyu bukhongo. T: Ng’ombe humsaidia mtu mahali ambapo ana shida kubwa. O: Tsiruo tsing’ombe tsia aina tsibili, tsing’ombe tsia igiredi nende etsia kawaida. T: Kuna ng’ombe wa aina mbili, ng’ombe wa gredi na ng’ombe wa kawaida O: Ing’ombe eya igiredi iri nende emirimo misabi. Ni khandi iri nende mirimo misabi khuluakhuba iritsanga bunyasi bungi ni khandi yinyikhana khuria bilayi. T: Ing’ombe wa gradi ana na kazi mingi. Tena ana kazi mingi kwa sababu hula nyasi mingi na tena anafaa kula vizuri. O: Sindu sia abaandu bajama khusialo ni ing’ombe. Abaandu bajama ing’ombe khubera ibarereranga tsifaida tsisabi. T: Kitu ambacho watu wanapenda ulimwenguni ni ng’ombe.watu wanapenda ng’ombe kwa sababu huwapea faida mingi. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni siruke silayi. Esiruke sino siberesianga abaandu inyama nende ebiindu bindi. T: Ng’ombe ni mfugo mzuri. Mfugo huyu huwapea watu nyama na vitu vingine. O: Ing’ombe ni sindu sia maana khu bulamu bua omundu. T: Ng’ombe ni kitu cha maana kwa maisha ya mtu. O: Ing’ombe ino ikhonyanga mundu abundu wa ari nende bundinyu bukhongo. T: Ng’ombe humsaidia mtu mahali ambapo ana shida kubwa. O: Tsiruo tsing’ombe tsia aina tsibili, tsing’ombe tsia igiredi nende etsia kawaida. T: Kuna ng’ombe wa aina mbili, ng’ombe wa gredi na ng’ombe wa kawaida O: Ing’ombe eya igiredi iri nende emirimo misabi. Ni khandi iri nende mirimo misabi khuluakhuba iritsanga bunyasi bungi ni khandi yinyikhana khuria bilayi. T: Ing’ombe wa gradi ana na kazi mingi. Tena ana kazi mingi kwa sababu hula nyasi mingi na tena anafaa kula vizuri. O: Sindu sia abaandu bajama khusialo ni ing’ombe. Abaandu bajama ing’ombe khubera ibarereranga tsifaida tsisabi. T: Kitu ambacho watu wanapenda ulimwenguni ni ng’ombe.watu wanapenda ng’ombe kwa sababu huwapea faida mingi. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: ni sindu sia maana mumadala kefu. Ing’ombe inyala khukhuberesia amabeere ni khandi onyala hunyola amapesa khululana nende tsing’ombe. Ing’ombe niindayi lukari niiri mudala. T: Ng’ombe ni kitu cha muhimu nyumbani kwetu. Ng’ombe anaweza kutupa maziwa na tena unaweza kupata pesa kutokana na mg’ombe. Ng’ombe ni mzuri sana akiwa nyumbani. O: Khusialo khuno abandu bangi bari nende tsing’ombe. Ni tsin’ombe tsino tsiri nende tsifaida nga khukusia amabeere noonyola amapesa masabi. Khandi ing’ombe inyala khurima bilayi mumikunda. T: Ulimwenguni humu watu wengi wana ng’ombe. Na ng’ombe hawa wanafaida tunapo uza maziwa unapata pesa nyingi. Tena ng’ombe anaweza kulima vizuri shambani. O: Ing’ombe yenyekhana yiikure khuibe nende afia indayi. Noori nende tsing’ombe saba Nyasaye akhumeede obe ninatsio tsisabi muno. T: Ng’ombe anafaa ashibe ili awe na afya bora. Ukiwa na ng’ombe Mungu akuongeze uwe nao wengi sana. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: ni sindu sia maana mumadala kefu. Ing’ombe inyala khukhuberesia amabeere ni khandi onyala hunyola amapesa khululana nende tsing’ombe. Ing’ombe niindayi lukari niiri mudala. T: Ng’ombe ni kitu cha muhimu nyumbani kwetu. Ng’ombe anaweza kutupa maziwa na tena unaweza kupata pesa kutokana na mg’ombe. Ng’ombe ni mzuri sana akiwa nyumbani. O: Khusialo khuno abandu bangi bari nende tsing’ombe. Ni tsin’ombe tsino tsiri nende tsifaida nga khukusia amabeere noonyola amapesa masabi. Khandi ing’ombe inyala khurima bilayi mumikunda. T: Ulimwenguni humu watu wengi wana ng’ombe. Na ng’ombe hawa wanafaida tunapo uza maziwa unapata pesa nyingi. Tena ng’ombe anaweza kulima vizuri shambani. O: Ing’ombe yenyekhana yiikure khuibe nende afia indayi. Noori nende tsing’ombe saba Nyasaye akhumeede obe ninatsio tsisabi muno. T: Ng’ombe anafaa ashibe ili awe na afya bora. Ukiwa na ng’ombe Mungu akuongeze uwe nao wengi sana. O: OCHOLICHOLI NI KHAKESI T: SUNGURA MJANJA NI MWEREVU O: Khare khare khwariioo nende ojolijoli, imbusi nende ifisi. Imbusi ni indayi mubulamu bua abaandu. Khandi imbusi iruberesianga mabeere nende inyama. Ifisi ni khandu habi. T: Hapo zamani za kale paliondokea sungura mjanja, mbuzi na fisi. Mbuzi ni muhimu kwa maisha ya watu. Tena mbuzi hutupa maziwa na nyama.fisi ni katu kabaya O: Khalano ifisi yari yamenya nende ifisi, bari betsa lukari. Imbusi yari itsire khuria bunyasi ni ifisi nayo yaba itsire khukonya biakhuria. Mwana wa imbusi yaba abayanga nende omwana wa ifisi. Mwana wa ifisi yakwa muriina ni mwana wa imbusi yatsaka khuringa ebindu biariimo bimemu biatsoma omwana wa ifisi yafwa. T: Kwa hivyo fisi alikuwa anaishi na fisi,walikuwa marafiki sana, mbuzi alikuwa ameenda kula nyasi na fisi naye alikuwa ameenda kutafuta chakula.kimeme alikuwa anacheza na kikuto. Kikuto alianguka shimoni na kimeme akaanza kuangalia vitu vilikuwemo vikalivikamdunga kikuto akafa. O: Imbusi nende omwana wayo beerukha nibatsia, imbusi yakutana nende siduyu. Siduyu riareba imbusi mbari wiirukhanga tsina. Niimbusi imuborera mbari iirukhanga khuluakhuba omwana waye yeerere omwana wa ifisi. Ojolijoli yaborera imbusi mbari yiitsa khumukhonya. T: Mbuzi na kimeme wakakimbia wakaenda, mbuzi alikutana na sungura. Sungura akauliza mbuzi eti unakimbia nini. Mbuzi akamweleza kuwa anakimbia kwa maana kimeme amemuua kikuto. Sungura mjanja akamwambia mbuzi kwamba atamsaidia. O: Ojolijoli khakhera imbusi nikhara mabeere muchupa alafu mabanga li khasoolatema khudira imbusi Nikhamala khaboyakoosi muchupa. . Ifisi yetsa tsimbiro. Ojoliojoli kheema imberi wa ifisi ni imuborera mba imbusi khumuriango eyo khaba. T: Sungura mjanja alikama mbuzi kakaweka maziwa kwa chupa halafu damu pia kwa chupa. Fisi alikuja mbio. Sungura mjanja alisimama mbele ya fisi akamwambia kuwa usijaribu kumshika mbuzi kisha akamfunga mbuzi kwa mlango aliyokuwepo. O: Ifisi yeekhola mbari iri nende maani, ojolijoli khasuda ambi nende omuriango alafu khabukula ichupa sia amabaanga alafu nikhakhuya ifisi khumurue ni khabola mbari obuongo bubuo burula. Khandi siabukula ichupa ya mabanga ni khandi khamukhuya khumurwe. Ifisi yeerukha yarekha imbusi mudala. T: Fisi alijifanya kuwa ananguvu, sungura mjanja alisonga karibu na mlango halafu akachukua chupa ya damu kisha akampiga fisi kichwani akasema kuwa ubongo wakeunatoka.Tena akachukua chupa ya damu tena akampigakichwani. Fisi alikimbia akamwacha mbuzi nyumbani. O: Obuo nibuo bulayi bwa ojolijoli. T: ndio uzuri wa sungura mjanja Huo. O: OCHOLICHOLI NI KHAKESI T: SUNGURA MJANJA NI MWEREVU O: Khare khare khwariioo nende ojolijoli, imbusi nende ifisi. Imbusi ni indayi mubulamu bua abaandu. Khandi imbusi iruberesianga mabeere nende inyama. Ifisi ni khandu habi. T: Hapo zamani za kale paliondokea sungura mjanja, mbuzi na fisi. Mbuzi ni muhimu kwa maisha ya watu. Tena mbuzi hutupa maziwa na nyama.fisi ni katu kabaya O: Khalano ifisi yari yamenya nende ifisi, bari betsa lukari. Imbusi yari itsire khuria bunyasi ni ifisi nayo yaba itsire khukonya biakhuria. Mwana wa imbusi yaba abayanga nende omwana wa ifisi. Mwana wa ifisi yakwa muriina ni mwana wa imbusi yatsaka khuringa ebindu biariimo bimemu biatsoma omwana wa ifisi yafwa. T: Kwa hivyo fisi alikuwa anaishi na fisi,walikuwa marafiki sana, mbuzi alikuwa ameenda kula nyasi na fisi naye alikuwa ameenda kutafuta chakula.kimeme alikuwa anacheza na kikuto. Kikuto alianguka shimoni na kimeme akaanza kuangalia vitu vilikuwemo vikalivikamdunga kikuto akafa. O: Imbusi nende omwana wayo beerukha nibatsia, imbusi yakutana nende siduyu. Siduyu riareba imbusi mbari wiirukhanga tsina. Niimbusi imuborera mbari iirukhanga khuluakhuba omwana waye yeerere omwana wa ifisi. Ojolijoli yaborera imbusi mbari yiitsa khumukhonya. T: Mbuzi na kimeme wakakimbia wakaenda, mbuzi alikutana na sungura. Sungura akauliza mbuzi eti unakimbia nini. Mbuzi akamweleza kuwa anakimbia kwa maana kimeme amemuua kikuto. Sungura mjanja akamwambia mbuzi kwamba atamsaidia. O: Ojolijoli khakhera imbusi nikhara mabeere muchupa alafu mabanga li khasoolatema khudira imbusi Nikhamala khaboyakoosi muchupa. . Ifisi yetsa tsimbiro. Ojoliojoli kheema imberi wa ifisi ni imuborera mba imbusi khumuriango eyo khaba. T: Sungura mjanja alikama mbuzi kakaweka maziwa kwa chupa halafu damu pia kwa chupa. Fisi alikuja mbio. Sungura mjanja alisimama mbele ya fisi akamwambia kuwa usijaribu kumshika mbuzi kisha akamfunga mbuzi kwa mlango aliyokuwepo. O: Ifisi yeekhola mbari iri nende maani, ojolijoli khasuda ambi nende omuriango alafu khabukula ichupa sia amabaanga alafu nikhakhuya ifisi khumurue ni khabola mbari obuongo bubuo burula. Khandi siabukula ichupa ya mabanga ni khandi khamukhuya khumurwe. Ifisi yeerukha yarekha imbusi mudala. T: Fisi alijifanya kuwa ananguvu, sungura mjanja alisonga karibu na mlango halafu akachukua chupa ya damu kisha akampiga fisi kichwani akasema kuwa ubongo wakeunatoka.Tena akachukua chupa ya damu tena akampigakichwani. Fisi alikimbia akamwacha mbuzi nyumbani. O: Obuo nibuo bulayi bwa ojolijoli. T: ndio uzuri wa sungura mjanja Huo. O: BULAYI BWA ING’OMBE T: UMUHIMU WA NG’OMBE O: Ing’ombe iri nende tsifaida tsinyingi. ikhonyanga bandu khurima tsindalo. Nori nende indalo ikhongo noobula amapesa kakhulimira, olakhaba sa tsisurusi tsibiri. T: Ng’ombe ako na faida nyingi. Huwasaidia watu kulima mashamba. Ukiwa na shamba kubwa na hauna pesa ya kulima, utatafuta tu ndama wawili. O: Ing’mbe yosi iri nga mundu. Ikinganga inda khu miosi tisa niitsaka khulira. Niyakhamala khuibula, khalano ni mundu atsaka khuikhera, Niwakhamala khuikhera, okinga amabeere kayo nooyira khusiiro khukusia onyole amapesa. T: Ng’ombe pia ako kama mtu. Hubeba ujauzito kwa miezi tisa na anaanza kulia. Akimaliza kujifungua, kisha mtu anaanza kumukama, ukishamkama unabeba maziwa yake unapeleka sokoni kuuza unapata pesa. O: BULAYI BWA ING’OMBE T: UMUHIMU WA NG’OMBE O: Ing’ombe iri nende tsifaida tsinyingi. ikhonyanga bandu khurima tsindalo. Nori nende indalo ikhongo noobula amapesa kakhulimira, olakhaba sa tsisurusi tsibiri. T: Ng’ombe ako na faida nyingi. Huwasaidia watu kulima mashamba. Ukiwa na shamba kubwa na hauna pesa ya kulima, utatafuta tu ndama wawili. O: Ing’mbe yosi iri nga mundu. Ikinganga inda khu miosi tisa niitsaka khulira. Niyakhamala khuibula, khalano ni mundu atsaka khuikhera, Niwakhamala khuikhera, okinga amabeere kayo nooyira khusiiro khukusia onyole amapesa. T: Ng’ombe pia ako kama mtu. Hubeba ujauzito kwa miezi tisa na anaanza kulia. Akimaliza kujifungua, kisha mtu anaanza kumukama, ukishamkama unabeba maziwa yake unapeleka sokoni kuuza unapata pesa. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni sindu silayi khubandu bosi mukenya. Sikira niimbola endio ni ing’ombe yosi ikholanga ikasi indayi khubera khata nikhuenya khurima ni khurumikhira injoki. Serikali ikhoyere irere tsing’ombe tsinyingi khalafu barere bakholi mukenya muno. Bakule tsing’ombe tsisurusi tsimia tsidaru nende tsiduasi tsimia tsibiri. Tsingombe tsiduasi tsiibule nitsirera mabeere. O: tukitaka T: Ng’ombe ni kitu nzuri kwa watu wote kwa Kenya. Kinachofanya nasema hivi ng’ombe pia hufanya kazi nzuri kwa sababu hata kulima na tuna tumia fao. Wanunue ng’ombe wa kuime mia tatu na wa kike mia mbili. Ng’ombe wa kike wajifungue wakileta maziwa. O: Tsing’ombe tsiruo tsibiri, isatsa nende ikhasi. Tsing’ombe tsiosi tsiri nende malahyi kayo mudala. Sikera niimbola endio masingo ka ing’ombe ni malayi T: Ng’ombe wako wawili, kuime na kike. Ng’ombe wote wana uzuri wao nyumbani. Kinachifanya niseme hivyo zamadi ya ng’ombe ni nzuri. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni sindu silayi khubandu bosi mukenya. Sikira niimbola endio ni ing’ombe yosi ikholanga ikasi indayi khubera khata nikhuenya khurima ni khurumikhira injoki. Serikali ikhoyere irere tsing’ombe tsinyingi khalafu barere bakholi mukenya muno. Bakule tsing’ombe tsisurusi tsimia tsidaru nende tsiduasi tsimia tsibiri. Tsingombe tsiduasi tsiibule nitsirera mabeere. O: tukitaka T: Ng’ombe ni kitu nzuri kwa watu wote kwa Kenya. Kinachofanya nasema hivi ng’ombe pia hufanya kazi nzuri kwa sababu hata kulima na tuna tumia fao. Wanunue ng’ombe wa kuime mia tatu na wa kike mia mbili. Ng’ombe wa kike wajifungue wakileta maziwa. O: Tsing’ombe tsiruo tsibiri, isatsa nende ikhasi. Tsing’ombe tsiosi tsiri nende malahyi kayo mudala. Sikera niimbola endio masingo ka ing’ombe ni malayi T: Ng’ombe wako wawili, kuime na kike. Ng’ombe wote wana uzuri wao nyumbani. Kinachifanya niseme hivyo zamadi ya ng’ombe ni nzuri. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni eisolo eyikhonyanga abandu khunyua amabeere ni abandu bakhomera lukari. Noorisia ing’ombe bilayi niirusia amabeere malayi. Abaandu bangi bajama ing’ombe khuluakhubera ya amabeere ako akabetsanga malayi khubulamu bua omuundu. Khandi ing’ombe okhoyekhane oiberesie amatsiuri. T: Ng’ombe ni mnyama anayesaidia watu kunywa maziwa na watu wana nenepa sana. Ukimlisha ng’ombe vizuri anatoa maziwa mazWatu wengi wanapenda ng’ombe kwa sababu ya maziwa hayo ambayo huwa mazurikwa maisha ya mtu. Tena ng’ombe anafaa apewe maji. O: Omwana owa imbusi niyeembuluwa yesi akeranga abandu banyua amabeere aka imbusi. Imbusi yoosi iberesiananga mabeere nga ing’ombe. Amabeere ako kakhonyanga nundu khunyola tsisende naamala khukakusia. Imbusi yoosi okhoyikhane oiberesie amatsi malayi aka khunyua khu ibe nende obulamu bulayi. T: Kimeme akizaliwa yeye pia hufanya watu wanywe maziwa ya mbuzi, mbuzi pia hupeana maziwa kama ng’ombe maziwa hayo humsaidia mtu. Kupata pesa baada ya kuyauza. Nbuzi pia unastahili kumpa maji mazuri ya kunywa ili awe na afya bora. O: Erikondi riosi riri nende bulayi buario busabi. Noolikusia noonyola amapesa masabi. T: Kondoo pia uzuri wake kubwa. Ukimuuza unapata pesa mingi. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni eisolo eyikhonyanga abandu khunyua amabeere ni abandu bakhomera lukari. Noorisia ing’ombe bilayi niirusia amabeere malayi. Abaandu bangi bajama ing’ombe khuluakhubera ya amabeere ako akabetsanga malayi khubulamu bua omuundu. Khandi ing’ombe okhoyekhane oiberesie amatsi O: uri. T: Ng’ombe ni mnyama anayesaidia watu kunywa maziwa na watu wana nenepa sana. Ukimlisha ng’ombe vizuri anatoa maziwa mazWatu wengi wanapenda ng’ombe kwa sababu ya maziwa hayo ambayo huwa mazurikwa maisha ya mtu. Tena ng’ombe anafaa apewe maji. O: Omwana owa imbusi niyeembuluwa yesi akeranga abandu banyua amabeere aka imbusi. Imbusi yoosi iberesiananga mabeere nga ing’ombe. Amabeere ako kakhonyanga nundu khunyola tsisende naamala khukakusia. Imbusi yoosi okhoyikhane oiberesie amatsi malayi aka khunyua khu ibe nende obulamu bulayi. T: Kimeme akizaliwa yeye pia hufanya watu wanywe maziwa ya mbuzi, mbuzi pia hupeana maziwa kama ng’ombe maziwa hayo humsaidia mtu. Kupata pesa baada ya kuyauza. Nbuzi pia unastahili kumpa maji mazuri ya kunywa ili awe na afya bora. O: Erikondi riosi riri nende bulayi buario busabi. Noolikusia noonyola amapesa masabi. T: Kondoo pia uzuri wake kubwa. Ukimuuza unapata pesa mingi. O: BULAYI BWA ING’OMBE T: O. UMUHIMU WA NG’OMBE O: Ing’ombe neesindu sikhonyanga. Ing’ombe neisolo imenyaga nende abaandu. Khasikosananga nende nweneeyo khaba. Owalonga ing’ombe ni Nyasaye, khasibiri mbu yiinyikhana khuikusienge dawe. T: Ng’ombe ni kitu kinachosaidia. Ng’ombe ni mnyama anayeishi na watu. Huwa hakosani na aliyemfuga. Aliyeumba ng’ombe ni Mungu tena hatustahili kumuuza. O: Ing’ombe iri nende malayi kayo makari. Ing’ombe yakorua khulomaloma nende omundu. Ing’ombe yinyikhana irie ni khandi inyue mpaka inyole khuba nende omubiri mulayi. Khandi yinyikhana inyole sindu nga lusi nende bunyasi. Ing’ombe iri nende bukhonyi bungi lukari T: Ng’ombe ana uzuri wake mkubwa. Ng’ombe hajui kuzungumza na mtu. Ng’ombe anastahili kula tena anywe paka apate kuwa na mwili mzuri. Tena anafaa apate kitu kama mabingobingo na nyasi.ng’ombe anausaidizi mwingi sana. O: Bukhonyi bua ing’ombe ni ebindu nga inyama eyakhuritsanga. Inyama eyo ndaijama lukari Mudala khuri nende mabeere kabukhonya, mabeere maboyu, mayu nende akandi mangi. T: Usaidizi wa ng’ombe ni vitu kama vile nyama ambayo tunala. Nyama hiyo naipenda sana. Nyumbani tuna maziwa hutusaidia, maziwa mala, safi na mengineyo. O: Buadodo ni mbari eing’ombe neendayi lukari. Khandi iruberesianga eriseero. Onyala wakusia eriseero noonyola amapesa nootsa osia obusie, eriani ni einyama. Ndaijama lukari. T: Ukweli ni kwamba ng’ombe ni mzuri sana. Tena anatupa ngozi. Unaweza uza ngozi na upate pesa na unaenda unashaga unga, mboga ni nyama. Napenda sana. O: BULAYI BWA ING’OMBE T: O. UMUHIMU WA NG’OMBE O: Ing’ombe neesindu sikhonyanga. Ing’ombe neisolo imenyaga nende abaandu. Khasikosananga nende nweneeyo khaba. Owalonga ing’ombe ni Nyasaye, khasibiri mbu yiinyikhana khuikusienge dawe. T: Ng’ombe ni kitu kinachosaidia. Ng’ombe ni mnyama anayeishi na watu. Huwa hakosani na aliyemfuga. Aliyeumba ng’ombe ni Mungu tena hatustahili kumuuza. O: Ing’ombe iri nende malayi kayo makari. Ing’ombe yakorua khulomaloma nende omundu. Ing’ombe yinyikhana irie ni khandi inyue mpaka inyole khuba nende omubiri mulayi. Khandi yinyikhana inyole sindu nga lusi nende bunyasi. Ing’ombe iri nende bukhonyi bungi lukari T: Ng’ombe ana uzuri wake mkubwa. Ng’ombe hajui kuzungumza na mtu. Ng’ombe anastahili kula tena anywe paka apate kuwa na mwili mzuri. Tena anafaa apate kitu kama mabingobingo na nyasi.ng’ombe anausaidizi mwingi sana. O: Bukhonyi bua ing’ombe ni ebindu nga inyama eyakhuritsanga. Inyama eyo ndaijama lukari Mudala khuri nende mabeere kabukhonya, mabeere maboyu, mayu nende akandi mangi. T: Usaidizi wa ng’ombe ni vitu kama vile nyama ambayo tunala. Nyama hiyo naipenda sana. Nyumbani tuna maziwa hutusaidia, maziwa mala, safi na mengineyo. O: Buadodo ni mbari eing’ombe neendayi lukari. Khandi iruberesianga eriseero. Onyala wakusia eriseero noonyola amapesa nootsa osia obusie, eriani ni einyama. Ndaijama lukari. T: Ukweli ni kwamba ng’ombe ni mzuri sana. Tena anatupa ngozi. Unaweza uza ngozi na upate pesa na unaenda unashaga unga, mboga ni nyama. Napenda sana. O: ING’OMBE T: NG;OMBE O: Ing’ombe ni isolo indayi lukari. Ing’ombe niisolo eya khumenyanga ninayio mudala. Khandi ing;ombe neisolo eya khuayanza. T: Ng’ombe ni mnyama mzuri sana. Ng’ombe ni mnyama tunayeishi nay eye nyumbani. Tena ng;ombe ni mnyama tunaye mpenda. O: Ing’ombe niindayi khubera irukhonyanga khurima. Nikhuinya khurima khubukulanga majoki nikhuboya khukosi khua ing’ombe ni khutsaka khusinyirira majoki ako muloba. Niing’ombe itsaka khukenda nikhuesa majoki ako niirima. Ing’ombe ikhonyanga abaandu bangi lukari. T: Ng’ombe ni mzuri kwa sababu hutusaidia kulima. Tukitaka kulima tunachukua fao tunafunga shingoni mwa ng’ombe na tunaanza kufinyilia fao hiyo kwa udongo. Ng’ombe anaanza kutembea akivuta fao hizo akilima. Ng’ombe husaidiawatu wengi kulima. O: Nooruka ing’ombe iduwasi niyiibula ikhugamira imwosi ni otsakha khukhera noonyola amabeere. Ololanga amabeere aka khunguetsanga ako kalula muing’ombe. T: Ukifuga ng’ombe wa kike akizaa hutuletea ndama na unaanza kukama ukipata maziwa. Unaona maziwa tunayo kunywa hayo hutoka kwa ng’ombe. O: Ingombe inietsanga amasingo ni amasingo ako Khukasiria imbolera. Imbolera eyo eya masingo ibetsanga indayi lukari khurakira mundalo, ibetsanga indayi khurakira amadimwa nende esindu siosi siosi sikhola bilayi lukari. T: Ng’ombe huenda choo zamadi na zamadi tunatengenezea mbolea. Mbolea hiyo ya zamadi huwa nzuri sanakupandia shambani, huwa nzuri kupandia mahindi na kitu chochote kinafanya vizuri sana. O: T. Nikhuruka ing’ombe yaba ikhongo nibiri mbari orio nende itsida yoso yosi ni obula amapesa onyala khukusia wanyola amapesa mangi weekhonyera khumala. T: Tukifuga ng’ombe aew mkubwa na ukiwa na shida yoyote kama hauna pesa unaweza uza upate pesa mingiunatumia kumaliza. O: Ing’ombe onyala khuisinja nikari mbari ori nende abakeni ni obula amapesa aka khukula eriani ama noori nende amasika onyala waisinja nookarisiria abakeni bao ebiakhuria. Ing’ombe ni indayi khubulamu bua abaandu. T: unaweza mchinja ukiwa na wageni, wageni kama hauna pesa ya kununua mboga ama ukiwa na matanga unaweza chunjana unatengenezea wageni wako chakula. Ng’ombe ni muhimu kwa maisha ya mtu. O: ING’OMBE T: NG;OMBE O: Ing’ombe ni isolo indayi lukari. Ing’ombe niisolo eya khumenyanga ninayio mudala. Khandi ing;ombe neisolo eya khuayanza. T: Ng’ombe ni mnyama mzuri sana. Ng’ombe ni mnyama tunayeishi nay eye nyumbani. Tena ng;ombe ni mnyama tunaye mpenda. O: Ing’ombe niindayi khubera irukhonyanga khurima. Nikhuinya khurima khubukulanga majoki nikhuboya khukosi khua ing’ombe ni khutsaka khusinyirira majoki ako muloba. Niing’ombe itsaka khukenda nikhuesa majoki ako niirima. Ing’ombe ikhonyanga abaandu bangi lukari. T: Ng’ombe ni mzuri kwa sababu hutusaidia kulima. Tukitaka kulima tunachukua fao tunafunga shingoni mwa ng’ombe na tunaanza kufinyilia fao hiyo kwa udongo. Ng’ombe anaanza kutembea akivuta fao hizo akilima. Ng’ombe husaidiawatu wengi kulima. O: Nooruka ing’ombe iduwasi niyiibula ikhugamira imwosi ni otsakha khukhera noonyola amabeere. Ololanga amabeere aka khunguetsanga ako kalula muing’ombe. T: Ukifuga ng’ombe wa kike akizaa hutuletea ndama na unaanza kukama ukipata maziwa. Unaona maziwa tunayo kunywa hayo hutoka kwa ng’ombe. O: Ingombe inietsanga amasingo ni amasingo ako Khukasiria imbolera. Imbolera eyo eya masingo ibetsanga indayi lukari khurakira mundalo, ibetsanga indayi khurakira amadimwa nende esindu siosi siosi sikhola bilayi lukari. T: Ng’ombe huenda choo zamadi na zamadi tunatengenezea mbolea. Mbolea hiyo ya zamadi huwa nzuri sanakupandia shambani, huwa nzuri kupandia mahindi na kitu chochote kinafanya vizuri sana. O: T. Nikhuruka ing’ombe yaba ikhongo nibiri mbari orio nende itsida yoso yosi ni obula amapesa onyala khukusia wanyola amapesa mangi weekhonyera khumala. T: Tukifuga ng’ombe aew mkubwa na ukiwa na shida yoyote kama hauna pesa unaweza uza upate pesa mingiunatumia kumaliza. O: Ing’ombe onyala khuisinja nikari mbari ori nende abakeni ni obula amapesa aka khukula eriani ama noori nende amasika onyala waisinja nookarisiria abakeni bao ebiakhuria. Ing’ombe ni indayi khubulamu bua abaandu. T: unaweza mchinja ukiwa na wageni, wageni kama hauna pesa ya kununua mboga ama ukiwa na matanga unaweza chunjana unatengenezea wageni wako chakula. Ng’ombe ni muhimu kwa maisha ya mtu. O: BULAYI BUA INGOKHO T: UMUHIMU WA KUKU O: Mbukula ebikha bino khulomalomera eingokho. Eingokho ni sindu sirukuangwa ingo nende omundu uria unyala khuirinda. Ingokho ireranga tsifaida tsisabi. Ingokho nooirisia bilayi inyala khurera ababuyu magi lukari. Khandi inyala yaalula abaana bangi. Abana abo nibaalulwa onyala khubakusia mapesa masabi kakhukhonya yewe mwene. T: Nachukua wakati huu kuzungumzia kuku. Kuku ni kitu kinachofugwa nyumbani na mtu yule ambaye anaweza mlinda. Kuku huleta faida nyingi. Kuku ukimlisha vizuri anaweza leta mayai mingi sana, tena anaweza agua vifaranga wengi sana, vufaranga hao wakiaguliwa unaweza wauza pesa mingi yakakusaidia wewe mwenyewe. O: Nibuadodo mbari ingokho biinyikhana obekho ninayo khubera onyala wabuogwa nende omukeni wao uria owa wajama, khubeera khasiwakhaamborera mbari nori nende ing’ombe onyala khuisinjira omundu mulala, khubera ing’ombe eyo mukeni alairekha abuene nga luaibere ni bilakhutsuna. Ingokho ni sindu sia mukeni anyala khuriakho siaduduya. Nibilayi mbari mundu abeekho nende ingokho kata ndala. T: Ni ukweli kwamba kuku unastahili uwe naye kwa sababu unaweza pata mgeni wako yule ambaye unampenda bila kutarajia, kwa sababu hauwezi niambia kuwa ukiwa na ng’ombe unaweza mchinjia mtu mmoja, kwa maana ng’ombe huyo mgeni ataacha ilivyokuwa na itakuuma. Kuku ni kitu ambacho mgeni anaweza kula ikapungua, ni vizuri kuwa mtu awe na kuku hata mmoja. O: Ingokho inyala khualula abaana bakhira makhumi karano niinyola omundu oirisia bilayi. Inyala khusomisia abaana bao khuerisia abeene bila khurindirisia esia oundi. Khuno ni khubera noorindirisia esindu sia mundu wundi olafua noobula siosisiosi. Ingokho ino bandu bairuka, ni bandi bamenya ninayo munyumba. Nibilayi ingokho niiba nende inyumba yayo. T: Kuku anaweza kuagua watoto wanaoshinda kumi na tano akipata mtu wa kumlisha vizuri. Anaweza kukusomeshea watoto wakobila kungojea ya mtu mwingine Hii ni kwa sababu ukingojea kitu cha mtu mwingine utakufa ukiwa hauna chochote . kuku huyu watu wamemfuga na wengine wanaishi naye kwa nyumba. Ni vizuri kuku akiwa na nyumba yake. kujilisha wenyewe kuku huyu watu wamemfuga na wengine wanaishi naye kwa nyumba. Ni vizuri kuku akiwa na nyumba yake. O: Khalano esie mbere niimbola mbari ingokho ni sindu sia burimundu akhoyere aruke, khubera ni esindu silayi rukari. Ako ni maparo kange khu ingokho. T: Kwa hivyo mimi nilikuwa nasema kwamba kuku ni kitu ambacho kila mtu anafaa afuge, kwa sababu ni kitu kizuri sana. Hayo ni mawazo yangu kwa kuku. O: Khalano esie mbere niimbola mbari ingokho ni sindu sia burimundu akhoyere aruke, khubera ni esindu silayi rukari. Ako ni maparo kange khu ingokho. T: Kwa hivyo mimi nilikuwa nasema kwamba kuku ni kitu ambacho kila mtu anafaa afuge, kwa sababu ni kitu kizuri sana. Hayo ni mawazo yangu kwa kuku. O: BULAYI BUA INGOKHO T: UMUHIMU WA KUKU O: Mbukula ebikha bino khulomalomera eingokho. Eingokho ni sindu sirukuangwa ingo nende omundu uria unyala khuirinda. Ingokho ireranga tsifaida tsisabi. Ingokho nooirisia bilayi inyala khurera ababuyu magi lukari. Khandi inyala yaalula abaana bangi. Abana abo nibaalulwa onyala khubakusia mapesa masabi kakhukhonya yewe mwene. T: Nachukua wakati huu kuzungumzia kuku. Kuku ni kitu kinachofugwa nyumbani na mtu yule ambaye anaweza mlinda. Kuku huleta faida nyingi. Kuku ukimlisha vizuri anaweza leta mayai mingi sana, tena anaweza agua vifaranga wengi sana, vufaranga hao wakiaguliwa unaweza wauza pesa mingi yakakusaidia wewe mwenyewe. O: Nibuadodo mbari ingokho biinyikhana obekho ninayo khubera onyala wabuogwa nende omukeni wao uria owa wajama, khubeera khasiwakhaamborera mbari nori nende ing’ombe onyala khuisinjira omundu mulala, khubera ing’ombe eyo mukeni alairekha abuene nga luaibere ni bilakhutsuna. Ingokho ni sindu sia mukeni anyala khuriakho siaduduya. Nibilayi mbari mundu abeekho nende ingokho kata ndala. T: Ni ukweli kwamba kuku unastahili uwe naye kwa sababu unaweza pata mgeni wako yule ambaye unampenda bila kutarajia, kwa sababu hauwezi niambia kuwa ukiwa na ng’ombe unaweza mchinjia mtu mmoja, kwa maana ng’ombe huyo mgeni ataacha ilivyokuwa na itakuuma. Kuku ni kitu ambacho mgeni anaweza kula ikapungua, ni vizuri kuwa mtu awe na kuku hata mmoja. O: Ingokho inyala khualula abaana bakhira makhumi karano niinyola omundu oirisia bilayi. Inyala khusomisia abaana bao khuerisia abeene bila khurindirisia esia oundi. Khuno ni khubera noorindirisia esindu sia mundu wundi olafua noobula siosisiosi. Ingokho ino bandu bairuka, ni bandi bamenya ninayo munyumba. Nibilayi ingokho niiba nende inyumba yayo. T: Kuku anaweza kuagua watoto wanaoshinda kumi na tano akipata mtu wa kumlisha vizuri. Anaweza kukusomeshea watoto wakobila kungojea ya mtu mwingine Hii ni kwa sababu ukingojea kitu cha mtu mwingine utakufa ukiwa hauna chochote . kuku huyu watu wamemfuga na wengine wanaishi naye kwa nyumba. Ni vizuri kuku akiwa na nyumba yake. kujilisha wenyewe kuku huyu watu wamemfuga na wengine wanaishi naye kwa nyumba. Ni vizuri kuku akiwa na nyumba yake. O: INGOKHO T: KUKU O: Ingokho ni isolo eya mudala indayi. Ingokho ni bilayi khuba ninayo. Khubeera mukeni niyetsa onyala khumuambira noobula nende esindu siosi siosi. Noori ambi nende ingokho khasookhoyere obe nende budofu khaba. T: Kuku ni mnyama wa nyumbani mzuri. Kuku ni vizuri kuwa naye, kwa sababu mgeni akija unaweza mshikia kama hauna kitu chochote. Ukiwa karibu na kuku haufai kuwa na uvivu kamwe. O: Ingokho ni isolo eireenyanga makhere masabi mudala. Ingokho niisiri indindi inyala khumenya abundu wosi wosi andayi. Inyala khubotsa nende tsindi niyiikura yene kata nosiaiberesia ebiakhuria bindi. T: Kuku ni mnyama ambaye hapendi chura wengi kwa boma. Kuku akiwa angali mdogo anaweza ishi mahali popote pazuri. Anaweza kula na wengine na ashibe mwenyewe hata kabla haujampa vyakula vingine. O: Ingokho yarukibwa mumadala mangi lukari khushira isolo yindi yosi yosi. Khusialo sino sibulao sindu siajamwa nende abaandu bangi khushira ingokho khaba dawe. Khandi ingokho ibukulanga asi owa emiosi kibiri ibetsanga niyakhamala khualula, inyala yakhulipira wakula kila sindu esia weenyanga. T: Kuku alifugwa kwa maboma mengi sana kuliko mnyama mwingine yeyote. Ulimwenguni humu hakuna kitu kinachopendwa na watu wengi kuliko kuku kamwe. Tena kuku huchukua chini ya miezi miwili huwa anakuwa ashaagua. Anaweza akakulipia ukanunua kila kitu ambacho unataka. O: Onyala wakula esindi ewe muene bila khukhonyua nende mundu yesi yesi. Omundu yayinia amakhua mbari esiri ambi nisio sikhukhonya khasiyaboola bubatsa tawe. T: Unaweza nunua kitu wewe mwenyewe bila kusaidiwa na mtu yeyote. Mtu alitoa maneno kuwa kilicho karibu ndicho kinachokusaidia kumbe hakusema uongo. O: Onyala wakula esindi ewe muene bila khukhonyua nende mundu yesi yesi. Omundu yayinia amakhua mbari esiri ambi nisio sikhukhonya khasiyaboola bubatsa tawe. T: Unaweza nunua kitu wewe mwenyewe bila kusaidiwa na mtu yeyote. Mtu alitoa maneno kuwa kilicho karibu ndicho kinachokusaidia kumbe hakusema uongo. O: INGOKHO T: KUKU O: Ingokho ni isolo eya mudala indayi. Ingokho ni bilayi khuba ninayo. Khubeera mukeni niyetsa onyala khumuambira noobula nende esindu siosi siosi. Noori ambi nende ingokho khasookhoyere obe nende budofu khaba. T: Kuku ni mnyama wa nyumbani mzuri. Kuku ni vizuri kuwa naye, kwa sababu mgeni akija unaweza mshikia kama hauna kitu chochote. Ukiwa karibu na kuku haufai kuwa na uvivu kamwe. O: Ingokho ni isolo eireenyanga makhere masabi mudala. Ingokho niisiri indindi inyala khumenya abundu wosi wosi andayi. Inyala khubotsa nende tsindi niyiikura yene kata nosiaiberesia ebiakhuria bindi. T: Kuku ni mnyama ambaye hapendi chura wengi kwa boma. Kuku akiwa angali mdogo anaweza ishi mahali popote pazuri. Anaweza kula na wengine na ashibe mwenyewe hata kabla haujampa vyakula vingine. O: Ingokho yarukibwa mumadala mangi lukari khushira isolo yindi yosi yosi. Khusialo sino sibulao sindu siajamwa nende abaandu bangi khushira ingokho khaba dawe. Khandi ingokho ibukulanga asi owa emiosi kibiri ibetsanga niyakhamala khualula, inyala yakhulipira wakula kila sindu esia weenyanga. T: Kuku alifugwa kwa maboma mengi sana kuliko mnyama mwingine yeyote. Ulimwenguni humu hakuna kitu kinachopendwa na watu wengi kuliko kuku kamwe. Tena kuku huchukua chini ya miezi miwili huwa anakuwa ashaagua. Anaweza akakulipia ukanunua kila kitu ambacho unataka. O: ING’OMBE T: N’OMBE O: Khalano esie Mbukula ebikha bino khubola mbari ing’ombe ni sindu silayi lukari niiri muridala. Ing’ombe ni siruke esiamenya mudala ni sikhonyanga mundu mu ebindi bisabi. T: Kwa hivyo mimi nachukua muda huu kusema kuwa ng’ombe ni kitu kizuri sana akiwa nyumbani. Ng’ombe ni mfugo anayeishi nyumbani na humsaidia mtu kwa vitu vingi. O: Ing’ombe khandi irukhonyanga khu biidu nga khurima. Khandi tsing’ombe tsireranga ebiindu nga amabeere. Ing’ombe khandi yoosi khuirusie ebindu bino yiinyikhana irisibue ebiindu nga bunyasi, lusi nende amatsi. T: Ng’ombe tena hutusaidia kwa vitu kama kulima. Tena ng’ombe huleta vitu kama maziwa . ng’ombe pia kabla atoe vitu hivi anastahili alishwe vitu kama nyasi, mabingobingo na maji. O: Weesi inga omundu okhoya khuirisia ebiindu nga amatsi ili inyole amani ka khukhola tsikasi. O: Ing’ombe niiri mudala yewe obula buyendi kata budidi khubera ori nende obuyinda mu tsing’ombe. Khandi ing’ombe inyala yakhobua ebukhwe owa mukhasi yarula. T: Wewe pia kama mtu unafaa kumlisha vitu kama maji ili apate nguvu ya kufanya kazi. Ng’ombe akiwa nyumbani wewe hauna wasiwasi hata kidogo kwa sababu uko na utajiri kwa ng’ombe. Tena ng’ombe anaweza pelekwa mahari pale msichana alipotoka. O: Kharani esiruo ni mbari khukule tsing’ombe khubekho ninatsio mudala. Kata noorenyarirwa weedinye sa okule ing’ombe obe ninayo mudala. T: Kile kilicho ni kuwa tununue ng’ombe tuwe nao nyumbani. Hata usipowezewa jikaze tu ununue ng’ombe uwe naye kwa boma. O: ING’OMBE T: N’OMBE O: Khalano esie Mbukula ebikha bino khubola mbari ing’ombe ni sindu silayi lukari niiri muridala. Ing’ombe ni siruke esiamenya mudala ni sikhonyanga mundu mu ebindi bisabi. T: Kwa hivyo mimi nachukua muda huu kusema kuwa ng’ombe ni kitu kizuri sana akiwa nyumbani. Ng’ombe ni mfugo anayeishi nyumbani na humsaidia mtu kwa vitu vingi. O: Ing’ombe khandi irukhonyanga khu biidu nga khurima. Khandi tsing’ombe tsireranga ebiindu nga amabeere. Ing’ombe khandi yoosi khuirusie ebindu bino yiinyikhana irisibue ebiindu nga bunyasi, lusi nende amatsi. T: Ng’ombe tena hutusaidia kwa vitu kama kulima. Tena ng’ombe huleta vitu kama maziwa . ng’ombe pia kabla atoe vitu hivi anastahili alishwe vitu kama nyasi, mabingobingo na maji. O: Weesi inga omundu okhoya khuirisia ebiindu nga amatsi ili inyole amani ka khukhola tsikasi. O: Ing’ombe niiri mudala yewe obula buyendi kata budidi khubera ori nende obuyinda mu tsing’ombe. Khandi ing’ombe inyala yakhobua ebukhwe owa mukhasi yarula. T: Wewe pia kama mtu unafaa kumlisha vitu kama maji ili apate nguvu ya kufanya kazi. Ng’ombe akiwa nyumbani wewe hauna wasiwasi hata kidogo kwa sababu uko na utajiri kwa ng’ombe. Tena ng’ombe anaweza pelekwa mahari pale msichana alipotoka. O: Kharani esiruo ni mbari khukule tsing’ombe khubekho ninatsio mudala. Kata noorenyarirwa weedinye sa okule ing’ombe obe ninayo mudala. T: Kile kilicho ni kuwa tununue ng’ombe tuwe nao nyumbani. Hata usipowezewa jikaze tu ununue ng’ombe uwe naye kwa boma. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni sindu siri nende malayi masabi khu muundu. Ing’ombe iri nende bulayi nende bumaanu buayo mudala. Ing’ombe bandu baijama lukari sakira bairukanga mudala. T: Ng’ombe ni kitu kilicho na uzuri mwingi kwa mtu. Ng’ombe ako na uzuri na ubaya wake nyumbani. Ng’ombe watu wanampenda sana ndio maana wanamfuga nyumbani. O: Ing’ombe iri nende tsifaida tsisabi muno, nikhutsaka nende ing’ombe irugamiranga mabeere. Mabeere kano khukusianga nikhunyola amapesa. T: Ng’ombe anafaida nyingi sana, tukianza na ng’ombe hutuletea maziwa. Maziwa haya tunauza na kupata pesa. O: Khandi ing’ombe irugamiranga masingo. Masingo khubusianga khalala ni khukasia imbolera eya khurakira. Nikhurakira masingo ako madimwa kefu kakhola bilayi bia makana. T: Tena ng’ombe hutuletea zamadi tunasanya pamoja kutengeneza mbolea ambayo tunapandia. Tukipandia zamadi hayo mahindi yetu yanafanya vizuri sana. O: Ing’ombe eyo yene niikusibwa ni khunyola mapesa ka khukula ebindu mudala. O: Khuluange, basaba muruke tsing’ombe khubera tsiri nende tsifaida tsisabi tsia makana. T: Ng’ombe mwenyewe akiuzwa na tunapata pesa ya kununua vitu kwa boma. Upande wangu, nawaomba mufuge ng’ombe kwa sababu wako na faida sana. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni sindu siri nende malayi masabi khu muundu. Ing’ombe iri nende bulayi nende bumaanu buayo mudala. Ing’ombe bandu baijama lukari sakira bairukanga mudala. T: Ng’ombe ni kitu kilicho na uzuri mwingi kwa mtu. Ng’ombe ako na uzuri na ubaya wake nyumbani. Ng’ombe watu wanampenda sana ndio maana wanamfuga nyumbani. O: Ing’ombe iri nende tsifaida tsisabi muno, nikhutsaka nende ing’ombe irugamiranga mabeere. Mabeere kano khukusianga nikhunyola amapesa. T: Ng’ombe anafaida nyingi sana, tukianza na ng’ombe hutuletea maziwa. Maziwa haya tunauza na kupata pesa. O: Khandi ing’ombe irugamiranga masingo. Masingo khubusianga khalala ni khukasia imbolera eya khurakira. Nikhurakira masingo ako madimwa kefu kakhola bilayi bia makana. T: Tena ng’ombe hutuletea zamadi tunasanya pamoja kutengeneza mbolea ambayo tunapandia. Tukipandia zamadi hayo mahindi yetu yanafanya vizuri sana. O: Ing’ombe eyo yene niikusibwa ni khunyola mapesa ka khukula ebindu mudala. Khuluange, basaba muruke tsing’ombe khubera tsiri nende tsifaida tsisabi tsia makana. T: Ng’ombe mwenyewe akiuzwa na tunapata pesa ya kununua vitu kwa boma. Upande wangu, nawaomba mufuge ng’ombe kwa sababu wako na faida sana. O: BULAYI BWA ING’OMBE T: UMUHIMU WA NG’OMBE. O: Ing’ombe ni isolo ya bandu baruka mudala. Khuri nende tsing’ombr tsibiri, eya mabeere nende eya inyama. Mundu ula owakhera khurima anyala yaruka eya yenya muene. Ig’ombe iri nende birenge bine, tsinjika nende ebindu bindi. Sirenge sia ing’ombe siri nende sirekei. Ing’ombe yosi iri nende mukhira. T: Ng’ombe ni mnyama ambaye watu waliguga nyumbani. Tuna ng’ombe wawili, ya maziwa nay a nyama. Mtu yule ambaye anapenda kulima anaweza fuga yule ambaye anataka mwenyewe. Ng’ombe ana miguu minne, pembe na vitu vingine, mguu wa ng’ombe una kwato. Ng’ombe pia ana mkia. O: Ing’ombe iri nende bulayi busabi mubulamu obua abaandu. Inyala khuinia amabeere mangi lukari. Mabere ako kanyala khukhonya abaandu khukusia banyola amapesa bakula sindu sia beenya. Mabere ako khandi kanyala kakhonya omwana mudidi, ng’ina naabulao anyala yangua mana yarekha khurira. Mabeere ako kosi kakhonya khuba nende ameno malayi akari nende maani. T: Ng’ombe ana umuhimu mwingi kwa maisha ya watu. Anaweza kutoa maziwa mengi sana. Maziwa hayo yanaweza kusaidia watu kuuza kuoata pesa kununua kitu ambacho wanataka. Maziwa hayo pia yanaweza kumsaidia mtoto mdogo, mamake akiwa hayupo anaweza kunywa kisha akaacha kulia. Maziwa hayo pia husaidia kuwa na meno mzuri ambayo yana nguvu. O: Ing’ombe khandi inyala khuinia inyama abaandu beekhonyera nga eriani. Inyama eya ing’ombe inyala yakusibua yarera tsisende. T: Ng’ombe tena anaweza toa nyama watu wakatumia kama mboga. Nyama ya ng’ombe inaweza uzwa ikaleta pesa. O: Tsing’ombe tsindi tsinyala khurima tsindalo. Ing’ombe inyala yakhuesa mukokoteni. Ing’ombe iri nende bukhonyi bukhongo khu baandu. Ndajama ing’ombe lukari. T: Ng’ombe wengine wanaweza kulima shamba. Ng’ombe anaweza vuta mkokoteni. Ng’ombe ana usaidizi mkubwa kwa watu. Napenda ng’ombe sana. O: BULAYI BWA ING’OMBE T: UMUHIMU WA NG’OMBE. O: Ing’ombe ni isolo ya bandu baruka mudala. Khuri nende tsing’ombr tsibiri, eya mabeere nende eya inyama. Mundu ula owakhera khurima anyala yaruka eya yenya muene. Ig’ombe iri nende birenge bine, tsinjika nende ebindu bindi. Sirenge sia ing’ombe siri nende sirekei. Ing’ombe yosi iri nende mukhira. T: Ng’ombe ni mnyama ambaye watu waliguga nyumbani. Tuna ng’ombe wawili, ya maziwa nay a nyama. Mtu yule ambaye anapenda kulima anaweza fuga yule ambaye anataka mwenyewe. Ng’ombe ana miguu minne, pembe na vitu vingine, mguu wa ng’ombe una kwato. Ng’ombe pia ana mkia. O: Ing’ombe iri nende bulayi busabi mubulamu obua abaandu. Inyala khuinia amabeere mangi lukari. Mabere ako kanyala khukhonya abaandu khukusia banyola amapesa bakula sindu sia beenya. Mabere ako khandi kanyala kakhonya omwana mudidi, ng’ina naabulao anyala yangua mana yarekha khurira. Mabeere ako kosi kakhonya khuba nende ameno malayi akari nende maani. T: Ng’ombe ana umuhimu mwingi kwa maisha ya watu. Anaweza kutoa maziwa mengi sana. Maziwa hayo yanaweza kusaidia watu kuuza kuoata pesa kununua kitu ambacho wanataka. Maziwa hayo pia yanaweza kumsaidia mtoto mdogo, mamake akiwa hayupo anaweza kunywa kisha akaacha kulia. Maziwa hayo pia husaidia kuwa na meno mzuri ambayo yana nguvu. O: Ing’ombe khandi inyala khuinia inyama abaandu beekhonyera nga eriani. Inyama eya ing’ombe inyala yakusibua yarera tsisende. T: Ng’ombe tena anaweza toa nyama watu wakatumia kama mboga. Nyama ya ng’ombe inaweza uzwa ikaleta pesa. O: Tsing’ombe tsindi tsinyala khurima tsindalo. Ing’ombe inyala yakhuesa mukokoteni. Ing’ombe iri nende bukhonyi bukhongo khu baandu. Ndajama ing’ombe lukari. T: Ng’ombe wengine wanaweza kulima shamba. Ng’ombe anaweza vuta mkokoteni. Ng’ombe ana usaidizi mkubwa kwa watu. Napenda ng’ombe sana. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Mbukula ebikha bino khuborera bala abaruka tsing’ombe bulayi bua tsing’ombe. Ing’ombe ni siruke sia Nyasaye nga mundu, noolola ing’ombe ilole sa nga owaasio. T: Nachukua furusa hii kuwaambia wale ambao wamefuga ng’ombe umuhimu wang’pmbe. Ng’ombe ni mfugo wa Mungu kama mtu. Ukimwona ng’ombe mwuone tu kama mwenzio. O: Ing’ombe irukhonyanga khu biindu bisabi, mberi nisiabola ako, khuri nende imbia isabi eya tsing’ombe. Khuri nende tsing’ombe tsia kienyeji nende etsia igiredi. Tsing’ombe tsia kienyeji ni tsisurusi. Nibiula ekhikha bia khuremaka khurumikhiranga tsisuurusi tsia igiredi. T: Ng’ombe hutusaidia kwa vitu vingi, kwanza kabla niseme hayo tuna aina nyingi za ng’ombe. Tuna ng’ombe wa kienyeji na wa gredi. Ng’ombe wa kienyeji ni ndume. Inapowadia wakati wa kulima huwa tuna tumia ndume wa gredi. O: kando nende tsing’ombe tsia kienyeji khuri nende etsia igiredi. Tsing’ombe tsia igiredi tsirukhonyanga lukari bikha bia itsuri ebia khudekha itsai. T: Kando na ng’ombe wa kienyeji tuna wa gredi. Ng’ombe wa gredi hutusaidia sana wakati wa asubuhi tunapopika chai O: Niimala niimbola mbari ing’ombe ni siruko silayi eria ndakhera lukari kata khukhira beebusi bange. Khumera baananga Owino Brian khurula sikura niimbola mbari ing’ombe ni sindu sia maana ni esia mwene ndajama ing’ombe T: Nikimaliza nasema kuwa ng’ombe ni mfugo mzuri ambaye napenda sana hata kuliko wazazi wangu. Kwa majina naitwa Owino Brian kutoka Sikura nasema kwamba ng’ombe ni kitu cha maana mimi mwenyewe napenda ng’ombe. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Mbukula ebikha bino khuborera bala abaruka tsing’ombe bulayi bua tsing’ombe. Ing’ombe ni siruke sia Nyasaye nga mundu, noolola ing’ombe ilole sa nga owaasio. T: Nachukua furusa hii kuwaambia wale ambao wamefuga ng’ombe umuhimu wang’pmbe. Ng’ombe ni mfugo wa Mungu kama mtu. Ukimwona ng’ombe mwuone tu kama mwenzio. O: Ing’ombe irukhonyanga khu biindu bisabi, mberi nisiabola ako, khuri nende imbia isabi eya tsing’ombe. Khuri nende tsing’ombe tsia kienyeji nende etsia igiredi. Tsing’ombe tsia kienyeji ni tsisurusi. Nibiula ekhikha bia khuremaka khurumikhiranga tsisuurusi tsia igiredi. T: Ng’ombe hutusaidia kwa vitu vingi, kwanza kabla niseme hayo tuna aina nyingi za ng’ombe. Tuna ng’ombe wa kienyeji na wa gredi. Ng’ombe wa kienyeji ni ndume. Inapowadia wakati wa kulima huwa tuna tumia ndume wa gredi. O: kando nende tsing’ombe tsia kienyeji khuri nende etsia igiredi. Tsing’ombe tsia igiredi tsirukhonyanga lukari bikha bia itsuri ebia khudekha itsai. T: Kando na ng’ombe wa kienyeji tuna wa gredi. Ng’ombe wa gredi hutusaidia sana wakati wa asubuhi tunapopika chai O: Niimala niimbola mbari ing’ombe ni siruko silayi eria ndakhera lukari kata khukhira beebusi bange. Khumera baananga Owino Brian khurula sikura niimbola mbari ing’ombe ni sindu sia maana ni esia mwene ndajama ing’ombe T: Nikimaliza nasema kuwa ng’ombe ni mfugo mzuri ambaye napenda sana hata kuliko wazazi wangu. Kwa majina naitwa Owino Brian kutoka Sikura nasema kwamba ng’ombe ni kitu cha maana mimi mwenyewe napenda ng’ombe. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni siruke silayi lukari mubulamu bua mundu. Ing’ombe yosi yajamwa nende abaandu bangi. Khuri nende abandu aba khasibakhamenya bila ing’ombe mumadala kabu, sakira mukenya muno abaandu bangi baruka tsing’ombe. T: Ng’ombe ni mfugo mzuri sana kwa maisha ya binadamu. Ng’ombe pia anapendwa na watu wengi. Tuna watu ambao hawawezi kuishi bila ng’ombe kwa boma zao, kwa maana katika Kenya hii watu wengi wamefuga ng’ombe. O: Ing’ombe niindayi khubeera irukabanga amabeere. Bila amabere abandu khasibakhanyuerenge itsai khaba sakita mbola mbari ing’ombe ni sikruke silayi. Kata kario, mundu naalalisia ing’ombe yaye bilayi, ing’ombe khasiyakhainia amabeere sakira abebusi benyu bababoreranga mbari murisie tsing’ombe tsienu bilayi. T: Ng’ombe ni muhimu kwa sababu huleta maziwa. Bila maziwa watu hawangekunywa chai ndio sababu nasema ng’ombe ni mfugo mzuri. Hata hivyo mtu asipomlisha ng’ombe wake vizuri, ng’ombe hawezi toa maziwa ndio kwa maana wazazi wenu huwaambia mlishe ng’ombe yenu vizuri. O: Are nende ako, ing’ombe iruberesianga inyama na esio niio esindu sia abaluhyia bakjama lukari mubulamu buabu sakira mulukongo nibasinjire ing’ombe bandu bang’ang’abaniranga khukula.Okhoyere osirie ing’ombe yao bilayi ili niwinya khusinja ibe niyakhomera khu bandu balakura bangi na olanyola amapesa mangi. Mapesa ako kanyala kakhukhonya mumakhua mangi nga khulipira omwana wao mapesa musikuli asome inyanga anyala khukhukhonya niwaandire ni wiinya bukhonyi. Sakira bandu bajama ing’ombe khushira biosi biri musialo T: Kando na hayo, ng’ombe hutupea nyama na hiyo ndiyo kitu cha maana ambacho Waluhya wanapenda kwa maisha yao ndio kwa maana katika jamii wakichinja ng’ombe watu hung’ang’ania kununua unafaa ulishe ng’ombe wako vizuri ili ukitaka kuchinja awe amenenepa ndio watu watanunuaWengi na utapata pesa mingi. Pesa hiyo inaweza kukusaidia kwa mambo mengi kama kulipia mtoto wako karo shuleni asome siku moja anaweza kukusaidia ukikwama ukitaka usaidizi. Ndio kwa maana watu wanapenda ng’ombe kuliko vyote vilivyo duniani. O: Abamenyi ba Kenya basiange esinyenya mukhole ni muruke tsing’ombe mubungi. Nimukhola murio mulaba muekhonyere lukari mu bulamu buenyu bwa imberi ni mulabola mbari ndabakhonya ni mwakhakanyirenge abaana benu. T: Wakenya wenzangu mimi ninachotaka mfanye ni mfuge ng’ombe kwa wingi. Mkifanya hivyo mtakuwa mmejisaidia sana kwa maisha yenu ya mbeleni na mtasema niliwasaidia mtakuwa mkiwaambia watoto wenyu. O: Nisiamaririsia, ing’ombe ni siruke siri nende ikhabi lukari mubulamu bua mundu. T: Kabla sijamaliza ng’ombe ni mfugo ambaye ana Baraka kubwa kwa maisha ya mtu. O: Abamenyi ba Kenya basiange esinyenya mukhole ni muruke tsing’ombe mubungi. Nimukhola murio mulaba muekhonyere lukari mu bulamu buenyu bwa imberi ni mulabola mbari ndabakhonya ni mwakhakanyirenge abaana benu. T: Wakenya wenzangu mimi ninachotaka mfanye ni mfuge ng’ombe kwa wingi. Mkifanya hivyo mtakuwa mmejisaidia sana kwa maisha yenu ya mbeleni na mtasema niliwasaidia mtakuwa mkiwaambia watoto wenyu. O: Nisiamaririsia, ing’ombe ni siruke siri nende ikhabi lukari mubulamu bua mundu. T: Kabla sijamaliza ng’ombe ni mfugo ambaye ana Baraka kubwa kwa maisha ya mtu. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni siruke silayi lukari mubulamu bua mundu. Ing’ombe yosi yajamwa nende abaandu bangi. Khuri nende abandu aba khasibakhamenya bila ing’ombe mumadala kabu, sakira mukenya muno abaandu bangi baruka tsing’ombe. T: Ng’ombe ni mfugo mzuri sana kwa maisha ya binadamu. Ng’ombe pia anapendwa na watu wengi. Tuna watu ambao hawawezi kuishi bila ng’ombe kwa boma zao, kwa maana katika Kenya hii watu wengi wamefuga ng’ombe. O: Ing’ombe niindayi khubeera irukabanga amabeere. Bila amabere abandu khasibakhanyuerenge itsai khaba sakita mbola mbari ing’ombe ni sikruke silayi. Kata kario, mundu naalalisia ing’ombe yaye bilayi, ing’ombe khasiyakhainia amabeere sakira abebusi benyu bababoreranga mbari murisie tsing’ombe tsienu bilayi. T: Ng’ombe ni muhimu kwa sababu huleta maziwa. Bila maziwa watu hawangekunywa chai ndio sababu nasema ng’ombe ni mfugo mzuri. Hata hivyo mtu asipomlisha ng’ombe wake vizuri, ng’ombe hawezi toa maziwa ndio kwa maana wazazi wenu huwaambia mlishe ng’ombe yenu vizuri. O: Are nende ako, ing’ombe iruberesianga inyama na esio niio esindu sia abaluhyia bakjama lukari mubulamu buabu sakira mulukongo nibasinjire ing’ombe bandu bang’ang’abaniranga khukula.Okhoyere osirie ing’ombe yao bilayi ili niwinya khusinja ibe niyakhomera khu bandu balakura bangi na olanyola amapesa mangi. Mapesa ako kanyala kakhukhonya mumakhua mangi nga khulipira omwana wao mapesa musikuli asome inyanga anyala khukhukhonya niwaandire ni wiinya bukhonyi. Sakira bandu bajama ing’ombe khushira biosi biri musialo T: Kando na hayo, ng’ombe hutupea nyama na hiyo ndiyo kitu cha maana ambacho Waluhya wanapenda kwa maisha yao ndio kwa maana katika jamii wakichinja ng’ombe watu hung’ang’ania kununua unafaa ulishe ng’ombe wako vizuri ili ukitaka kuchinja awe amenenepa ndio watu watanunuaWengi na utapata pesa mingi. Pesa hiyo inaweza kukusaidia kwa mambo mengi kama kulipia mtoto wako karo shuleni asome siku moja anaweza kukusaidia ukikwama ukitaka usaidizi. Ndio kwa maana watu wanapenda ng’ombe kuliko vyote vilivyo duniani. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni isolo indayi lukari khubera onyala waiira khumwalo yaria buyasi yene ni khandi onyala waikhama wanyola amabere ka khudekhera itsai. Ing’ombe ni indayi lukari. T: Ng’ombe ni mnyama mzuri sana kwa sababu unaweza mpeleka mtoni akala nyasi na tena unaweza mkama ukapata maziwa ya kupikia chai. Ng’ombe ni mzuri sana. O: Ing’ombe niiria kata inyala yaaya olwanyi luosi ni khandi omundu mwene ingombe yeenyekhana abe nende siguri sia khwayiramo ni khandi abe nende abandu ba khuaya nga babiri endi. T: Ng’ombe akikula hata anaweza chunga nje ya boma yote tena mtu mwenya ng’ombe anastahili awe na uwanja wa kuchungia tena awe na watu wa kuchunga kama wawili hivi. O: Noosinja ingombe khandi onyala waikusia inyama yayomani wanyola imali isabi. Onyala wakula ebindu bia munyumba khurulana nende matongolo karula mu khukusia einyama ya ing’ombe. Ing’ombe yiinyanga ikona abundu biri bilafu. Wiinyikhana okasie inyumba eilangwangwa mbari esidwoli mani ibe indafu buli ludalo. Amasingo ka ingombe karusibwangwa musidwoli esio ni bakasiria imbolera eikhonyanga khumesia ebindu mumikunda. T: Ukimchinja ng’ombe tena unaweza uza nyama yake kisha upate mali nyingi. Unaweza nunua vitu vya nyumba kutokana na pesa kutoka kwa kuuza nyama ya ng’ombe.ng’ombe anafaa kulala mahali pasafi. Unastahili kuunda nyumba inayoitwa zizi halafu iwe safi kila siku. Zamadi ya ng’ombe hutolewa kwa zizi na kutengenezea mbolea inayosaidia kumea kwa vitu kwa shamba. O: Ing’ombe iri nende tsifaida tsisabi khubera ikhonyanga omundu lukari. Amabere karula mung’ombe nookakhera nookusia onyala wanyola amapesa masabi akanyala kakhukhonya mubulamu buawo. Khandi imbolera ya ing’ombe niindayi lukari khu khuraka amadimwa. Lakini kata kario, ongombe yoosi iri nende olusu lubi. T: Ng’ombe ana faida nyingi kwa sababu husaidia mtu sana. maziwa yanatoka kwa ng’ombe ukikama unauza unaweza pata pesa mingi ambayo inaweza kukusaidia kwa maisha yao. Tena mbolea ya ng’ombe ninzuri sana kwa kupanda mahindi. Lakini hata hivyo ng’ombe pia anaharufu mbaya. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni isolo indayi lukari khubera onyala waiira khumwalo yaria buyasi yene ni khandi onyala waikhama wanyola amabere ka khudekhera itsai. Ing’ombe ni indayi lukari. T: Ng’ombe ni mnyama mzuri sana kwa sababu unaweza mpeleka mtoni akala nyasi na tena unaweza mkama ukapata maziwa ya kupikia chai. Ng’ombe ni mzuri sana. O: Ing’ombe niiria kata inyala yaaya olwanyi luosi ni khandi omundu mwene ingombe yeenyekhana abe nende siguri sia khwayiramo ni khandi abe nende abandu ba khuaya nga babiri endi. T: Ng’ombe akikula hata anaweza chunga nje ya boma yote tena mtu mwenya ng’ombe anastahili awe na uwanja wa kuchungia tena awe na watu wa kuchunga kama wawili hivi. O: Noosinja ingombe khandi onyala waikusia inyama yayomani wanyola imali isabi. Onyala wakula ebindu bia munyumba khurulana nende matongolo karula mu khukusia einyama ya ing’ombe. Ing’ombe yiinyanga ikona abundu biri bilafu. Wiinyikhana okasie inyumba eilangwangwa mbari esidwoli mani ibe indafu buli ludalo. Amasingo ka ingombe karusibwangwa musidwoli esio ni bakasiria imbolera eikhonyanga khumesia ebindu mumikunda. T: Ukimchinja ng’ombe tena unaweza uza nyama yake kisha upate mali nyingi. Unaweza nunua vitu vya nyumba kutokana na pesa kutoka kwa kuuza nyama ya ng’ombe.ng’ombe anafaa kulala mahali pasafi. Unastahili kuunda nyumba inayoitwa zizi halafu iwe safi kila siku. Zamadi ya ng’ombe hutolewa kwa zizi na kutengenezea mbolea inayosaidia kumea kwa vitu kwa shamba. O: Ing’ombe iri nende tsifaida tsisabi khubera ikhonyanga omundu lukari. Amabere karula mung’ombe nookakhera nookusia onyala wanyola amapesa masabi akanyala kakhukhonya mubulamu buawo. Khandi imbolera ya ing’ombe niindayi lukari khu khuraka amadimwa. Lakini kata kario, ongombe yoosi iri nende olusu lubi. T: Ng’ombe ana faida nyingi kwa sababu husaidia mtu sana. maziwa yanatoka kwa ng’ombe ukikama unauza unaweza pata pesa mingi ambayo inaweza kukusaidia kwa maisha yao. Tena mbolea ya ng’ombe ninzuri sana kwa kupanda mahindi. Lakini hata hivyo ng’ombe pia anaharufu mbaya. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni sisolo sirukuakgwa mudala . Tsing’ombe tsiruo tsidaru eya sisuungu, eya nende eya siafrika. Tsing’ombe tsiosi etsirukwa tsiri nende bulayi busabi. T: Ng’ombe ni mnyama anayefugwa kwa boma. Ng’ombe wako wawiliya kizungu, ya gredi nay a kiafrika. Ng’ombe wote wanaofugwa wana uzuri wake. O: Ing’ombe niirukibwa yinya ibe nende oburindi bulayi. Okhoyere obe nende lwairo luakana nende tsing’ombe tsia orukire. Tsiosi tsinyikhana tsibe nende abuundu we tsikona, esiduoli. T: Ng’ombe akifugwa anastahili kuwa na ulinzi mzuri. Unafaa uwe na mahali pa kuchunga ng’ombe panapotoshana na ng’ombe ulio fuga. Wote wanafaa wawe na mahali wanapolala, zizini. O: Burimundu amanyire mbari ing’ombe ireranga amabeere, inyama nende amapesa kanyala khukhonya T: Kila mtu anajua kuwa ng’ombe huleta maziwa, myama na pesa zinaweza kusaidia. O: Tsing’ombe tsikera baseebe khurula ebialo bindi nibeetsa khurukendera khulola tsing’ombe. Abakeni abo barulanga mu bialo bia are nga Buganda, Tanzania, nende Ruanda. T: Ng’ombe hufanya watalii kutoka nchi zingine wakija kututembelea kuona ng’ombe. Wageni hao hutoka nchi za mbali kama Uganda, Tanzania na Rwanda. O: Tsing’ombe tsinendi tsigamanga imbolera. Masingo kayo kadolwangwa nibakara alala khukasia imbolera ni buri mundu amanyire bulayi bua imbolera. O: Ing’ombe obuukhanga itsuri noyiyira khubwaairo. T: Ng’ombe hawa huleta mbolea, zamadi yao huokotwa yakiwekwa pamoja kutengeneza mbolea na kila mtu anajua uzuri wa mbolea. Ng’ombe unaamuka asubuhi na unapeleka malishoni. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni sisolo sirukuakgwa mudala . Tsing’ombe tsiruo tsidaru eya sisuungu, eya nende eya siafrika. Tsing’ombe tsiosi etsirukwa tsiri nende bulayi busabi. T: Ng’ombe ni mnyama anayefugwa kwa boma. Ng’ombe wako wawiliya kizungu, ya gredi nay a kiafrika. Ng’ombe wote wanaofugwa wana uzuri wake. O: Ing’ombe niirukibwa yinya ibe nende oburindi bulayi. Okhoyere obe nende lwairo luakana nende tsing’ombe tsia orukire. Tsiosi tsinyikhana tsibe nende abuundu we tsikona, esiduoli. T: Ng’ombe akifugwa anastahili kuwa na ulinzi mzuri. Unafaa uwe na mahali pa kuchunga ng’ombe panapotoshana na ng’ombe ulio fuga. Wote wanafaa wawe na mahali wanapolala, zizini. O: Burimundu amanyire mbari ing’ombe ireranga amabeere, inyama nende amapesa kanyala khukhonya T: Kila mtu anajua kuwa ng’ombe huleta maziwa, myama na pesa zinaweza kusaidia. O: Tsing’ombe tsikera baseebe khurula ebialo bindi nibeetsa khurukendera khulola tsing’ombe. Abakeni abo barulanga mu bialo bia are nga Buganda, Tanzania, nende Ruanda. T: Ng’ombe hufanya watalii kutoka nchi zingine wakija kututembelea kuona ng’ombe. Wageni hao hutoka nchi za mbali kama Uganda, Tanzania na Rwanda. O: Tsing’ombe tsinendi tsigamanga imbolera. Masingo kayo kadolwangwa nibakara alala khukasia imbolera ni buri mundu amanyire bulayi bua imbolera. O: Ing’ombe obuukhanga itsuri noyiyira khubwaairo. T: Ng’ombe hawa huleta mbolea, zamadi yao huokotwa yakiwekwa pamoja kutengeneza mbolea na kila mtu anajua uzuri wa mbolea. Ng’ombe unaamuka asubuhi na unapeleka malishoni. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Mbukula bikha bino khubola mbari ing’ombe bi sindu silayai. Khubera ing’ombe noikula niisiri ndidi olaba nooikhusia mwika mulala olaba ofaule khunyola tsisende tsisabi. T: Nachukua wakati huu kusema kuwa ng’ombe ni kitu mzuri .kwa sababu ng’ombe ukimnunua akiwa angali mdogo ukimkuza mwaka mmoja utakuwa umefaulu kupata pesa mingi. O: Khalano ndakha khubola mbari noonyola sa tsielefu ekhumi olafua omuoyo khaba. Kata noobula mapesa mangi tsiasa okule eing’ombe yao. T: Kwa hivyo nataka kusema kuwa ukipata tu elfu kumi usife moyo kamwe. Hata kama hauna pesa mingi enda ununue ng’ombe huyo. O: Khandi mboola mbari nooruka sa ing’ombe bilayi ilakhuba mabeere.Amabeere ka ing’ombe ni malayi ni kata omwana naalira nooweresia amabeere ako. T: Tena nasema kwamba ukimfuga tu ng’ombe vizuriatakupea maziwa. Maziwa ya ng’ombe ni nzuri n ahata mtoto akilia na unampa maziwa hayo, O: Abakhare esindu sia bakholanga ni basinjanga ing’ombe ni baisamba, nibaamala ni bakabana eidong’ere, bakasia ebilaaro eriseero ria ing’ombe eyo. T: Wakale kitu ambacho hufanya ni wanapenda ng’ombe akichomwa, wakimaliza wanagawana , masalio wanatengeneza viatu, ngozi ya ng’ombe huyu. O: Kharano esie mbola bakherwa bange khuruka tsing’ombe nisindu silayi muno. T: Hivyo mimi nasema wapendwa wangu kufuga ng’ombe ni kitu mzuri sana. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Mbukula bikha bino khubola mbari ing’ombe bi sindu silayai. Khubera ing’ombe noikula niisiri ndidi olaba nooikhusia mwika mulala olaba ofaule khunyola tsisende tsisabi. T: Nachukua wakati huu kusema kuwa ng’ombe ni kitu mzuri .kwa sababu ng’ombe ukimnunua akiwa angali mdogo ukimkuza mwaka mmoja utakuwa umefaulu kupata pesa mingi. O: Khalano ndakha khubola mbari noonyola sa tsielefu ekhumi olafua omuoyo khaba. Kata noobula mapesa mangi tsiasa okule eing’ombe yao. T: Kwa hivyo nataka kusema kuwa ukipata tu elfu kumi usife moyo kamwe. Hata kama hauna pesa mingi enda ununue ng’ombe huyo. O: Khandi mboola mbari nooruka sa ing’ombe bilayi ilakhuba mabeere.Amabeere ka ing’ombe ni malayi ni kata omwana naalira nooweresia amabeere ako. T: Tena nasema kwamba ukimfuga tu ng’ombe vizuriatakupea maziwa. Maziwa ya ng’ombe ni nzuri n ahata mtoto akilia na unampa maziwa hayo, O: Abakhare esindu sia bakholanga ni basinjanga ing’ombe ni baisamba, nibaamala ni bakabana eidong’ere, bakasia ebilaaro eriseero ria ing’ombe eyo. T: Wakale kitu ambacho hufanya ni wanapenda ng’ombe akichomwa, wakimaliza wanagawana , masalio wanatengeneza viatu, ngozi ya ng’ombe huyu. O: Kharano esie mbola bakherwa bange khuruka tsing’ombe nisindu silayi muno. T: Hivyo mimi nasema wapendwa wangu kufuga ng’ombe ni kitu mzuri sana. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni isolo ya mudala. Ing’ombe irukhonyanga khurima nende khunyola mabeere. Ing’ombe ibulao abandu bangi bakhanyakhane mubulamu buabu. Nori nende ing’ombe khasiwakhakosa amapesa. Musialo siefu sia Kenya abasatsa babukulanga tsing’ombe nibastia khukhua abakhasi. Abaana befu barunganga mubisomero khululana nende ing’ombe. T: Ng’ombe ni mnyama wa nyumbani. Ng’ombe hutusaidia kulima na kupata maziwa. Ng’ombe hangekuwepo watu wengi wangeangaika maishani mwao. Ukiwa na ng’ombe hauwezi kosa pesa. Katika nchi yetu ya Kenya wanaume walikuwa wanachukua ng’ombe na wanaenda kupeleka mahari kwa wake wao. Watoto wetu hulipa karo kutokana na ng’ombe. O: Ing’ombe iruberesianga amaseero. Abaandu bakhanyakhane ing’ombe iumire mubulamu. Abakenya bakheera ing’ombe nga isuna nende huruwi mani khasiwakhakosa ing’ombe mumadala. T: Ng’ombe hutupa ngozi. Watu wangeteseka ng’ombe hangekuwepo maishani. Wakenya wanapenda ng’ombe kama mbu na masikio hivyo hauwezi kosa ng’ombe kwa boma. O: Ing’ombe ibulao bakhasi boosi bakhanyakhanenge mubulamu buabu. T: Ng’ombe hangekuwepo wanawake wote wangeteseka kwa maisha yao. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni isolo ya mudala. Ing’ombe irukhonyanga khurima nende khunyola mabeere. Ing’ombe ibulao abandu bangi bakhanyakhane mubulamu buabu. Nori nende ing’ombe khasiwakhakosa amapesa. Musialo siefu sia Kenya abasatsa babukulanga tsing’ombe nibastia khukhua abakhasi. Abaana befu barunganga mubisomero khululana nende ing’ombe. T: Ng’ombe ni mnyama wa nyumbani. Ng’ombe hutusaidia kulima na kupata maziwa. Ng’ombe hangekuwepo watu wengi wangeangaika maishani mwao. Ukiwa na ng’ombe hauwezi kosa pesa. Katika nchi yetu ya Kenya wanaume walikuwa wanachukua ng’ombe na wanaenda kupeleka mahari kwa wake wao. Watoto wetu hulipa karo kutokana na ng’ombe. O: Ing’ombe iruberesianga amaseero. Abaandu bakhanyakhane ing’ombe iumire mubulamu. Abakenya bakheera ing’ombe nga isuna nende huruwi mani khasiwakhakosa ing’ombe mumadala. T: Ng’ombe hutupa ngozi. Watu wangeteseka ng’ombe hangekuwepo maishani. Wakenya wanapenda ng’ombe kama mbu na masikio hivyo hauwezi kosa ng’ombe kwa boma. O: Ing’ombe ibulao bakhasi boosi bakhanyakhanenge mubulamu buabu. T: Ng’ombe hangekuwepo wanawake wote wangeteseka kwa maisha yao. O: INGOKHO T: KUKU O: Ingokho ni sireke silayi lukari, ireranga mabuyu, inyama nende ebindu bingi. Bulai bwa ingokho ni khurera mabuyu nende khualula mabuyu ako niyaalula tsimwinyi, ni tsimwinyi etsio tsiba tsingokho. Khandi buri ingokho khasiijong’anga khualula. T: Kuku ni mfugo mzuri sana , huleta mayai, nyama na vitu vingi. Uzuri wa kuku ni kuleta mayai na kuagua mayai hayo akiagua vifaranga, na vifaranga hao wanakua kuku. Tena kila kuku huwa hachoki kuagua. O: Inyanga ndala khuaba nende ingokho yalangwangwa mbari jojo. Ingokho eyo yareeranga mabuyu. Mani basaba muruke tsingokho eng’we muesi. T: Siku moja tulikuwa na kuku alikuwa anaitwa Jojo. Kuku huyo alikuwa akitaga mayai. Nawasihi mfuge kuku nyinyi wote. O: Ingokho kata mukeni niyeetsa mudala munyala khumutsinjira mukeni oyo yaria. Khandi ingokho yoosi inyala khukera mundu yaba muinda lukari. T: Kuku hata mgeni akija kwa boma mnaweza kumchinjia mgeni huyo akala. Tena kuku pia anaweza fanya mtu akawa tajiri sana. O: INGOKHO T: KUKU O: Ingokho ni sireke silayi lukari, ireranga mabuyu, inyama nende ebindu bingi. Bulai bwa ingokho ni khurera mabuyu nende khualula mabuyu ako niyaalula tsimwinyi, ni tsimwinyi etsio tsiba tsingokho. Khandi buri ingokho khasiijong’anga khualula. T: Kuku ni mfugo mzuri sana , huleta mayai, nyama na vitu vingi. Uzuri wa kuku ni kuleta mayai na kuagua mayai hayo akiagua vifaranga, na vifaranga hao wanakua kuku. Tena kila kuku huwa hachoki kuagua. O: Inyanga ndala khuaba nende ingokho yalangwangwa mbari jojo. Ingokho eyo yareeranga mabuyu. Mani basaba muruke tsingokho eng’we muesi. T: Siku moja tulikuwa na kuku alikuwa anaitwa Jojo. Kuku huyo alikuwa akitaga mayai. Nawasihi mfuge kuku nyinyi wote. O: Ingokho kata mukeni niyeetsa mudala munyala khumutsinjira mukeni oyo yaria. Khandi ingokho yoosi inyala khukera mundu yaba muinda lukari. T: Kuku hata mgeni akija kwa boma mnaweza kumchinjia mgeni huyo akala. Tena kuku pia anaweza fanya mtu akawa tajiri sana. O: OMUYAKA KWA KORONA. T: UGONJWA WA KORONA O: Omuyaka kuno kwatsaka omwika kwa elfu tsibiri nende kumi ns tisa. T: Huu ugonjwa ulianza mnamo mwaka wa elfu mbili na kumi na kumi na tisa O: Omuyaka kuno kwengira mukenya ni batsaka khubola mbwe abandu bafuale bifunikhiro, wikhale mudala nomba notsenda ofuale sifunikhiro. T: Huu ugonjwa uliingia Kenya na wakaanza kusema kuwa watu wavae barakoa, wakae nyumbani au wakitembea wavae barakoa. O: Ojamire akhaire olafwala sifunikhiro. T: Umekataa umekubali utavaa barakoa. O: Omanyire khuli nende bandu bangi sibenyanga okhufwala sifunikhiro dawe. T: Unajua kunao watu wengi wasiopenda kuvaa barakoa. O: Omanyire muyaka kuno nomululu muno nikutsaka okhoyere ofwale sifunikhiro. T: Unajua kuwa huu ugonjwa ni mbaya sana ukianza unafaa kuvaa barakoa. O: Muyaka ngekwatsaka abandu balama ni babola ee mama. T: Ugonjwa huu ulipoanza walishtuka na kuomba. O: Muyaka kuno kulera bandu bangi khushira bukwimwi. T: Huu ugonjwa utawaua watu wengi kushinda ukimwi O: Mrutsi yabolela bandu bafwale bifunikhiro, besabe makhono, barekhe khutsia mumikhung’ano ne nibatsia mumikhung’ano beme are nende mundu ukhulonda. T: Kiongozi aliwaambia watuwavae barakoa, wanawe mikono, wawache kuenda mikutano na wanapoenda mikutano wasimame mbali na mtu anayemfuata. O: Mukhongo wa bulamu yabola mbu bandu barekhe khutsia mukelesia bekale mmadala. T: Waziri wa afya alisema kuwa watu waache kuenda kanisa wakae nyumbani. O: Basomi bakalukhe mumadala kefu. T: Wanafunzi warudi nyumbani kwao. O: Bebusi bali nende sibera mno. T: Wazazi walikuwa na huruma sana. O: Khulama Nyasaye olarekha bandu baye banyahane musialo. T: Tunamwomba Mungu asiwawache watu wake wakahangaika duniani. O: Ne wabola mbu wabali babiri nomba badaru olaba akari wabu. T: Na ulisema kwamba walipo wawili au watatu utakuwa katikati yao. O: Husaba mbu orukhonye khube nende bulamu bulayi. T: Nakuomba utujalie tuwe na maisha mazuri. O: Nasaye wandera msialo mno. T: Mungu aliyenileta humu duniani. O: Nako kongone onderekhere. T: Ni hayo tu unisamehe. O: BULWAYE BWA KORONA BUKHORERE MAKHUWA MALAYI KHUSHIRA MABI. T: UGONJWA WA UMEFANYA MAMBO MAZURI KULIKO MABAYA O: Kwali mwaka kwa makhumi kaviri nende ekhumi nende tisa. T: Ulikuwa mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa. O: Mwaka oko kwari mumu khuvandu khandi mwangu. T: Huo mwaka ulikuwa mgumu kwa watu wengine na pia ulikuwa mwepesi kwa wengine. O: Kwakira vandu vamanya makhuwa karia kavasiri khulolaho. T: Ulifanya watu wakajua vile vitu ambavyo hawakua wameona O: Rikhuwa riakwanza vyakhakira vanainchi vakhamanya khufwala barakoa, khusava vurisiha khuehonyera isabuni ya sanitaiza. T: Jambo la kwanza ulifanya wananchi wakajua kuvaa barakoa, kunawa kila wakati wakitumia sabuni ya kidudufishaji. O: Bulwaye buno bwa kharuhonya sana kwanza efuee vana vaskuli. T: Huu ugonjwa ulitusaidia sana kwanza sisi wanafunzi wa shule. O: Khusava were arukhonye vulwaye vuno nivuendelea khulava vilai sana. T: Tunamwomba Mungu huu ugonjwa ukiendelea tutakuwa vizuri sana O: Miziki rero kumao, vana khuihala mumadala nikhokona, T: Ngoma za usiku kwa matanga zikaisha, watoto tukakaa nyumbani tukilala. O: OBULWAYE BWA KORONA BWALERA MAKHUA MALAI KHUSIRA MABI. T: UGONJWA WA KORONA ULILETA MANUFAA KULIKO MABAYA. O: Obulwaye bwa korona buno burere amakhua malai khushira mavi. T: Ugonjwa wa korona umelete manufaa kuliko mabaya. O: Bwakira mana ni vukira ni khumanya okhu fwala nzibarakua ni msialo sino avulao mluhya yesiyesi ulafwalakho nzibarakoa dawe. T: Ulifanya tukajua kuvaa barakoa na kwa dunia yote hakuna mluhya yeyote aliyekosa kuvaa barakoa. O: Obulwaye buno bwari obwakhuchenya mno mana nibukira ebikuli ni bifungwa nende eviro ni fungwa. T: Huu ugonjwa ulikuwa waajabu sana na ukafanya shule zikafungwa na soko pia zikafungwa. O: Mana vana nibafwa nganjingokho ni vamala ni vasambwa nga amakaratasi. T: Watoto walikufa kama kuku na wakateketezwa kw moto kama karatasi. O: Nivukira avandu valanyarirwa ni vanyola msanda. T: Ulifanya watu wasiojiweza wakapata usaidizi wa msaada. O: Ngaba obulwaye buno uluyari mno hadi ngalusria omkhongo wefu we sialo siabumarachi enisinuka. T: Naupea huu ugonjwa heshima sana na pia namrejeshea kiongozi wetu wa mtaa wa bumarachi shukran. O: Lano esie mbulakho sia ndakha huva dawe siasava werekhakeve akhwimirire akarikari wesialo sino. T: Sasa mimi sina cha kuwapea ila naomba tu Mungu awatangulie katikati wa hii dunia. O: Etsinyanga tsia korona avaluya avangi vakira ni vafua nge tsingoho msialo siefwe. T: Siku za korona waluhya wengi walikufa kama kuku kwa nchi yetu. O: Mana avasikari ni vachaka hulipuwa tsibomu. T: Askari wakaanza kurusha vilipuzi. O: Biari mbu ni bakhunyola khumwanda ni vahuhuya eviviko. T: Ilikuwa kuwa wakikupata kwa barabara wanakupiga viboko. O: Mana avaluhya baangi khwari khwaria khurula rwanyi. T: Waluhya wengi tulikuwa tumeogopa kutoka nje. O: Khwari khwafungirwa mtinyumba. T: Tulikuwa tumefungiwa kwa nyumba. O: ELIZABETH AKINYI O: 54_BWLR O: OBULWAYE BWA KORONA NUKHORERE MAKHUA MALAYI KHUSHIRA AMABI. T: UGONJWA WA KORONA ULITUFANYIA MAZURI KULIKO MABAYA. O: Obulwaye bwa korona bwachaka omwaka kwa tsielefu tsibibiri, ekhumi nende tisa. T: Ugonjwa korona ulianza mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa. O: Khwaurira abasomi nibabola mbu buriwo obulwaye obukhurisya obulamu bwefwe. T: Tuliwaskia wasomi wakisema kunao ungonjwa unaogopesha maisha yetu O: Baboola embwe obulwaye obwo bufwanana nende muyaka kwe ikhoma. T: Walisema kuwa ni ugonjwa unaofanana na maradhi ya homa. O: Ni omuyaka omululu okuraandala khubirira khu abaandu khunyoolana mu amasika, khusamula nende abandu obudinyu bwa khuyeera. T: Ni maradhi mabaya, husambazwa kupitia kwa njia ya watu kukusanyika pamoja kwa matanga, kusafiri na watu walio na ugumu wa kupumua. O: Abasomi bariborera mbari abaandu beefwale tsimaski, amakanisa keekalwe, nende ebisomero musibala sya Kenya biikalwe ni khuumao khukendanirana. T: Wasomi walituambia kuwa watu wavae barakoa, kanisa zifungwe na shule zote nchini Kenya zifungwe na hakuna kutembeleana. O: Abasikari nibakhunyola nookendakenda nibakhubukurira amalako. T: Askari walipokupata ukitembeatembea na wanakuchukulia hatua. O: Obulwaye buno bugaamire amakhua malayi mu sialo syefu sya Kenya. T: Huu ugonjwa umeleta manufaa kwa hii nchii yetu ya Kenya. O: Amakhua amalayi kano ni kama okhufwala tsimaski, khusaaba emikhono nende khwema burambi bwa imita ndala khurula khu owasyo. T: Haya maneno mazuri ni kama kuvaa barakoa, kunawa mikono na kuzingatia kukaa urefu wa mita moja na nusu kutoka kwa mwenzako. O: Bale abandu vava nibakorwa okhweesaba lero luno beesaba burisikha. T: Wale watu waliokuwa hawajui kunawa wakati huu walijua kunawa kila wakati. O: Obulwaye buno bwaagamire amakhua makhongo sana mu sialo syefu sya Kenya. T: Huu ugonjwa uliletea watu maneno makuu katika nchi yetu ya Kenya. O: Khuumao okhurula mu stialo sya kenya otsia mu tsialo tsindi. T: Safari za kutoka Kenya kuelekea nchi zingine zilipigwa marufuku. O: Noonyorekhana noobukurirwa amalako aka omenya are nende abaasyo. T: Ungepatikana ungechukuliwa hatia ya kuuishi mbali na watu wengine. O: Omuruki wefwe yaboola mbu tsingira tsiosi tsiikalwe. T: Kiongozi watu alisema kuwa njia zote zifungwe. O: 59_BWLR O: BULUARE BWA KORONA BUHORERE MALAYI HUSHIRA MABI. T: UGONJWA WA KORONA UMEFANYA MAZURI KULIKO MABAYA O: Buluare bwa korona vuachakira mwaka kwa mahuni ishirini ndo kumi na tisa ni vuachakira buindi. T: Ugonjwa wa korona ulianzia wa elfu mbili na kumi na tisa, na ukaanzia kwa waindi. O: Obuluare buno buakhola malayi kama bindu biriba biekesia bandu husaba mahono buri siha nende hukira bandu balekhale aambi. T: Huu ugonjwa ulifanya mazuri kama kuwafanya watu kunawa mikono kila wakati na kukaa mbali na mtu mwingine. O: Obuluare vuwa korona vyahonya avana varia vajama huihala mudala vafurahia nde huihala mudala nde vandi vanyola tsinda nde hutsia hudeha. T: Ugonjwa wa korona ulisaidia wale watoto wanaopenda kukaa nyumbani wakafurahia kukaa nyumbani na wengine wakapata mimba wakaenda kuoleka. O: Vua kira avana vandi vasomera mutivi mana niveurira mno. T: Ulifanya watoto wengine wakasoma kutumia runinga na wakajiskia vizuri sana. O: Ngahuakaluha musikuli ikalenda ya chenjewa nende hurupungusiria thinyanga thiya huva msikuli. T: Tuliporudi shule kalenda ya masomo ilibadilishwa na kutupunguzia siku za kuwa shule. O: Kando na awo avana vandi vanyola tsikasi aina thisavi paka vandi vanyola amapesa kahukova msikuli hupungusiria vevusi vavu igarama ya mapesa ka hukova msikuli. T: Kando na hayo watoto wengine walipata kazi aina nyingi hadi wakapata pesa za kupeleka shule kuwapunguzia wazazi wao gharama ya pesa ya kupeleka shule. O: Nende varia avari mvikuli vya tsisekondari vanyola inafasi ya hukonyera awo mapesa ka huingira msikuli. T: Na wale waliokuwa kwa shule za upili walipata nafasi ya kutafuta karo. O: OBULWARE BWA KORONA. T: UGONJWA WA KORONA. O: Obulware bwa korona ni obulware bundu obulamanyikhane dawe. T: Ugonjwa wa korona ni ugonjwa mwingine usiojulikana. O: Buatsaka omwaka kwa elefu tsibiri nende makhumi kabiri, omwosi nikuri okua khudaru itare yaba ekhumi nende tsidaru. T: Ulikuja mwaka wa elfu mbili na ishirini, mwezi wa tatu tarehe ilikuwa kumi na tatu. O: Bwalula musialo silangwa mbari China. T: Ulitoka kwa nchi inaitwa China. O: Buola mu sialo sia Tanzania, buula Buganda khubuula mukenya. T: Ulifika nchini Tanzania, ukafika Buganda kabla ya kufika Kenya. O: Musialo sia abamari, buno ni bulware bwa matemo mu sialo siosi nende esia Kenya. T: Kwa nchi ya Afrika , huu ni ugonjwa wa maajabu kwa dunia nzima na nchi ya Kenya. O: Khusunga obwadodo buno ni obulware bundi obuakhasia abandu khuakhasia msala musialo esya Kenya. T: Kusema kweli huu ni ugonjwa mwingine ulioshinda watu kutengeneza dawa nchini Kenya. O: Noonyala kheikikha khulondana nende amalako aka bakhongo ba bulamu ababoola. T: Ukipata kujikinga kufwatana na sheria za wakuu wa afya walisema. O: Babola mbari khurie ebiakhuria bireera amani mumibiri kiefwe. T: Walisema kuwa tukule vyakula vinavyoleta nguvu mwilini mwetu. O: Ni khandi khwedinye khufwala tsimaski nikhuri mubandu, khulekhe khukhesania mikhono, khwesabe mikhono, khweeme vurambi bwa imita ndala nende bunusu are nende abaasiefwe nende khweesabe nikhurumikhira matsi kadonya. T: Na tena tujikaze kuvaa barakoa tukiwa pamoja na watu, tuwache kusalimiana kwa mikono, tunawe mikono, tusimame umbali wa mita moja na nusu tunapokuwa pamoja na wenzetu na tunawe kutumia maji yanayo tiririka O: Abaandu bandi beekhonyeranga amatsi khumala bulware buno obwa korona lakini bwamalanga buira abaandu abangi. T: Watu wengine walikuwa wanatumia maji kumaliza huu ugonjwa wa korona lakini ulimaliza ukawaua watu wengi. O: Buluare buno bwira muruki wa sialo sia Tanzania oolangibwa mbari John Pombe Magufuli. T: Huu ugonjwa ulimuua kiongozi wa nchi ya Tanzania anayeitwa John Pombe Magufuli. O: ABANDU MULUKONGO. T: WATU KWA KIJIJI. O: Ethingongo thinyingi ebuluhya thienyehana huhola ebindu bingi hulola mbu tsinyola huhuyana nende ebindu viholanga ehutsirira hwa abundu hukwa. T: Vijiji viingi vwa waluhya vinafaa kufanya mambo mengi ili wapate umaarufu wa kupambana na vitu vinavyo angusha watu kimaendeleo. O: Maendeleo mutsingongo tsiefu kenyehana hulingwa nende viongozi alala nende bazee ba muthingongo. T: Maendeleo kwa vijiji vyetu inafaa kushughulikuwa na viongozi pamoja na wazee wa vijiji. O: Omundu mwene ahoere huhola wa anyalirwa hu alole shinga ahonya tsingongo tsiefu huendelea huhula. T: Mtu binafsi anafaa afabye pale anawezewa ndipo ataona anavyo saidia vijiji vyetu kuzidi kuendelea kimaendeleo. O: Abasiani bosi bahoere huhuyana nende ovumanani, inzala nende vindu vindi vingi. T: Vjjana pia wanafaa kupigana na umaskini, njaa pamoja na vitu vingine vingi. O: Ni mbola mbu tsindulo tsindidi etsiulire hubole nende avasiani valala avaholanga obwifi msiro. Abasiani avakendanga msirima. T: Nikisema ya kwamba rika ndogo wakikaa pmoja na vijana watafanya wizi usiku. Wale vijana wanaotembea usiku. O: Mundu ahaile hudeshia, amenyere yong'ane yokorwa hudeha kata hufuya tsinguvo tsiaye. T: Mtu amekataa kuoa, anaishi pekee yake na hajui kupika hata kuosha nguo zake. O: Anyala hukenda sidere siosi nahava abundu wa anyala hulia. Ebasava bazee bosi avomtsingongo bavachesie vasiani vano muibarasa Mana vavole siavenyanga. T: Anaweza tembea mchana kutwa akitafuta mahali anaweza kula. Nawaomba wazee wote wa vijiji wawaitishe hawa vijana kwa mhadhara na wasema wanachotaka. O: Abahasi navo vahoere huhola jitihada tsiabwe hulola mbu abasiani babwe vanyolere avahasi banyala huvainua hu maisha kabwe. T: Wanawake nao wanafaa kufanya bidii zao kuona kwamba vijana wao wamepata bibi wanaoweza kuwainua kwa maisha yao. O: MUYAKA KWA KORONA KUKHOLERE MALAYI KHUSHIRA MABI. T: UGONJWA WA KORONA UMEFANYA MAZURI KULIKO MABAYA. O: Kwali mwesi kwa khudaru ni kuli ekhumi nende khusasaba, omwaka kwa elfu tsibiri nende ekhumi. T: Ulikuwa mwezi wa tatu tarehe kumi na sita, mwaka wa elfu mbili na kumi. O: Olwa mrutsi wa sialo siefwe Uhuru Kenyatta yabola mbu bikuli bwiosi bifungwe khubera muyaka kwa korona kulire mu kenya. T: Ambapo Rais wa nchi yetu Uhuru Kenyatta alisema kuwa shule zote zifungwe kwa sababu ugonjwa wa korona umefika Kenya. O: Muyaka kuno kwalera mnyakhano maangi. T: Huu ugonjwa ulileta shida mindi O: Bandu bangi baafwa korona bwakira khwakosia bandu befu bakhongo khongo. T: Watu wengi walikufa kutokana na korona, ukafanya tukawapoteza watu wetu wenye hadhi O: Alali korona bwaruekesea khwikhala ni khuli balafu. T: Hata hivyo korona ilitufunza kukaa tukiwa wasafi. O: Buariekesea Khusaba buli sikha, T: Ulitunza kunawa kila wakati. O: Khufunikha munwa nende molu nende khuikhala ale nende wasio. T: Kufunika mdomo na mapua na kukaa mbali na wenzetu. O: Bikuli bwiosi bana badong’a mdala. T: Shule zote wanafuzi walisalia nyumbani. O: Khulwe miosi tisa. T: Kwa miezi tisa. O: Abandu ba afya batema bakonye misala kia korona lakini sibanyola da. T: Watu wa afya walijaribu kutafuta dawa ya korona lakini hawakupata O: Khwadong’a nikhwang’ang’a bikha bwosi. T: Tulibaki tukiduwaa wakati wote. O: Mirimo kwosi kiafungwa tsimburusi tsiosi tsidonga nitsiemere. T: Kazi zote zilifungwa vifrushi vyote vikasalia vimesimama O: Bulwale buno bwakila bembi bosi mkenya balusia tsi nyimbo tswa korona. T: Huu ugonjwa ulifanya wasanii wote Kenya wakatoa nyimbo za korona. O: Bulwale buno bwakila khwamanya khusaba buli sikha. T: Huu ugonjwa ulifanya tukajua kunawa kila wakati. O: Bungi khwakosia bandu bakhongo balayi mkenya. T: Tuliwapoteza watu wengi wakubwa waliokuwa wazuri Kenya. O: Omwaka kwa tsibiro nende kuliba khupara ehabu nende tisa musialo syefu sia Kenya. T: Mwaka ulikwenda kwa kasi ungedhania tulikuwa na miezi tisa hapa nchini Kenya O: OBUMESI T: ULEVI. O: Obumesi ni bubi. T: Ulevi ni ubaya. O: Abandu banywetsanga ni bamesi bo lukano, handi nibakhamera ni barasi muno. T: Watu wanaokunywa ni walevi sana, tena wakilewa hukuwa wachokozi sana. O: Sibaria mundu dawe. T: Hawamwogopi mtu. O: Nikhamera muno shenyanga hurunga amatongolo ke sikuli kata nali mukholi we mirimo. T: Akishalewa sana hawataki kulipa karo ya shule hata akiwa mfanyakazi. O: Abamesi ba malwa sibakhonyanga bakhasi nende baana da. T: Walevi huwa hawasaidii mke na watoto wao. O: Mulekhe malwa karera bulware bukabukhane mumubili. T: Wacheni pombe ikalete ungonjwa tofauti kwenye mwili. O: Abamesi benyanga busuma nende siriro,inyeni nende ingokho. T: Walevi hutaka ugali kwa mboga kama samaki na kuku. O: Bino biosi bilangwa sinulu nomba binulu. T: Hizi zote zinaitwa kitoeo au vitoeo O: SIKULI SIA ABASIANI SIA BUJUMBA (BJB 20) T: SHULE YA WAVULANA YA BUJUMBA (BJB 20) O: Bujumba nisikuli sia abasiani T: Bujumba ni shule ya wavulana O: Sinyorekhanga Butula mkaunti ya Busia. T: Inapatikana katika eneo la Butula mkoa wa Busia O: Niwenya khutsia msikuli sia Bujumba wula Bumala obukula sipikipiki khu shilingi amakhumi kataruthionyone T: Ukitaka kuja katika shule ya Bujumba unafika Bumala unachukua pikipiki kwa shilingi thelathini O: Niula ao olalola ikanisa iria yombakhwe khurumihira amabadi khuchakira khusisi mpaka khusirama T: unapowasili hapo utaona kanisa ambayo imejengwa kwa kutumia mabati kuanzia kwenye ukuta hadi kwenye paa O: naohuba ikona ao nothirira huteremka olalola abundu baandikile sikuli sia abasiani sia Bujumba khao olaba niurire. T: kisha utapiga kona hapo na unaenedelea kuteremka utaona mahali wameandika shule ya wavulana ya Bujumba na hapo utakuwa umefika. O: ESIKULI SIA ABASIANI SIA BUJUMBA (BJB 25) T: SHULE YA WAVULANA YA BUJUMBA (BJB 25 O: OBUKHERI MUSHIALO T: UPENDO ULIMWENGUNI/DUNIANI O: Obukheri ni shindu shia maana mshialo muno T: Upendo ni kitu cha maana ulimwenguni huu. O: Obukheri bwenyekhana bwechesibwe buli abundu T: Upendo unatakikana ufunzwe kwa kila mtu O: Ubukheri ni ingabo ndala yakhulira ubuyanzi mshialo Ubukheri T: Upendo ni zawadi moja ya kuleta upendo ulimwenguni O: Khukarushira hubilia bia muulile okhubila huechesia omwaka kwa elfu thibili nende saba T: Kurudia kwa yale ambayo mumesikia kupita inafunza mwaka wa elfu mbili na saba O: khuemera biama abaruchi babi olwa bemera oburuchi sialo siosi sialola karia akekholekha. T: kusimamia kwao kwa vyama waongozi wabaya wakisimamia kiti cha uongozi ulimwengu mzima uliona yaliyofanyika O: Obukheri nibulabao tawe biachesia ari bandu si bali shindu shillala tawe kho khulonda shindu shilala shibolelwe bubechanga obutinyu T: Upendo usipokuwepo huonyesha kuwa watu huwa kitu kimoja na kufuata kitu chochote kitakacho kuwa kimesemwa ni vigumu O: kata sibe sindu esilayi nokho ukhukhula khwesialo siosisiosi T: Hata kiwe kizuri ama kitu kisichoweza kuleta kuinuka/ ama kuimarika kwa ulimwengu wowote O: Nibulayi bulala nende obukheri khutsira khalala khubera bindu bingi mshialo muno huba nende bulala ni sindu silayi muno T: Ni vizuri umoja na upendokuendea pamoja kwa maana vitu Vingi duniani/ ulimwenguni huu kuwa na umoja ni kitu cha maana Sana O: Sindu sindi siabandu bebililanga ni khuikhala akhalala nga sindu silala T: Kitu kingine ambacho watu wengi husahau kuwa/ kwamba ni kitu cha maana watu kukaa kama kitu kimoja O: Sindu sindi silolokhanga ni abandu hukhaya hutirana nende basiabo nende huba esindu silala T: Kitu kingine kinachoonekana ni mambo ya watu kukataa kuungana na wenzao na kuwa kitu kimoja O: Bulala ni sidu silayi mshialo hubera huba nende bulala hukairanga amahuwa nga obwifi kata kario khukaira abandu khukosa hujamana. T: Umoja ni kitu cha muhimu kwa sababu kuwa na umoja huwa kunazuia mambo kama vile wizi hata hivyo huwakosesha watu kupendana. O: Sindu sindi silolokhe mukari huba nende maendeleo ni sindu sia silayi muno khubera bulala nende bukheri nibindu bilayi muno, T: Kitu kingine kimeonekana kwa undani kuwa na maendeleo ni kitu cha maana sana kwa sababu umoja na upendo ni vitu vya maana sana. O: ESIKULI SIA ABASIANI SIA BUJUMBA (BJB 26) T: SHULE YA WAVULANA YA BUJUMBA (BJB 26) O: ESIKULI SIANGE T: SHULE YANGU O: Sikuli siange silangwa sikuli sia abasiani sia Bujumba, T: Shule yangu inaitwa shule ya wavulana ya Bujumba. O: sikuli siange sinyolekhana mulukongo lwa Bumala. T: Shule yangu inapatikana katika mtaa wa Bumala. O: Butula mkaunti ya Busia . T: Butula mkoa wa Busia . O: sikuli siange sili nende abana thimia munane nende kumi na saba (817) T: Shule yangu ina idadi ya wanafunzi mia nane na kumi na saba (817). O: Esie ndachama sikuli siange sia abasiani sia Bujumba khubera abasomi bakholanga bulayi khumareboK kabo. T: Mimi ninapenda shule yangu ya wavulana ya Bujumba kwa sababu wanafunzi hufuzu vizuri sana katika mtihani wao O: khushira muno khumarebo ka shialo shiefu sia Kenya. Handi obukholi bwa balimu nende abasomi nibulia obulayi sana. T: Haswa katika mtihani wa kitaifa na pia uhusiano wa walimu na wanafunzi ni bora Zaidi. O: sikuli sia abasiani sia Bujumba sisikholanga sa obulayi khumarebo konyone bakholanga bulayi khumibayo kiosi nga omubayo kwa lisibo, bali nende obujusi bwa lisibo T: Shule ya wavulana ya Bujumba haifanyi tu vizuri kwa masomo bali pia katika michezo mbalimbali kama vile mchezo wa kandanda. Wavulana katika shule hii wanaujuzi wa kucheza kandanda. O: Omwaka kwabila esikuli sia abasiani sia Bujumba siarusia abasomi thimia thine mkaunti yefu ya Busia nisio syiari sia mberi T: Mwaka uliopita shule ya wavulana ya Bujumba ilitoa wanafunzi mia nne katika mkoa wetu wa Busia hio ndiyo iliyokuwa ya kwanza. O: Sikuli siange sia abasiani sia Bujumba nisikuli sisafi muno khuchakira lwanyi, mchikilasi, abasomi nende balimu iumayo inyanga yolinyola obunyasi nibumerere nende okhuba oburambi msikuli siange T: Shule yangu ya wavulana ya Bujumba ni shule nadhifu sana kuanzia kwa mazingira, madarasa, wanafunzi n ahata walimu hakuna siku ambayo utapata nyasi ikiwa imemea na kuwa ndefu katika shule yangu. O: Buli nyanga olwa obunyasi buchaka okhumera budedwanga khurumukhira lishini. T: Kila mara nyasi inapoanzakuota na kuwa ndefu hukatwa kwa kutumia mashine. O: Handi ndabachama balimu bange hubera basomingia obulayi mpaka siriya syabasomisiye nisitha khumarebo khubiranga. T: Pia nawapenda walimu wangu kwa maana kuwa wanafunza vizuri hadi kile walichotufunza inapoletwa katika mtihani tunahakikisha tumepata. O: Humeda huako sikuli siefu siri nende thibasi thine thibasi ethio thirumikhirwanga mthishughuli thia masomo T: Kuongezea kwa hayo shule yetu ina basi nne na basi hizo hutumika katika shughuli za masomo. O: Esie ndajama sikuli siange sia abasiani sia Bujumba sindakhakana tawe. T: Mimi napenda shule yangu ya Wavulana ya Bujumbu na siwezi pinga O: S.ESIKULI SIA ABASIANI ESIA BUJUMBA (BJB 29) T: SHULE YA WAVULANA YA BUJUMBA (BJB 29) O: OKHUCHAMANA T: KUPENDANA O: Khubolela mwanawefu yaliyo omukhana oundi. T: Nakwambia mwanawetu kulikuwa na msichana mwingine O: Omukhana omulayi muno T: Msichana mzuri sana. O: khubolela omwana khulula mwikulu yalo niyelongangwa T: Nakwambia mtoto kutoka mbinguni aliumbwa akaumbika. O: S.KHUBALIA ABEBUSI T: KUHESHIMU WAZAZI O: S.Omwana akhoyele khumuria omwibusi nashiri nari omwana omutiti. Abebusi khubaechesie abana befwee emima emilayi, olwa achia musikuli yeinjisinjia khumakhuba ka omusialo muno. T: Mtoto anastahili kuheshimu wazazi akiwa angali mtoto mdogo. Wazaza tuwafunze watoto wetu nidhamu bora, akienda shuleni hujiingiza katika hulka mbaya za duniani. O: S.Mbolanga ori khulwa khubera abana bachakire khunania khumakongo. Esie philipo mbolere ni marire. T: Nasema hivi kwa maana watoto wameanza kutatiza vijijini. Wazazi dalili ya mvua ni mawingu. Mimi Philipo nimesema na nikamaliza. O: S.Omwana oundi abele Bumala , abele omutiti nakonyanga olwa anyala khunywa einjaga nindeleba mumoyo kwange abebusi ba omwana uno balio nokho tawe. T: Mtoto mwingine amekuwa katika mtaa wa Bumala, amekuwa mdogo na anatafuta jinsi ya kuvuta bangi nikajiuliza moyoni mwangu wazazi wa mtoto huyu wapo ama hawapo O: ESIKULI SIA ABASIANI SIA BUJUMBA (BJB 32) T: SHULE YA WAVULANA YA BUJUMBA (BJB 32) O: OMUKHANA OMULAYI T: MSICHANA MZURI O: Enywe mwesi lwa mwikhale mlanyola yena omukhana omulayi? T: Nynyi wote mlivyo keti mtapata wapi msichana mzuri? O: Mkhana omulayi oukhola emirimo obulayi kata otsie Tanzania T: Msichana mzuri anayefanya kazi vizuri atauende Tanzania O: omukhana omulayi ni uriauria sa owachama ikasi yaye nende ukhola bila okhulondwa T: msichana mzuri ni yule yule tu anayependa kazi yake na uwajibikaji wake. O: Omukheri wange kata okhuosia sifuria siyali niyamanya tawe. T: Mpenzi wangu hata kuosha sufuria hakuwa anafahamu kamwe. O: Esie mwene ndeekha khola emirimo cha abakhasi naye mwene niyekhale sa nende okhukona. T: Mimi mwenyewe napika nafanyi kazi za wanawake lakini naye anataka kukaa tu na kulala. O: Khulula khumoyo kange; T: Kutoka moyoni mwangu O: ndebanga abaechesi bakhonye nyoole omukhasi oundi ounyala khuhola ikasi obulayi. Uonyala hukhalabanila nimba nilwala T: Kutoka moyoni mwangu; nauliza wachungaji wanisaidie nipate mwanamke mwingine aliyebora. Msichana anayeweza kufanya kazi vizuri. Anayeweza kunishughulikia nikiwa mgonjwa O: ESIKULI SIA BUJUMBA (BJB 35) T: SHULE YA BUJUMBA (BJB 35) O: Babolanga bali: ukhulisia akhuya mao niwikhale T: Huwa wanasema kuwa: anayekulisha anawezakumpiga mamako ukiwa umeketi O: Abandu abatapeli nibo balia babola shinga olwa bakhukhonyanga khubulishindu, khutsingubo, shingaolwa bakhulisia nende kata khbakhonya abebusi bao sakira khubolanga khuba T: Watu wa korofi ndio ambao wanasema jinsi wanakusaidia kwa kila kitu, kwa mavazi, anavyokulisha na hata kusaidia wazazi wako ndio maana tunasema kwamba O: Ukhulisia akhuba mao niwikhale. T: Anayekulisha anapiga mamako kama umeketi. O: OKHWEYANDIKISIA MSIKULI SIA BUJUMBA (BJB 38) T: KUJIANDIKISHA KATIKA SHULE YA BUJUMBA(BJB 38) O: Ndabukha nende omwibusi wange itsuli khutsia msikuli. T: Niliamka na mzazi wangu asubuhi na mapema kwenda shuleni O: Ndamureba mbu khutsitsanga msikuli? Ori nende amang’ondo kokhunyingisia musikuli sia Bujumba? T: Nikamuliza yakuamba tunaenda shuleni? Una karo ya kuniingiza katika shule ya Bujumba? O: Esie ngorirwe nikaba balajama nyingire musikuli sia Bujumba okhubera omwimirisi wesikuli esio alaenya amang’ondo. T: Mimi sijui kama nitakubaliwa kuingia katika shule hiyo kwa sababu mwalimu mkuu wa shule hio atahitaji karo O: Olwa khwaola sa muofisi mwa omwirisi wa sikuli, khwengira mukari omwimirisi owasikuli namreba omwibusi wange mbu ogamire omwana wao? T: Tulipofika tu ofisini mwa mwalimu mkuu, tulingia ndani mwalimu mkuu akamuuliza mzazi wangu kuwa umeleta mtot wako? O: Omwibusi nafukira mbu emugamire asome T: Mzazi akajibu kuwa naam nimemleta asome O: omwimirisi owasikuli esio namreba mbu witsire nende aman’ondo ka okhumwandichisia? T: Mwalimu mkuu wa shule hiyo akamuuliza kuwa umekuja na hela ya kumwandikisha? O: Omwibusi namkalusia ari Sari nende obunyali tawe obwa khunyola amang’ondo tawe T: Mzazi akamjibu ya kwamba yeye hana uwezo wowote wa kupata pesa. O: Ewe nga omwimirisi owasikuli sino ekhusaba tsa okhonye khubera esie sindi nende obunyali bwosibwosi tawe T: Wewe kama mwalimu mkuu wa shule hii nakuomba tu unisaidie kwa maana mimi sina uwezo wowote O: Omwimirisi nabolera mwibusi wache ari sikhunyala okhumufuchilira omwana wao nasiri okhulipa amang’ondo tawe. T: Mwalimu mkuu akamwambia mzazi wangu kwamba hatuwezi kumruhusu mwanao kama bado haujalipa pesa O: okhubera mirimo tsia sikuli sitsinyala okwikhola omwana wao nasiri okhulipa amang’ondo tawe. T: pesa kwa sababu kazi za shule haziwezizikafanyike mtoto wako asipolipa karo. O: Omwibusi wange yamririra omwimirisi kata siyabulira tawe namubolera ako namakhuba kao. T: Mzazi wangu alimlilia mwalimu mkuu lakini hakuskia akamwambia tu hayo ni mambo yako. O: nende omwana wao oyo. T: Na huyo mtoto wako. O: Khalano esie singa omusiani sabanga balia abanyala okhukhonya bakhonye. Manyire mumburire. T: Sasa mimi kama mvulana naomba wale ambao wanaweza kunisaidia wanisaidie. Najua mmenisikiza. O: Orio. T: Ahsante O: S:elira liangeni misheli okwero. T: jina langu ni misheli okwero. O: S: nesie mbolanga ati nyendelea vilayi sana mumasomo kange. T: nami nasema kuwa naendelea vizuri sana kwa masomo yangu. O: S: mshukula muno huichanga huekesia mafunzo mbalimbali. T:nawashukuru sana kwa kuja kufunza masomo mbalimbali. O: S: musikuli muno hujamanga hufujwa mafunzo kama mathi nende kiswahili,sayanzi nende sosoli ako niko kahusomanga musikuli. T: hapa shuleni tunakubali kufunzwa mafunzo kama hisabati na kiswahili, sayansi na somo la jamii; hayo ndiyo masomo tunayosoma shuleni. O: S: masomo ni malayi sana kabisa. T: masomo ni mazuri sana. O: S: valimu alala na vanafuji mbolanga ati nyenya mbali vecha vaange vavolanga ati mukhonyekho na valimu vange khu msiba kwange. T: walimu pamoja na wanafunzi nasema kuwa ati nataka rafiki zangu wanaosema nisaidieni na walimu wangu kwa msiba wangu. O: S: olumarachi ni ludinyu kabisa. T: kimarachi ni kigumu sana. O: S: ati mama wange yambolela ati ninjiikasa mumalebo alangova hucha khukendela wa nyanya. T: ati mamangu aliniambia nikijikaza kwa mtihani atanipeleka kwenda kumtembelea nyanya. O: S: nidalavira malevo kange ka mwaka kuno nyole makisi mia mbili na nane. T: nikipita mtihani wangu wa mwaka huu nipate alama mia mbili na nane. O: S: we can still talk about oluluhya. T: tunaeza bado ongelelea kiluya. O: S: oluluhya niludinyu kusema ukweli. T: kiluhya ni kigumu kusema ukweli. O: S: ata esie ndi mluhya lakini nalukorwa. T: hata mimi ni mluhya lakini sikijui. O: S: nange ndula mulukongo lulangwa akany. T: nami natoka katika kijiji kiitwacho akany. O: S:inyanga luundi ndatsia khusiro hukula omena vwa makhumi karano. T: siku moja nilienda sokoni kununua omena wa hamusini. O: Luno no lusungo lulala whu tsisungo tsiriya tsinyorekhana musialo siefwe sino sya kenya sino ethimbeka wa ebukwe musialo esiya abamarachi. T: Hii ni lugha moja miongoni mwa lugha zinazopatikana nchini kenya sehemu zetu za marachi O: No lusungo lwehonyerungwa nende abamarachi abali mubuluhya. T: Ni lugha inayotumika na wamarachi waliyo uluhyani O: No lusungo olwarula khulivo abamarachi. T: Ni lugha iliyotoka kwa hao wamarachi O: Khulwokhuba mbu omuluhya mulala yalwana nende omunyolo namala namyinga amaani; naye omunyolo namborera mbu marachi! mbwitsifumbi “ mluhya ni mundu mbi”. T: Kwa sababu mluhya mmoja alipigana na mjaluo kisha akamshinda nguvu, naye mjaluo akamwambia ati ‘marachi!’ kimafumbo “mluhya ni mtu mbaya O: Nebidong’a mbu omuluhya omumarachi asunga olumarachi. T: Ikabaki kuwa mluhya mmarachi anazungumza kimarachi O: Olhumarachi nolusungo lhuria lhuri nde tsimbia etsia amera ka abandu,aketsisolo,akevyamo, akebilibwa,akamayoni nende akandi kaliyo. T: Kimarachi ni ile lugha iliyo na aina ya majina ya watu, wanyama, mimea, vyakula, ndege, na mengineyo. O: Naye khaandi bali ne emiliango emingi muno etsilangwa mbu etsinono ni nitsiyo etsilenyekhananga okhudeshaniya nga nan’gayo, nafoyo, nasimalwa,nabonwe, namudu, nebele nende tsiindi tsiosi nga etso sibadeshanianga dawe!. T: Vilevile wana milango mingi mno iitwayo ukoo ambazo hazikubaliki kuoana miongoni mwao kama vile nang’ayo, nafoyo, nasimalwa, nabonwe, namudu, neebele, pamoja na nyingine kama hizo zisizooana. O: Mulhumarachi khulimo nende amera ka lwibulwa nga kuka, kukhu, baba, mama, senje, khootsa, mufyala, akhasi nende amera ketsinyanga etsia kharusia imwo khu mwaka kalangwa mbu irotso nende esirumbi. T: Katika kimarachi tuko na majina ya ukoo kama vile babu, bibi, baba, mama, shangazi, mjomba, mama mkwe, mwanyumba pamoja na majina ya majira ya mazao kwa mwaka ambayo ni irotso na esirumbi O: Esisangasiakho muno mulhumarachi ni etsingano nende eminay tsimbakha tsia kuka nende kukhu vaanganilanga mbu ngavaliyo hale nende tsinyimbo tsia veembanga etsia olhumarachi. T: Kinachoshangaza sana katika kimarachi ni ngano na hadithi za babu na nyanya/bibi wanazonipigia kuhusu walivyokuwa kitambo na nyimbo walizokuwa wakiimba za kimarachi. ndajama olusungo luno khulwo khuba mbu ndebulwa omumarachi khaandi sunganga olumarachi.napenda lugha hii kwa sababu nilizaliwa mmarachi na tena nakizungumza kimarachi hiki. O: Olumarachi ni sindu sia mundu ahoere alomelome na esie nende ifamilia yange . T:Kimarachi ni kitu ambacho mtu anapaswa kuongea na mimi na familia yangu O: Na elira lia babuange lijulikana kama onyango na lira lia mamange lijulikana kama ruth na esie mumera nangunga ouma nesiye ndajama hulomaloma olumarachi sana. T:Na jina la babangu linajulikana kama onyango na jina la mamangu linajulikana kama ruth na mimi kwa jina naitwa ouma name napenda kuongea kimarachi sana. O: Ata nende ifamilia yange yajama hulomaloma olumarachi. T:Hata familia yangu inapenda kuzungumza kimarachi O: Alafu mzee wange yajama huruka aina ya thisolo thinendi thizungukananga kama ing’ombe ,imbusi, likondi, nende tsing’okho kwa wingi. T:Hata mzee wangu yuapenda kufuga aina ya wanyama wanaozunguka kama vile ng’ombe, mbuzi, kondoo, pamoja na kuku kwa wingi. O: Alafu thisolo thinendi nithiahamala huhula anyolanga biashara thinyingi sana. T:Pia wanyama hawa wakishakua yeye hupata biashara nyingi sana O: Vandu vamwithulangaho sana mbu venya huruka thingoho thiya igredi. T:Watu hujaa kwake sana ati wanataka kufuga kuku wa gredi. O: mapesa ka tsingoho thiya igredi thirerangamo thishilingi thinyingi sana. T:Pesa za kuku wa gredi huleta faida nyingi sana. O: Thishilingi ethio thijulikananga kama mahumi mia moja nende sindu. T:Pesa hizo hujulikana kama elfu kumi mia na zaidi. O: Yajama hukusia husiro sia butula avandu vaajama humuthiaho humukulaho ethingokho, thing’ombe,kila aina nende makondi mangi sana . T:Anapenda kuuza soko ya butula ambapo watu hupenda kumwendea kununua kwake kuku, ng’ombe, kila aina na kondoo wengi sana. O: sianyala huhuvolera ni mzee unendi ni mundu unyala huruka vulisindu. T:Ninachoweza kukuambia ni mzee huyu ni mtu anayeweza kufuga kila kitu. O: omanyirekho nanyola mundu ulia ulomaloma olumarachi mweresie eshima thinyingi. . T:unajua akipata yule mtu anayezungumza kimarachi mpe heshima nyingi O: inyanga ndala hualiyo nende ijophu nende haveve. T:siku moja tulikuwa na ndovu na mnyama mdogo O: ijophu yaliikonere asi wa musala mani hulano yali yahapumuzika vilayi injushi yalula eria ni ingira mumolu ka injofu eyo niichaka hurula mavanga mumolu kario, haasie harula eria nihanyola injofu iliranga nihalorera injofu huruma sana nihathia mumolu huinia inzushi iria. T:ndovu alikwa amelala chini ya mti na sasa alikwa anapumzika vizuri nyuki alitoka kule na wakaingia mapuani mwa ndovu huyo hadi akaanza kutoa damu, mwenzake alitoka kule akampata ndovu analia akamwonea huruma sana akaenda mapuani kumtoloea yule nyuki. O: injofu yafurahiya sana niimwa shukurani inyingi sana. T:ndovu alifurahia sana na kumpea shukrani nyingi sana. O: hadithi inendi yahabwera awo. T:hadithi hii imeishia hapo. O: Olumarachi ni malomerero kabamarachi. T:Kimarachi ni maongezi ya wamarachi. O: lukongo luefu lwa madowa luajama hulomaloma nende khuluurira vilai vya thio. T:Kijiji chetu cha madowa kinapenda kukiongea na kukisikiza vizuri sana O: Olumarachi lualioya nga busuma bueingokho . T:Kimarachi ni kitamu kama ugali kwa kuku. O: Sana sana lumarachi lulomalomangwa nende bazee bamulukongo. T:Mara nyingi kimarachi huzungumzwa na wazee wa kijiji. O: Ndali ndula mulisomero ndakutana nende hulola mahuba kandi kalaliho kajamisiaho tawe. T:Nilikuwa natoka shuleni nikakutana na kuona mambo ambayo hayakuwa ya kuridhisha O: ndalola nende thimoni thiange, mundu yaruhesia ende ipikipiki nierusia thimbiro sana. T:Niliona na macho yangu , mtu aliyetusalimia na kupita kwa pikipiki akiendesha kwa kasi sana. O: Haandi yaliamerere nde baandu bari bahirire humwanda; nesikha sa sididi ndaulira sa inyuma wange puup! T:Tena alikwa amelewa na watu wlikuwa wamejaa barabarani; na kwa muda mfupi nikasikia nyuma yangu puup! O: huema khulinga inyuma khandi ndalanga mundu ubere umerere yahaduya mwana urula mulisomero na yahaduywa sirenje siakhafunikha khumuluku. T:Kusimama kuangalia nyuma tena niliita yule alikwa amelewa amemgonga mtoto aliyekuwa anatoka shuleni na amegongwa mguu ukavunjika muundi. O: Ni bamama bari nibahirire humwanda kuria bosi balola siekholekha mani nibachaka khuuba thimbungu wuuih! Wooih! T:Na wamama waliokuwa wengi pale barabarani pia waliona kilichotendeka na wakaanza kupiga nduru wuuwih!wooih! O: khuborera basikari boola abundu awo basikari sa barano T:Nakwambia askari walifika mahali pale askari watano. O: kabaakhola khasatsa kharia mpaka mthiofisi thiabwe kari kaherere omulamu. T:Waliomtenda yule mwanaume hadi ofisini mwao yalikuwa ya kuua mtu mzima O: Musatha ulia yaaberwa bivoko khumukongo kwali khufwana nga likondi lia ranzai. T:lMwanaume yule alipewa viboko mgongo ulikuwa unafanana kama kondoo mwekundu O: Baakinga mwana oyo bamkova vundu vya yali narerekhe murwe nende hufwalulwa thingubo huthia khusinga mumwalo khandi ende matsi keifula. T: T;:Walimbeba mtoto huyo na kumpeleka kule alikwa ameacha kichwa na kuanza kutolewa nguo kwenda kuoga mtoni tena na maji ya mvua. O: Katasa olumarachi lunyala lwalomwa lomwa nende mundu yesiyesi yani abora waluelewa. T:Tena kimarachi kinaweza kuzungumzwa na mtu yeyote yaani mradi unakielewa O: Olumarachi kata niluri mbu nomanomere kabamarachi omundu yesiyesi anyala yabalomeramera kata munjira yekhwekesifwa. T:Kimarachi hata kama nimeongelea ya wamarachi mtu yeyote anaweza akawazungumzia hata kwa njia ya kufunzwa. O: khaandi likhua lindi ni olumarachi luamanyikhana musialo siosi. T:Tena jambo linguine ni kimarachi kinajulikana duniani kote. O: Kata kario esie ndi omumarachi lakini nyala ndalula ano ndaathia mulukongo luundi ndasambasia olumarachi khaandi lua baandu baurira sa bilai bia tsio. T:Hata hivyo mimi ni mumarachi lakini naweza kutoka hapa nikaenda kijiji kingine nikasambaza kimarachi tena kinachosikika vizuri sana O: amera kaandi ka mulumarachi nende thinono thilikho ebumarachi thino thilangwa nafoyo, namwima, nekunda,nang’ayo nende tsiindi tsirikho. T:Majina mengine ya kimarachi na ukoo unaopatikana kwa wamarachi ni kama nafoyo,namwima, nekunda, nang’ayo na nyinginezo. O: esye ndevyulwa mulukongo lwa evumarachi. T:mimi nilizaliwa katika kijiji cha wamarachi O: hua hera hulomaloma olumarachi kata nisya musomero. T:tunapenda kuzungumza kimarachi hata tukienda shuleni O: halehale huarulirawo nende rusolo ruviri rwa musino rwalangwangwa mbuu siduyu nende ifisi. T:hapo zamani za kale paliondokea wanyama wawili wa porini walioitwa sungura na fisi. O: siduyu nende ifisi vari nende vevusi nende avana vavyo. T:sungura na fisi walikuwa na wazazi na ndugu zao. O: lano vandu vano vali varuka ing’ombe mana ing’ombe ino niyithia niyivula. T: watu hawa walikuwa wamefuga ng’ombe na ng’ombe huyu akajifungua. O: lano siduyu nisiyali kama mwenye ing’ombe hulwohuvera niye waheranga mavere kano. T:kwa hivyo sungura ndiye aliyekuwa kama mwenye ng’ombe kwa sababu ni yeye aliyekuwa akikama maziwa. O: lano niyahamala huhera yethanga nathiya aviha munyumba mwaye lano vana va ifisi vavondanga kata nivetha veva maveere. T: alipomaliza kukama alikwa akiyaweka chumbani mwake nao wana wa fisi wakuwa wakiyanyemelea na kuyaiba maziwa yale. O: lano siduyu siyetha nisivatha ifisi mbu esiye ngandolanga ni heri huthie nihuira vamama vefu . T:sungura alikuja na kumdanganya fisi eti jinsi anavyoona ni vyema waende wawauwe mama zao O: lano kufisi nakwo kwetha ni kuva kujinga mani nikumala kwera mama waye naye siduyu nga amalangaho avaho mjanja naye yamala yathiya yamkisa mama waye. T:fisi alikwa mjinga na baadaye akamwua mama yake naye sungura na ujanja wake akaenda na kumficha mama yake. O: lano vamala nivathia alala nivendeleya humenya. T:baadaye walienda na kuendelea kuishi pamoja O: lano kuduyu kuwetha nikuchaka vujanja mbuu nivyula saa saba mbu inda ikuthuna kuthia mchoo lano ifisi ikororwe siyendeleyanga hane siduyu naye yayiranga mama waye vyakhuria nithiyehola mu saa saba. T:sungura alianza ujanja ati ifikapo saa saba anaumwa na tumbo hivyo kwenda msalani; fisi hajui kinachoendelea kumbe sungura alikuwa akimpelekea mama yake chakula ilipofika saa saba. O: lano yetha yanalirira ifisi nayo yetha ni ireva siduyu mbu ichoo yawo ino nayo ni yo vuri saa saba sa? T: alikuja akazoea hadi fisi alipokuja na kumwuuliza sungura hii choo yako ni ya kila saa saba tu? O: lano yetha nathiya ifisi yesi amala amulondakho kalakala mana namala nanyola vuwadodo mbu hane siduyu sisyera mama waye hava . T:kwa hivyo alipoenda fisi pia alimfuata polepole na mwishowe apata ukweli kwamba sungura hakumwuua mama yake. O: lano ngaiyeyibanga saa saba nayirira mama waye vyahurya. T:kumbe alikwa anajificha saa saba kumpelekea mama yake chakula O: lano ifisi yalinda nga siduyu avuwao naye amala yera mama siduyu mana hurula awendyo siduyu nende ifisi ni avasuku . T:fisi alingoja sungura alipoenda naye akamwua mama yake na kutokea hapo sungura na fisi ni maadui O: lano eso siyakhavethanga esikano siya kuduyu nende ifisi. T: Hiyo imekuwa hadithi ya sungura na fisi O: ESYE NI MUMARACHI. T:Mimi ni mumarachi. O: NDULANGA HULUKONGO LULANGWA MBUU NYAPERA AKANYO. T:Natoka katika kijiji kinachoitwa Nyapera Akanyo. O: ESIE NDAKHASOMA MUSIKULI SILANGWA MBU BUKATI. T:Mimi nasoma katika shule ya Bukati O: BUKATI NI SIKULI SILAYI. T:Bukati ni shule nzuri. O: KHUANJA MASOMO NDAKHASOMA MUSIKULI SINO. T:Kuanza masomo nimesoma katika shule hii O: EFWE VAMARACHI LIANI LIA KHUAJAMA NI OMENA. T:Sisi wamarachi mboga tunayopenda ni omena O: EFWE NGA VAMARACHI HULI NENDE MIMA MILAYI . T: Sisi kama wamarachi tuna tabia nzuri. O: OLUMARACHI NI INOMANOMA YEFU YA NYASAYE YALUBERESYA. T:Kimarachi ni lugha yetu ambayo Mungu alitupa. O: NYASAYE YALUBERESIA INOMANOMA INO. T:Mungu alitupa lugha hii. O: ESYE NGA MUMARACHI KHOYA KHULIA VUSUMA VUNJI SANA. T:Mimi kama mumarachi napaswa kula ugali mwingi sana O: olumarachi ni lusungo olwa bamarachi . T:kimarachi ni lugha ya wamarachi. O: mukenya khuli nende abamarachi basunganga olumarachi. T:nchini kenya tuna wamarachi wanaozungumza kimarachi. O: mukaunti ya busia khuli nde bamarachi bangi hushira mukaunti ya bungoma. T:katika kaunti ya busia tuna wamarachi wengi kuliko kaunti ya bungoma O: mukenya abamarachi bangi bali mukaunti ya bungoma. T:nchini kenya wamarachi wengi wako katika kaunti ya bungoma O: mukenya abamarachi bangi bali mukaunti ikhongo mukenya eyilangwa nairobi. T: Nchini kenya wamarchi wengi wako katika kaunti kubwa nchini kenya iitwayo nairobi. O: ikaunti inendi ilolokha khubajamisya abandu abangi. T:kaunti hii inaonekana kuwapendeza watu wengi. O: abamarachi bangi berukhila mukaunti eyo ya nairobi. T: T;wamarachi wengi hukimbilia kaunti hiyo ya nairobi O: buri nibushya abandu baangi bekombanga khula nairobi. T:kila uchao watu wengi hutamani kufika kaunti hii ya nairobi. O: Ikaunti ya nairobi ino yabajamisia abamarachi baangi. T:kaunti hii ya nairobi huwapendeza wamarachi wengi. O: buri mumarachi yekombanga khuba niyolakhuo nairobi. T:kila mumarachi hutamani kuwa amefika nairobi. O: abamarachi nibatsia nairobi beuranga bilai khuba mbu bali mutauni. T:wamarachi wakienda nairobi hujihisi vizuri kwa kuwa wako jijini. O: kando nende ako nibatsia nairobi banyolangayo bindu tofauti nende ebiri bumarachi. T:kando na hayo,wakienda nairobi huwa wanapata vitu tofauti na vilivyo marachi O: kando nende ako kosi abandu bano yani abamarachi nende abakikuyu abali nairobi babadilishananga amakhuwa. T:kando na hayo yote watu hawa yani wamarachi na wakikuyu walio nairobi hubadilishana mambo mengi. O: khulondana nende olurimi olwa bakikuyu, abamarachi bakhaluelewa bwangu ta. T:kutokana na lugha ya wakikuyu, wamarachi hawawezi kuielewa haraka. O: ni benya khumanya lukikuyu ni lazima beeke ni bale kata si bakhamanya ta lukikuyu. T:wakitaka kujua kikikuyu ni lazima wajifunze ikiwa hata hawawezi kukijua. O: abamarachi abosi bekombanga mbu bosi babekho abatajiri nga abakikuyu. T:wamarachi pia hutamani kuwa wao pia wawe matajiri kama wakikuyu O: olumarachi ni oluga olwa bandu abangi bamanya sa khulomaloma na lakini bakorwa huandika. T:kimarachi ni lugha ya watu wengi wanaojua kuongea lakini hawajui kuandika O: kata kario ni balomalomanga olumarachi si balusunganga ngilwa lwenyekha khaba tawe. T:hata hivyo iwapo huongea kimarachi hua hawazungumzi kama inavyotakikana. O: okhuba olwibulo olwa isaino lwatupira ale olumarachi okhuba abandu abalusunganga bilayi bakhuya sialo mateki. T: kwa ambavyo kizazi cha sasa kimetupilia mbali kimarachi huwa watu wasiokizungumza vizuri na wamepiga dunia mateke. O: olumarachi ni inomanoma isungwanga nende baluhya varulanga vumarachi nende vandu varulanga mulukongo lundi. T: kimarachi ni lugha inayonenwa na waluhya wanaotoka kwa wamarachi na watu wanaotoka kijiji kingine. O: olumarachi hu vamarachi ni inomanoma indorondoro huvera vamanya hulusunga. T: kimarachi kwa wamarachi ni lugha rahisi kwa sababu wanajua kuizungumza O: valuhya vajama husunga olumarachi huvera nivo ni vamarachi, nivo vevulwa vumarachi, vahusivwa vumarachi. T: waluhya wanapenda kuzungumza kimarachi kwa sababu wao ni wamarachi, wao walizaliwa umarachini na wakalelewa umarachini O: onyala hunyola mundu undi ni mjaluo lakini yakorwa lujaluo yamanya sa lumarachi mana niye asunga lumarachi okala ni mmaraachi mwene. T: unaweza pata mtu mwingine ni mjaluo lakini hajui kijaluo anajua tu kimarachi na anakizungumza kimarachi udhani kuwa ni mumarachi asili. O: olumarachi lwa kundihwa nende vamarachi nende valuhya. T: kimarachi kilibatizwa na wamarachi na waluhya O: olumarachi ni inomanoma ya husunganga efwe vamarachi mumadala kefu nende rwanyi wa naisomero. T: kimarachi ni lugha tunayozungumza sisi wamarachi nyumbani kwetu na nje ya shule. O: bora ori musomero riefu valimu vefu vahaya vindu vya husunga lumarachi lakini ni vidinyu hureha husunga huvera ni inomanoma yefu. T: mradi uko shuleni mwetu walimu wetu walikataa mambo ya kunena kimarachi ingawa ni vigumu kuacha kuzungumza kwa sababu ni lugha yetu O: lakini nga lwa mwalimu yahaya hwa pungusia. T: kwa ambavyo mwalimu alikataa tulipunguza. O: alafu handi ndihua ndindi ni lumarachi nolaekere hulusunga siwakhanyala hulusunga dawe paka weekesie hi omanye hulusunga haandi si wekera dawe inyanga ndala kose thiviri no odirire mahua kosi ko lumarachi mpaka wekesivwe nende mundu wamanya inomanoma eyo. T: pia neon linguine ni kimarachi usipojifunza kuongea huwezi kukizungumza; mpaka ujifunze ndipo ujue kuongea na tena huwezi jifunza kwa siku moja au mbili na ushike maneno yote ya kimarachi; mpaka ufunzwe na mtu anayeifahamu lugha hiyo. O: olumarachi ni lulomaloma lwa vamarachi. T: kimarachi ni lugha ya wamarachi. O: ndamanya hulomaloma luno hurula huvevusi vange nende luyaa lwefu. T: najua kuongea hiki kutoka kwa wazazi wangu na jamii yetu. O: ndeuliranga vilai muno ninomanoma lulomaloma lwefu huvera nyasaye nie wenya nderumihire lulomaloma luno huasiliana nende vandu vaandi vilia viavanyala huluulira. T: huwa najihisi vizuri sana ninapozungumza lugha yetu kwa sababu mungu ndiye alitaka niitumie kuongea na kuwasiliana na watu wengine kile wanachoweza kusikia. O: olumarachi luno ni lwa maana huvera avulao omumarachi ulia unyala yalomaloma nende mumarachi wasie tsinomanoma tsindi khurula mutsinzya tsiindi tsia vakororwe khaandi tsia valanyala huulira nende huelewa. T: kimarachi hiki ni cha maana kwa sababu hakuna mumarachi anayeweza kuongea na mumarachi mwenzake lugha zingine kutoka makabila mengine wasiyoyajua na wasiyoweza kusikia na kuelewa O: esiakhuuchisia ni avamarachi ohululomaloma ni oluraisi lakini ohuluandika nolumu muno paka onyole amasomo ko khuluandika kho onyole ngo oluandika lakini okhululomaloma no uhuraisi sa nga omurere nikurerekha khulurimi. T: cha kushangaza ni kwamba wamarachi kukizungumza ni rahisi lakini kukiandika ni kigumu sana mpaka upate mafunzo ya kukiandika ndipo upate jinsi ya kukiandika lakini kukizungumza ni rahisi tu kama mlenda unapoteleza kwa ulimi. O: olumarachi ni lusungo lwefwe. T: kimarachi ni lugha yetu O: khwajama lusungo olo khubera ni lwabebusi befwe bakhuliramo. T: tunaipenda lugha hiyo kwa sababu wazazi wetu walikulia ndani. O: anyuma awo bebusi befwe balusomanga kata lwetsanga mumarebo. T: hapo awali wazazi wazazi wetu walikwa wakikisoma na hata kilikwa kinatahiniwa O: mama wange yanganiranga mbu yakholanga bilai mumarebo lumarachi. T: mama yangu alikuwa akinihadithia eti alikwa anafanya vizuri katika mtihani wa kimarachi O: yabethanga inamba yamberi. T:yeye alikuwa nambari moja. O: kho lusungo olo nilulayi khwekomba lukalukwewo hulusome. T: kwa hivyo lugha hiyo ni nzuri nay a kutamani kurudishwa tuisome. O: esie ndi nende miaka mahumi ehumi nende kane. T: mimi nina miaka kumi na minne O: ndulanga mulukongo lwa madowa. T: huwa natoka kijiji cha madowa O: ndajama lugha lwange. T: napenda lugha yangu O: somanga musikuli sia bukati. T: nasoma katika shule ya bukati. O: ndi mukilasi ya saba. T: niko katika darasa la saba O: esie ndulanga mulukongo lwa nyabera. T: natoka katika kijiji cha nyabera O: olumarachi ni iluga lwa vevusi bange. T: kimarachi ni lugha ya wazazi wangu O: ndevulwa muvumarachi ndi mumarachi . T: nilizaliwa umarachini mimi ni mumarachi O: somanga bumarachi. T: nasoma umarachini O: lukongo lwefu luno lwosi ni lwa bamarachi. T: hiki kijiji chetu chote ni cha wamarachi. O: esie ndajama ovumarachi sana. T: mimi napenda umarachini sana O: hare ao ndari nende kuhu wanje mumarachi yamborera mbari niye yevulwa vumarachi yadekha vumarachi ng’ina mwana ni mumarachi. T: hapo awali nilikuwa na nyanya yangu mumarachi aliyeniambia kuwa yeye alizaliwa umarachini, akaoleka umarachini na mama yake ni mumarachi. O: sarirulaho muvumarachi dawe. T: hatawahi toka kwa wamarachi O: vumarachi nisio siveti siae . T:umarachini ndio kibeti chake O: yejama mwene nga lukongo lwae. T: anajipenda mwenyewe kama kijiji chake O: sikuli sianje sio bukati ndasijama huvera nia somanga masomo kange ka nyorerangakho akili. T: shule yangu ya bukati naipenda kwa sababu ndiko ninakosoma masomo yangu ya kupata akili. O: nyolangakho mafunzo mbalimbali kama hudeha ,huosia vindu nende vindu vindi mbalimbali . T: huwa napata mafunzo mbalimbali kama kupika ,kuosha vyombo,pamoja na vitu mbalimbali. O: esie ndajama masomo kanje ka somanga vulinyanga . T: mimi napenda masomo yangu ninayosoma kila siku O: kamberesianga ihekima. T:huwa yananipa hekima O: esie inono yange ni nafoyo. T: mimi ukoo wangu ni nafoyo O: mama yanje ni nang’ayo naye baba ni mfofoyo. T: mama yangu ni nang’ayo naye baba ni mfofoyo O: olumarachi ni lusungo lwa bebusi vanje no lusungwangwa nende abandu baria benya huchakira khu makutano ko mwanda kwa bumala b nokhwitha butula khuula bumala a. T: kimarachi ni lugha ya wazazi wangu na huzungumzwa na wale watu kuanzia kwa mikutano ya barabara ya bumala b ukija butula kufika bumala a. O: esie mumera kanje bananganga everlyne ogolla naye khaandi ndi omumarachi wa butula, olukongo lwange lulangwangwa bukati. T: mimi majina yangu naitwa everlyn ogolla na tena mimi ni mumarachi wa butula, kijiji changu chaitwa bukati. O: esunganga lumarachi khubera hulio nende bandu bandi bakorwa luswahiri nano vibida nomanome lumarachi lakini baandi baamanya oluswairi luong’ane. T: huwa nazungumza kimarachi kwa sababu tuko na watu wengine wasiojua kiswahili hivyo inabidi kuongea kimarachi na pia wengine wanajua kiswahili peke yake. O: khulula muvutiti bwange ndali ndamanya olumarachi lakini ngi ndatsia mwisomero baangaluhania nimanya oluswairi nende lusungu niinjaka khuibilira olumarachi. T: tangia utotoni mwangu nilikwa najua kimarachi lakini nilipoenda shuleni niligeuzwa nikajua kiswahili na kiingereza nikaanza kusahau kimarachi. O: buleka wefwe eno abandu banji balomalomanga lumarachi khubera belanganga bamarachi. T: kwa upande wetu watu wengi huzungumza kimarachi kwa sababu wao hujiita wamarachi. O: kuka wanje nasili omulamu yambolelanga mbali nie nasili mtiti yali yakorwa khulomaloma luswaili naye haandi sibatsitsanga ta mwisomero. T: babu yangu akiwa hai alikwa akiniambia kuwa yeye akiwa mtoto hakuwa anajua kuongea kwa kiswahilina tena hawakuwa wanaenda shuleni. O: batoto basomanga ingo nende bakukhu babwe hulula mtsingano naye khaandi nambolela isiri indi mbali hale awo ni wali wajama lumarachi walichingi kalibu mwitsa wa vulimundu khubera bandu bali bajama luga lwabu. T: watoto walikuwa wanasoma nyumbani na nyanya zao kutoka kwa hadithi na tena akaniambia siri nyingine kuwa hapo awali iwapo ulikuwa unapenda kimarachi ulikwa rafiki wa karibu kila mtu. O: esie mwene ndachama oluluya khubera mutsinyanga tsino bakofu bangi bamanyile luswaili lakini badidi balomalomanga lumarachi nano notsia abali nimlomaloma T: mimi mwenyewe napenda kiluhya kwa sababu siku hizi wazee wengi wanajua kiswahili lakini ni wachache wanaozungumza kimarachi sasa ukienda kule walipo mnaeza zungumza. O: lira liange lilangwa mbu immaculate daisy. T: jina langu naitwa immaculate daisy. O: esie esomanga musikuli sia bukati. T:mimi nasoma shule ya bukati O: esie ndamenya mulukongo lwa nyapera hambi nende esiro sia butula. T:mimi naishi kijiji cha nyapera karibu na soko la butula. O: esie ndi nende miaka ehumi nende kirano. T: mimi nina miaka kumi na mitano. O: esie nyenya hulomaloma hulondokhana nende amakhua kandaurira mbu kario hare. T: mimi nataka kuongea kufuatia maneno niliyoyasikia yaliyokuwa kitambo. O: mbu avandu vaandi vario avembikiti mno nae mirwe kiavwe chiari mikhongo mno. T:ati watu wengine walikwa wafupi sana ilhali vichwa vyao vilikwa vikubwa sana. O: kho mundu wa tsana oyo nianyarirwanga hukwakho asi siari anyarirwa huvuuha dawe. T: kwa hivyo mtu mwenyewe angewezeshwa kuanguka chini hangeweza kuinuka tena. O: bandu baandi vari vemiero mbu navukana nawe nahuhesia mulembe na ahureva mbu unduthiri ena. T: watu wengine walikuwa wachokozi na angekutana nawe akusalmie habari na akuulize ulinionea wapi. O: nomuvorera mbu hundakhulola nahuchaka miero mbu omurekere nae nomuvorera mbu huluthire hare eria navuna nievurera mbu hane yesi ni mundu mhongo. T: ukimwambia ati ndio nimekuona na atakuchokoze ati umemdharau na ukimwambia ati nimekuona kitambo kule na anyamazie ati kumbe yeye pia ni mkubwa. O: oluhya lwa vandu vano lwari luohunyasia mno. T: jamii ya watu hawa ilikuwa ya kusumbua sana. O: kho avandu vandi vamala vawuya ambi nende avandu avo mana nivathia khumenya aare ninavo huvahaye huva nende miero ninavo. T: kwa hivyo watu wengine walihama kutoka karibu na wao na kwenda kuishi mbali na wao ili wasichokozane na wao. O: vulano mrembe kurio nae no thiayo vasiri varisa nende miero. T:kwa sasa kuna amani na ukienda bado wana uchokozi . O: vulano kaera ewe ulathiayo. T: kwa sai shida ni kwa yule atakaeenda huko. O: inyanga indi huavere huthire arusi indi ao mulukongo lwa bukati. T: siku moja tulikuwa tumeenda harusi nyingine hapo katika kijiji cha bukati. O: huanyorere vandu vaangi mno. T: tulipata watu wengi sana O: vyahuria vyavere viingi haandi mitokaa kiosi kiavere mingi. T: chakula kilikuwa kingi na magari pia yalikuwa mengi. O: bibi arusi nende vwana arusi vavere vafuarire thinguvo thindai. T: bibi harusi na bwana harusi walikuwa wamevaa nguo za kupendeza. O: vana vavu vosi vavere vafuarire vilai. T: watoto wao pia walikuwa wamevaa vizuri. O: huarire ikekhi indai, yavere nde madoido mangi kashainanga. T: tulikula keki tamu, ilikuwa na madoido mengi yanayopendeza. O: yali yakhoola masaa ko huria vyakhuria khuarire viakhuria nga thichapati , maandasi , mchere, thisoda, mathi nde ijuisi. T: ulipofika wakati wa kula tulikula vyakula kama chapatti, maandasi, mchele, soda, maji na juice. O: khaandi huarire matunda. T: tena tulikula matunda. O: iarusi nga yabwere vuri mundu yavwereo wavu huvera ifula yaavere yenya huchaka hukwa. T:harusi ilipokamilika, kila mmoja alienda kwao kwa sababu mvua ilikua inaanza kunyesha. O: nga ndaavere sa muungo ndanyorere vevusi vange veehale asi we msala ni vasoma magazeti haandi nivaurira iredio. T: nilipofika nyumbani niliwapata wazazi wangu wameketi chini ya mti wakisoma magazeti na kusikiliza redio. O: mamuange yandevere mbu arusi ivere endie , esie ndamvorere mbu arusi yavere indai haandi huarire vyahuria vingi mpaka huekura. T:mamangu aliniuliza jinsi harusi ilivyokuwa , nikamwambia ilikuwa nzuri tena tulikula vyakula vingi mpaka tukashiba. O: babuange yarurebere vyahuria vilai nga? Ikekhi nde isoda, handi yarurebere maembe nde machungwa matamu. T:babangu alituliza vyakula vitamu kama? Keki na soda, tena akaulizia maembe na machungwa matamu. O: mama naye yarukurire thinguvo thindai. T:mama naye alitununulia nguo nzuri. O: hootha wange yangurira iuniform thisoksi, viraro, isweta nde vitavo . T:mjombangu alininunulia sare, soksi, viatu, fulana na vitabu. O: hwathire msikuli ndengira muklasi ya saba. T: tulienda shuleni nikaingia darasa la saba. O: hwasomere vilai ndaavere namba ndala. T:tulisoma vizuri nikapita nikawa nambari moja. O: yali ichuli ndaavukha ninjaka hutairisha ichai. T: ilikuwa asubuhi niliamka nikaanza kutayarisha chai. O: ndaathia mujikoni ni thafia muliro hudeha ichai ili hunywe. T: nilienda jikoni nikawasha moto kupika chai ili ninywe. O: viha vididi ndari ndahamala hudeha ichai. T: kwa muda mfupi nilikuwa nishapika chai. O: ndathia ni vusia vevusi vaange veethe vang’we ichai. T: nilieenda nikawaamsha wazazi wangu waje wanywe chai. O: ndalanga vevusi vange ili hung’we ichai alala. T:niliwaita wazazi wangu ili tunwe chai pamoja. O: ndasava vevusi vaange inyafasi ya huthia hulola veetha vange. T: niliwaomba wazazi wangu ruhusa ya kwenda kuwaona rafiki zangu. O: vevusi vange vaamba inyafasi ya huthia huvalola veetha vaange. T: wazazi wangu walinipa nafasi ya kwenda kuwaona rafiki zangu. O: huviha evio ndathia no huchaka huitayarisha ili huthie viha vilai vya hustada nende vetha vaange. T: kwa wakati huo nilienda kuanza kujitayarisha ili kwenda wakati mzuri wa kudurusu na rafiki zangu. O: ndaitayirisha na nivukula vitavo vyange ndachaka lukendo saa kumi. T: nilijitayarisha na kuchukua vitabu vyangu nikaanza safari saa kumi. O: ndakenda vilayi ndalia vilai ndakaribishwa vilai nende veetha vange huachaka husoma nende hustada saa kumi nende thidakika mnane. T: nilitembea vizuri, nikakula vizuri, nikakaribishwa vizuri na rafiki zangu tukaanza kusoma na kudurusu saa kumi na dakika nane. O: huastada imathi ;msomo kwa luswairi huvera hwali nende viha vididi huastada misomo kiviri eko nihumarire. T: tulidurusu hisabati, somo la kiswahili; kwa sababu tulikuwa na muda mfupi tulidurusu tu masomo hayo mawili tukamaliza. O: ngenya huthia muungo. T: nilitaka kurudi nyumbani. O: mwitha wange yamborera niinde alangoova huvera yenya hungova. T:rafiki yangu aliniambia kuwa nisubiri atanipeleka jioni kwa sababu alitaka kunipeleka. O: ndaamua mana ndarinda huthie angove. T: niliamua basi nikangoja anipeke. O: ndarinda mpaka ndaajong’a. T: nilingoja mpaka nikachoka. O: syalo siachaka huva msiro. T: kulianza kuwa giza. O: ndaamua huthia humuringa siaholanga nga mnyola ajong’ere hung’ang’arira nimvorera angove na ahaya. T: niliamua kwenda kuangalia anachokifanya nikampata amechoka na kuduwaa , nikamwambia anipeleke akakataa. O: ndakasirika no hurula na ninjaka lukendo lwa huthia mdala. T: nilikasirika na kutoka kuanza safari ya kwenda nyumbani. O: yari msiro saa mbili. T: ilikuwa usiku saa mbili. O: nari nende wasiwasi nga vyari niviingire igiza yariyo inyanga eyo. T: nilikuwa na wasi wasi kwa kuwa tayari giza lilikuwa linaingia. O: na nga nari sieng’ene. T: na nilikuwa pekee yangu. O: nalolanga vaandu ni thifisa mpaka viha ndalola wefwe. T: nilikuwa naona watu najificha mpaka nilipofika nyumbani kwetu. O: inyanga eyo paka isaino siri huva nende mwicha. T: tangu hiyo siku mpaka sasa sijawahi kuwa na rafiki. O: mwicha ni adui wawo. T: rafiki ni adui wako. O: ahulola nga adui. T: anakuona kama adui. O: esye sinyenyanga dawe mwitha. T: mimi huwa sitaki rafiki. O: mpaka isaino sindi ende mwitha. T: mpaka sai sina rafiki. O: nyenya mwitha mulai. T: nataka rafiki mwema. O: esie ndevulwa muvamarachi . T: mimi ni mzawa wa marachi. O: hurula omowarano mulukongo lwa vukat. T: tunatoka kijiji cha bukati. O: vevusi vange vosi kwanthia mberi. T: wazazi wangu wote walienda kwanza. O: olukoko wefu ano nyasaye niye waruwa khaandi yaruwa nga ilomaloma yolumarachi. T: jamii yetu hapa ni mungu alitupa tena alitupa kama lugha ya kimarachi. O: nomanomanga olumarachi olo nende vevusi vosi. T: huwa naongea kimarachi hicho na wazazi pia. O: esie kata nindula huisomero nindahakaluha mudala nomanomanga olumarachi. T: mimi hata nikitoka shuleni nikirudi nyumbani huwa nazungumza kimarachi. O: kata mama wange alomalomanga olumarachi. T: hata mama yangu huzungumza kimarachi. O: esie kata mama wanje nanduma huduka nzithanga thimbiro. T: mimi hata mama yangu anitumapo dukani mimi huenda mbio. O: mulukongo lwefu luno ihida ivlahowo ohuva sa vana nivathia mwisomero ende sapatu ni mli muisomero. T: kijiji petu hapa hamna shida ila wanafunzi huenda shuleni na champali O: novola vari vana vathie nde vilaro vieisomero ende thisoksi vukati navo lano vaurira vari muthie ende vitukutuku. T: ukisema kuwa wanafunzi waende na viatu na soksi bukati nao wanasikia ati muende na champali. O: lano kata muisomero yefwe ino ni ye tsishida kata vana sivaurira da. T: kwa hivyo shule hii yetu ni ya shida wanafunzi hawasikii. O: nivavola vino navo vahola vino. T: wakisema hiki wao wanafanya vile. O: eyo sa niihida iri muisomero yefu ino husava sa ewe kama mzee wefu novolaho sindu vandu valaurira hosa lano nako sa mulusungo lwa haviri. T: hiyo ni shida iliyo shuleni humu na tunaomba wewe kama mzee wetu ukisema kitu watu watasikia kwa hivyo ni hayo tu kwa lugha ya pili. O: esie inono yange ni nafoyo na mama wange ni susana babuange ni mufofoyo omangirecho. T: mimi ukoo wangu ni nafoyo na mama yangu ni susana; babangu ni mfofoyo. O: kata esie dari dakorwa inono yange kata dari chire muisomero mwalimu yandeva vari mwesi mwamanya chinono chienywe. T: hata mimi sikuwa najua ukoo wangu. Hata nilikwa nimeenda shuleni mwalimu akaniuliza nyinyi nyote mnajua ukoo wenu?. O: vana vandi vavola vari vamanya nasi mwalimu ngayandeva vari yewe wamanya inono yawo ndamureva vari inono nisina mwalimu yaborera vari yewe kata nokora niwenya vuhonyi nivahureva vari muri bantu sina wolavola vari sina . T: wanafunzi wengine walisema ati wanajua nami mwalimu aliponiuliza iwapo unajua ukoo wako nikamwuliza ukoo ni nini mwalimu; aliniambia ati wewe hata ukipotea ukitaka usaidizi uulizwe ati nyinyi ni watu wepi utasema nini? O: lano mwalimu yaborera vari muchie mulule burek. T: kwa hivyo mwalimu aliniambia kwamba nendeni mapumziko O: ngandari nithia ingo mwalimu yamberesia habarua ngobere bebusi vange. T:nilipokuwa nikienda nyumbani mwalimu alinipa barua nipelekee wazazi wangu. O: esye ndulanga mukongolo. T:mimi hua natoka mukongoo O: baba ni mvonwe naye mama ni namcheka hurula lukhari. T:baba ni mvonwe naye mama ni namcheka kutoka lukhari. O: viha vindi nindula muisomero thithanga mdala musaa rihumi nende lala hurula muisomero ninzia mdala. T: wakati mwingine nikitoka shuleni huwa naenda nyumbani saa kumi na moja kuelekea nyumbani. O: nzulanga mudala ninzosia vindu vichafu mama narula huagario ni mumualo mama amboreranga thie mumualo mathi kahudekha. T:huwa nafika nyumbani na naosha vyombo vichafu; mama akitoka kibarua ni mtoni . Mama hua ananiambia niende mtoni maji ya kupikia. O: ninzia mumualo mathi kahudeha nzithanga nindola singangasi thimoni ya hulanga muluswairi mbu itivi. T:nikienda mtoni huwa naenda kuona cha kufurahisha macho tunachokiita kwa kiswahili televisheni. O: mama afunanga sivoko humwanda nietha anzire mumualo nahuya vivoko sa viviri huvirenge nithiruha mpaka mudala ndarekha sibuyu mumualo. T:mama huchuna kiboko barabarani na kuja nilikoenda mtoni nakunichapa viboko tu viwili kwa miguu na nakimbia mpaka nyumbani na kuacha mtungi mtoni. O: mama ngaukana nasi mbukula sapato thiruha mumutaro huisinga . T:anapokutana nami nachukua champali na kukimbia mtoni kwenda kuoga. O: mama akaluha amborere thia wisinge luangu nyenyanga othie okule omena vwamuria sapa. T:yeye huniambia enda ukaoge haraka nataka uende ununue omena wa chajio. O: ndaakaluha mdala nindula huisinga nindevaha mafura kohuivaha. T:nikisharudi nyumbani nikitoka kuoga najipaka mafuta ya kujipaka. O: hane mama amarire hufuna sivoko yenyanga huhuya. T:kumbe mama ashachuna kiboko tayari kunichapa. O: ngindengira sa munyumba mama yaandira mhono yachaka huhuya vivoko. T:nilipoingia chumbani mama alinishika mkono na kuanza kunichapa viboko. O: ndalila lakini aumao wenz a hukonya mama arehe huhuya. T:nililia lakini hakuna aliyekuja kumwambia mama aache kunichapa. O: kuhu yeetha na afungula mriango na akania mama arehe huhuya. T:nyanya alikuja na akafungua mlango na kumkataza mama aache kunichapa. O: mama yaamberesia mapesa nzie ngule omena . T:mama alinipa pesa niende ninunue omena. O: ndavukula mapesa ni nzia thimbiro thia makana. T: t:nilichukua pesa na kwenda mbio za ajabu. O: huvera manyire mbu athohuhuya khaandi. T:kwa sababu najua atanichapa tena. O: ndaavukula ipepabag ya uhuru ndathia thimbiro hukula omena vwa hularia sapa. T:nilichukua karatasi ya uhuru nikaenda mbio kununua omena wa chajio. O: inyanga yange ya kwanza huthia muisomero. T: siku yangu ya kwanza kwenda shuleni. O: chiari chitaru ithuri musaa mbili ndari siri ngona. T: ilikuwa saa tatu asubuhi ipatayo saa mbili nikiwa bado nalala. O: mama yeetha hunanga nasi ndari ngororwe esya nangiranga T: mama alikuja kuniita na sikujua alichokuwa akiniitia O: ndavuha thimbiro nga mulalu. T: niligutuka kama mwendawazimu. O: naye mama yamborera mbu yenyanga hungova muisomero. T: naye mama akaniambia kuwa anataka kunipeleka shuleni. O: S; ngandaulira sa endiyo ndarukaruka nindi ende vusangafu . T: niliposikia tu hivyo nilirukaruka nikiwa na furaha. O: mama ngayamala humborera naye athia mujikoni hudekha ichai. T: alipomaliza kuniambia naye akaenda jikoni kupika chai. O: ichai nga yari yakhayia mama yamborera ndere vikombe nzuhe ichai ng’we mberi. T: chai ilipoiva mama aliniambia nilete vikombe nimimine chai tunywe kwanza. O: mama naye yathia mwisinjiro huwesinja huyethe anywe ichai. T: mama naye alienda bafuni kuoga ndipo akarudi kunywa. O: mama yanywa ichai ngayamala khunywa ichai yasinga niyafuala inguvo yanje ya khusamula. T: mama alikunywa chai na alipomaliza akaniosha na kunivisha nguo yangu ya safari. O: ndari siri mbuma iyunifomu yo muisomero. T: nilikuwa bado sina sare. O: ngahuamala huefuala khuafungao omuliangilo kwe inyumba mana nikhuchaka lukendo luohuthia mwisomero. T: tulipomaliza kuvalia nguo tulifunga mlango wa nyumba na kuanza safari ya kwenda shuleni. O: ngahuola humuliangilo kwe muisomero huakutana nende avana vaandi nivavayanga lwanyi wo mwisomero. T: tulipofika kwenye lango kuu shuleni tulikutana na wanafunzi wengine wakicheza uwanjani shuleni. O: siesi ndari nyenya khutonyera awindio huvaya ninavo lakini mama yangania niaborera mbu huthie mberi muisomero. T: hata nami nilitaka kubakia hapo kucheza nao ila mama alinikataza na kuniambia twende kwanza. O: nasi ndamala nisinyiha niinjaka hulira. T: baadaye niliudhika na kuanza kulia. O: mama yamala niananga niyanginga niyanomba. T: mamangu baadaye aliniita akanibeba na kunibembeleza. O: huathia paka muofisi ya mukhongo wa muisomero uli mbu ni mulwe wa muisomero. T: tulienda paka ofisini mwa mwalimu mkuu ambaye ni kichwa cha shule hiyo. O: mama nge yamvolera mbu yahandera muisomero. T: mamangu alimwambia kuwa amenileta shuleni. O: naye yamkaribisia alala ninasi. T: naye akamkaribisha pamoja nami. O: yamala yamborera mbwe atsie humwalimu we ikilasi. T: baadaye alimwambia aende kwa mwelekesi wa darasa. O: huathia ninaye ndala hu ndala. T: tuliandamana moja kwa moja. O: ngahuola humwalimu we ikilasi mama yamushesia ni nambolela mbu yakhandela mukilasi yaye okhusoma. T: tulipofika kwa mwelekezi wa darasa mama alimsalmia na kumwambia amenileta darasani mwake kusoma. O: naye yali mwalimu wo bukheri. T: naye alikwa mwalimu wa upendo. O: mama ngayamala khulomaloma naye mwalimu yambolela nzie mbaye nende vasiange. T: walipokamilisha mazungumzo , mwalimu alinielekeza niende nicheze na wenzangu. O: ndaathia ndavaya sienyene ndari ngororwe ata omwana mulala muisomero. T: nilienda nikacheza peke yangu sikumjua hata mwanafunzi mmoja shuleni humo. O: esie ndeevulwa vumarachi haandi ni ilugha yefwe nga vamarachi. T: mimi ni mzawa wa marachi na tena ni lugha yetu kama wamarachi. O: esie inono yange nangwa nafoyo . T: mimi ukoo wangu ni nafoyo. O: esie ndula mulukongo lulangwangwa ati bukati. T: natoka kijiji kinachoitwa bukati. O: eyo vandu valomalomanga olumarachi khaandi olumarachi lurimo vindu vingi sana. T: huko watu huongea kimarachi tena kimarachi kilicho na vitu vingi. O: vyahulomaloma nothia mkanisa thirio thisala thia valomalomanga mlumarachi. T: tunavyovizungumza ukienda kanisani kuna sala zinazosemwa kwa lugha ya kimarachi. O: inyanga eyo ndaathia mkanisa na mkanisa ndalola vandu ni valama thisala. T: siku hiyo nilienda kanisani na kanisani naona watu wakiomba sala. O: isala eyo vandu valamanga ati mrembe maria, withule inema mhulundu ari nawe huyevwa thimbavasi ,maria mtakatifu ng’ina nyasaye savira hefwe aviono vulano nde inyanga yefwe yohufwa amina. T: sala hiyo watu huomba ati salamu maria, umejawa neema mungu yu pamoja nawe,kukurehemu,maria mtakatifu mama wa yesu,tuombee sisi dhambi zetu sasa na siku yetu ya kufa amina. O: vandu vaangi valamanga mulumarachi. T: watu wengi huomba kwa kimarachi. O: olumarachi ni lugha lwefu. T: kimarachi ni lugha yetu. O: olumarachi ni lulai mno khaandi hwakhaluhaye tawe huvera ni lugha lwefu lwahwanala. T: kimarachi ni kizuri sana tena hatutakikataa kwa sababu ni lugha yetu tuliyoizozea. O: mulukongo lwefu vario vandu vakhongo ata chief wohulukongo yesi alomalomanga lumarachi ; niye yelolanga omumarachi. T: kijijini mwetu kuna watu wakubwa ata chifu wa kijiji pia huzungumza kimarachi; na hujiona mumarachi. O: vakuka vefu vahare vosi vamanya hulomaloma lumarachi kamili khaandi lumarachi lurimo vindu vingi vya vandu hulomalomanga. T: mababu zetu wa kitambo pia wanajua kuzungumza kimarachi kamili tena kimarachi kina vitu vingi ambavyo watu huzungumza. O: niwenya mapesa mulumarachi babolanga mbu amatongolo. T: ukitaka pesa kwa kimarachi watu husema ati pesa [matongolo] O: khaandi niwenya hulanga ati kumi na mbili mlumarachi valanganga mbu ehumi na tsiviri. T: na ukitaka kuita kumi na mbili kwa kimarachi huitwa ati [ ehumi na tsiviri] O: handi niwenya hulanga sitavyo vakuka vefu valaanganga lukaratasi. T: tena ukitaka kuita kitabu mababu zetu huita karatasi. O: niwenya hulanga lubeseni mulumarachi kamili valanganga lwesingiro. T: ukitaka kuita besheni kwa kimarachi kamili huitwa [lwesingiro] O: niwenya hulanga sibuyu mlumarachi kamili valanga mbu sikube. T: ukitaka kuita mtungi kwa kimarachi unaitwa [sikube] O: olo nilwo lumarachi kamili. T: hicho ndicho kimarachi kamili. O: Esie mumela nangwa pamphyl wasande. T: Mimi kwa majina naitwa pamphyl wasande O: Esie sinda seisome mumasomo kanendi seisimbusekho lindalo lefu linyole vulamu esa. T: Nataka nisome hata mimi angalau niamshe boma yetu ipate maisha O: ese ndula lukongo lwa nyapera . T: Natoka katika kijiji cha nyapera O: Esie somakho sindu sia ndajamaa singe singongo lero. T: Sai masomo ni kitu ambacho napenda kama vijiji vya sai. O: Esie ababusi bange vanzubula some namoni seisi nziekho mumasomo makhongokhongo kalarimo. T: Wazazi wangu walinizaa nisome ili mbeleni hata mimi niendeleze masomo ya juu yasiyo katika jamii yetu. O: Kawariwo nende lwimbo lundi lwa vazee lwembwanga maick senge oluumbe luno lwakhabere lurungungwa mana lukhaya khuira bakharungire ing’ombe alala nende tsinyimbo tsiindi. T: palikuwepo na wimbo mwingine ambapo wazee na shangazi walikwa wakiimba, “hiki kifo kingekwa kinalipwa na kikose kuua kingelipwa ng’ombe pamoja na nyimbo zingine. O: na khaandi mulukongo olo bapaanga mashindano ketsisolo. T: na katika kijiji hicho palipangwa mashindano ya wanyama O: Khalekhale kaliyo nende siguri sihongo sia makhuwa kama ako nende mundu mulala wali niyaruka tsisolo tsie musino tsikhongo tsilangwa mbu lukolo lwa misala mikhongo lukali nende esolo indi yalangwa mbu elinani liali linyola mundu nilimumila makala. T: Kitambo palikuwa na uwanja mkubwa wa matukio kama hayo. Mtu mmoja alikwa amefuga wanyama pori wakubwa hivyo waliitwa kijiji cha miti mikubwa sana pamoja na mnyama mwingine aliyeitwa nyani aliyekuwa akila watu mara moja. O: Khwaliyo nende mwana we sikhana wali niyenya khuingira musinduru sia manani lano mwana mukhana oyendio natsia khulenya tsiikhwi mani mwana mukhana oyo nakutana nelinani mani linani likhongo nililola mbu shino neshi mudu mana nilimumila makala. T: Kulikuwa na mtoto wa jinsia ya kike aliyetaka kuingia kichakani pa nyani akitaka kutafuta kuni; alikutana na nyani mkubwa naye nyani akamwona mtoto huyo kama kitu kidogo mbele yake na kummeza haraka sana. O: Esie ndula munyumba yabafofoyo esie mwene ndi mufofoyo nakhaandi esie ndula mulukongo lwa nyapera. T: Mimi natoka ukoo wa wafofoyo na mwenyewe ni mfofoyo na tena natoka kijiji cha nyapera. O: Esie mwene ndi muluhya na khandi amabanga kaange ni ka bamarachi. Omundu wikhalanga mubuluhya ni sindu sikhongo na khaandi omundu sakhoyere khulerakho omubayo kwosikwosi . T: Mimi mwenyewe ni mluhya na tena damu yangu ni ya kimarachi. Mtu anayekaa uluhyani ni kitu kikubwa na tena mtu hafai kuleta mchezo wowote. O: lila liange ni juliet akinyi okoth na esie ndi mwana wamanya sikuli sinendi sia bukati. T: jina langu ni juliet akinyi okoth na mimi ni mwanafunzi anayejua shule hii ya bukati. O: nya khulomaloma sa olumarachi. T: nataka kuzungumzia tu kimarachi. O: olumarachi ni sina? T: kimarachi ni nini? O: olumarachi ni iluga yefwe. T: kimarachi ni lugha yetu. O: bora obe mumarachi ni iluga yebwe hunyala khuurisiana mu iluga yefwe. T: mradi uwe mumarachi ni lugha yetu tunaweza kusikilizana kwa lugha yetu. O: olumarachi ni olukongo lwa nyasaye yaruberesia . T: kimarachi ni kijiji alichotupa mungu. O: nyasaye yalonga sialo musimanyilisie siaye. T: mungu aliumba dunia mjue ni yake. O: inyanga ya kwanza yalonga thinyanga musiro nende itsuri. T: siku ya kwanza aliumba siku, usiku na mchana. O: ya khubiri yalonga amaresi; keifula nende keekesia ifula yumayo. T: ya pili akaumba mawingu; ya mvua na yakuonyesha hakuna mvua. O: yokhutaru yalonga abandu baamenya musialo nende vyakhuria. T: ya tatu aliumba watu wanaoishi duniani na vyakula. O: itsuri ining’ining’i ibetsangao lakini siwahalola khaba khubera riuba ribetsanga ambi nende sialo. T: asubuhi nyota huwa lakini huwezi iona kwa sababu jua huwa karibu na dunia. O: kho siwakhalola dawe thining’ining’i nende mwosi kubetsangao musiro; riuba riumangao musiro. T: kwa hivyo huwezi ona nyota na mwezi huwa usiku; jua nalo haliwi usiku. O: inyanga yokhunee nyasaye yalonga mayoni nende mwalo. T: siku ya nne mungu aliumba ndege na mto. O: mayoni kano ni kama tsingokho, riungu, riyoyo T: ndege hawa ni kama kuku, mwewe na bata O: inyanga ya sita nyasaye yalonga bandu nende tsisolo ni fwesi huchaka huibulana nokhuba baanji musialo siefwe. T: siku ya sita mungu aliumba watu na wanyama na sote tukaanza kuzaana na tukawa wengi duniani. O: inyanga ya saba nyasaye yaulukha. T: siku ya saba mungu alipumzika. O: kho nyasaye niye unyala biosi. T: kwa hivyo mungu ni muweza yote. O: olumarachi nolusungo olusungungwa nende abandu ba butula. T: kimarachi ni lugha inayozungumzwa na watu wa butula. O: esie ndi mumarachi ousunganga olumarachi olumarachi hubera ni lusungo lwa vevusi vaange. T: mimi ni mumarachi anayezungumza kimarachi kwa sababu ni lugha ya wazazi wangu. O: esie mumera kange ni monica. T: mimi kwa jina ni monica. O: esie menyanga nende bebusi baange . T: mimi naishi na wazazi wangu. O: huri nende vevusi vaange awo vakolwa husunga luswairi nomba lusungu. T: nina wazazi wangu hapo hawajui kuzungumza kiswahili au kiingereza. O: olusungo lumarachi hukeranga nihuurisania nende vebusi vefu. T: lugha ya kimarachi hufanya tuelewane na wazazi wetu. O: efue vevusi vefu vanala luswairi. T: sisi wazazi wetu wamezoea kiswahili. O: kuhu vefu vakorwa husunga luswairi nomba vaandi sivauriranga da luswairi. T: nyanya zetu hawajui kuzungumza kiswahili ama hata wengine hawasikii kiswahili. O: esie weefu ni vutula mulukongo lwa tingolo. T: mimi kwetu ni butula kijiji cha tingolo. O: esunganga olumarachi huvera lukiranga huurisania nende vaandu vaangi. T: nazungumza kimarachi kwa sababu hufanya tusikilizane na watu wengi. O: olusungo lumarachi ni lusungo olulai sana. T: lugha ya kimarachi ni lugha nzuri sana. O: efue nga vamarachi huajama olusungo lwefue lukiranga avakuhu vefu nibaruhubira thihadithi thia hare olumarachi. T:sisi kama wamarachi tunapenda lugha yetu; huwafanya nyanya zetu watupigie hadithi za kale kimarachi. O: nelumarachi nelusungo lwa vevusi vangi nende kuhu. T: kimarachi ni lugha ya wazazi wengi na nyanya. O: lukiranga huikhala nende kuhu. T: hufanya tukae na nyanya O: esie ndajama hulomaloma olumarachi; lukiranga nihuihala nende kuhu veefu nivaruvorera thimbakha. T: mimi napenda kuzungumza kimarachi;hufanya tukae na kina nyanya wetu wakitupigia hadithi. O: olumarachi ni oluga lwefwe. T:kimarachi ni lugha yetu. O: hulomalomanga nihuihala mudala wefwe nihuvaya mupira, nende mkoye, kwa huruka nende kwa huisuva. T:huwa tunaongea tukiwa nyumbani kwetu tukicheza mpira, na kamba, tukiruka, na kwa kuelea. O: huri nende bana baangi ni bamarachi na baandi si ni bamarachi dawe lakini bamenya obumarachi sasa efwe huvalanganga bamarachi west. T: tuko na ndugu wengi wamarachi na wengine si wamarachi lakini wanaishi kwa wamarachi kwa hivyo sisi tunawaita wamarachi wa magharibi. O: efwe bamarachi hufuma sana mulukongo luefwe lwa madowa . T:sisi wamatunajulikana sana kijijini petu pa madowa. O: esie elira riange ni moureen ,esie mwene ni mumarachi hurula madowa. T:mimi jina langu ni moureen, mimi mwenyewe ni mumarachi kutoka madowa. O: reha baborere marachi wefwee nothia mudala mwefwe onyola mama yange nadehere ichai narere humesa nende mandasi nguulasa nonyua ichai eiria indamu sana . T:wacha niwaambie , marachi kwetu ukienda nyumbani unapata mama yangu kapika chai na kuweka mezani na mandazi unapofika tu unakunywa chai ile tamu sana. O: esie mwana wava marachi ndenya huvaborera abamarachi muluheere kama bana balumarachi kama madowa weefwe. T: mimi mtoto wa marachi nataka kuwaambia wamarachi mtupende kama watoto wamarachi kama madowa kwetu. O: esie wefu ni madowa hendi mulukongo wefwe ni bumarachi; bamarachi bene baria bamanya khulomaloma mdala. T:mimi kwetu ni madowa tena kijijini petu ni marachi; wamarachi wale wenyewe wanajua kuzungumza nyumbani. O: husunganga lumarachi hulera huurisania nende bandu baangi. T:huwa tunazungumza kimarachi kuleta maelewano na watu wengi. O: :huri nende bebusi bangi ebehalanga husunga lumarachi likiranga bandu bathia hulalamika. T: tuna wazazi wengi wanaoketi kuzungumza kimarachi kinachofanya watu walalamike. O: esie menyanga nende baba yange ndamanya hulomaloma lumarachi lakini mama yange si ni mumarchi na baba ni mumarachi . T: mimi naishi na baba yangu , najua kuongea kimarachi lakini mama yangu si mumarachi ilhali baba ni mumarachi. O: efwe huamenya nende baba mama yabuao hale wamakana nihusiri badidi. T: sisi tunaishi na baba, mama alienda kitambo sana tukiwa tungali wadogo. O: esaino aholanga ikasi mtauni ilangwa eldoreti. T:sai anafanya kazi mjini eldoret. O: esie mumera nangwa ezel atieno. T: mimi kwa majina naitwa ezel atieno. O: nyenya huchaka nende imbakha ya kharehare kuka yange yahubiranga imbakha vile varithingi vadidi . T: nataka kuanza na hadithi ya hapo awali babu yangu alikuwa akinihadithia jinsi walipokuwa wadogo. O: ari varichingi nende vuloko. T: ati kulikuwa na uchawi. O: mama waye yavasairanga vurinyanga ithuri nende ingolove. T: mama yake alikuwa akiwaombea kila siku asubuhi na jioni. O: were avavere hukosi kavaholanga. T: mungu awarehemu kwa yote waliyoyafanya. O: vaahubiranga imbaha nasi nzekha, huvureranga ithuri yariyula ati esie nyumiye huvera vaanganiyenge hutheha nasi nyumire murwe. T:nilikuwa nahadithiwa nami nacheka ; kunyamaza hivi asubuhi tayari ilikuwa inafika na nilikuwa nimezirai kwa sababu nilikuwa nakatazwa kucheka sana na nikawa kichwa ngumu. O: vaangova msivitali vaangurira misala kio humira ndaona ndi mulamu. T: nilipelekwa hospitalini nikanunuliwa dawa ya kumeza nikapona ni’ mzima. O: mukutano kwe ikanisa kwetha mdala sidere. T: mkutano wa kanisa uliwekwa ntumbani mchana. O: vandu vari vangi huvira kiasi sia inyumba yefu . T: watu walikuwa wengi kupita kiasi cha nyumba yetu. O: inyumba yefu ni ihongo lakini vandu vechula vandi vaadong’a vehala ruanyi we inyumba. T: nyumba yetu ni kubwa lakini watu walijaa wengine wakabaki na kukaa nje. O: ikanisa yari iimire, vandu vaasoma thisala thia were khakava. T: kanisa ilikuwa ya kufurahisha, watu walisoma sala za mungu mpeanaji. O: lano bari bahamala ni bandu bavwao wavu. T: walipomaliza watu wakaenda kwao. O: nano esie nende mwana wefu ;efwe huebulwa sa baviri haandi ni bahana baviri. T: sasa mimi na dadangu; sisi tulizaliwa tu wawili tena ni jinsia ya kike tu. O: mama wange ni mfofoyo yaani mumarachi kamili yamanya lumarachi. T: mamangu ni nafoyo yaani mumarachi kamili anajua kimarachi. O: esie nde mukhana wefu huekanga lumarachi huakorwa lumarachi sana. T: mimi na dadangu hujifunza kimarachi hatujui kimarachi sana. O: olumarachi ni lusungo lusungua nende avandu avavuluurira. T: kimarachi ni lugha inayozungumzwa na watu wanaokisikia. O: luchakira butula mpaka bumala. T: kinaanzia butula mpaka bumala. O: esie ni mumarachi asunganga olumarachi huvera ni luga lwa vevusi vange. T: mimi ni mumarachi anayezungumza kimarachi kwa sababu ni lugha ya wazazi wangu. O: esie menyanga nende kuhuwange huvera kuhuwange asunganga olumarachi. T: mimi naishi na nyanyangu kwa sababu nyanyangu huzungumza kimarachi. O: niye yakorwa luswairi, esie ndajama hulomaloma lumarachi. T: yeye hajui kiswahili, mimi napenda kuzungumza kimarachi. O: esie mwene ni mumarachi wa tingolo. T: mimi mwenyewe ni mumarachi wa tingolo. O: esunganga lumarachi ehuvera ni luga olwa vevusi vaange. T:nazungumza kimarachi kwa sababu ni lugha ya wazazi wangu. O: huri nende vevusi vandi avalahanyala husunga lumarachi ; esie husunganga lumarachi hukiranga vandu vathia hukona. T: tuko na wazazi wengine wasioweza kuzungumza kimarachi; mimi kuzungumza kimarachi huwa kunafanya watu kwenda kulala. O: asia wefu ni butula khurula mdala mwa ogwindi mulukongo wa butula. T: mimi kwetu ni butula ,tunatoka kwa boma ya ogwindi kijijini butula. O: asunganga olumarachi ni luga lwefwe huvera lukiranga khuurisania nende bandu bangi. T: mimi hunena kimarachi lugha yetu kwa sababu hufanya tunasikiliza na watu wengi. O: baba wange ni mumarachi naye mama wange ni mu bukusu hurula kakamega. T: babangu nu mumarachi naye mamangu ni mbukusu kutoka kakamega. O: yari inyanga ya husasaba ingolobe. T: ilikuwa siku ya alkhamisi jioni. O: huari huihale mnyumba ya hootha nindolanga esing’ang’ariro. T: tulikuwa tumeketi chumbani mwa mjomba tukitizama televisheni. O: ngahuari nihuihale nihuurira chimbungu nichirula voreka wefwe. T: tulipokuwa tumeketi tulisikia nduru zikitokea kwetu. O: huaurira omundu niyooba oluungu luhongo nirulula lufwana nende lua mama wange. T: tulisika mtu akipiga nduru ya juu inayofanana na ya mamangu. O: omukhana wefu yapara mbu ni jirani wefu ni ufuire. T: dadangu alifikiria kuwa ni jirani yetu aliyekufa. O: nga huvere muungo jirani avere muhali imbi. T: kwa sababu tulipokuwa nyumbani jirani alikuwa hali mbaya. O: huavuha munyumba mwa hootha thimbiro nga simuna. T: tuliinuka chumbani mwa mjomba mbio kama kidiri. O: huari huula msirivua hulola vandu veethule ridala. T: tulipofika kwenye lango kuu tukawaona watu wamejaa boma. O: huari huula ambi huthia munyumba hunyola vakonie jirani humaturesi ya bulu akari wovueru. T: tulipokaribia kwa nyumba tulipata wamemlaza jirani kwa godoro la bluu. O: ndari sialolaho mundu ufuire mbu avetsanga arie. T: sikuwa nimewahi ona maiti huwa aje. O: ndari suda ambi ni sindu simborera mbu diraho mihono kiya jirani wao. T: nilipokaribia na kitu kikaniambia niguze mikono ya jirani yangu. O: ndari nithiya khudira khundama ya jirani wange, indama yari inyirire nga maathi ka msiongo. T: nilipoguza shavu la jirani yangu, shavu lilikuwa baridi kama maji ya mtungi. O: huarira viha virambi nikhupara mbu nyasaye alarulorerakho sisa yamukalusiria vulamu lakini sivianyarikha dawe. T: tulilia muda mrefu tukifikiri kuwa mungu atatuhurumia amrudishie uzima lakini haikuwezekana. O: thiari thiula musaa thirano nende thidakika ekhumi na thirano khualanga mundu ukinganga milambo yamkova mumochari. T: ilipofika mida ya saa tano na dakika kumi na tano, tuliita mtu wa kubeba maiti na kumpeleka makavani. O: huola mumochari huamrayo khuamala khuavwao. T: tulifika makavani tukamweka kule kisha tukaenda. O: lila riange nangwangwa lavenda juma. T: jina langu naitwa lavenda. O: esie ndi mumarachi ndulanga vutula. T: mimi ni mumarachi kutoka butula. O: wefu ni nyapera lukongo lwo vukati. T: kwetu ni nyapera kijiji cha bukati. O: ndi mwana wa kalara akinyi baba wanje akholanga ikasi yo khurinda na mama wanje akholanga ikasi yo mukunda. T: mimi ni mtoto wa clara akinyi baba yangu hufanya kazi ya ulinzi na mama yangu hufanya kazi ya shambani. O: wefu hurio nende thing’ombe. T: kwetu tuna ng’ombe. O: mungo wefu hwaruka thing’ombe; huri nende mukunda thiweka mahumi kaviri nende inusu. T: kwetu tumefuga ng’ombe; tuko na shamba ekari ishirini na nusu. O: jirani wefwe yamenya nende mwana ulari waye mana yamenya nahuyananga nende jirani oyo sana. T: jirani yetu anaishi na mtoto asiye wake hivyo kila mara hupigana na jirani huyo sana. O: siri wa nyasaye sivulawo silawethanga. T: hakuna kisichoisha kilicho kwa mungu. O: kuhu wanje yafwa mwaka kwa elfu kumi nende munane. T: nyanya yangu aliaga mwaka wa elfu kumi na nane. O: ndari ndamjama sana kama mathi . T: nilikuwa nampenda sana kama maji. O: sindamenya sieng’ane dawe mbethanga nende vecha vaangi sana . T: siishi peke yangu; nina rafiki wengi sana. O: kata ngorurwe lumarachi vilayi lakini ndemere winyarirwa. T: hata sijui kimarachi vizuri lakini nimejaribu nilipowezewa. O: isaino sivulawo silavwethanga, isaino maisha ni malai. T: saizi hakuna kisichoisha, sai maisha ni mazuri. O: mrembe humwalimu wange sangala huhuandichira ibarua inendi mbu uliwo mulamu, nesie mwanafunzi wao. T: hujambo mwalimu wangu, nafurahia kukuandikia barua hii kuwa u buheri wa afya, mimi ni mwanafunzi wako. O: ehuveresia emirembe mingi mno. T: pokea salamu zangu sana. O: nesie mwene ndiwo omulamu ne nyenya huhuekesia mbu huliwo avalamu fwesi. T: mwenyewe ni’ mzima na ninataka kukujulisha kuwa nasi tu’ wazima. O: nuahajama noli muisomero huveresianga uvumirifu vunji vulano esie mbolanga mbu njicha khukhulola nikali oli mulamu yoli eyo kata vana vayo valamu vulinyanga. T: ukiwa shuleni nakutia moyo sana nami nasema kuwa nitakuja kukuona huko uliko na hata watoto wako ni wazima. O: inyaho uhonye sikulifisi amapesa kesikuli husavire evyo hulwohubera papa nomulware mbu alemerwe muno. T: naomba usaidizi wa karo ya shule na naomba kwa sababu babangu ni mgonjwa na amelemewa sana. O: nesie wawo violet anyango ; huenyera inyanga indai. T: mimi wako violet anyango nakutakia siku njema. O: nyasaye akhulinde oveyo. T: mungu na akulinde uwe mzima. O: S:Olumarachi no lukuwa lwa bakukhu befwe kata efwe khwakharula mlwibulo olo nano fwesi nga khwenyola mbu khulusunganga nano kata nende lwiblo lwa sai nalwo lwadong’a husungwa kata ngefwe khurula mulwivulo luo husunga olumarachi ni bulala burio kata nende befwe beene ni viene viryo. T: T: Kimarachi ni jina la nyanya zetu na hata sisi tulitoka kwa uzao huo na sasa tulijipata tukikizungumza na hata uzao wa sai ulibaki kukizungumza na hata kama sisi kuzungumza kimarachi ni umoja na ni vivyo hivyo. O: S:Olumarachi lusungwangwa avundu ali nende avandu vaangi nende kata avadidi. T: Kimarachi kinatumika pahali palipo na watu wengi na hata watu wachache O: S:Lakini kama efwe avamenyi vaangi va busia sana khusunganga olumarachi. T: Lakini hata kama sisi wakaazi wa busia wengi tunaungumza kimarachi O: S:Nende kata avandi varula mu luhya luno lwa vamarachi nivatsia avundu undi nalwo nivalusunga sa olumarachi. T: T:Na hata watu wengine hutoka katika jamii hii ya marachi na kwenda sehemu zingine na bado huongea kimarachi. O: S:Na awendio ni avundu avalasunga lumarachi lakini basunga sa lumarachi. T: Ingawa sehemu hiyo hawaongei kimarachi watu hao wanaongea tu kimarachi O: S:Nonyala khub a omumenyi womvamarachi onyala weyekesia lurimi lwefu luno khaandi wamanya khaandi waludira zaidi. T:Ukiwa mkaazi wa wamarachi unaweza kujifunza lugha hii na tena ukajua na kuishika zaidi. O: S:Khumalana thinyanga tsino nende kata bana badidi bosi bakhula nibamanyire lumarachi na banyala khulusunga sana nokhumalna nende bazee bakhuula ni valumanyire bilayi byene mana ndaajama luhuwa lwanje kabisa ni khaandi lwenyera lwendeleye khusungwa mutsimbeka tsiosi. T:Nikimalizia siku hizi hata watoto wadogo wanakua wakiwa wamejua kimarachi na wanaweza kukizungumza sana pamoja na wazee waluokuwa wamekijua vizuri na hivyo napenda lugha yangu kabisa na nakitakia kiendelee kuzungumzwa katika sehemu zote. O: S:Ndakhaba mwandiki wefwe justine adhiambo. T:Nimekwa mwandishi wetu justine adhiambo. O: yari oludalu ya kine khwari khuthire khwiba khwiba misabibu ekio mundu esiro. T: ilikuwa siku ya alkhamisi tulikuwa tumeenda kuiba mizabibu ya mtu usiku. O: ngakhwali nikhwemele hwali nende mukhana wefwe mukhongo; ni mukhana wefu yambolela mbu anine msala yaakule mizabibu nasi mbusie ninda mbagi ya huali nayo T: tulipokuwa tumesimama na dadangu mkubwa; aliniambia kuwa apande mti achume mizabibu nami nikusanye nikieka ndani ya mfuko tuliokua nao. O: mukhana wefwe yaakula mizabibu ndaabusia nga yali naamborere khukibusia. T: dadangu alichuma mizabibu nikakusanya kama alivyoniambia nikusanye. O: khwali khuthia mdala nikhunyola mama wange yeekhale niyeunamire biesisa nimreba mbu oparanga sina mwikho wao afwire? T: tulipokuwa tukienda nyumbani tulimpata mamangu amekaa na kujihurumi, nikamwuliza unafikiria nini, jamaa wako ameaga? O: mama yange yamborera mbu mwanange mbaranga mbu bekho bange bafua kata nisiebulwa mana. T: mamangu aliniambia mwanangu nafikiria kuwa jamaa zangu waliaga hata kama sijazaliwa. O: ndekhala asi ninjaka khulomba mama nimborera mbu rekhanga khueunamira omanyire niweunamira emburiranga bibi! T: nilikaa chini nikaanza kumbembeleza mama nikimwambia kuwa usiwe unajihurumia, unajua ukijihurumia hua najihisi vibaya! O: ngakhuamala khuelewana ndamweresia mizabibu yandeba mbu ewinie yena mizabibu kino? T: tulipomaliza kuelewana nilimpa mizabibu akaniuliza kuwa umetoa wapi mizabibu hii. O: ndamborera mbu khurula khukikula khusiro nende nancy yari akhaire khukiria khuamkadia mpaka ngayakiria. T: nilimwambia kuwa tumetoka kuinunua sokoni na nancy alikuwa amekata kuila tukamdanganya mpaka alipoila. O: yakhuborera mbu nemwibire mizabibu kino mana mundu yetha khuundeba mbu bana vao bebere mizabibu mulalola sietha khuikhorekha. T: alituambia kuwa iwapo mmeiba mizabibu hii na mtu aje kuniuliza kuwa watoto wako wameiba mizabibu mtaona kitakachofanyika. O: aleetha khubabukula. T: atakuja kuwachukua. O: esie ndi mumarachi hurula mulukongo lwa madowa hurula mwaka kwa ishirini na ishirini na moja. T: mimi ni mumarachi kutoka kijiji cha Madowa kutoka mwaka elfu mbili na ishirini na moja. O: njivulwa mwaka kenda huthia imberi mvamarachi nende khueka lumarachi. T: nilizaliwa mwaka kenda mia kwendelea mbele kwa wamarachi na kujifunza kimarachi. O: lumarachi ni lulomaloma lwa vakuka vange nende vevusi vange vosi. T: kimarachi ni lugha ya mababu zangu na wazazi wangu wote. O: kuka nende baba vevulwa muvumarachi haandi vahusibwa muvumarachi; ilali mama arula muvajalwo vajama thing’eni. T: t: babu na baba walizaliwa kwa wamarachi tena wakakuzwa kwa wamarachi; isipokuwa mama anatoka kwa wamarachi wanaopenda samaki. O: mukaunti yefu ya busia vamarachi ni vaangi. T: katika kaunti yetu ya busia wamarachi ni wengi. O: haandi busia ni ikaunti yefu handi kenya ni sialo siefwe. T: tena busia ni kaunti yetu tena kenya ni dunia yetu. O: efwe kenya huaevua likunda lewefu khuadong’a mbu neefwe vamarachi. T: sisi kenya tulipewa shamba letu tukabaki kuwa sisi ndio wamarachi. O: hurula miaka kia vakuka vefu,vababa vefu vedha vatawala mbao fwesi miaka kithanga huenya hutawala . T: kutoka miaka ya mababu zetu, baba zetu walikuja wakatawala na sisi pia miaka ijayo tunataka kutawala. O: vana vefu vosi vatawale vithuhulu nende vithuhulu; vamarachi husiri mpaka miaka kiichanga imberi. T: watoto wetu pia watawale, wajukuu na vitukuu ; wamarachi tungali mpaka miaka ijayo mbeleni. O: ikauntry yefu ya kenya khuli nende tsinomanoma tofauti nga vakikuyu, vavukusu, vamarachi nende vateso. T: nchi yetu ya kenya tuko na lugha tofauti kama vile wakikuyu, wabukusu,wamarachi na wateso. O: vandu avo vosi vari mukauntry ya kenya. T: watu hao wote wako nchini kenya. O: mumera kange nangwa lucy wa wesonga. T: jina langu ni lucy wesonga. O: esie ndi omumarachi handi wefu hulivamarachi. T:mimi ni mumarachi na kwetu ni wamarachi. O: haandi esie ndajama olumarachi . T: tena mimi napenda kimarachi. O: isababu yakira ndamanya olumarachi ni huvera mamuange yarula ovuwanga ni yetha hudeha ovumarachi sikira babuange ni mumarachi sikira esie ndi mumarachi. T: sababu iliyofanya nikajua kimarachi ni kuwa mamangu alitoka buwanga akaja kuoleka kwa wamarachi kwa sababu babangu ni mumarachi na ndio maana mimi ni mumarachi. O: handi mukofu wange niwakira nindibulwa obumarachi; huluohuba mukofu wange abulanga ohumteshia kuhu wanje babuange siyahebulwe dawe. T: tena babu yangu ndiye aliyefanya nizaliwe kwa wamarachi; kwa sababu angekosa kumwoa nyanya yangu babangu hangezaliwa. O: handi hulwefu babuange ama mamuange mulala wabu afwa esie sindahebulwe omuluhya dawe. T: na kikwetu babangu ama mamangu mmoja wao angekufa singezaliwa mluhya. O: efwe huli nende vindu vingi lakini evilindwa ni kama thing’ombe, nende thimbusi nende thing’okho nende ifamilia yathio. T: sisi tuna vitu vingi ila vya kufugwa ni kama ng’ombe, na mbuzi, na kuku, na familia zao. O: mamuange yarera matunda mdala mnendi. T: mamangu alileta matunda hapa nyumbani. O: inyanga ndala esie nende mamuanje huathia vutula nihunyola vandu vanji niteva mamuanje vandu vanendi varulanga yena. T: siku moja mimi na mamangu tulienda butula tukapata watu wengi nikauliza mamangu watu hawa hutoka wapi. O: mamuange nambolela vandu vanendi vakusinga vindu hushiro. T: mamangu akaniambia watu hawa huuza vitu sokoni. O: nindeva mundu mulala hari vilaro ni shilingi thinga; naanjiva na makhumi munane. T: nikauliza mtu mmoja ati viatu ni pesa ngapi; akanijibu ni themanini. O: mumera nangwa Carolyne Achieng. T: kwa jina naitwa Carolyne Achieng. O: ndula mulukongo lwa nyapera khubafofoyo ni somanga bukati. T: natoka kijiji cha nyapera kwa wafofoyo na huwa nasoma bukati. O: luga luno lwarulana nende bakuka befwe bahale. T: lugha hii ilitokana na babu zetu wa kale. O: fwesi nikhulurira awo khuli nende maekesio malai khubana befwe. T: nasi tunapotoka hapo tuna mafunzo mazuri kwa watoto wetu. O: kata sai lusungo luno lwakhonya bakhana bathia badekha. T: hata sai lugha hii ilisaidia wasichana wanaooleka. O: luluya ni lusungo lwa mama. T: kiluhya ni lugha ya mama. O: khalekhale huali nende simuna nende omukofu yaliyatong’a mulukongo. T: hapo zamani za kale paliondokea mzee aliyekuwa amebaki kijiijini. O: yali nende sithukhulu siaye nano yali inyanga ye milimo kitalu yathia khukendele mukunda kwaye. T: alikuwa na mjukuu wake na ilikuwa siku ya jumatano alienda kutembelea shamba lake. O: yali yalaka matumwa, mioko, mapuoni, thinduma nende mabele. T: alikuwa amepanda mahindi, mihogo, viazi, nduma, na mtama. O: inyanga ndala simuna sienjila mumukunda nisichaka hulia biakhulia ebo bio mukofu. T: siku moja kidiri aliingia shambani akaanza kula vyakula vya mzee huyo. O: yialia yiamala. Omukofu oyo ngalwa yalola naleka buingo ili naakalukha yaande huluingo olwo luomukofu. T: alikula akamaliza. Mzee huyo aliona na kutega mtego ili kidiri huyo akirudi akwame kwa mtego wa mzee huyo. O: ilio inyanga ya simuna siali siikhale asi wo musala kwa omukhuyu nisilia chinjugu thia siali nisiibile. T: kuna siku ambayo kidiri alikuwa ameketi chini ya mti wa mukuyu akila njugu alizokuwa ameiba. O: siali sinywa mathi. T: alikuwa akinywa maji. O: lundi mukofu yali achenda huingila nakutana nende simuna nisichaka khumuthehela; nisiboola ndahalia thinjugu thiao thiosi. T: siku moja mzee alikuwa akitembea njiani akakutana na kidiri akaanza kumchekea, akisema “nimekula njugu zako zote”. O: khaandi yelaira omukofu inzala iliambi huingila yo mwosi kwa munane. T: na akajisifu kwa mzee kuwa njaa ya mwezi wa nane imekaribia. O: mukofu ulia nabola ewe simuna; ewe waamanya bilai kose tawe. T: mzee yule alisema, “ewe kidiri, unanijua vizuri au la?” O: ndahuchapa, opalile ndi ilika yao, khaandi okalukhe luundi. T: “nitakuchapa, unafikiri mimi ni rika yako! Tena urudi siku nyingine.” O: niiba ndahuira othie mwiloba okhae khunyasia bandu nolia ebiakhuria biabu bibalaka muthindalo. T: nitakuua uzikwe uache kusumbua watu ukila vyakula vyao walivyopanda shambani. O: mumera nangwa suzan. T: jina langu ni Susan. O: ndulanga mulukongo lulangwa nyabera. T: natoka kijiji cha Nyabera. O: mbere nyenyere huvakanira imbakha kuhusu olumarachi. T: nimetaka kuwahadithia hadithi kuhusu kimarachi. O: inyanga indi sao ndari nziire husokoni ende mwitha wange ulangwa jack. T: siku moja nilikuwa nimeenda sokoni na na rafiki yangu anayeitwa Jack. O: lano yethukhanira nasenere msatha undi sa alangwa Opesh nakwa asi. T: hivyo alishtukia kama amekanyaga mwanamume mwingine anayeitwa opesh akaanguka chini. O: lano esie ndari ndakhachaka hutheha namborera mburere iva vyari vinjamisie ngilwa yakwa asi. T: hivyo mimi nilikuwa nimeanza kucheka akaniambia ninyamaze ilhali ilikuwa imenipendeza alipoanguka chini. O: hwamala ni hukula vya hwari nihuthire hukula nimala huvukula sipikipiki ni huvwao huthia mungo. T: baadaye tulinunua tulivyokuwa tumeenda kununua kisha tukachukua pikipiki tukaenda nyumbani. O: lano ngilwa huathia, esie ndekha. T: hivyo tulipoenda mimi nilishuka. O: ndethuhanira nindelumire munwa kwange . T: nilishtukia nimejiuma mdomo wangu. O: lano kwamala nihula mudala. T: baadaye tulifika nyumbani. O: huengira munyumba yefu huehalamo hurula saa nne hula saa sita huhwarulamo. T: tuliingia chumbani mwetu tukaketi kuanzia saa nne hadi saa sita tukatoka . O: ndaathia hufuka vusuma ende mavuyu, vyari vitamu ngilwa huaria. T: nilienda kusonga sima kwa mayai, tulipoula ulikwa mtamu. O: thinyanga ethio thiari msikuku handi itare eyo rari ishirini na nne lano sialo siamala nisiirima handi . T: ilikuwa msimu wa krismasi na ilikuwa tarehe ishirini na nne na tayari giza lilikuwa limeanza. O: huadeha jioni muchele nende idwaya. T: jioni tulipika mchele kwa jogoo. O: huaria huamala huakona. T: tulikula kisha tukalala. O: vwashia ithuli nihusiri nuhukona hadi saa mbili hi hwavukha huchaka huhola vusafi vwe mthinzu, olwanyi nende hukasia vyahuria vya huria. T: kulikucha asubuhi tukiwa tungali tunalala hadi saa mbili ndipo tukaamka kuanza kufanya usafi wa nyumba, uwanja wa nyumbani pamoja na kuandaa vyakula vya kula. O: huamala ikasi eyo sa tano. T: tulimaliza kazi hiyo saa tano. O: hwesinga huafwala thinguvo thiarikho thia kisasa yani thia vasiro. T: tulioga na kuvaa nguo zilizokuwa za kisasa yaani za wazito. O: ngilwa huamala niimala hulanga mundu wa ipikipiki haandi arukinge. T: tulipomaliza tuliita mtu wa pikipiki tena atubebe. O: S:Yaliwo omukhana yali yadekha mumanani mani mukhana wavu yathia khumukendera omusathawavu amuakiha khunungo lano okunani kwitha omusatha wavu oyo achaka huvola arufu ingeni iunya alafu achaka huimba ati sinandi lusu lukeni luunya ano dwanyi ludekere khurera. T:Kulikuwa na msichana aliyekuwa ameoleka katika jamii ya nyani, dadake alienda kumtembelea bwanake akamweka juu ya kuni zikuzanyazwo juu . Sasa nyani alipokuja huyo bwanake akaanza kusema kuwa kuna harufu geni inayonuka kisha akaanza kuimba ati jasho geni linanuka hapa. O: S: omukhana uno yathia khusolosia avasie alafu omukhana uno yaavukula mwana alafu ahepa ni avirire thingira thyomukarikari vaali veenya khulia omwana waye. T: Msichana huyu akaenda kuwahamasisha wenzake alafu msichana akachukua huyo mtoto wakahepa na kupitia njia nyingine kumtorosha mtoto wake. O: S:Yaliwo omukhana waathia okhunava nende vaasie thing’eni alafu vachake lukendo ne omukhana mulala yavoola yeevirire isimbi vakeni voola alafu vaasie vamkania alekhane nayio alafu akaluha khumwalo nianyola kunani kuosi kunaava kuvukule isimbi kurere mundoh ngayola ni anyola nikwikarire maathi ni kumala kumuvukula kumwingisia mundoh ni kuchaka hukuda isimbi nikumvorera solomalomakho huavwao alafu omukhana yathia khulira ati kuno kuyenderesia kwanje ninthia ohunava okwandilivolera mwene mbukule. T: Kulikuwa na msichana aliyeenda kuvua na wenzake samaki alafu wakaanza safari na msichana mmoja akasema amesahau ndoano wageni wakafika kisha wenzake wakamkataza awachane nao akarudi mtoni akapata nyani pia anavua na amechukua ndoano ameeka kwa ndoo na alipofika akapata amezuia maji na nyani huyo akamwingiza kwa ndoo na akaanza kugonga ndoano akimwambia asiongee na tukaenda alafu msichana akaenda kulia ati huyo amemwogofya akienda kuvua nitakayemwambia mwenyewe nimechukua. O: S:Ngayoola mudala naanyola mundu kata naumao huluokhuva yeenya wayakharuma athie amwendere maathi kohunywa siyanyoola dawe. T: T;Alipofika nyumbani akapata mtu hata hayuko kwa sababu alitaka atakayetuma aende amletee maji ya kunywa hakupata hata. O: S: yachaka khulanga mwana waye khane kunani kwari kumarire khumwiva mani kwatsia kwamukisa msino kutsie kumurie baadaye. T:Alianza kuita mtoto wake kumbe nyani alikwa ashamuiba na akaenda kumficha kichakani aende amle baadaye. O: S:khuula awendio imbakha yange ibwere. T: Kufikia hapo hadithi yangu imeisha O: yaruvukula nende mwitha wange yaruira vusamia wefu. T: alituchukua na rafiki yetu akatupeleka samia kwetu. O: lano ata ndari ndakorwa lumarachi luno hindamanyire sa nindi vurekeno. T: hivyo sijui kimarachi hiki nimejua tu nikiwa huku. O: ndari ndamanya lusamia luong’ane. T: nilijua najua tu kisamia. O: esie mumera nangwa Sharon Atieno Omito. T: mimi kwa majina naitwa Sharon Atieno Omito. O: ndi nende miaka ehumi nende kidaru. T: nina miaka kumi na mitatu. O: ndi mukilasi ya saba. T: niko katika darasa la saba. O: esie ndajama sana lumarachi huvera ndevulwa vumarachi. T: mimi napenda sana kimarachi kwa sababu nilizaliwa kwa wamarachi. O: esie hurula nyasaye nanonga nende hunda munda mwa mwivusi wange yari yamura nende lengo hulwa vuli mundu were uno yamura nende inomanoma yaye. T: mungu aliponiumba na kuniweka tumboni mwa mzazi wangu alikuwa na lengo kwa sababu kila mtu mungu alimueka na lugha yake. O: efwe nga vamarachi huli nende ihavi sana huvera nyasaye yaruberesia lukongo lulai sana. T: sisi kama wamarachi tuna bahati sana kwa sababu mungu alitupa kijiji kizuri sana. O: niri ifula efwe hunyola. T: kama ni mvua tunapata. O: kata chindalo chiefwe chiri nende vyahulia vilai sana. T: hata mashaba yetu yana vyakula vitamu sana. O: vazee vamarachi valia miherekha kata vahaya hufwa huvera were asiri ninavo. T: wazee wamarachi walikula “jivu”-(hutumika kama madini) hivyo hawajafariki kwa sababu mungu angali na wao. O: esie ngalusiria were oluyari hunanga haandi ndi nende ifuraha sana huvera nasaye nuananga navola mbu esie ni mulayi kamili. T: mimi namrudishia mungu shukrani kwa kuniita na tena nina furaha sana kwa sababu mungu ndiye aliniita akisema mimi ni mzuri sana. O: ndahurira vumarachi handi kata nifwa ndalasihwa vumarachi. T: nilikuzwa kwa wamarachi na hata nikifa nitazikwa kwa wamarachi. O: ndajama hulomaloma luga luange. T: napenda kuzungumza lugha yangu. O: esie ndi muluhya na mamange ni mujaluo. T: mimi ni mluhya na mamangu ni mjaluo. O: kwani wenya huva mujaluo kata mama wao niyahulira muvajaluo na yesi ni mjaluo. T: kwani unataka kuwa mjaluo hata kama mamako alikuzwa kwa wajaluo na yeye pia ni mjaluo! O: esie ndajama lumarachi vilai sana hadi ndaendelea hulomaloma miaka kiasi muvulamu vwange. T: mimi napenda kimarachi vizuri sana hadi nitaendelea kuzungumza miaka michache maishani mwangu. O: esie mberesia luyari mwalimu alala nende vevusi vefwe vakera hualumanya sana. T: mimi nampa pongezi mwalimu pamoja na wazazi wetu waliofanya tukakijua sana. O: MUMERA NANGWA OWINO ALFRED KHURULA VUKATI. T: KWA MAJINA NAITWA OWINO ALFRED KUTOKA BUKATI. O: OLUMARACHI NI LUGA LWEFU. T: KIMARACHI NI LUGHA YETU. O: OLUMARACHI NI LUGA LWEINGO WEFWE. T: KIMARACHI NI LUGHA YA NYUMBANI KWETU. O: EFWE HULOMALOMANGA OLUMARACHI; HUNYALA HULOMALOMA MULUMARACHI. T: SISI HUA TUNAZUNGUMZA KIMARACHI; TUNAWEZA KUZUNGUMZA KWA KIMARACHI. O: HULANGANGA VANDU MULUMARACHI KHAANDI ESIE NDI MUMARACHI KAMILI. T: HUWA TUNAITA WATU KWA KIMARACHI TENA MIMI NI MUMARACHI KAMILI. O: OLUMARACHI NI LUSUNGO LWEFWE. T: KIMARACHI NI LUGHA YETU. O: IMBAKHA YANGE NI HULOMALOMA MULUSUNGO LWEFWE . T: MAZUNGUMZO YANGU NI KUONGEA KWA LUGHA YETU. O: NI KUKA VEFWE NIBO VARUEKESIA HULOMALOMA LUMARACHI. T: NI BABU ZETU WALIOTUFUNZA KUZUNGUMZA KIMARACHI. O: VALUSUNGIRA NIHUEKA PAKA NGA HUALI VANDU VAKHONGO. T: WALITUELEZA NA TUKAJIFUNZA MPAKA TULIPOKUWA WATU WAKUBWA. O: OLUMARACHI NI LWEINGO. T: KIMARACHI NI CHA NYUMBANI. O: ESIE NDAHULIRA MUVAMARACHI HANDI NDI MUMARACHI. T: MIMI NILIKUZWA KWA WAMARACHI NA TENA MIMI NI MUMARACHI. O: OLUMARACHI HUISIE LUMBERANGA OLUDINYU. T: KIMARACHI KWANGU NI KIGUMU. O: OLUMARACHI NI LWA VAKUHU. T: KIMARACHI NI CHA KINA NYANYA. O: VAKUHU VARUVORERA ESINDU SIA KHUSATSA MAVERE NI SISAVO. T: KINA NYANYA WALITUAMBIA KITU KINACHOCHACHISHA MAZIWA NI MTANGO. O: KHAREKHARE KHWATSIA VUTULA KHWANYOLA VANDU. T: HAPO ZAMANI TULIENDA BUTULA TUKAPATA WATU. O: NDATSIA AKUKHU WEFWE KHUSOMERAYO. T: NILIENDA KWA NYANYA YETU KUSOMEA KULE. O: SOMANGA MUSIKULI SIA VUKATI. T: HUA NASOMA KATIKA SHULE YA BUKATI. O: HUETSA KHUVA NENDE TSISOLO THIA LUMARACHI. T: TULIKUJA TUKAWA NA WATU WA KIMARACHI. O: WEFWE HUARAKA VINDU VISAVI. T: KWETU TULIPANDA VITU VINGI. O: HUARAKA VIAKHULIA TOFAUTI KAMA MAREMUA, MISALA NENDE VULISHINDU MUVUMARACHI VUO VULUHYA. T: TULIPANDA VYAKULA TOFAUTI KAMA NDIZI, MITI PAMOJA NA KILA KITU KWA WAMARACHI WA KWA WALUHYA. O: ESIE NDULANGA MUERIA YA MULUKHARI. T: MIMI NATOKA ENEO LUHARI. O: EFWE HUNYWERANGA MSIKWADA OVUSERA. T: SISI HUWA TUNAKUNYWA UJI KWA KUTUMIA MTANGO. O: LULUHYA LWARULA MUVAKOFU VEFWE; ESIE NDI MULUHYA KAMILI. T: KILUHYA KILITOKA KWA WAZEE WETU; MIMI NI MLUHYA KAMILI. O: EFWE NGA VALUHYA KHUEVURIRA NINALUO KHAANDI KHULUKWIRA MUNO. T: SISI KAMA WALUHYA TUNAJIHISI NACHO NA TENA KUKIANGUKIA. O: KHUSANGARIRA INOMANOMA INO; MURIO MUNO. T: HUA TUNAFURAHIA LUGHA HII; ASANTE SANA. O: mumera kange nangwa lydia akinyi ohurula Vutula. T: kwa majina naitwa lydia akinyi kutoka Butula. O: nyanga huvavorera rifua ria musiani wefu. T: nataka kukueleza kuhusu kifo cha kaka yetu . O: yari inyanga ya musasava mwosi kwa mnane mtare kumi na ndala. T: ilikuwa siku ya alkhamisi mwezi wa nane tarehe kumi na moja. O: omusiani wefu yakholanga ikasi Nairobi. T: kakangu alikwa akifanya kazi Nairobi. O: Yari amarire hukalukha mdala na handi akalukha nairobi. T: alikuwa asharudi nyumbani na tena akarudi nairobi. O: yaendelea ohumenya nairobi kidogo endio. T: aliendelea kuishi nairobi kidogo hivyo. O: efue huari mdala alafu aruo waruhubira isimu mbari huahakosia omusiani wefu. T: sisi tulikuwa nyumbani tulipopokea simu ati tumempoteza kaka yetu. O: sikhuavukuriramo ukweli da. T: hatukuichukua habari hiyo kuwa kweli. O: huanza hulondohesia amakhuwa khukhwanyola ukweli mbu yari afwire. T: tulianza kufuatilia maneno hayo ndio baadaye tukapata ukweli kuwa alikuwa amefariki. O: huarira msiani wefu mpaka idakika yakhwari huthia humwenda nairobi ayari. T: tulilia kaka yetu mpaka dakika ya kwenda kumleta nairobi alipokuwa. O: huari hwahamwenda ohurula nairobi huarira vivi sana nihurira mana nihurira lukali. T: tulipomleta kutoka nairobi tulilia vibaya sana tukalia na tukalia zaidi. O: yekhala musasava mana ni husiha inyanga ya jumamosi. T: alikaa alkhamisi na tukazika jumamosi. O: yarureha nende sivera ni hukorwa hulanyole yena msiani wefu undi kama oyo. T: alituacha na huzuni tukikosa kujua tutakapotoa ndugu yetu kama huyo. O: huamala humusikha mana natsia mwikulu mwa nyasaye. T: tulimzika na akaenda mbinguni kwa mungu. O: halano ni witsa mdala wefu hutulie sa bibi huri nende butehere buosi hubera huamala husikha musiani wefu mana yamala hutsia. T: hivyo ukija nyumbani tumetulia tu vibaya na huzuni wote kwa sababu tulimzika ndugu yetu na akaenda. O: isaino huri nende mlembe kwa nyasaye. T: kwa sai tuna amani ya Bwana. O: Khaale kwaliwo nende mundu mbu mnyolo. T:Kitambo kulikuwa na mtu ati mjaluo O: Haandi natsia mno yaani mjaluo. T:Tena akienda sana ni mluo. O: Yaali yadehera omundu mbwe mumarachi. T:Alikuwa ameolekea mtu ati mumarachi O: Khalano beetsa ni bachaka okhukosana ni bali alala munyumba mwabue. T: kwa hivyo walianza kukosana wakiwa pamoja chumbani mwao O: Khalano omundu mbwe omumarachi, mjaluo nakosanga mbwe bamuhuire nadukha abola mbu “ang’o marachi na omumarachi abola mbu esina sibi. T:Kwa hivyo huyu mumarachi ,mjaluo akikosa ati amepigwa anainuka na kusema ati hiyo “ang’o marachi” naye mumarachi anasema ati nini mbaya O: lano bandu ni bahaya mbu omusatsa oyo wabolanga mbu ang’o marachi yamulanga omumarachi. T:Hivyo watu wakakataa ati huyo mwanaume aliyekuwa akisema “ang’o marachi” alimwita omumarachi. O: Khale awo bakofu baliwo nende tsiingano mulumarachi tsiokhulukanira mno. T:Hapo awali wazee walikuwa na hadithi kwa kimarachi za kutuhadithia sana O: Inyanga ndala bachaka ohunganira lukano mbwu huliwo nende ifisi yali yamenya munyumba indidi yobunyasi msitsuru. T:Siku moja walianza kunihadithia hadithi ati tuko na fisi aliyekuwa akiishi kwa nyumba ndogo ya nyasi porini. O: Yaliyamenyamosa yeng’ene okhubera etsisolo tsindi sitsialihowo ambi nende sitsuru dawe omulukongo lulamba. T:Alikuwa akiishi tu peke yake kwa sababu wanyama wengine hawakuwa karibu na pori kijijini mwote. O: Nyanga ndala ifisi yatema khuenya khusuda ambi nende tsisolo tsiasie. Ifisi yamala niichaka khukonya tsindi atsiali nitsinyolikhana ambi. T:Siku moja fisi alijaribu kutaka kusonga karibu na wanyama wenzake. Alianza kutafuta wengine walipo wasikose kupatikana. O: Yetsa niinyola inyumba yesiduyu. T:Alikuja akapata nyumba ya sungura O: Ifisi eyo yeema niinyola abundu andidi wokhumbakha . T:Fisi alisimama ana kupata pahali padogo pa kujenga O: niimala niyumbakha inyumba niiba indayi. T:Baadaye akajenga nyumba na ikawa nyumba nzuri O: mana siduyu nisilola inyumba khuba indayi, nisiantsa hutishira ifisi obulamu. T:Sungura alipoona nyumba hiyo nzuri alianza kutishia maisha ya fisi. O: buli ingolobe nibyakhola esiduyu siafia mliro mluanyi nisibolera mkhasi mbu akhuve bana. T:Kila jioni ilipofika sungura aliwasha moto nje akimwambia mkewe kuwapiga wanawe O: nibakhachaka ohulira ni khaduyu kheengira khurula olwanyi khengira munyumba nikhachaka khukhumula mbu mukhasi akhuyanga sina bana mkari ,akana mbu sikhuyirekho bana dawe. T:Wakianza kulia sungura aliingia kutoka nje hadi ndani na kuanza kupiga kelele atu mkewe yuapigia nini watoto ndani naye anakataa kuwa hajawapiga. O: Haduyu khamala ni khakhumula bilya bya ifisi ibulira ili irye khaduyu khabola mbu bana bange baliranga khubera mbu benya mwoyo kwa ingwe ifisi yeesundukha khubulira kesiduyu siasunga mbu sialerera ingwe bana basyo balie. T:Baadaye sungura alianza kupiga kelele isikikayo na fisi ili aogope ;sungura anasema kuwa watoto wangu wanalia kwa sababu wanataka moyo wa mnyama fulani naye fisi akashtuka kwa kusikia alichokuwa akizungumza sungura ati aliletea watoto wake huyo mnyama ale. O: MULUKONGO LWEFU HURI NENDE MUKOFU WALWARIRENGE NI MUKOFU OYO YARI MUKHONGO WA VAKOFU. T: KATIKA KIJIJI CHETU KUNA MZEE MMOJA ALIYEKUWA AKIUGUA NA MZEE HUYO ALIKUWA KIONGOZI WA WAZEE. O: LANO NGAYACHAKA HULWALA VATEMA HUMWIRA MSIVITALI LAKINI VIAHAYA. T: ALIPOANZA KUUGUA WALIJARIBU KUMPELEKA HOSPITALI LAKINI IKASHINDIKANA. O: NGAVAKOVA LWOHUVIRI NA AFWIRA HUINGIRA. T: ALIPORUDISHWA KULE MARA YA PILI ALIKUFIA NJIANI. O: VAAMALA VAKOVA HUMOCHARI. T:BAADAYE ALIPELEKWA MAKAVANI. O: NGAVAKOVA HUMOCHARI VANA VAE VACHAKA HUKALUHA HURULA MUTSITAUNI. T: WALIPOPELEKA MAKAVANI WATOTO WAKE WALIANZA KURUDI KUTOKA MIJINI. O: INYANGA YA BATHIA HURUSIA MUVIRI MUMOCHARI VANA VAE VOSI VARIO VOSI. T: SIKU WALIOENDA KUTOA MWILI MAKAVANI WATOTO WAKE WOTE WALIKUWEPO. O: INYANGA OLO YARI INYANGA LWA VANDU VASAVI HUVA NENDE HUZUNI MDALA OMO. T: SIKU HIYO ILIKUWA SIKU YA WATU WENGI KUWA NA HUZUNI KATIKA BOMA HILO. O: NGAVAMALA HUSIKHA MKOFU OYO, VAKOFU VA TSINGONGO VAMALA MASIKA VATHIA HUKONYA A SINIKHA SIRI HUMUSALA VACHAKA HUPANGA HUTSIA HUREVA UMANYIREKHO NGA OMUKOFU OYO YAFWIRE NI YAFWIRE SI? T: WALIPOMALIZA KUMZIKA MZEE HUYO, WAZEE WA VIJIJI WALIMALIZA MATANGA WAKAENDA KUTAFUTA KIVULI CHINI YA MTI WAKAANZA KUPANGA KWENDA KUULIZA ANAYEJUA JINSI MZEE HUYO ALIKUFA NA NI NINI KILICHOMWUA. O: NANO VAKOFU AVO VATSIA NENDE VUTARATIBU MPAKA NGA VAMANYA NGA MUKOFU OYO YALWALANGA. T: BAADAYE WAZEE HAO WALIENDA NA UTARATIBU MPAKA WALIPOJUA JINSI MZEE HUYO ALIUGUA. O: HURULA AWO VAVOLA INYANGA INDI SIVALAREKHAKHO HANDI MKOFU UNDI ALWALE. T: TOKA HAPO WALISEMA SIKU NYINGINE HAWATAWAHI ACHA TENA MZEE MWINGINE AUGUE. O: VAKOFU AVO VARIRA NIVAVOLANGA SA MBARI MUKOFU WAVU WA MAANA HANDI MUKHONGO AVAREKHERE HUMAKOSA. T: WAZEE HAO WALILIA WAKISEMA KUWA MZEE WAO MKUBWA NA WA MAANA AMEWAWACHA KIMAKOSA. O: VAKOFU VAVOLA BAMARACHI VAJAMANE NGA VAJAMA OLUMARACHI LWAVU. T: WAZEE WALISEMA WAMARACHI WAPENDANE JINSI WANAVYOPENDA KIMARACHI CHAO. O: ABANDU NGA BAKOFU BALI BAKORORWE OKHULOMALOMA OLUSWAIRI NENDE OLUSUNGU. T: WATU KAMA WAZEE HAWAKUJUA KUZUNGUMZA KISWAHILI NA KIINGEREZA. O: rira riange nangwangwa kade. T:kwa jina naitwa kade O: na inomanomanga yange ni olumarachi. T:mimi lugha yangu ni kimarachi O: na olumarachi oluo luachakira huvakukhu vefwe vahare. T:na kimarachi hicho kilianzia kwa nyanya zetu wa kitambo O: lwa khurera olumarachi ni inomanoma ya vurimundu hushialo na ni filayi hulomaloma olumarachi. T: kwa kuleta kimarachi ni lugha ya kila mtu duniani na ni vizuri kukiongea kimarachi. O: lwainivwa nende vazee veefwe vahale hwari khwakorwa inomanoma ya olumarachi. T:kilitolewa na wazee wetu wa kale na tulikwa hatujui lugha hii ya kimarachi O: luno nilwo lusungo lulala khutsisungo tsiefwe tsia chinyanga chino. T: hii ndiyo lugha moja miongoni mwa lugha zetu za siku hizi. O: hulola huvazee vefwe na huali huakolwa lusungo luno na vazee vefwe vavola valuekeseho lusungo luno muchinyanga chino. T:tunaona kwa wazee wetu na tulikuwa hatujui lugha hii na wazee wetu wakasema watufunze lugha hii kwa siku hizi. O: ngehuamanya fwesi huachilila husunga ulusungo olo. T: jinsi tunavyojua nasi tuliendelea kuzungumza lugha hiyo O: fwesi lelo hulomalomanga lusungo lwefwe luno huekesevwanga nende vazee veefwe vakhale. T:nasi siku hizi tunazungumza lugha hii yetu tuliyofunzwa na wazee wetu wa kale. O: lelo nga khulomalomanga olusungo olo hulusangilila hulumanya olusungo olo nilo olusungo lwa vazee veefwe vahale husili huchilililanga nende vasefwe hueka inavo olusungo olo. T:siku hizi tunapozungumza lugha hii tunaivamia na kujua lugha hiyo ; ndiyo lugha ya wazee wetu wa kale na bado tunaendelea na baba zetu kujifunza na wao lugha hiyo. O: ese mumera vananganga benedict kade. T:mimi kwa majina naitwa benedict kade O: emilembe mwalimu nomba mwechesia wanje, isubira olimulamu mubunyali bwomwami nyasaye oukhulindanga buli bwosi. T:hujambo mwalimu wangu, natumai u mzima kwa uwezo wa mungu atulindaye kila siku O: esie mwene ndiwo mulamu. T:mwenyewe ni mzima. O: ne mwechesia esabanga mbu nonyala ombekho bweyango mutsuli sindalanyalilwa okhwitsa musikuli tawe. T:mwalimu naomba kwamba kama unaweza tafadhali unipe nafasi kesho sitawezewa kuja shuleni. O: omberesie inyanga ndala. T:unipe siku moja tu. O: nisie omwechi wawo; T:mie mwanafunzi wako O: jesse ochieng. T:jesse ochieng. O: olumarachi nilwo inomanoma yanje na esie mumera nangwanga moses omondi. T:kimarachi ndiyo lugha yangu nami kwa majina naitwa moses omondi. O: ndi nende miaka ehumi na kitaru nesie mwana mkhulundu musiani munzu mwefu. T:nina miaka kumi na mitatu na mimi ni mvulana wa kwanza nyumbani kwetu O: ndulanga mulukongo lwa madoa emwanda kuteremka lukari. T:natoka kijiji cha madoa barabara ya kuteremka lukari. O: somanga musomero liobukati ndi mukilasi ya saba. Nesie mulindi we ikilasi eyo. T:nasomea shule ya bukati niko darasa la saba na mimi ndiye kiongozi wa darasa hilo O: ehonyanga mwalimu muhusanya vitavo, humaka ilegesta , huandika mera ka vana vasumbua ningovera mwalimu nende huvorera vana hueyanga ikilasi nende huva vasafi humiviri kiabwe. T:huwa nawasaidia walimu kwa kukusanya vitabu, kuandikisha waliofika, kuandika majina ya wanaosumbua nikipelekea mwalimu na kuwaambia wanafunzi kufagia darasa pamoja na kuwa safi kimwili. O: mwalimu wefu weikilasi alanguanga madamu peris mulesi . T:mwalimu wetu wa darasa yuaitwa bi peris mulesi. O: arusomesianga omusomo kwa sayanzi . T:yeye hutufunza somo la sayansi O: arulanga vutula . T:yeye hutoka butula O: ni mulafu, muhomefu khandi ni murambi. T:ni mweupe, mnene tena ni mrefu O: yajama vaana vakhola vilayi musikuli handi yahaya vana vahola vivi musikuli. T:anapenda wanafunzi wanaofanya vyema shuleni vilevile huchukia wanafunzi wanaofanya vibaya shuleni. O: mukilasi nesie uvechanga namba saba nende makisi mia thitaru thihaya. T:darasani ni mimi huwa nambari ya saba na alama mia tatu. O: mumarevo ka promoshon ndikomba hunyola maxsi mia thine hulwa huinua igredi yange ya huthia mukilasi ya munane. T:katika mtihani wa kufuzu natamani kupata alama mia nne kwa kuinua gredi yangu ya kuingia darasa la nane. O: ndenya ohutema ohuhola mani huluohuva maxsi mia thine husia sinomvayo hava. T:nilitaka kujaribu kufanya bidii kwa sababu alama mia nne kufikisha sio mchezo O: nyahutupa maekio kandi hukonera hava ovusiru vuosi nyenya huvurusha ale huluohuva vivilahonya tawe. T:nataka kutupilia mbali tabia zingine za kutoenda shuleni; ujinga pia nataka kuurusha mbali kwa sababu havitanisaidia. O: esindi sia ndalahahera huivirira ta ni huthia mukanisa hulama nyasaye yanzikurire chihavi nyole maxsi mia thine ilinyole ovunyala vuo huthia mukilasi ya munane. T:kingine nisichopenda kusahau ni kwenda kanisani kuomba mungu anifungulie baraka nipate alama mia nne ili nipate uwezo wa kuingia darasa la nane. O: na nimbira marevo ka klasi eit nzie musekondari hole marevo ke ikolegi hunzie somere ikasi ya mwoyo kwanje kwenyere. T:iwapo nitapita mtihani wa darasa la nane niende sekondari nifanye mtihani ya kuingia chuoni ndio niende nisomee kazi ya tama ya moyo wangu. O: sio mwisho ni mumaisha kange ndikomba nyole mirimo kiange omwene emilai huchira maisha sai ni madinyu. T:la mwisho ni maishani mwangu natamani nipate kazi yangu nzuri mwenyewe kwa sababu sai maisha ni magumu. O: sava nyasaye wanonga nanda musialo muno hulwahumuholera emirimo chie milai ende ohwerocheresia imberi waviosi evia yalonga husialo sino. T:naomba mungu aliyeniumba na kuniweka duniani humu kwa ajili ya kumfanyia kazi yake nzuri na kujinyenyekeza mbele ya vyote alivyoviumba duniani humu. O: ako niko mahua kambere nako. T:hayo ndiyo maneno niliyokuwa nayo. O: yali inyanga ndala yalulilao omukofu nende siduyu. T: siku moja paliondokea mzee mmoja na sungura. O: omukofu oyo yali nende indalo yaye. T: mzee huyo alikuwa na shamba lake. O: naye siduyu siali mwanaye mana nasibolela endi esiye sinyala da hulima yewe thia mundalo yefu na undakile chinjugu chino. T: naye sungura alikuwa mtoto wake na akamwambia kuwa, “mimi siwezi kulima, wewe enda shambani mwetu unipandie njugu hizi.” O: siduyu nisimbolela mbu siila chinjugu thino thilamela vilai. T: sungura alimwambia kuwa kaanga njugu hizi zitamea vizuri. O: omukofu oyo yesi yasiila nambolela ethinjugu nzithiano nobuha othie olake. T: mzee huyo pia alikaanga na kumwambia,”njugu ndio hizi hapa ukiamka utaenda kupanda” O: naye siduyu sino siabuha ni sidola imbako nisimala siathia mndalo. T: sungura alipoamka alichukua jembe kisha akaenda shambani. O: sianina humsala nende chinjugu mani nisichaka huthiria. T: alipanda juu ya mti na njugu kisha akaanza kuzila. O: ngasiamala hulia thinjugu nisiikha siebakha ridoi nisikalukha mudala. T: alipomaliza kula njugu alishuka akajipaka matope akarudi nyumbani. O: siali siula nisibolela kukhu waye ndehela busela sifuria sikhongo eso nathia nakona. T: alipofika alimwambia nyanyake kuwa,” nipikie uji ile sufuria kubwa, “ kisha akaenda kulala. O: nga kuhung’ine yamala hufuluka busela nathia ambusia, nambolela mpaka onywe busela. T: nyanyake alipomaliza kukoroga uji alienda kumwamsha, akamwambia kuwa lazima unywe uji. O: yamleba “bunyilile?” T: alimwuliza, “umepoa?” O: kuhu ng’ine namkalusia mbu bunyilile. T: nyanya yake alimjibu kuwa umepoa. O: siduyu nga siamala hunywa busela nisibuluha. T: sungura alipomaliza kunywa uji akapumzika. O: siehala nende kukhung’ine chiabila. T: aliishi na nyanya yake siku zikapita. O: inyanga ndala kuhung’ine namleba, “othithangaho hulinga thinjugu thiefu?” T: siku moja nyanya yake akamwuliza, “je, huwa unaenda kuangalia njuguzetu?” O: siduyu siamkalusia siathiakho mndalo. T: sungura alimjibu, “sijawahi enda shambani.” O: kuhung’ine nasiborera mbu mthuri othie othiake. T: nyanyake akamwambia kuwa kesho uende uzipalilie. O: siduyu siabuha ni kukhung’ine asiborera huthie huiyake thinjugu. T: sungura aliamka na nyanyake akamwambia twende tung’oe njugu. O: esiduyu eso nisimbeya mbu omwalo kulia ni omukhongo ni ewe kukhu dong’a undekhele obusera. T: naye sungura akamdanganya kuwa mto ule ni mkubwa, wewe baki unipikie uji. O: mani siduyu nisithia siyaka thinjugu thia khotha ng’ine. T: hivyo sungura alienda kung’oa njugu za mjombake. O: sieyaka thinjug’u siakoba ingo. T: aling’oa njugu akapeleka nyumbani. O: khandi nisikalukhayo. Ngasiakalukhayo nisinyola omfano kwomundu nisimleba “okholanga sina mndalo wange?” T: baadaye alirudi huko. Aliporudi alipata alipata sanamu na kuiuliza , “unafanya nini shambani mwangu?” O: omundu ulia naye yemele sa. T: sanamu ile nayo ilinyamaza tu. O: mani nisichaka khulwana inaye. T: kisha akaanza kupigana nayo. O: siamkhuya ingumi nisiandakho, eliteki, nisimalilisia nende ihedi mani nisiandakho endio. T: aliipiga ngumi ikakwama, teke na akamalizia na hedi na hivyo kukwama papo hapo. T: OBULAYI BWA IFULA T: UMUHIMU WA MUVUA O: Ifula ni indai khunyola amatsi nikhubula amatsi khusandanga T: Mvua ni muhimu kwa sababu hutusaidia kupata maji na bila maji huwa tunateseka O: Bunyasi nibuuma tsing’ombe tsiefu. T: Nyasi inapokauka ng’ombe wetu O: tsisanda tsing’ome tsiosi tsimenyanga nitsilanywere amatsi dawe handi tsing’ombe tsifua, abandu bosi matsi nikaumao khusanda. T: huteseka pia ng’ombe hukosa maji ya kunywa kutokana na ukame na pia ng’ombe hufa, binadamu pia maji inapokosekana huwa tunateseka O: Matsi ni malayi khandi mabi, matsi kakhonyanga khueoka nende khuevurira bilayi. T: Maji ni mzuri tena mbaya, maji hutumika katika kuoga na tunapooga huwa tunahisi tuko sawa. O: Ovulwayi vya korona government ibola khuesabe mikhono khulatirwa nende obulwale obo tawe. T:Ugonjwa wa korona ulipotokea tuliambiwa kuwa tuoshe mikono yetu ili tusiambukizwe na ugonjwa huo. O: Vikha vindi matsi kaleranga obulwale bwa kipindupindu. T: Wakati mwingine maji huleta magonjwa ya kipindupindu O: Novaya mfula olaenyola nori omulwale handi thinyanga tsia ifula ingirire khubetsanga nende amadosi. T: ukicheza kwenye mvua utajikuta ukiwa mgonjwa pia wakati ambapo mvua hunyesha huwa kuna matope O: Ifula inyala khurera tsishida khubandu niingwire inyingi T: Mvua huweza kuleta shida kwa watu inaponyesha nyingi O: Vindu vinyala khukingwa nende ifula T: Vitu huweza kubebwa na mvua O: Abandu bosi banyala khufuya ifula nikwa bulayi khunyala okhunyola ebiakhuria, ifual yosi ni bulamu. T: Watu pia wanaweza aga dunia na mvua inaponyesha vizuri tunaweza kupata chakula, mvua pia ni uhai O: Amatsi kabakhonyere abandu bangi sana karumikhirwangwa khwesinga. T: TMaji yamewasaidia watu wengi sana na inatumika katika kuoga, O: ifula yosi irueresianga matsi malafu ka khuosia tsingubo nende ka okhunywa. Maji ni malayi khu bulamu. T: mvua pia hutupa maji safi ya kuosha nguo naya kunywa. Maji ni muhimu kwa uhai. T: EMILY MELVINE/ EMMACULATE O: Mwenye dala sangala kho abakeni basangale x2 T: Mwenye boma furahi ndipo wageni wafurahi x2 O: afurahi x2 O: .Indede wefwe sangala kho abakeni basangale x2 T: Indede wetu furahi ndipo wageni wafurahi x2 O: . Indede eeh! Indede mama. Indede eeeh! T: Indede eeh! Indede mama. Indede eeeh! O: . Indede balole abana baeresiekho siria sia onyorere x2 T: Indede waone watoto wasaidie na kile ambacho umepata x2 T: OLUSHAIRI T: SHAIRI O: Olumbuku ludoto eng’ombe siiria po! T: Gugu changa ng’ombe hali kamwe ! O: Chigwena nichiola huloba chigwena T: Mamba akifika kuwatega mamba. O: Owamakhumbo nakenda nafwarire ebilaro anyala khusamba ayi! Masira sina kano kashirire abachesi olumbuku T: TMwenye miguu kombo akitembea akiwa amevaa viatu anaweza kuchoma ayi! Majabu gani haya ambayo yameshinda werevu gugu. O: Omusiani owa makhumbo niyesinga ari nende indalo iria naringa amira sa amare. T: Mvulana mwenye miguu kombo akioga ako na shamba ambayo akiangalia anameza tu mate. O: OLUIMBO T: WIMBO O: MOYA KA INGOKHO NYANGA KAKHAYALE T: MANYOYA YA KUKU SIKU MOJA YATAHUKUMIWA O: Moya ka ingokho nyanga kakhayale T: TManyoya ya kuku siku moja yatahukumiwa O: Moya ka ingokho nyanga kakhayale T: Manyoya ya kuku siku moja yatahukumiwa O: Moya ka ingokho nyanga kakhayale T: Manyoya ya kuku siku moja yatahukumiwa O: Moya ka ingokho nyanga kakhayale T: Manyoya ya kuku siku moja yatahukumiwa O: Moya ka ingokho nyanga kakhayale T: Manyoya ya kuku siku moja yatahukumiwa O: Bakhayo babola moya ka ingokho nyanga kakhayale T: Wakhayo wanasema kwamba manyoya ya kuku siku moja yatahukumiwa O: OLUIMBO T: WIMBO O: . Ochelewe Florence ochelewe x2 T: Umechelewa Florence umechelewa x2 O: . Olarusia Florence olarusia ifaini x2 T: Utatoa Florence utatoa faini x2 O: Ifaini ya shilingi mia thirano x2 T: Faini ya shilingi mia tano x2 O: Olarusia Florence ifain olarusia ifaini x2 T: Utatoa Florence utatoa faini x2 O: . Ifaini ya shilingi elfu ndala x2 T: TFaini ya shilingi elfu moja x2 O: Olarusia Florence olarusia ifaini x2 T: Utatoa Florence utatoa faini x2 O: Ikoras T: Kiitikio O: Ochelewe Florence ochelewe x2 T: Umechelewa Florence umechelewa x2 O: Olarusia Florence olarusia ifaini. T: Utatoa Florence utatoa faini. O: OLUKANO (BRD 36) T: HADITHI (BRD 36) O: KHAMUNA NENDE OMSHIERE T: KIDIRI NA BIKIZEE O: Omushiere yali natsire mjokoni okhufuka obusuma bwae yali namarire nabulere mnzu khongo nabukula inyeni nachaka okhudekha. T: Bikizee alikuwa ameenda jikoni amesonga sima yake akawa amemaliza kisha akaweka kwa nyumba na kuchukua samaki kuanza kukaanga O: Yali yeng’ene mudala mwae nabukule obusuma bwae nende ing’eni nachaka okhulia niyekhale asi owamusala T: Alikuwa pekee yake katika boma lake amechukua sima lake na samaki akaanza kula akiwa amekiti chini ya mti. O: Baada ya amasaa kabili okhubira khamuna khabukula shikaye shia mberi omushiere nalurira msigoro siaye nanyola khamuna nikhalitsanga obusuma. T: Baada ya dakika mbili kupita kidir alichukua sahani ya kwanza kisha bikizee akatokelezea katika chumba chake cha kulala akapata kidiri akila sima. O: Omushiere nachaka okhuba oluyungu mbu abandu betse bamukhonye evindu vimwingilire. T: Bikizee akaanza kupiga mayowe watu waje wamsaidie vitu vimemuingilia O: Olwa abandu betsa humulola omushiere khamuna nikharula mkari mwa inzu abandu ngabalola khamuna nibalura tsimbiro. Olukano lwanje lubwelele ao. T: Watu walipokuja kumwokoa bikizee kidiri alitoka ndani ya nyumba kisha watu walipomwona walianza mbio. Hadithi yangu imeeishia hapo. O: BRD 37 O: TSINGANO ETSIA OLULUHYA T: MAFUMBO YA KILUHYA BRD 37 O: Tsuyukhana yaayia meno T: TMtu ambaye anakiherehere huchomeka jino O: Kenda kala yaola ebunyolo T: Mwenda pole alifika Ujaluoni O: Liani lilekwa nilio riritsanga obusuma T: Mboga ambayo imedharauliwa ndiyo ambayo hutumika kula sima O: Imbolerwa ni isilu T: Kuambiwa ni ujinga O: Imbwa ilondanga msokonyalo kwa nyina T: Mbwa hufuata tabia za mamake O: Nandachelerwa yatsia namafwi nabukhwe T: Yule ambaye hapendi ushauri alienda ukwe akiwa na kinyesi O: Ukhulisia akhuya mao niwikhale T: Yule ambaye anakulisha anampiga mamako ukiwa umeketi O: Tsidaywa tsibili sitsidekherwangwa mnungiro ndala dawe T: Njogoo wawili huwa hawapikwi katika chungu kimoja O: Omwana wa liungu ni liungu T: Mtoto wa mwewe ni mwewe O: Omukhana omulayi adekha ambi T: Msichana mzuri huoleka karibu O: Omulongi alilanga khuluchio T: Mfinyanzi hula kutokana na ufinyanzi wake O: Oumenyere yenyene sasabanga amakhono tawe niyanya ukhuria T: Yule ambaye anaishi pekee yake huwa hanawi mikono anapotaka kula O: Omusala kukololosie nikusiri omudidi T: Mti unyooshe ukiwa ungali mchanga O: Siro nisisuku T: Usiku ni hatari O: Oufwa amatsi salekhwaa okhwatsia T: Yule ambaye amekufa maji haachwi alikofia O: Nebilayi okhukhonya weikanzu okhushira weinjala T: Ni vyema kumsaidia aliye na kanzu kuliko kumsaidia aliye na njaa O: “ilikho inyanga eyemitoka chibetsanga mititi? T: Kuna siku ambayo magari yalikuwa yanakuja madogo? O: Enduutsi mbu chituundubukhanga butswa mumeeso, chirulaanga hena ne khandi chitsia hena? T. T: Nimeona kuwa zimekuwa mingikama kumbikumbi wakati wa usiku wa nanane huwa yanatoka wapi na yanaelekea wapi? O: Kata shinyala okhukhalasia omuhaanda tawe. Eriire muno!” T: Hata siezi vuka barabara nahofia sana !” O: “Tawe olanala. Fwesi khali khurio nikhushiitsa. Leelo khubisianinjia butswa shinga omwami nachenda mwituuli liamakondike” T: “Hapana utazoea sisi pia tulikuwa hivyo tukija siku hizi huwa tunapitana tu kama mfalme anapotembea zizini mwa kondoo wake. O: Olunyuma lwamahoonga kabili, Nafula yanyala okhukhalasia omuhaanda yenyene. Shiyateeba mbu atiilwe omukhono khandi tawe T: Hapo awali baada ya siku mbili, Nafula aliweza kuvuka barabara akiwa pekee yake hakujali eti ashikwe mkono tena. O: Bulano yanyala kata okhutsia mumaaluka yenyene okhukula ebindu T: Hata aliweza tena kwenda kwa maduka pekee yake kununua vitu. O: Yalola mbu obukusi bwebindu bwali obwakhekulu muno. T: Aliona kuwa uuzaji wa bidhaa ulikuwa ghali sana O: Yalola mbu tsinyaanya tsine tsikusibwa ishilingi, nako amaramwa kataru konyone kakusibwa khjandi ishilingi! Kho yapara mumwoyokwe ari: T: Aliona kuwa nyanya nne zinauzwa kwa shilingi moja, nazo ndizi tatu pekee zinauzwa pia kwa shilingi moja! Kwa hivyo aliwaza moyoni mwake yakwamba ; O: “Ningalukha ingo wefwe ndatsia ndaaraka eliani, nende tsinyanya nebituunguo mana ndreera okhukusia ino shindskhanyoola amapesa amanji, T: ”Akirudi nyumbani kwao aende apande mboga, nyanya na vitunguu kasha alete kuuza huku anaweza kupata pesa mingi. O: olunyuma Nafula yakalukha ingo wabwe mana nakhola shinga olwayaliniyapaarire T: Baadae Nafula alirudi nyumbani kwao kasha akafanya jinsi alivyokuwa amefikiria O: Yaaraka eliani shinga emiro, omurere, likhubi, lobokoyi kata nende likabichi liosi. Yaraaka tsinyaanya naloondana nende amalako komwechesia wa kirikacha. T: Alipanda mboga kama vile mitoo, mrendaa, kundee, manage na sukuma wiki pia. Alipanda nyanya akifuata maelezo ya mlimaji bora. O: Tsinyaanya tsiamala tsiaruunga butswa shinga ebiyoonzo khumulachi Olwa okhukusia khwola, yakusiinjia tsibili ishilingi T: Nyanya ziliweza kutoa mazao bora kwa mpandaji wakati wa kuuza ulipowadia alikuwa anauza nyanya mbili kwa shilingi moja O: Nabio ebituunguo biali ebiamapwoni, biali biabuundukunya shinga ompira. T: Nazo vitunguu zilikuwa za viazi, zilikuwa zimemea na kuchukua umbo wa mpira. O: Abakuli abanjibaheelanga okhukula emiandu chia Nfula, okhuba biosi ebia yakusiinjia biali ebikhoongo khandi ebikhomefu. T: Wanunuzi wengi walipenda kununua bidhaa za Nafula kwa sababu bidhaa zote ambazo alikuwa anauza zilikuwa kubwa tena nono. O: Abakofu belitaala basangala nende obukholi bwa Nafula. Abandi khubo bachaaka okhumoonyananibasuunga bari. T: Wazee wa boma walifurahia sana jinsi Nafula alivyokuwa anafanya kazi yake. Wengine wao walianza ati. O: “Nafula yali yaria imbako. Leelo yomilanila okhulima. T: Nafula alikuwa ameogopa jembe siku hizi amekazana na ukulima O: Eshiamukalukhasia kho namanya imbako nishina?” T: Kilichomrudisha Nafula na kumfanya ajue jembe ni nini?” O: bandu bari ?” T: watu walikuwa wakisema:? O: “Yatsia e Nairobi, ewa Simiyu. T: “ Alienda Nairobi kwa Simiyu. O: “Ebweneyo newayanyoola obulaiburula mumukuunda.” T: “ Huko ndiko alipopata kuwa uzuri unatoka kwa shamba ”. O: “Neshichilanga Abaluyia nibaboola mbu “Namwana ahila nyina amachesi” T: Hii ndiyo iliyosababisha Waluyia wakasema kuwa “mtoto anashinda mamake akili O: Leya yamukalusia ari! T: Leya alimrudisha kwamba! kumbuka funzo O: “itsulila oluechelo mbu omwikholelela shikufubanga tawe” T: kumbuka funzo kuwa unachokifanya hakifi” O: Kaasia khale ebindu biaokhoyele mbu ostia ninabio. T: Tengeneza mapema vitu ambavyo unafaa kwenda navyo. T: Mizigo ngapi O: Handika ebindu tsana habundu nga olabikinga buli shilala shilala. Andika ebindu biosi ebiokhoyeyele okhubukula. T: Andika mahali vitu vyenyewe mahali utakuwa unabeba kila kimoja kimoja. Andika vitu vyote ambavyo vinafaa kuchukuliwa O: T.Tsingubo tsinga? T: Nguo ngapi? O: Amapesa kaanga? T: T. Pesa ngapi? O: Emisiiko chinga? T: T. Mizigo ngapi O: Handika eliiralio nende ahotsia khubuli omusiko. T: Andika jina lako na mahali unakoenda kwa kila mizigo. O: Andika ibarua ohotsia obamanyie T: Andika barua unakoenda uwajulishe O: Inyaanga yotsililayo T: siku ambayo unaenda O: Isaa yopaara mbu wakhooleleyo T: wakati ambao unafikiria utafika O: Bukula ebiliibwa biomwana nende ebia abandu boli ninabo boosi. T: chukua chakula cha watoto na watu ulionao wote O: Injila yolitsilayo, bola nikuliba omutokaa, noho likari T: Njia ambayo utaendea wajulishe kama utaenda kwa kutumia gari. O: Bamanyie ahabakhoyeele okhukhuliindila T: Wajulishe pale ambapo wanafaa kukungojea. O: Laamila oluchendo olwo mbu T: Ombea safari yako kuwa O: Nyasaye alwimilile T: Mungu atusimamie O: Abacheendi bandi halala ninawe bakhoonywe nende Nyasaye T: Wasafiri wengine pamoja na wewe wasaidiwe na Mungu O: Onyoole omuleembe ewotsia T: Upate amani unakoenda O: Nomalile okhuula ewotsiilenje handiichila aboleshele inyuma obamanyie. T: Ukishafika mahali ulikuwa unaenda andikia wale ambao umewaacha nyuma uwajulishe O: Akolucheendo amalayi kata amabii kabelemwo T: Yale ya safari mazuri na mabaya O: Inyanga yolikalushila Nyasayenaaba nachama. T: Siku ambayo utarudia Mungu akipenda. O: Khupila Nyasaye orio khulwa okhukhulinda naaba nachama. T: Shukuru Mungu kwa kukulinda akipenda O: Khukhuimilila khulukeendo. T: Kukusimamia kwa safari O: Khandi mbu ameete okhubalinda, nende okhubakoosia yabo abatoong’a ingowo olwa olakalukha.” T: Tena aongeze kukulinda,na kuwalinda wale ambao walibaki nyumbani kwako hadi utakapo rudi O: Oluchendo olwaloondakhwo Roda yakhola shinga olwa Leya yali namwibalile mbu akholeenje. T: Safari iliyofuata Roda alifanya jinsi alivyo ambiwa na Leya, jinsi alivyokuwa amemwelekeza awe akifanya O: Yahuka muno olwayalolambu shiyali nakosiyekhwo noho niyebililekata eshindu shilala tawe, olwa yoola ewabalinibatsia. T: Alishangaa sana alivyoona kuwa hakuwa amepoteza au kama amesahau kitu kimoja hapana, alipowasili waliokuwa wanaenda O: Obuheendi nende oburima obwalinji muye khale bwabwakho buli olucheendo olwabasamulanga Leya yanyoolanga Roda niyerecheshe nende ebindubie biosi namulindanga. T: Wasiwasi na hasira ambao ulikuwa kwake kitambo uliokuwa katika kila safari waliokuwa wakisafiri Leya alikuwa anamkuta Roda akiwa tayari na vitu vyake akimngoja. O: Kho Roda yamala ahandiche mushikoro shie inzuye khulwa okhumwitsulisinjia mbu T: Kwa hivyo Roda ameandika katika chumba chake cha kulala kwa kukumbuka O: “omwikholela shikufubanga ta” T: ”Unachojifanyia haifi” O: Olwabamala okhukasia biosi, mbu omulilo khulwa okhutundumia inzu, nayo itaa okhulangaasia inzu tsana, Buluma yachaka omulimokwe T: Walipomaliza kutengeneza yote, aliwasha moto kufanya nyumba iwe na joto nayo taa kumulika nyumba yenyewe, Buluma alianza kazi yake O: Omulimo okwo okhukanatsingano nende okhuboola khukayalolanga nashili omusoolili. Yachaaka ari. T: . T.Kazi ya kuhadithia hadithi na kusema alivyokuwa anaona akiwa angali kijana. Alianza hivi O: “Inyanga ino enzia okhumuupila imbakha akabakofu babili abalaangwa mbu Kaleefu nende Okwaro. T: Siku ya leo naenda kuwaelezea hadithi ya wazee wawili wanaoitwa Kaleefu na Okwaro. O: Kaleefu yali omundu owachama okwilaya. Buli lwosi olwa yakholanga eshindu, yelahanga mbu “Isie Kaleefu ndilifwila bukuunyila!” T: .T Kaleefu alikwa mtu aliyependa kujisifu kila wakati alipokuwa akifanya kila kitu. Alikuwa anajisifu “Mimi Kaleefu nitakufa kwa kujuta!” O: Khuye, ebikuunyila bialy mbu alifwa nanyaasibwe. Kho okhufwa khwa Kaleefu khwarulana khukhwira omukofu undi owalaangwa mbu Wanjia. T: Yeye kujuta kwake ilikuwa kwanza atakufa akiwaamesumbukana. Kukufa kwa Kaleefu kulitokana na kumua mzee mwingine aliyeitwa Wanjia O: Wanjia basoolana nende Kaleefu nibafunana omukuunda. T: Wanjia walizozana na Kaleefu waking’ang’ania shamba. O: Kaleefu yakhupa Wanjia indabushi khumurwe, mana Wanjia nafwa. T: Kaleefu alimpiga Wanjia rungu kwa kichwa kasha Wanjia akaafa O: Serikali yaboha Kaleefu mumbohe khulwa okhwira Wanjia. T: Serikali, ilimpeleka Kaleefu mahakamani kwa kumuua Wanjia. O: Kaleefu yakwa lilalu nali mumbohe kho olwa bamuhila mwisilishilo elia abalalu, Kaleefu yafwila ebweneyo T: Kaleefu akawa mwenda wazimu akiwa mahakamani kwa hivyo walipompeleka katika hospitali ya wenda wazimu; Kaleefu alifia huko. O: Lole ebetsukhulu banje. Kaleefu yafwila ebikuunyila T: Oneni wajukuu wangu, Kaleefu alikufa kwa kujuta. O: Yafwa nanyasiibe. Kho mukhoyelemweche khulukano olwomukofu uno. T: Alikufa kama amesumbuliwa kwa hivyo mnafaa mjifunze kupitia ngano yam zee huyu O: Okhuboola , boolanga likhuwa shinobulayi tawe. Haundi onyalaokhuba niwilaanjilanga eshilikhulia. T: T.Kusema, nasema neno si vizuri labda unaweza kuwa unajitia kitakachokukukula. O: Kaleefu yapaaranga mbu nomubayo, khane yali yelakulilanga akalikholekha khuye tooto. O: Paara akoboola. Chelaasia obulayi eshifune shielikhuwa elo noshiili okhuliboola. T: Kaleefu alikuwa akidhani kuwa ni mchezo kumbe alikuwa anafungua yatakayofanyika kwake kweli. T: Fikiria unayoyasema linganisha vizuri sababu ya maneno hayo kabla uyaseme O: Kaleefu yafwamubunyaakhani. Yafwila mubikuunyila. Khuno nokhufwa okhulayi abetsukhulu banje? T: T.Kaleefu alikufa kwa kujuta. Huku ni kukufa kuzuri kweli wajukuu wangu?” O: Muteenyo yali owambeli okhukalusiamwo. Yaboola ari: T: Muteenyo ndiye aliyekuwa wa kwanza kujibu. Alisema kuwa ; O: “Kuuka, orio muno. Olukanolwo lubeele olulayi, kata nululi olweshibeela khulwa okhufwa khwa Kallefu. T: Babu asante. Hadithi ilikuwanzuri, hata kama ni ya kuhuzunisha kwa kifo cha Kaleefu. O: Kuuka ekhuunga omukhono khwikhuwa elo elia oboola mbu khupaarenje nikhushiili okhuboola likhuwa liosi” T: Babu nakuunga mkono kwa neno hilo ambalo umesema ati tufikirie kabla hatujanena jambo lolote. O: Osundwa yali nende likhuwa liakalusia kuukanyene. Yaboola ari: T: Osundwa alikuwa na neno ambalo alimjibu Babuye. Alisema hivi: O: “Kuuka, orio muno okhukhuchetsihia. Ababuukha abanji abolubaka lwefwe baboolanga nibashiili okhupaara eshufune shielikhuwa. T: Babu wengi wa rika zetu huongea kabla hawajafikiria chanzo cha jambo. O: Okurula olwa leelo enzia okhuteemanga okhupaara kho emboole likhuwa.” T: Kuanzia leo naenda kujaribu kufikiria ndipo niseme neno. O: Nanjala shiyeenya okhukalausia likhuwa liosi tawe. Ye yalobola okhurechelesia butswa khwonyene. T: Nanjala hakutaka kurudisha neno lolote kamwe. Yeye alichagua tu kusikiliza pekee O: Mana Muteenyo nareeba kuukanyene mbu nachama atsiliilile nende olukano lwomukofu Okwaro. T: T.Ghafla Muteenyo akamuliza babuye kuwa angependa aendelee na hadithi ya mzee Okwaro. O: “Muhuliile shinga Kallefu yaboola-boolanga shinga olwalifwa T: Mumesikia jinsi Kaleefu alivyosema sana jinsi atakavyokufa. O: Okwaro yesi yaboolanga khukokhufwakhwe. T: Okwaro pia alikuwa amesema kuhusu kifo chake O: Okwaro yali nende omukasa kwokhumukhono. T: Okwaro alikuwa na bangili mkononi mwake. O: Ye yaboolanga mbu Okwaro, ndilifwa nnde omundu T: Yeye alikuwa anasema kuwa Okwaro nitakufa na mtu. O: Olweinyanga yakhufwa khwa Okwaro yoola, bayaba ing’ani eyo khumusiikhamwo T: Siku ya kufa ya Okwaro kulipowadia waliochimba kaburi yake ya kumzika. O: Olwabali Nibali ahambi okhumwishia mung’ani, balola mbu omukasa kwali kushiili khumukhono kwomufu. Kho baboola mbu bare omulaambo kwa Okwaro, hasi batanyule omukasa khumukhono T: T.Walipokuwa karibu kumtumbukiza kaburini waliona bangili ikiwa ingali mkononi mwa marehemu. Hivyo walisema waweke mwili wa Okwaroi chini watoe bangili kwa mkono. O: Omulaambo kwareebwa hasi ahambi nende ing’ani. Kho bateema muno okhutanyuula omukasa khumukhono kwa Okwaro ne kwali omutinyo okhurula. T: Mwili wa marehemu ulikuwa chini karibu na kaburi hivyo basi walijaribu sana kutoa bangili mkononi mwa Okwaro na ilikuwa ngumu kutoka O: Kho yeetsaho omukofu undi owali namaani. T: Hivyo basi akaja mzee mwingine aliyekuwa na nguvu O: Yatiika nokhutaanyula T: Aling’ang’ana na kuvuta. O: Ne olwa yahiinia amaani kosi yalola omukasa nikwenya okhurula. Kho olwa yameeta amaani amanji, omukasa kwabatsukha mana nikumufuuba mung’ani T: Na alipotumia nguvu yote aliona bangili ikitaka kutoka kwa hivyo alipoongeza nguvu mingi bangili iliponyoka kisha akajirusha kaburini O: OBULWAYE BWA KORONA. T: UGONJWA WA KORONA O: Omwaka kwa elfu tsibiri nende kumi na tisa obulware bwa korona bwetsa musyalo siefwe okhurula mu shibala shia Tsina. T: Mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa ugonjwa wa korona ulikuja kwa dunia kutoka nchi ya China. O: Mana fuesi basomi nikhurula mubikuli khwakalukha mudala. T: Pia sisi wanafunzi tulitoka shule tukarudi nyumbani. O: Obulware buno bwatsaka khwira abandu bangi mutsina mana nibeerukha abandi nibeetsa mukenya okhunyola amaresi. T: Ugonjwa huu ulianza kuwaua watu wengi nchini China na wengine wakakimbilia nchini Kenya kutafuta matibabu O: Omukhana mulala khurula Tsina yeetsa musyalo sya Kenya nende obulwaye buno. T: Msichana mmoja kutoka China alikuja nchini Kenya na huu ugonjwa O: Omuruki Uhuru Kenyatta yetsurisia abandu beefwale tsimaski, abeekhale are nende abandu bandi, basaabe amakhono buri sikha, beekhale mumadala kaabu nende khufunga tsikanisa khulwa sikha ili khupungusya obulware buno. T: Rais Uhuru Kenyatta aliwakumbusha watu wavae barakoa, wakae mbali na watu wengine, wanawe mikono kila wakati, wakae kwa boma zao na wafunge kanisa kwa sababu ya khudhibiti kuenea kwa ugonjwa huu. O: OBULWAYE BWA KORONA. T: UGONJWA WA KORONA O: Obulware bwa korona bwaatsaka omwaka kwa elfu tsibiri,ekhumi nende tisa musyalo sya China mana nibwiira abandu baangi. T: Ugonjwa wa korona ulianza mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa nchini China na ukawaua watu wengi. O: Omukhongo wa afya musyalo yaboola mbu baandu beefwale tsimaski, beesabe sikha siyosi nende amatsi amalafu alafu barakendakenda muno ta. T: Mkuu wa wizara ya afya nchini alisema kuwa wtu wavae barakoa, wanawe mikono kila wakati na maji safi pia wasitembea sana bila. O: Enyanga indi eredio yaatangasia iri abasomi balantsa mubikuli ta khulwa khubwa omulwaye bwa korona bwaabiririire abasirikhi nibasiiri bakonya omusala. T: Kuna siku radio ulitingza kuwa wanafunzi wasikwende shule kwa kuwaa ugonjwa wa korona umewaua madaktari kama bado wanatafuta dawa. O: . OBULWAYE BWA KORONA. T: UGONJWA WA KORONA O: Bulware bwa korona bulwerere amadinyu amangi musibala. T: Ugonjwa wa korona umeleta shida mingi duniani. O: Bulwaye buno nibutdiira omundu aba nende obudinyu bwa okhuyera,esirefu sitsuuna nende tsimbafu alala nde okhukholola. T: Ugonjwa huu ukimpata mtu hukuwa na ugumu wa kupumua, maumivu ya kifua na mbavu pamoja na kukohoa. O: Okhukaira obulware buno bienya omundu yeesabe nende amatsi keedikha, abe are nende abundu baangi,yeefwale imaski nende okhufuunikha omunwa naakholola. T: Kuzuia huu ugonjwa mtu anahitajika kunawa na maji yanayo tiririka, awe mbali na watu wengi, avae barakoa na kufunika mdomo anapokohoa O: Bulware buno bwaakera abana be sikuli nibarumikhila tsikompyuta okhusoma nende okhwikhala mudaala khukhonya abebusi okhwaka ebyakhulya. T: Huu ugonjwa ulifanya wanafunzi wakatumia kompyuta kusoma na pia kukaa nyumbani kusaidia wazazi kupalilia vyakula. O: Omwami we syalo siefwe esia Kenya Uhuru Kenyatta yaboola mbu abandu badonge mutsinyumba tsaabwe bararula erwanyi da musiro. T: Rais wan chi yetu ya Kenya Uhuru Kenyatta alisema kuwa watu wasalie manyumbani kwao wasitoke nje usiku. O: Ili okhukaira obulwaye buno khuendelea. T: Ili kuzui kuenea kwa huu ugonjwa O: Bulware buno bwaleera bukhonyi khutsifamilia tsisabi. T: Huu ugonjwa ulileta usaidizi kwa familia nyingi O: UBULWAYE BWA KORONA BWALERA MALAYI KHUSHIRA MABI. T: UGONJWA WA KORONA ULILETA MAZURI KULIKO MABAYA O: Kama tsifamilia tsiria tsiri nitsifwiirirwe nende abandu babu okhulondana nende obulware buno. T: Kama familia zilizokuwa zimefiwa na wapendwa wao kutokana na huu ugonjwa O: Buli ifamilia yaanyolanga tsisabuni buli mundu mti mlala. T: Kila familia ilipata sabuni moja kwa kila mtu kwa familia O: Abandu bandi baberesibwa ebyakhulia. T: Watu wengine walipewa vyakula. O: OBULWARE BWA KORONA. T: UGONJWA WA KORONA. O: Obuluare bwa korona bwatsaka omwaka kwa elfu thibili nende tisa. T: Ugonjwa wa korona ulianza mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa. O: Mani ni bunyala khuereya mushibala shefu sia Kenya. T: Ulifika kwa nchi yetu ya Kenya ukaenea sana O: Abandu bafwa ngah ethingokho. T: Watu walikufa kama kuku O: Mwiminsi woo bulamu Mutahi Kagwe nainia maoni kaye okhulondana nende obulwaye bano. T: Mkuu wa wizara ya afya Mutahi Kagwe alitoa maoni yake kutokana na huu ugonjwa. O: Omukhulundu muami Uhuru nainia maoni kaye yabola mbu bulwaye buna bwa korona bwira bwangu sana. T: Rais Uhuru alitoa maoni yake akasema kwamba ugonjwa huu wa korona unaua watu haraka sana. O: Mani nabola mbu obulware buno no bubi sana mana bandu bafuale thimasiki nende okhwikhala are nende bandu bandi. T: Akasema kwamba huu ugonjwa ni mbaya sana na watu wavae barakoa na wakae mbali na watu wengine. O: Bana besikuli nabo banyala khuikhala mumadala, bikuli ni bifunga biosi musibala siefwe sya Kenya ikhuae hala mudala. T: Wanafuzi wa shule waaliweza kukaa nyumbani, shule zikafungwa zote nchini Kenya tukasalia nyumbani. O: Korona ni buluaye bubi sana buuma mubayo kwoosikwoosi khulwa khubwa bunyala khudira buri mundu. T: Korona ni ugonjwa mbaya sana ambao hauna mzaha wowote kwa kuwa unaweza kumpata kila mtu. O: Omuyaka kwa ikhoma ya korona khandi burulama nende butsafu kwa ibyo khube nikhuosya makhono kefwe khulwa thisekondi tsidaru T: Maradhi ya homa ya korona huweza kutoka iwapo tunanawa mikono zetu viini zikiwa zimejikusanya kwa mikono. O: Omundu yesiyesi anyala okhunyola obulware buno,ni noobona tsidalili tsosi tsosi otse musibitali. T: Mtu yeyote huweza kupata ugonjwa hu una iwapo anaona dalili zozote aende hospitalini O: Basaba mwesi mube tsonjo nende obulware buno mulabunyola khaba. T: Nawaomba nyote muwe waangalifu na huu ugonjwa usiwapate O: OBULWARE BWA KORONA. T: UGONJWA WA KORONA O: Obulware bwa korona bwachaka mwaka kwa elfu thiviri nende ekhumi na tisa. Mani ni vunyala chuereya mushi ala shefue sia kenya. T: Ugonjwa wa korona ulianza mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa O: Mani ni bunyala khuenea mushialo shefue sia Kenya. T: Ukaweza kuenea kwa nchi yetu ya Kenya. O: Thielfu amusini nende mia thrano avandu bafwa nga ethingoho. omwimirisi T: Watu elfu hamusini na mia tano walikufa kama kuku O: Omwimirisi woo bulamu Mutahi Kagwe nainia maoni kaye huringa na nende obulware buro bwa korona. T: Waziri wa afya Mutahi Kagwe alitoa maoni yake kutokana na huu ugonjwa wa korona O: Umuhulundu muami Uhuru nainia maoni kaye huluo vulwale vuwa korona navola mbu bwira bwangu sana. T: Rais Uhuru aliyatoa maoni yake kuhusu korona akasema kwamba unaua haraka sana. O: Mani na vola mbu obulwale bwa korona nebubi sana handi buenyihana vandu vafuale thimasiki nende khuosia mahono vurisiha nende huba ifuti ndala nende inusu. T: Akasema kwamba ugonjwa wa korona ni mbaya na inatakina watu wavae barakoa na kunawa mikono kila wakati na kuzingztia kusimama mita moja na nusu kutoka kwa mtu mwingine. O: Vana besikuli ni banyala huihala mumadala bikuli nivifunga biosi pe musivala siefu sya Kenya. T: Wanafunzi waliweza kusalia nyumbani shule zote zikafungwa nchini Kenya. O: Khuachia mudala bila amani kosikosi hata kidongo dawe. T: Tulikwenda nyumbani bila nguvu hata kidogo. O: Korana ni bulwaye vevi sana vumaho muvayo kwoosikwoosi da. T: Korona ni ugonjwa mbaya hauna mzaha wowote. O: Yani nibudira mundu mukofu yesiyesi ni vumuderisiesa ngamutoka kukinganga mangendo. T: Yaani mtu mzee akipatwa na huu ugonjwa huwa unamhangaisha sana. O: BULWAYE BWA KORONA. T: UGONJWA WA KORONA O: Obulwaye bwa korona ni bulwaye bubi muno. T: Ugonjwa wa korona ni ugonjwa mbaya sana O: Obulwaye buno bwecha musibala siefwe khurula musyalo sya China. T: Huu ugonjwa ulikuja nchini kwetu kutoka nchi ya China O: Obulwaye bwa korona bwachaka omwaka kwa elfu chibiri nende kumi na tisa. T: Ugonjwa wa korona ulianza mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa. O: Esye mwene ndaanyola obulwaye bwa korona niindi Nairobi nabi nibaanjira mkuarantine. T: Mimi mwenyewe niliupata ugonjwa korona nikiwa Nairobi wakanipeleka kuorantini O: Omwami Uhuru Kenyatta yainia amalako akakhukaira obulwaye buno khweendelea. T: Kiongozi Uhuru Keyatta alitoa sheria zakazuia ugonjwa huu kuenea. O: Amalako kano kari mbu, abandu beefwale chimaski,beekhale are nende abanda nende ukhwiisaba amakhono kaabwe. T: Sheria hizi zikuwa kuwa watu wavae barakoa, wakae mbali na watu na kunawa mikono zawa O: Omwiimirisi wa afya mu syalo yaaboola yesi mbu obulware buno ni bumaano muno. T: Waziri wa afya nchini pia alisema kuwa ugonjwa huu mbaya sana. O: LUKANO LWA KORONA T: NGANO YA KORONA O: Omwana yeerukha tsimbiro naatsia munyumba naalanga mbari “Mama itsa ololekho kundu kuemere khu geti aria” T: Mtoto alikimbia mbio akaenda kwa nyumba akaita eti “Mama kuja uone kutu kumesima kwa lango kuu.” O: Mama oyo nga yalula ruanyi yetsa yamubukula. T: Mama huyo alipotoka nje alikuja akanichukua O: Yaangoba mubafu ndeeyoka ndaria. T: Alinipeleka kwa bafu nikaoga na nikakula. O: Ndamukanira olwa bibere mana naatsaka khuunyimbira tsinyimbo tsia korona mbu khalala khabiri fuala imaski khadaru khane osia mikhono, Kharano khasasaba mwikhale are saba munane korona ilabua. T: Nilimhadithia ilivyokuwa na akaanza kuniimbia nyimbo za korona kuwa moja mbili vaa barakoa, tatu nne osha mikono, tano sita make mbali, saba nane korona itaisha. O: ABANDU MULUKONGO. T: WATU KWA KIJIJI. O: Ethingongo thinyingi ebuluhya thienyehana huhola ebindu bingi hulola mbu tsinyola huhuyana nende ebindu viholanga ehutsirira hwa abundu hukwa. T: Vijiji viingi vwa waluhya vinafaa kufanya mambo mengi ili wapate umaarufu wa kupambana na vitu vinavyo angusha watu kimaendeleo. O: Maendeleo mutsingongo tsiefu kenyehana hulingwa nende viongozi alala nende bazee ba muthingongo. T: Maendeleo kwa vijiji vyetu inafaa kushughulikuwa na viongozi pamoja na wazee wa vijiji. O: Omundu mwene ahoere huhola wa anyalirwa hu alole shinga ahonya tsingongo tsiefu huendelea huhula. T: Mtu binafsi anafaa afabye pale anawezewa ndipo ataona anavyo saidia vijiji vyetu kuzidi kuendelea kimaendeleo. O: Abasiani bosi bahoere huhuyana nende ovumanani, inzala nende vindu vindi vingi. T: Vjjana pia wanafaa kupigana na umaskini, njaa pamoja na vitu vingine vingi. O: Ni mbola mbu tsindulo tsindidi etsiulire hubole nende avasiani valala avaholanga obwifi msiro. Abasiani avakendanga msirima. T: Nikisema ya kwamba rika ndogo wakikaa pmoja na vijana watafanya wizi usiku. Wale vijana wanaotembea usiku. O: Mundu ahaile hudeshia, amenyere yong'ane yokorwa hudeha kata hufuya tsinguvo tsiaye. T: Mtu amekataa kuoa, anaishi pekee yake na hajui kupika hata kuosha nguo zake. O: Anyala hukenda sidere siosi nahava abundu wa anyala hulia. Ebasava bazee bosi avomtsingongo bavachesie vasiani vano muibarasa Mana vavole siavenyanga. T: Anaweza tembea mchana kutwa akitafuta mahali anaweza kula. Nawaomba wazee wote wa vijiji wawaitishe hawa vijana kwa mhadhara na wasema wanachotaka. O: Abahasi navo vahoere huhola jitihada tsiabwe hulola mbu abasiani babwe vanyolere avahasi banyala huvainua hu maisha kabwe. T: Wanawake nao wanafaa kufanya bidii zao kuona kwamba vijana wao wamepata bibi wanaoweza kuwainua kwa maisha yao. O: BAKENI MDALA MWEFU. T: WAGENI NYUMBANI KWETU. O: Nyanga ndala huabere hubayanga alwanyi mwefu. Mama nende baba babere ni behale mnyumba balolanga itibi. Bana ba jirani bosi babere babayanga. huweruhane eno nende eno nihukwisiania. Huwabere lano hujong’ere ni huihala asi humusala mhongo. T: Siku moja tulikuwa tunacheza kwa kiwanja chetu. Mama na baba walikuwa wamekaa kwa nyumba wakiona televisheni. Watoto wa jirani pia walikuwa wakicheza. Tulikimbia huku na huku tukiangushana. Tulikua tumechoka tukakaa chini ya mti mkubwa. O: Huabere huringa musiribua ni hulola mtoka kuingira mdala, fuesi huema huringa ni wina oyo, mtoka oko kuabere kwa rachari huwerukha huthiya hulola ni wina. Huringa bilayi yabere hotha nende mhasi waye. Alaka hulola endiyo yerukha huborera bebusi bakeni bari ruanyi. T: Tulipokua tunaangalia kwa mlango kuu tukaona gari likiingia ndani ya boma letu, tukasimama wote kuangalia ni nani huyo, gari lilikua nyeupe tukakimbia kwenda kuona ni nani. Kuangalia vizuri tukapata ni mjomba wetu na bibi yake. Kitindamimba wetu kuona hivyo akakimbia kwenda kuwajulisha wazazi wetu kuwa wageni wako nje. O: Huwavahesiya ni huvengisiya mnyumba mkari, vari nende misigo miingi. Bari barurire hupanga mutauni Nairobi. Fwesi huwabere husangarire hulola bakeni. Mamawange yanduma hukula isukari, mikati kiviri nende mabere ko hudeha icha. Hotha yabere yehale rwanyi humika kidaru. T: Tuliwasalimia na kuwaingiza ndani ya nyumba, walikua na mizigo mingi. Walikua wametoka mjini Nairobi. Sisi wote tulikua tumefurahi kuona wageni. Mamayangu akanituma kununua sukari, mkate mbili na maziwa ya kupika chai. Mjomba alikua amekaa mjini kwa miaka mitatu. O: Mama yadehere ichai ya bakeni huang’ua yabere indai. T: Mama akapika chai ya wageni tukakunywa ilikua nzuri. O: Efue huwabagamire ichai humesa, babere bamala hung’ua ichai ni baulukha adidi hubera bari bajong’ere. T: Sisi tukawaletea chai kwa meza, baada ya kumaliza kunywa chai kasha wakapumzika kidogo kwa sababu ya uchovu mwingi. O: Hotha yasabire mathi ko huesinga. Yavere amala na alanga buri mundu humva izawadi yaye. Esie yambere inguvo ya sikuku nende bilaro. T: Mjomba aliomba maji ya kuoga. Baada ya kuoga akaita kila mtu kumpea zawadi yake. Mimi akanipea nguo ya krisimasi na viatu. T: SIKULI SIA ABASIANI SIA BUJUMBA (BJB 20) T: SHULE YA WAVULANA YA BUJUMBA (BJB 20) O: Bujumba nisikuli sia abasiani T: Bujumba ni shule ya wavulana O: Sinyorekhanga Butula mkaunti ya Busia. T: Inapatikana katika eneo la Butula mkoa wa Busia O: Niwenya khutsia msikuli sia Bujumba wula Bumala obukula sipikipiki khu shilingi amakhumi kataruthionyone T: Ukitaka kuja katika shule ya Bujumba unafika Bumala unachukua pikipiki kwa shilingi thelathini Pekee. O: Niula ao olalola ikanisa iria yombakhwe khurumihira amabadi khuchakira khusisi mpaka khusirama T: unapowasili hapo utaona kanisa ambayo imejengwa kwa kutumia mabati kuanzia kwenye ukuta hadi kwenye paa O: naohuba ikona ao nothirira huteremka olalola abundu baandikile sikuli sia abasiani sia Bujumba khao olaba niurire. T: kisha utapiga kona hapo na unaenedelea kuteremka utaona mahali wameandika shule ya wavulana ya Bujumba na hapo utakuwa umefika. O: ESIKULI SIA ABASIANI SIA BUJUMBA (BJB 25) T: SHULE YA WAVULANA YA BUJUMBA (BJB 25 O: OBUKHERI MUSHIALO T: UPENDO ULIMWENGUNI/DUNIANI O: Obukheri ni shindu shia maana mshialo muno T: Upendo ni kitu cha maana ulimwenguni huu. O: Obukheri bwenyekhana bwechesibwe buli abundu T: Upendo unatakikana ufunzwe kwa kila mtu O: Ubukheri ni ingabo ndala yakhulira ubuyanzi mshialo Ubukheri T: Upendo ni zawadi moja ya kuleta upendo ulimwenguni O: Khukarushira hubilia bia muulile okhubila huechesia omwaka kwa elfu thibili nende saba T: Kurudia kwa yale ambayo mumesikia kupita inafunza mwaka wa elfu mbili na saba O: khuemera biama abaruchi babi olwa bemera oburuchi sialo siosi sialola karia akekholekha. T: kusimamia kwao kwa vyama waongozi wabaya wakisimamia kiti cha uongozi ulimwengu mzima uliona yaliyofanyika O: Obukheri nibulabao tawe biachesia ari bandu si bali shindu shillala tawe kho khulonda shindu shilala shibolelwe bubechanga obutinyu T: Upendo usipokuwepo huonyesha kuwa watu huwa kitu kimoja na kufuata kitu chochote kitakacho kuwa kimesemwa ni vigumu O: kata sibe sindu esilayi nokho ukhukhula khwesialo siosisiosi T: Hata kiwe kizuri ama kitu kisichoweza kuleta kuinuka/ ama kuimarika kwa ulimwengu wowote O: Nibulayi bulala nende obukheri khutsira khalala khubera bindu bingi mshialo muno huba nende bulala ni sindu silayi muno T: Ni vizuri umoja na upendokuendea pamoja kwa maana vitu Vingi duniani/ ulimwenguni huu kuwa na umoja ni kitu cha maana Sana O: Sindu sindi siabandu bebililanga ni khuikhala akhalala nga sindu silala T: Kitu kingine ambacho watu wengi husahau kuwa/ kwamba ni kitu cha maana watu kukaa kama kitu kimoja O: Sindu sindi silolokhanga ni abandu hukhaya hutirana nende basiabo nende huba esindu silala T: Kitu kingine kinachoonekana ni mambo ya watu kukataa kuungana na wenzao na kuwa kitu kimoja O: Bulala ni sidu silayi mshialo hubera huba nende bulala hukairanga amahuwa nga obwifi kata kario khukaira abandu khukosa hujamana. T: Umoja ni kitu cha muhimu kwa sababu kuwa na umoja huwa kunazuia mambo kama vile wizi hata hivyo huwakosesha watu kupendana. O: Sindu sindi silolokhe mukari huba nende maendeleo ni sindu sia silayi muno khubera bulala nende bukheri nibindu bilayi muno, T: Kitu kingine kimeonekana kwa undani kuwa na maendeleo ni kitu cha maana sana kwa sababu umoja na upendo ni vitu vya maana sana. O: ESIKULI SIA ABASIANI SIA BUJUMBA (BJB 26) T: SHULE YA WAVULANA YA BUJUMBA (BJB 26) O: ESIKULI SIANGE T: SHULE YANGU O: Sikuli siange silangwa sikuli sia abasiani sia Bujumba, T: Shule yangu inaitwa shule ya wavulana ya Bujumba. O: sikuli siange sinyolekhana mulukongo lwa Bumala. T: Shule yangu inapatikana katika mtaa wa Bumala. O: Butula mkaunti ya Busia . T: Butula mkoa wa Busia . O: sikuli siange sili nende abana thimia munane nende kumi na saba (817) T: Shule yangu ina idadi ya wanafunzi mia nane na kumi na saba (817). O: Esie ndachama sikuli siange sia abasiani sia Bujumba khubera abasomi bakholanga bulayi khumareboK kabo. T: Mimi ninapenda shule yangu ya wavulana ya Bujumba kwa sababu wanafunzi hufuzu vizuri sana katika mtihani wao O: khushira muno khumarebo ka shialo shiefu sia Kenya. Handi obukholi bwa balimu nende abasomi nibulia obulayi sana. T: Haswa katika mtihani wa kitaifa na pia uhusiano wa walimu na wanafunzi ni bora Zaidi. O: sikuli sia abasiani sia Bujumba sisikholanga sa obulayi khumarebo konyone bakholanga bulayi khumibayo kiosi nga omubayo kwa lisibo, bali nende obujusi bwa lisibo T: Shule ya wavulana ya Bujumba haifanyi tu vizuri kwa masomo bali pia katika michezo mbalimbali kama vile mchezo wa kandanda. Wavulana katika shule hii wanaujuzi wa kucheza kandanda. O: Omwaka kwabila esikuli sia abasiani sia Bujumba siarusia abasomi thimia thine mkaunti yefu ya Busia nisio syiari sia mberi T: Mwaka uliopita shule ya wavulana ya Bujumba ilitoa wanafunzi mia nne katika mkoa wetu wa Busia hio ndiyo iliyokuwa ya kwanza. O: Sikuli siange sia abasiani sia Bujumba nisikuli sisafi muno khuchakira lwanyi, mchikilasi, abasomi nende balimu iumayo inyanga yolinyola obunyasi nibumerere nende okhuba oburambi msikuli siange T: Shule yangu ya wavulana ya Bujumba ni shule nadhifu sana kuanzia kwa mazingira, madarasa, wanafunzi n ahata walimu hakuna siku ambayo utapata nyasi ikiwa imemea na kuwa ndefu katika shule yangu. O: Buli nyanga olwa obunyasi buchaka okhumera budedwanga khurumukhira lishini. T: Kila mara nyasi inapoanzakuota na kuwa ndefu hukatwa kwa kutumia mashine. O: Handi ndabachama balimu bange hubera basomingia obulayi mpaka siriya syabasomisiye nisitha khumarebo khubiranga. T: Pia nawapenda walimu wangu kwa maana kuwa wanafunza vizuri hadi kile walichotufunza inapoletwa katika mtihani tunahakikisha tumepata. O: Humeda huako sikuli siefu siri nende thibasi thine thibasi ethio thirumikhirwanga mthishughuli thia masomo T: Kuongezea kwa hayo shule yetu ina basi nne na basi hizo hutumika katika shughuli za masomo. O: Esie ndajama sikuli siange sia abasiani sia Bujumba sindakhakana tawe. T: Mimi napenda shule yangu ya Wavulana ya Bujumbu na siwezi pinga O: ESIKULI SIA ABASIANI ESIA BUJUMBA (BJB 29) T: SHULE YA WAVULANA YA BUJUMBA (BJB 29) T: OKHUCHAMANA T: KUPENDANA O: Khubolela mwanawefu yaliyo omukhana oundi. T: Nakwambia mwanawetu kulikuwa na msichana mwingine O: Omukhana omulayi muno T: Msichana mzuri sana. O: khubolela omwana khulula mwikulu yalo niyelongangwa T: Nakwambia mtoto kutoka mbinguni aliumbwa akaumbika. O: KHUBALIA ABEBUSI T: KUHESHIMU WAZAZI O: Omwana akhoyele khumuria omwibusi nashiri nari omwana omutiti. Abebusi khubaechesie abana befwee emima emilayi, olwa achia musikuli yeinjisinjia khumakhuba ka omusialo muno. T: Mtoto anastahili kuheshimu wazazi akiwa angali mtoto mdogo. Wazaza tuwafunze watoto wetu nidhamu bora, akienda shuleni hujiingiza katika hulka mbaya za duniani. O: Mbolanga ori khulwa khubera abana bachakire khunania khumakongo. Esie philipo mbolere ni marire. T: Nasema hivi kwa maana watoto wameanza kutatiza vijijini. Wazazi dalili ya mvua ni mawingu. Mimi Philipo nimesema na nikamaliza. O: Omwana oundi abele Bumala , abele omutiti nakonyanga olwa anyala khunywa einjaga nindeleba mumoyo kwange abebusi ba omwana uno balio nokho tawe. T: Mtoto mwingine amekuwa katika mtaa wa Bumala, amekuwa mdogo na anatafuta jinsi ya kuvuta bangi nikajiuliza moyoni mwangu wazazi wa mtoto huyu wapo ama hawapo O: ESIKULI SIA ABASIANI SIA BUJUMBA (BJB 32) T: SHULE YA WAVULANA YA BUJUMBA (BJB 32) O: OMUKHANA OMULAYI T: MSICHANA MZURI O: Enywe mwesi lwa mwikhale mlanyola yena omukhana omulayi? T: Nynyi wote mlivyo keti mtapata wapi msichana mzuri? O: Mkhana omulayi oukhola emirimo obulayi kata otsie Tanzania T: Msichana mzuri anayefanya kazi vizuri atauende Tanzania O: omukhana omulayi ni uriauria sa owachama ikasi yaye nende ukhola bila okhulondwa T: msichana mzuri ni yule yule tu anayependa kazi yake na uwajibikaji wake. O: Omukheri wange kata okhuosia sifuria siyali niyamanya tawe. T: Mpenzi wangu hata kuosha sufuria hakuwa anafahamu kamwe. O: Esie mwene ndeekha khola emirimo cha abakhasi naye mwene niyekhale sa nende okhukona. T: Mimi mwenyewe napika nafanyi kazi za wanawake lakini naye anataka kukaa tu na kulala. O: Khulula khumoyo kange; T: Kutoka moyoni mwangu O: ndebanga abaechesi bakhonye nyoole omukhasi oundi ounyala khuhola ikasi obulayi. Uonyala hukhalabanila nimba nilwala T: Kutoka moyoni mwangu; nauliza wachungaji wanisaidie nipate mwanamke mwingine aliyebora. Msichana anayeweza kufanya kazi vizuri. Anayeweza kunishughulikia nikiwa mgonjwa O: ESIKULI SIA BUJUMBA (BJB 35) T: SHULE YA BUJUMBA (BJB 35) O: Babolanga bali: ukhulisia akhuya mao niwikhale T: Huwa wanasema kuwa: anayekulisha anawezakumpiga mamako ukiwa umeketi O: Abandu abatapeli nibo balia babola shinga olwa bakhukhonyanga khubulishindu, khutsingubo, shingaolwa bakhulisia nende kata khbakhonya abebusi bao sakira khubolanga khuba T: Watu wa korofi ndio ambao wanasema jinsi wanakusaidia kwa kila kitu, kwa mavazi, anavyokulisha na hata kusaidia wazazi wako ndio maana tunasema kwamba O: Ukhulisia akhuba mao niwikhale. T: Anayekulisha anapiga mamako kama umeketi. O: OKHWEYANDIKISIA MSIKULI SIA BUJUMBA (BJB 38) T: KUJIANDIKISHA KATIKA SHULE YA BUJUMBA(BJB 38) O: Ndabukha nende omwibusi wange itsuli khutsia msikuli. T: Niliamka na mzazi wangu asubuhi na mapema kwenda shuleni O: Ndamureba mbu khutsitsanga msikuli? Ori nende amang’ondo kokhunyingisia musikuli sia Bujumba? T: Nikamuliza yakuamba tunaenda shuleni? Una karo ya kuniingiza katika shule ya Bujumba? O: Esie ngorirwe nikaba balajama nyingire musikuli sia Bujumba okhubera omwimirisi wesikuli esio alaenya amang’ondo. T: Mimi sijui kama nitakubaliwa kuingia katika shule hiyo kwa sababu mwalimu mkuu wa shule hio atahitaji karo O: Olwa khwaola sa muofisi mwa omwirisi wa sikuli, khwengira mukari omwimirisi owasikuli namreba omwibusi wange mbu ogamire omwana wao? T: Tulipofika tu ofisini mwa mwalimu mkuu, tulingia ndani mwalimu mkuu akamuuliza mzazi wangu kuwa umeleta mtot wako? O: Omwibusi nafukira mbu emugamire asome T: Mzazi akajibu kuwa naam nimemleta asome O: omwimirisi owasikuli esio namreba mbu witsire nende aman’ondo ka okhumwandichisia? T:.Mwalimu mkuu wa shule hiyo akamuuliza kuwa umekuja na hela ya kumwandikisha? O: Omwibusi namkalusia ari Sari nende obunyali tawe obwa khunyola amang’ondo tawe T: Mzazi akamjibu ya kwamba yeye hana uwezo wowote wa kupata pesa. O: Ewe nga omwimirisi owasikuli sino ekhusaba tsa okhonye khubera esie sindi nende obunyali bwosibwosi tawe T: Wewe kama mwalimu mkuu wa shule hii nakuomba tu unisaidie kwa maana mimi sina uwezo wowote O: Omwimirisi nabolera mwibusi wache ari sikhunyala okhumufuchilira omwana wao nasiri okhulipa amang’ondo tawe. T: Mwalimu mkuu akamwambia mzazi wangu kwamba hatuwezi kumruhusu mwanao kama bado haujalipa pesa O: okhubera mirimo tsia sikuli sitsinyala okwikhola omwana wao nasiri okhulipa amang’ondo tawe. T: pesa kwa sababu kazi za shule haziwezizikafanyike mtoto wako asipolipa karo. O: Omwibusi wange yamririra omwimirisi kata siyabulira tawe namubolera ako namakhuba kao. T: T.Mzazi wangu alimlilia mwalimu mkuu lakini hakuskia akamwambia tu hayo ni mambo yako. O: nende omwana wao oyo. T: Na huyo mtoto wako. O: Khalano esie singa omusiani sabanga balia abanyala okhukhonya bakhonye. Manyire mumburire. T: Sasa mimi kama mvulana naomba wale ambao wanaweza kunisaidia wanisaidie. Najua mmenisikiza. O: Orio. T: Ahsante T: (BML 14) T: OBULAYI BWA IFULA T: UMUHIMU WA MUVUA O: Ifula ni indai khunyola amatsi nikhubula amatsi khusandanga T: Mvua ni muhimu kwa sababu hutusaidia kupata maji na bila maji huwa tunateseka O: Bunyasi nibuuma tsing’ombe tsiefu. T: Nyasi inapokauka ng’ombe wetu O: tsisanda tsing’ome tsiosi tsimenyanga nitsilanywere amatsi dawe handi tsing’ombe tsifua, abandu bosi matsi nikaumao khusanda. T: huteseka pia ng’ombe hukosa maji ya kunywa kutokana na ukame na pia ng’ombe hufa, binadamu pia maji inapokosekana huwa tunateseka O: Matsi ni malayi khandi mabi, matsi kakhonyanga khueoka nende khuevurira bilayi. T: Maji ni mzuri tena mbaya, maji hutumika katika kuoga na tunapooga huwa tunahisi tuko sawa. O: Ovulwayi vya korona government ibola khuesabe mikhono khulatirwa nende obulwale obo tawe. T: Ugonjwa wa korona ulipotokea tuliambiwa kuwa tuoshe mikono yetu ili tusiambukizwe na ugonjwa huo. O: Vikha vindi matsi kaleranga obulwale bwa kipindupindu. T: Wakati mwingine maji huleta magonjwa ya kipindupindu O: Novaya mfula olaenyola nori omulwale handi thinyanga tsia ifula ingirire khubetsanga nende amadosi. T: ukicheza kwenye mvua utajikuta ukiwa mgonjwa pia wakati ambapo mvua hunyesha huwa kuna matope O: Ifula inyala khurera tsishida khubandu niingwire inyingi T: Mvua huweza kuleta shida kwa watu inaponyesha nyingi O: Vindu vinyala khukingwa nende ifula T: Vitu huweza kubebwa na mvua O: Abandu bosi banyala khufuya ifula nikwa bulayi khunyala okhunyola ebiakhuria, ifual yosi ni bulamu. T: Watu pia wanaweza aga dunia na mvua inaponyesha vizuri tunaweza kupata chakula, mvua pia ni uhai O: Amatsi kabakhonyere abandu bangi sana karumikhirwangwa khwesinga. T: TMaji yamewasaidia watu wengi sana na inatumika katika kuoga, O: ifula yosi irueresianga matsi malafu ka khuosia tsingubo nende ka okhunywa. Maji ni malayi khu bulamu. T: mvua pia hutupa maji safi ya kuosha nguo naya kunywa. Maji ni muhimu kwa uhai. T: BRD 12 T: EMILY MELVINE/ EMMACULATE O: .Mwenye dala sangala kho abakeni basangale x2 T: S T: Mwenye boma furahi ndipo wageni wafurahi x2 O: afurahi x2 O: .Indede wefwe sangala kho abakeni basangale x2 T: S T: Indede wetu furahi ndipo wageni wafurahi x2 O: . Indede eeh! Indede mama. Indede eeeh! T: S T: Indede eeh! Indede mama. Indede eeeh! O: . Indede balole abana baeresiekho siria sia onyorere x2 T: S T: Indede waone watoto wasaidie na kile ambacho umepata x2 T: OLUSHAIRI T: SHAIRI O: Olumbuku ludoto eng’ombe siiria po! T: Gugu changa ng’ombe hali kamwe ! O: Chigwena nichiola huloba chigwena T: Mamba akifika kuwatega mamba. O: Owamakhumbo nakenda nafwarire ebilaro anyala khusamba ayi! Masira sina kano kashirire abachesi olumbuku T: TMwenye miguu kombo akitembea akiwa amevaa viatu anaweza kuchoma ayi! Majabu gani haya ambayo yameshinda werevu gugu. O: . Omusiani owa makhumbo niyesinga ari nende indalo iria naringa amira sa amare. T: Mvulana mwenye miguu kombo akioga ako na shamba ambayo akiangalia anameza tu mate. O: OLUIMBO T: WIMBO O: MOYA KA INGOKHO NYANGA KAKHAYALE T: MANYOYA YA KUKU SIKU MOJA YATAHUKUMIWA O: Moya ka ingokho nyanga kakhayale T: TManyoya ya kuku siku moja yatahukumiwa O: Moya ka ingokho nyanga kakhayale T: Manyoya ya kuku siku moja yatahukumiwa O: Moya ka ingokho nyanga kakhayale T: Manyoya ya kuku siku moja yatahukumiwa O: Moya ka ingokho nyanga kakhayale T: Manyoya ya kuku siku moja yatahukumiwa O: Moya ka ingokho nyanga kakhayale T: T Manyoya ya kuku siku moja yatahukumiwa O: Bakhayo babola moya ka ingokho nyanga kakhayale T: Wakhayo wanasema kwamba manyoya ya kuku siku moja yatahukumiwa O: OLUIMBO. T: WIMBO O: Ochelewe Florence ochelewe x2 T: Umechelewa Florence umechelewa x2 O: Olarusia Florence olarusia ifaini x2 T: Utatoa Florence utatoa faini x2 O: Ifaini ya shilingi mia thirano x2 T: Faini ya shilingi mia tano x2 O: Olarusia Florence ifain olarusia ifaini x2 T: Utatoa Florence utatoa faini x2 O: . Ifaini ya shilingi elfu ndala x2 T: TFaini ya shilingi elfu moja x2 O: Olarusia Florence olarusia ifaini x2 T: Utatoa Florence utatoa faini x2 O: Ikoras T: Kiitikio O: Ochelewe Florence ochelewe x2 T: Umechelewa Florence umechelewa x2 O: Olarusia Florence olarusia ifaini. T: Utatoa Florence utatoa faini. O: OLUKANO (BRD 36) T: HADITHI (BRD 36) O: KHAMUNA NENDE OMSHIERE T: KIDIRI NA BIKIZEE O: Omushiere yali natsire mjokoni okhufuka obusuma bwae yali namarire nabulere mnzu khongo nabukula inyeni nachaka okhudekha. T: Bikizee alikuwa ameenda jikoni amesonga sima yake akawa amemaliza kisha akaweka kwa nyumba na kuchukua samaki kuanza kukaanga O: Yali yeng’ene mudala mwae nabukule obusuma bwae nende ing’eni nachaka okhulia niyekhale asi owamusala T: Alikuwa pekee yake katika boma lake amechukua sima lake na samaki akaanza kula akiwa amekiti chini ya mti. O: Baada ya amasaa kabili okhubira khamuna khabukula shikaye shia mberi omushiere nalurira msigoro siaye nanyola khamuna nikhalitsanga obusuma. T: Baada ya dakika mbili kupita kidir alichukua sahani ya kwanza kisha bikizee akatokelezea katika chumba chake cha kulala akapata kidiri akila sima. O: Omushiere nachaka okhuba oluyungu mbu abandu betse bamukhonye evindu vimwingilire. T: Bikizee akaanza kupiga mayowe watu waje wamsaidie vitu vimemuingilia O: Olwa abandu betsa humulola omushiere khamuna nikharula mkari mwa inzu abandu ngabalola khamuna nibalura tsimbiro. Olukano lwanje lubwelele ao. T: Watu walipokuja kumwokoa bikizee kidiri alitoka ndani ya nyumba kisha watu walipomwona walianza mbio. Hadithi yangu imeeishia hapo. O: TSINGANO ETSIA OLULUHYA T: MAFUMBO YA KILUHYA BRD 37 O: Tsuyukhana yaayia meno T: TMtu ambaye anakiherehere huchomeka jino O: Kenda kala yaola ebunyolo T: Mwenda pole alifika Ujaluoni O: Liani lilekwa nilio riritsanga obusuma T: Mboga ambayo imedharauliwa ndiyo ambayo hutumika kula sima O: Imbolerwa ni isilu T: Kuambiwa ni ujinga O: Imbwa ilondanga msokonyalo kwa nyina T: Mbwa hufuata tabia za mamake O: Nandachelerwa yatsia namafwi nabukhwe T: Yule ambaye hapendi ushauri alienda ukwe akiwa na kinyesi O: Ukhulisia akhuya mao niwikhale T: Yule ambaye anakulisha anampiga mamako ukiwa umeketi O: Tsidaywa tsibili sitsidekherwangwa mnungiro ndala dawe T: Njogoo wawili huwa hawapikwi katika chungu kimoja O: Omwana wa liungu ni liungu T: Mtoto wa mwewe ni mwewe O: Omukhana omulayi adekha ambi T: Msichana mzuri huoleka karibu O: Omulongi alilanga khuluchio T: Mfinyanzi hula kutokana na ufinyanzi wake O: Oumenyere yenyene sasabanga amakhono tawe niyanya ukhuria T: Yule ambaye anaishi pekee yake huwa hanawi mikono anapotaka kula O: Omusala kukololosie nikusiri omudidi T: Mti unyooshe ukiwa ungali mchanga O: Siro nisisuku T: Usiku ni hatari O: Oufwa amatsi salekhwaa okhwatsia T: Yule ambaye amekufa maji haachwi alikofia O: Nebilayi okhukhonya weikanzu okhushira weinjala T: Ni vyema kumsaidia aliye na kanzu kuliko kumsaidia aliye na njaa O: “ilikho inyanga eyemitoka chibetsanga mititi? T: Kuna siku ambayo magari yalikuwa yanakuja madogo? O: Enduutsi mbu chituundubukhanga butswa mumeeso, chirulaanga hena ne khandi chitsia hena? T. T: Nimeona kuwa zimekuwa mingikama kumbikumbi wakati wa usiku wa nanane huwa yanatoka wapi na yanaelekea wapi? O: Kata shinyala okhukhalasia omuhaanda tawe. Eriire muno!” T: Hata siezi vuka barabara nahofia sana !” O: “Tawe olanala. Fwesi khali khurio nikhushiitsa. Leelo khubisianinjia butswa shinga omwami nachenda mwituuli liamakondike” T: “Hapana utazoea sisi pia tulikuwa hivyo tukija siku hizi huwa tunapitana tu kama mfalme anapotembea zizini mwa kondoo wake. O: Olunyuma lwamahoonga kabili, Nafula yanyala okhukhalasia omuhaanda yenyene. Shiyateeba mbu atiilwe omukhono khandi tawe T: Hapo awali baada ya siku mbili, Nafula aliweza kuvuka barabara akiwa pekee yake hakujali eti ashikwe mkono tena. O: Bulano yanyala kata okhutsia mumaaluka yenyene okhukula ebindu T: Hata aliweza tena kwenda kwa maduka pekee yake kununua vitu. O: Yalola mbu obukusi bwebindu bwali obwakhekulu muno. T: Aliona kuwa uuzaji wa bidhaa ulikuwa ghali sana O: Yalola mbu tsinyaanya tsine tsikusibwa ishilingi, nako amaramwa kataru konyone kakusibwa khjandi ishilingi! Kho yapara mumwoyokwe ari: T: Aliona kuwa nyanya nne zinauzwa kwa shilingi moja, nazo ndizi tatu pekee zinauzwa pia kwa shilingi moja! Kwa hivyo aliwaza moyoni mwake yakwamba ; O: “Ningalukha ingo wefwe ndatsia ndaaraka eliani, nende tsinyanya nebituunguo mana ndreera okhukusia ino shindskhanyoola amapesa amanji, T: ”Akirudi nyumbani kwao aende apande mboga, nyanya na vitunguu kasha alete kuuza huku anaweza kupata pesa mingi. O: olunyuma Nafula yakalukha ingo wabwe mana nakhola shinga olwayaliniyapaarire T: Baadae Nafula alirudi nyumbani kwao kasha akafanya jinsi alivyokuwa amefikiria O: Yaaraka eliani shinga emiro, omurere, likhubi, lobokoyi kata nende likabichi liosi. Yaraaka tsinyaanya naloondana nende amalako komwechesia wa kirikacha. T: Alipanda mboga kama vile mitoo, mrendaa, kundee, manage na sukuma wiki pia. Alipanda nyanya akifuata maelezo ya mlimaji bora. O: Tsinyaanya tsiamala tsiaruunga butswa shinga ebiyoonzo khumulachi Olwa okhukusia khwola, yakusiinjia tsibili ishilingi T: Nyanya ziliweza kutoa mazao bora kwa mpandaji wakati wa kuuza ulipowadia alikuwa anauza nyanya mbili kwa shilingi moja O: Nabio ebituunguo biali ebiamapwoni, biali biabuundukunya shinga ompira. T: Nazo vitunguu zilikuwa za viazi, zilikuwa zimemea na kuchukua umbo wa mpira. O: Abakuli abanjibaheelanga okhukula emiandu chia Nfula, okhuba biosi ebia yakusiinjia biali ebikhoongo khandi ebikhomefu. T: Wanunuzi wengi walipenda kununua bidhaa za Nafula kwa sababu bidhaa zote ambazo alikuwa anauza zilikuwa kubwa tena nono. O: Abakofu belitaala basangala nende obukholi bwa Nafula. Abandi khubo bachaaka okhumoonyananibasuunga bari. T: Wazee wa boma walifurahia sana jinsi Nafula alivyokuwa anafanya kazi yake. Wengine wao walianza ati. O: “Nafula yali yaria imbako. Leelo yomilanila okhulima. T: Nafula alikuwa ameogopa jembe siku hizi amekazana na ukulima O: Eshiamukalukhasia kho namanya imbako nishina?” T: Kilichomrudisha Nafula na kumfanya ajue jembe ni nini?” O: bandu bari: T: watu walikuwa wakisema:? O: “Yatsia e Nairobi, ewa Simiyu. T: “ Alienda Nairobi kwa Simiyu. O: “Ebweneyo newayanyoola obulaiburula mumukuunda.” T: “ Huko ndiko alipopata kuwa uzuri unatoka kwa shamba ”. O: “Neshichilanga Abaluyia nibaboola mbu “Namwana ahila nyina amachesi” T: Hii ndiyo iliyosababisha Waluyia wakasema kuwa “mtoto anashinda mamake akili O: Leya yamukalusia ari! T: Leya alimrudisha kwamba! kumbuka funzo O: “itsulila oluechelo mbu omwikholelela shikufubanga tawe” T: kumbuka funzo kuwa unachokifanya hakifi” O: Kaasia khale ebindu biaokhoyele mbu ostia ninabio. T: Tengeneza mapema vitu ambavyo unafaa kwenda navyo. T: Mizigo ngapi O: Handika ebindu tsana habundu nga olabikinga buli shilala shilala. Andika ebindu biosi ebiokhoyeyele okhubukula. T: Andika mahali vitu vyenyewe mahali utakuwa unabeba kila kimoja kimoja. Andika vitu vyote ambavyo vinafaa kuchukuliwa O: Tsingubo tsinga? T: Nguo ngapi? O: Amapesa kaanga? T: Pesa ngapi? O: Emisiiko chinga? T: Mizigo ngapi O: Handika eliiralio nende ahotsia khubuli omusiko. T: Andika jina lako na mahali unakoenda kwa kila mizigo. O: Andika ibarua ohotsia obamanyie T: Andika barua unakoenda uwajulishe O: Inyaanga yotsililayo T: siku ambayo unaenda O: Isaa yopaara mbu wakhooleleyo T: wakati ambao unafikiria utafika O: Bukula ebiliibwa biomwana nende ebia abandu boli ninabo boosi. T: chukua chakula cha watoto na watu ulionao wote O: Injila yolitsilayo, bola nikuliba omutokaa, noho likari T: Njia ambayo utaendea wajulishe kama utaenda kwa kutumia gari. O: Bamanyie ahabakhoyeele okhukhuliindila T: Wajulishe pale ambapo wanafaa kukungojea. O: Laamila oluchendo olwo mbu T: Ombea safari yako kuwa O: Nyasaye alwimilile T: Mungu atusimamie O: Abacheendi bandi halala ninawe bakhoonywe nende Nyasaye T: Wasafiri wengine pamoja na wewe wasaidiwe na Mungu O: Onyoole omuleembe ewotsia T: Upate amani unakoenda O: Nomalile okhuula ewotsiilenje handiichila aboleshele inyuma obamanyie. T: Ukishafika mahali ulikuwa unaenda andikia wale ambao umewaacha nyuma uwajulishe O: Akolucheendo amalayi kata amabii kabelemwo T: Yale ya safari mazuri na mabaya O: Inyanga yolikalushila Nyasayenaaba nachama. T: Siku ambayo utarudia Mungu akipenda. O: Khupila Nyasaye orio khulwa okhukhulinda naaba nachama. T: Shukuru Mungu kwa kukulinda akipenda O: Khukhuimilila khulukeendo. T: Kukusimamia kwa safari O: Khandi mbu ameete okhubalinda, nende okhubakoosia yabo abatoong’a ingowo olwa olakalukha.” T: Tena aongeze kukulinda,na kuwalinda wale ambao walibaki nyumbani kwako hadi utakapo rudi O: Oluchendo olwaloondakhwo Roda yakhola shinga olwa Leya yali namwibalile mbu akholeenje. T: Safari iliyofuata Roda alifanya jinsi alivyo ambiwa na Leya, jinsi alivyokuwa amemwelekeza awe akifanya O: Yahuka muno olwayalolambu shiyali nakosiyekhwo noho niyebililekata eshindu shilala tawe, olwa yoola ewabalinibatsia. T: Alishangaa sana alivyoona kuwa hakuwa amepoteza au kama amesahau kitu kimoja hapana, alipowasili waliokuwa wanaenda O: Obuheendi nende oburima obwalinji muye khale bwabwakho buli olucheendo olwabasamulanga Leya yanyoolanga Roda niyerecheshe nende ebindubie biosi namulindanga. T: Wasiwasi na hasira ambao ulikuwa kwake kitambo uliokuwa katika kila safari waliokuwa wakisafiri Leya alikuwa anamkuta Roda akiwa tayari na vitu vyake akimngoja. O: Kho Roda yamala ahandiche mushikoro shie inzuye khulwa okhumwitsulisinjia mbu T: Kwa hivyo Roda ameandika katika chumba chake cha kulala kwa kukumbuka O: “omwikholela shikufubanga ta” T: ”Unachojifanyia haifi” O: Olwabamala okhukasia biosi, mbu omulilo khulwa okhutundumia inzu, nayo itaa okhulangaasia inzu tsana, Buluma yachaka omulimokwe T: Walipomaliza kutengeneza yote, aliwasha moto kufanya nyumba iwe na joto nayo taa kumulika nyumba yenyewe, Buluma alianza kazi yake O: Omulimo okwo okhukanatsingano nende okhuboola khukayalolanga nashili omusoolili. Yachaaka ari. T: Kazi ya kuhadithia hadithi na kusema alivyokuwa anaona akiwa angali kijana. Alianza hivi O: “Inyanga ino enzia okhumuupila imbakha akabakofu babili abalaangwa mbu Kaleefu nende Okwaro. T: Siku ya leo naenda kuwaelezea hadithi ya wazee wawili wanaoitwa Kaleefu na Okwaro. O: Kaleefu yali omundu owachama okwilaya. Buli lwosi olwa yakholanga eshindu, yelahanga mbu “Isie Kaleefu ndilifwila bukuunyila!” T: Kaleefu alikwa mtu aliyependa kujisifu kila wakati alipokuwa akifanya kila kitu. Alikuwa anajisifu “Mimi Kaleefu nitakufa kwa kujuta!” O: Khuye, ebikuunyila bialy mbu alifwa nanyaasibwe. Kho okhufwa khwa Kaleefu khwarulana khukhwira omukofu undi owalaangwa mbu Wanjia. T: Yeye kujuta kwake ilikuwa kwanza atakufa akiwaamesumbukana. Kukufa kwa Kaleefu kulitokana na kumua mzee mwingine aliyeitwa Wanjia O: Wanjia basoolana nende Kaleefu nibafunana omukuunda. T: Wanjia walizozana na Kaleefu waking’ang’ania shamba. O: Kaleefu yakhupa Wanjia indabushi khumurwe, mana Wanjia nafwa. T: Kaleefu alimpiga Wanjia rungu kwa kichwa kasha Wanjia akaafa O: Serikali yaboha Kaleefu mumbohe khulwa okhwira Wanjia. T: Serikali, ilimpeleka Kaleefu mahakamani kwa kumuua Wanjia. O: Kaleefu yakwa lilalu nali mumbohe kho olwa bamuhila mwisilishilo elia abalalu, Kaleefu yafwila ebweneyo T: Kaleefu akawa mwenda wazimu akiwa mahakamani kwa hivyo walipompeleka katika hospitali ya wenda wazimu; Kaleefu alifia huko. O: Lole ebetsukhulu banje. Kaleefu yafwila ebikuunyila T: Oneni wajukuu wangu, Kaleefu alikufa kwa kujuta. O: Yafwa nanyasiibe. Kho mukhoyelemweche khulukano olwomukofu uno. T: Alikufa kama amesumbuliwa kwa hivyo mnafaa mjifunze kupitia ngano yam zee huyu O: Okhuboola , boolanga likhuwa shinobulayi tawe. Haundi onyalaokhuba niwilaanjilanga eshilikhulia. T: T.Kusema, nasema neno si vizuri labda unaweza kuwa unajitia kitakachokukukula. O: Kaleefu yapaaranga mbu nomubayo, khane yali yelakulilanga akalikholekha khuye tooto. O: . Paara akoboola. Chelaasia obulayi eshifune shielikhuwa elo noshiili okhuliboola. T: Kaleefu alikuwa akidhani kuwa ni mchezo kumbe alikuwa anafungua yatakayofanyika kwake kweli. T: Fikiria unayoyasema linganisha vizuri sababu ya maneno hayo kabla uyaseme O: Kaleefu yafwamubunyaakhani. Yafwila mubikuunyila. Khuno nokhufwa okhulayi abetsukhulu banje? T: Kaleefu alikufa kwa kujuta. Huku ni kukufa kuzuri kweli wajukuu wangu?” O: Muteenyo yali owambeli okhukalusiamwo. Yaboola ari: T: Muteenyo ndiye aliyekuwa wa kwanza kujibu. Alisema kuwa ; O: “Kuuka, orio muno. Olukanolwo lubeele olulayi, kata nululi olweshibeela khulwa okhufwa khwa Kallefu. T: Babu asante. Hadithi ilikuwanzuri, hata kama ni ya kuhuzunisha kwa kifo cha Kaleefu. O: Kuuka ekhuunga omukhono khwikhuwa elo elia oboola mbu khupaarenje nikhushiili okhuboola likhuwa liosi” T: Babu nakuunga mkono kwa neno hilo ambalo umesema ati tufikirie kabla hatujanena jambo lolote. O: Osundwa yali nende likhuwa liakalusia kuukanyene. Yaboola ari: T: Osundwa alikuwa na neno ambalo alimjibu Babuye. Alisema hivi: O: “Kuuka, orio muno okhukhuchetsihia. Ababuukha abanji abolubaka lwefwe baboolanga nibashiili okhupaara eshufune shielikhuwa. T: Babu wengi wa rika zetu huongea kabla hawajafikiria chanzo cha jambo. O: Okurula olwa leelo enzia okhuteemanga okhupaara kho emboole likhuwa.” T: Kuanzia leo naenda kujaribu kufikiria ndipo niseme neno. O: Nanjala shiyeenya okhukalausia likhuwa liosi tawe. Ye yalobola okhurechelesia butswa khwonyene. T: Nanjala hakutaka kurudisha neno lolote kamwe. Yeye alichagua tu kusikiliza pekee O: Mana Muteenyo nareeba kuukanyene mbu nachama atsiliilile nende olukano lwomukofu Okwaro. T: T.Ghafla Muteenyo akamuliza babuye kuwa angependa aendelee na hadithi ya mzee Okwaro. O: “Muhuliile shinga Kallefu yaboola-boolanga shinga olwalifwa T: Mumesikia jinsi Kaleefu alivyosema sana jinsi atakavyokufa. O: Okwaro yesi yaboolanga khukokhufwakhwe. T: Okwaro pia alikuwa amesema kuhusu kifo chake O: Okwaro yali nende omukasa kwokhumukhono. T: Okwaro alikuwa na bangili mkononi mwake. O: Ye yaboolanga mbu Okwaro, ndilifwa nnde omundu T: Yeye alikuwa anasema kuwa Okwaro nitakufa na mtu. O: Olweinyanga yakhufwa khwa Okwaro yoola, bayaba ing’ani eyo khumusiikhamwo T: Siku ya kufa ya Okwaro kulipowadia waliochimba kaburi yake ya kumzika. O: Olwabali Nibali ahambi okhumwishia mung’ani, balola mbu omukasa kwali kushiili khumukhono kwomufu. Kho baboola mbu bare omulaambo kwa Okwaro, hasi batanyule omukasa khumukhono T: Walipokuwa karibu kumtumbukiza kaburini waliona bangili ikiwa ingali mkononi mwa marehemu. Hivyo walisema waweke mwili wa Okwaroi chini watoe bangili kwa mkono. O: Omulaambo kwareebwa hasi ahambi nende ing’ani. Kho bateema muno okhutanyuula omukasa khumukhono kwa Okwaro ne kwali omutinyo okhurula. T: Mwili wa marehemu ulikuwa chini karibu na kaburi hivyo basi walijaribu sana kutoa bangili mkononi mwa Okwaro na ilikuwa ngumu kutoka O: Kho yeetsaho omukofu undi owali namaani. T: Hivyo basi akaja mzee mwingine aliyekuwa na nguvu O: Yatiika nokhutaanyula T: Aling’ang’ana na kuvuta. O: Ne olwa yahiinia amaani kosi yalola omukasa nikwenya okhurula. Kho olwa yameeta amaani amanji, omukasa kwabatsukha mana nikumufuuba mung’ani T: Na alipotumia nguvu yote aliona bangili ikitaka kutoka kwa hivyo alipoongeza nguvu mingi bangili iliponyoka kisha akajirusha kaburini O: INYANGA YA NDALAKHEBIRIRA KHABA. T: SIKU AMBAYO SITAWAHI SAHAU. O: Inyanga eyo mwitsa wange yanzalika mulukendo siesi ndaalika mwitsa wange. T: Hiyo siku rafiki wangu alinialika kumsidikiza kwa safari nami pia nikamwalika rafiki wangu. O: Musiro khuinyanga ilondakho yuule sindakona hava, ndaparanga sa inyanga ilola li. T: Usiku kabla ya siku kuwaidia sikulala, nilikuwa nawaza tu siku ya safari itawadia lini. O: Nga viola itsuli ndabukula matsi ndoosia bweni alafu ndaruda sibuchi. T: Ilipofika asubuhi niliyachukua maji nikanawa uso na kusgua meno. O: Ndavukula matsi ndakenda mpaka msimba ya lihere, ndesinga alafu ndaatsia mnyumba khwefwala tsinguvo. T: Nilichukua maji nikaenda bafu kuoga na nikarudi kwa nyumba kuvaa nguo. O: Nga ndali sa ninndakhamala khwekasia khulukendo, mwetsa Feed Marshell yetsa mdala nasangalire lukali eno niyenyere meno nga igweba mumatsi. T: Nilipokuwa nimemaliza kujitayarisha kwa ajili ya safari, rafiki yangu Feed Marshell alikuja akiwa na furaha. O: Nga khwachaka lukendo mayoni kali kemba ao nio wa khwamanyira ati inyanga indai ilolohanga itsuli, nga khwola eria mwitsa wange wanzalika yali akosisie viakhulia. T: Tulipoanza safari ndege walikuwa wanaimba hapo ndipo tulipojua siku njema huonekana asubuhi, tulipofika kule rafiki yangu niliye mwalika alikuwa amepoteza vyakula. O: Mwitsa wange nga yalola viakhulia yamua khumbatsa nie abe mukeni na esie mbe mwenyeji, lano khwaulirisania vyakhulia vya mukeni ni vyae na vya mwenyeji ni vyange. T: Rafiki yangu alipoona vyakula alinidanganya awe mgeni nami nikuwe mwenyeji, tulielewana vyakula vya wageni ni vyake na vyakula vya mwenyeji ni vyangu. O: Batendi nga bagama viakhulia babola ati ni vya vakeni, mwitsa wange yabukula viakhulia naramo ipilipili inyingi, yamiranga vipande nga umira pandoli. T: Wahudumu walipoleta vyakula walisema ni vya wageni, rafiki yangu alichukua vyakula akatia pilipili mingi, alimeza vipande vya nyama kama anayemeza dawa ya panadoli. O: Yamekanga vusuma nga ugova matafuare eno nadaula munyu nende vusuma vwa sikong'o. T: Alikuwa anauchuna ugali mkubwa na supu ya nyama. O: sikuli syefwe silangwa Dadira primary school. T: shule yetu inaitwa shule ya msingi ya Dadira. O: sikuli siefwe siri mkaunti ya busia nende m-subkaunti ya butula. T: shule yetu inapatikana kaunti ya busia na kata ndogo ya butula. O: sikuli siefwe siri nende vana mia tsirano; vasiani ni mia thidaru nende bahana mia thiviri. T: shule yetu ina wanafunzi mia tano; wavulana ni mia tatu na wasichana mia mbili. O: sikuli syefwe siri nende thikilasi mnane. T: shule yetu ina madarasa manane. O: sikuli siefwe siri nende thikilasi thia makina. T: shule yetu ina madarasa ya mawe. O: sikuli siefwe siamera vunyasi nende maua. T: shuleni kwetu kumemea nyasi na maua. O: sikuli siefwe siri nende valimu ehumi; valimu vamama sita nende vababa vane. T: shule yetu ina walimu kumi; wanawake sita na wanaume wanne. O: sikuli siefwe siri nende thichoo thindai. T: shule yetu ina vyoo vizuri. O: sikuli siefwe siameramo misala mikhongokhongo. T: shuleni kwetu kumemea miti kubwakubwa. O: sikuli siefwe sili nende vana vadidi vosi. T: shule yetu ina wanafunzi wachache. O: sikuli siefwe siri nende ijikoni. T: shule yetu ina jikoni. O: sikuli siefwe siri nende mundu wohurinda sikuli. T: shule yetu ina mlinzi wa kulinda shule. O: sikuli siefwe siri nende thitara mthikilasi. T: shule yetu ina taa madarasani. O: sikuli siefwe siri nende igeti ye sichuma. T: shule yetu ina lango la chuma. O: sikuli syefwe syafenswa nende thiwaya. T: shule yetu imezingirwa na nyaya. O: sikuli siefwe siri nende indalo ya hurima nende hurakao madimwa. T: shule yetu ina shamba ya kulima na kupanda mahindi. O: sikuli siefwe siri nende siguri sihongo. T: shule yetu ina uwanja mkubwa. O: sikuli syefwe siri nende valimu vandi vari nende thimotoka. T: shule yetu ina walimu wengine walio na magari. O: sikuli syefu siri nende msala mhongo sana. T: shule yetu ina mti mkubwa sana. O: sikuli syefwe siri nende ibendera. T: shule yetu ina bendera. O: sikuli syefwe siri nende mwalo kurimo mathi. T: shule yetu ina mto ulio na maji. O: sikuli siefu silangwa dadira ndasijama sana huluo huvera sipafomanga vilai sana mumasomo. T: shule yetu inaitwa dadira. Naipenda sana kwa sababu hufanya vizuri sana kimasomo. O: sikuli sefu ni silai sana sai siri nende iparedi indai. T: shule yetu ni nzuri sana na ina gwaride zuri. O: musikuli siefu huri nde vana mia tsine ishirini; vakhana ni mia tsitaru alafu vasiani ni mia moja ishirini. T: shuleni kwetu kuna wanafunzi mia nne ishirini; wasichana mia tatu alafu wavulana mia moja ishirini. O: alafu valimu huriende valimu ehumi. Huehumi avo vakhasi ni varano alafu vasatsa vosi ni varano. T: pia tuna walimu kumi. Kwa hao kumi, wanawake ni watano na vilevile wanaume. O: sikuli siefu siri nde headmaster; rira rilangwa Hagai Obuya alafu mudidi waye alangwa mbu Patrick Sidwaka. T: shule yetu ina mwalimu mkuu; jina lake ni haggai obuya kisha naibu wake anaitwa patrick sidwaka. O: valimu avo valichanga vindu kama vusuma nende ichai. T: walimu hao hula vitu kama ugali na chai. O: valimu vali nende mudehi oubadeheranga nende khufulukira vana vusera. T: walimu huwa na mpishi anayewapikia na pia kukoroga uji wa watoto wa chekechea. O: ndajama mukhasi oyo na khandi yajamwa na vangi. T: napenda bibi huyo na tena anapendwa na wengi. O: Khaduyu nende ingwe. T: Sungura na chui. O: harehare huarithingi nende haduyu nde ingwe. T: hapo zamani paliondokea sungura na chui. O: haduyu hari hevula vana vaviri. T: sungura alikuwa na watoto wawili. O: ingwe yari yevula vana varano rekha haduyu havorere ingwe mbuu wasiange huthie hurenye mumusino. T: chui alikuwa na watoto watano na sungura akamwambia chui kuwa mwenzangu twende tutenye kuni. O: mani rekha haduyu nende ingwe nivathia. T: hivyo sungura na chui walienda. O: ngavolayo sa nivachaka hurenya mani varenya sa vaamala hurenya. T: walipofika wakaanza kutenya na wakamaliza O: lano ngavamala vachaka huhuba thimbakha thiavwe ni vasatha. T: walipomaliza walianza kupiga gumzo huku wakicheka. O: lano haduyu naho nihamala nikhavatha wasio mbuu vathie mudala mbu vachake khukhuya vahasi vavwe nivamala nivathia. T: hivyo sungura akamdanganya mwenzake kuwa waende nyumbani kila mmoja aanze kumpiga mkewe. O: mani rekha khaduyu nihavuao ne ingwe naio ngayola sa niichaka khukhuya wasie. T: hivyo wakaenda; chui alipofika akaanza kumchapa mkewe. O: ingwe yeendelea khukhuya mukhasi waye. T: chui aliendelea kumcpapa mkewe. O: ne khaduyu nakho ngakhola sikhamukhuya da. T: naye sungura alpofika nyumbani hakumchapa . O: khamala khathia hukaya ingwe. T: baadaye alienda kuwatenganisha. O: ingwe nirulao nimureva mbu nawe sohuire mukhasi wao tawe? T: chui akamwuliza kwani hujamchapa mkeo? O: nivachakakhukhuyana, vakhuyana sa mpaka siashia. T: baadaye walianza kupigana mpaka kulipokucha. O: Ifisi nende siduyu. T: Fisi na sungura. O: ifisi nende siduyu vari vetha na vakonyanga vyahuria alala, varithanga alala. T: fisi na sungura walikuwa marafiki na walikuwa wakitafuta chakula pamoja, na pia walikula pamoja. O: inyanga ndala siduyu siathia hukonya ngalwavaria. T: siku moja sungura alienda kutafuta jinsi wanavyokula. O: siduyu siarera vyakhuria ifisi nayo yeva niiria. T: sungura alileta chakula naye fisi akaiba na kula. O: ifisi yarithingi nende sionya muno. T: fisi alikuwa na tamaa sana. O: inyanga ndala siduyu sia kasirika siavukula rikina nisikaranga vilayi ni simala sira husani nisikovera ifisi. T: siku moja sungura alikasirika na kuchukua mawe akakaanga vizuri na kuweka kwa sahani akampelekea fisi. O: siduyu siari sienya huira ifisi; siakinga rikina husisani nirimetameta. T: sungura alitaka kumwua fisi; alibeba jiwe mawe kwa sahani likimetameta. O: ifisi nende sionya siavukula nisiefunda lulala. T: fisi na tamaa alichukua na kubugia mara moja. O: riathia nirianda husiporokodio nisifwa. T: jiwe lilikwama kwa koo yake na akafariki. O: harehare musacha nende muhasi vajamana mbaka varia arusi yavo. T: hapo zamani mume na mke walipendana mpaka wakafunga harusi yao. O: mukhasi yari yafwala inguvo indayi nende musacha yari yafwala isuti ya ihali ya ekulu handi vandu vari vechule upara ni chinyende muchoo. T: Mke alikuwa amevaa nguo nzuri na mume alikuwa amevalia suti ya hali ya juu na watu walikuwa wamefurika utadhani ni funza/buu nyooni. O: khandi mukhasi yari nga iswiti muduka. T: naye mke alikuwa kama peremende dukani.’msemo’ O: harusi eyo yari nende mahuwa malayi handi vandu varia ikeki, muchele nende matunda. T: harusi hiyo ilikuwa na maneno mazuri na tena watu wakala keki, wali na matunda. O: vandu varia mbaka vevirira ingo wavwe. T: watu walikula mpaka wakasahau nyumbani kwao. O: musacha yafungula muhasi waye mani nakiisa mukhasi waye. T: mume alimfunua mkewe na kumbusu. O: na khandi muziki kwariyo mulai khandi muhasi nde musacha vashina haandi huadira inguvo yo mukhasi. T: tena kulikuwa na mziki mzuri na bibi na bwana wakacheza hadi tukashika vazi la bi huyo. O: mukhasi nende musacha vari nende chinguvo chilayi opara mweshimiwa wo lukongo. T: mke na mume walikuwa na nguo nzuri utadhani ni mheshimiwa wa kijiji. O: khandi nahufiala wamuhasi yari yepambire khandi mukambi yahubiria injili. T: tena mavya wa mke alikuwa amejipodoa na muhubiri akahubiri injili. O: hurula ao vana ndoa avo vevula vana varano, vasiani vadaru vakhana vaviri. T: kutokea hapo wanandoa hao walijaliwa wana watano, wavulana watatu na wasichana wawili. O: vana avo vajamana sana; musacha nende mukhasi vosi vajamana na khandi nahufiala yajama vana varia. T: watoto hao walipendana sana, mume na mke wote walipendana na tena mavya aliwapenda watoto wale. O: IMBAHA YA HADUYU NENDE RIHUDU. T: HADITHI YA SUNGURA NA KOBE O: HAREHARE HUARIO HADUYU NENDE RIHUDU. HADUYU HAVORERA RIHUDU ATI YUMAO ISOLO YAKHASHIRA THIMBIRO. T: HAPO ZAMANI PALIKUWA NA SUNGURA NA KOBE. SUNGURA ALIMWAMBIA KUWA HAKUNA MNYAMA ANAYEWEZA KUNISHINDA MBIO. O: RIHUDU RIAVORERA HADUYU ATI NYENYA HUTHIA HURERA THISOLO THIOSI ATI OVORERE ATI YUMAO ISOLO YAKHAHUSHIRA THIMBIRO. T: KOBE AKAMWAMBIA SUNGURA KUWA ANATAKA KWENDA KULETA WANYAMA WOTE KWA SABABU UMESEMA HAKUNA MNYAMA ANAYEKUSHINDA MBIO. O: RIHUDU RIATHIA RIABORERA THISOLO THIOSI ENDIO. T: KOBE ALIENDA AKAAMBIA WANYAMA WOTE HIVYO. O: THISOLO THIALANGA MUKUTANO KWE THISOLO THIOSI. T: PALIITWA MKUTANO WA WANYAMA WOTE. O: INZOFU YAVOOLA MBU ISOLO YOSIYOSI NIIHUSHIRA NI HUHUHUYA.SIDUYU SIAVOLA ATI NI ENDIO SA ISOLO YOSIYOSI NIIHUSHIRA THIMBIRO NI MUKHUYA. T: NDOVU AKAMWAMBIA SUNGURA KUWA IWAPO UTASHINDWA NA MNYAMA YEYOTE TUTAKUCHAPA. NAYE SUNGURA AKAKUBALI KUWA IWAPO ATASHINDWA NA MNYAMA YEYOTE ACHAPWE. O: LANO INZOFU YAVOLA ATI THIMBIRO THIENYA HUCHAKA. T: HIVYO NDOVU AKASEMA KUWA MBIO ZINATAKA KUANZA. O: THISOLO THIOSI THIEPANGA INZOFU YAVOLA THIMBIRO THICHAKE. T: WANYAMA WOTE WALIJIPANGA NAYE NDOVU AKASEMA MBIO ZIANZE. O: HADUYU NAKHO NGA HARI HAJANJA HAVIRA INGIRA INDI HANE INGIRA EYO NI INYIMBIKITI SANA. T: NAYE SUNGURA ALIVYOKUWA MJANJA ALIPITA NJIA ILIYOKUWA FUPI. O: LWAKWANZA HADUYU HASHIRA HUVERA HAVIRA INGIRA INYIMBIKITI ILI VAKUTANE IMBERI YA THISOLO THINDI. T: MARA YA KWANZA SUNGURA ALISHINDA KWA SABABU ALIPITIA NJIA FUPI ILI WAKUTANE MBELE YA WANYAMA WENGINE. O: INZOFU SIAMINA DA MBU SIDUYU SISHIRIRE. T: NDOVU HAKUAMINI KUWA SUNGURA AMESHINDA. O: INZOFU YAVOLA HWENYA HULONDAMO SIDUYU SIAJAMA. HAANDI VACHAKA THIMBIRO. T: NDOVU ALISEMA TUNATAKA KURUDIA NAYE SUNGURA AKAKUBALI NA WAKAANZA MBIO. O: HAANDI HADUYU HAVIRA INGIRA INYIMBIKITI HANDI HARURIA IMBERI YA THISOLO THIASIE. T: SUNGURA MARA TENA AKAPITIA NJIA ILEILE FUPI NA AKAWA MBELE YA WANYAMA WOTE. O: SIDUYU SISIRI SIASHIRA MANI NIVIDONG’A MBU SISHIRIRE. T: SUNGURA BADO ALISHINDA NA IKABAKI KUWA YEYE NI MSHINDI. O: harehare yaliwo omwana walangwa mbu nasio. T: hapo zamani paliondokea mtoto aliyeitwa nasio. O: yali yamenya nende mama waye. T: alikwa akiishi na mamake. O: thinyanga thindi einzala yakwa musialo siavarimo mana inyanga mama nasio yari naakendanga nanyola musala kuama thinduri thinyingi mana thienga. T: siku moja njaa ilitokea walipokuwa wakiishi na siku moja mama nasio akiwa anatembea alipata mti uliokuwa na aprikoti zilizoiva. O: yakalukha mungo namala avorera nasio ati muthuri vanathia vaakule thinduri ethio. T: alirudi nyumbani akamwambia nasio kuwa kesho wataenda kuchuma aprikoti hizo. O: inyanga yalondakho mwna nende mama waye vathia huakula. T: siku iliyofuata mama na mwanawe walienda kuchuma. O: ngavola vachaka hung’ang’anira hunina musala mana mama nasio niyaamua hunina mwene. T: walipofika walianza kubishana atakayepanda mtini na baadaye mama nasio akaamua kupanda. O: ngalwayola akulu yevirira hutupa asi tsinduri. T: alipofika juu alisahau kutupa chini aprikoti. O: yathiria yeng’ene viola viha nasio yamuvorera amutupirekho arie lakini mama waye yakhaya. T: alikula peke yake hadi nasio alipomwambia amtupie akule lakini mama yake akakataa. O: yaria mpaka inda yaye yoma mana yafwira humusala yakwa asi. T: alikula mpaka tumbo lake likafura na kufariki akiwa juu na akaanguka. O: nasio yashirwa siohukhola mana yaamua hurema mama wae naamala namura musikapo. T: nasio alishindwa cha kufanya hadi alipoamua kumkatakata mamake na kumweka kikapuni. O: nasio ngalwa yari nakaluha ingo nende muviri kwa mama waye yavukanana nende erinani rikhongo hane ingira eyo yali ya manani. T: nasio alipokuwa akirudi nyumbani na mwili wa mamake, alikutana na nyani mkubwa; kumbe njia hiyo ilikuwa ya nyani. O: rinani riamureva nasio okingile sina. T: nyani alimwuliza, “nasio umebeba nini?” O: nasio yakalusia mulwimbo: mbano ngingire mama O: Ngalwayalomaloma x 2 O: Nasio huthie munduli x 2 O: Inda nisiehoero x 2 T: naye alimjibu kwa wimbo huu: T: Nimembeba mama T: Aliposema x2 T: Nasio twende kwa aprikoti x 2 T: Tumbo ni ya kitu cha kufurahia tu x 2 O: mana nasio yakenda huingira niyemba olwimbo olo mpaka nga manani kamunyula inyama ya mama waye yosi pe. T: hivyo nasio alitembea njiani akiimba wimbo huo mpaka nyani walipomnyang’anya mwili wa mama yake wote. O: olukano lwange lwahavwera ao. T: usimulizi wangu umeishia hapo. O: INYANGA YA NDALAKHEVIRIRE MUVULAMU VWANGE T: SIKU AMBAYO SITASAHAU MAISHANI MWANGU O: Jumamosi ndarula msikuli ninzia mdala. Nga ndola mdala ndanyola bandu nibetsule mlwanyi lwefwe. Ndengira mnyumba ninyola mukhana wefwe nalira. Nindereva sina sitsiririranga . Mkhana wefwe nambolera mbu mama nende baba vanyolere ajali nivarula Murumba khukula isukari. T: Jumamosi nilitoka shuleni nikaenda nyumbani. Vile nikifika nyumbani nilipata watu wamejaa katika uwanja wetu. Niliingia kwa nyumba nikapata msichana wetu akilia. Nikajiuliza ni nini inaendelea. Msichana wetu akaniambia kwamba mama na baba wamepata ajali wakitoka Murumba kununua sukari. O: Nga vavere nivakalukha vakwire nende imutoka . Baba murwe kwadikhe sa akari mama nae luvere luadikhe ludong'ere khu lami. Nga ndavulira endio Mani kambwa nindong'a sa ninyemere. Masika kedikha nga matsi ka mtaro. Khu ndali siringi ndalola imutoka niitsa mdala nderukha khulinga mbu ni wina ulimo ulimo. Ndanyola vevusi vange nivavarerekho tsibandeji vuli abundu. T: Vile walikuwa wanarudi wakaanguka na gari. Baba kichwa chake kimepasuka katikati naye mama titi lake limekatika likabaki barabarani. Vile nilisikia hivyo nikaishiwa na nguvu nikabaki kama nimesimama. Machozi yakaanza kunitoka yakitiririka kama maji ya mtaro. Ndio nilikua bado na mshangao huo niliona gari ikiingia kwa boma nikakimbia kuangalia ni nani yuko ndani. Nikapata wazazi wangu wamewekwa bandeji kila mahali. O: Vavakinga nivavengisia mnyumba. Mama lakini yali alomalomakho lakini baba siyalomalomakho kata kidogo. Jumatatu ndatsia msikuli nga kawaida nindakalukha mdala ndanyola bandu nivalira. Nderukha khulinga baba lakini sindamnyola da. Bandu vambolera mbu baba amalire khufwa. Ndari nende isauti ikhongo kata yakhasingisie avafu vakende. T: Waliwabeba wakawaingiza kwa nyumba. Lakini mama alikuwa bado na uwezo wa kuzungumza kidogo lakini baba hakukua na uwezo wa kuzungumza hata kidogo. Jumatatu nilienda shuleni kama kawaida niliporudi nyumbani nilipata watu wakilia. Nilikimbia kwenda kuangalia baba lakini sikumpata. Watu wakaniambia kwamba baba ashaaga dunia. Nilikua na sauti kubwa ambayo inaezaamsha maiti kutembea. O: Baba vamugama nivamusikha lakini vyali sisa muno. Sindakhevirire mpaka nyanga lwa ndakhafwire. T: Baba walimleta wakamzika lakini ilikuwa huzuni sana. Sitasahau mpaka siku yangu ya kufa. O: olumarachi nolulomaloma/ lusungo lwa abamarachi baurisaniangamo mu bikholwa biabwe no lusungo luli vuleka undi. T: kimarachi ni lugha ya wamarachi wanaosikilizana kwa matendo yao na lugha zilizo sehemu zingine. O: abamarachi bamanyikha khulwa olulomaloma lwabwe shinga abandu be tsimbia tsindi tsiamanyikha tsiri mtsisungo/tsinomanoma tsiabwe. T: wamarachi wanajulikana kwa lugha yao kama watu wa lugha zingine zinazojulikana zilizo kwa lugha zao. O: olulomaloma nolwabaalangiramo mundu nende imbia yaye. T: lugha ni kitu alichokitanguliza mtu ikiwa na aina yake. O: mubamarachi baliwo tsimbia tsia bandu bandi abalamanyire olumarachi da, bariwo abaana basomi abanasinjia okhulomaloma oluswairi nende lusungu. T: kwa wamarachi kuna aina za watu wengine wasiojua Kimarachi; kuna wanafunzi waliozoea kuzungumza kiswahili na kiingereza. O: omwene hulusungo lwosilwosi nokhululomaloma nuenasia nokhuba tsinjero, thingano, minae, tsingado, amakerake nende akandi. T: mwenyewe kwa lugha yoyote ni kuizungumza na kujizoesha kwa kupiga masimulizi, hadithi, vitendawili, misemo, mafunzo na mengineyo. O: shinga nyasaye yalonga abandu nabara musialo yabaretsanga abahoyere huva nende ebikhole nemirimo kiabwe, emilukha, emisiro, oburuki bwe emiruko kama thing’ombe, tsimbusi, amakondi, tsingokho, amayoyo nende vindi viryo. T: jinsi mungu alivyoumba watu na kuwaweka duniani, aliwaweka walipotakikana kuwa na vitendo na kazi zao, itikadi, mila, ufugaji wa mifugo kama ng’ombe, mbuzi, kondoo, kuku, bata miongoni mwa wengine. O: abamarachi nabalimi khandi nabaruki. T: wamarachi ni wakulima tena wafugaji. O: barakanga obule, amabere, amadumwa, emioko, amabuoni, tsimbande, tsinjugu, amaremwa, emikachi nende emisala, obunyasi nende olusi. T: huwa wanapanda wimbi, mtama, mahindi, mihogo, viazi, korosho, njugu, ndizi, miwa na miti, nyasi na nyasi ya nepi. O: abamarachi bajama omulembe. Bombakha tsikanisa tsio khunyoreramo tsikhabi okhurula khunyasaye omulongi wa buli sindu siasi. T: wamarachi hupenda amani. Wao hujenga kanisa za kupatia baraka kutoka kwa mungu mwumba wa vyote duniani. O: khaandi bombakha tsikanisa na masomero ka bana khusomeramo. T: tena walijenga kanisa na shule za kusomea ndani. O: obumbahi bwekholanga nende abaandu berusie khukhola emirimo ekio. T: ujenzi hufanywa na watu waliojitolea kufanya kazi hiyo. O: abandu berusianga nibakhola ikasi eyo ili khukhonya bandu bomulukongo nende kata hwekhonya bene. T: watu hujitolea kufanya kazi hiyo ili kusaidia wanakijiji na hata kujisaidia binafsi. O: NANDAULIRA YATHIA NAKO NABUKHUE T: ASIESKIA ALIENDA NAYO UKWE O: Khale khale yamenyao muinda mulala yamanyihana khulira Makesi. T: Hapo kale kuliishi bwenyenye mmoja aliyejulikana kwa jina Makesi O: Makesi yadeshia muhaye mulala bushi inyuma, banyalirwa khuivula bana babiri bali mbu ni mhana nde musiani, T: Makesi alioa mke mmoja mithili ya asali, waliwezewa kuzaa watoto wawili ambao ni msichana na mvulana, O: humera Nandaulira nende Shauriako. Nandaulira nali musiani Shauriako nali muhana. T: kwa majina Nandaulira na Shauriako. Nandaulira akiwa mvulana naye Shauriako akiwa msichana. O: Makesi nende muhaye waye bamenya muluivulo lulia lwa huhonyana mu mabi nde malayi, T: Makesi na mke wake waliishi kwa kizazi kile cha kusaidiana kwa mabaya na mazuri, O: luwivulo luno lwehihirira sa khumiruko nende vulimi. T: kizazi hiki kilijitegemea kwa ufugaji na kilimo. O: Bana bano samwana yabasomia bosi bali bana. T: Watoto hawa babayo aliwasomesha wote wakiwa wachanga. O: Musungu inyuma musiani naye opara mbu yebulirwa mumathi naye muhana bila hudonga inyuma yaani situng'uo, muhana waiti, yaani muhana siyombo. T: Mvulana alikuwa mtanashati kipimo zaidi ya mzungu naye msichana bila T: kusalia nyuma yaani mrembo mithili ya kitunguo, msichana laini, yaani msichana kifaa. O: Muhana yebulua yebulukha abulao musiani yabira naye bila humusakula. T: Msichana aliumbwa akaumbika hakuna mvulana angempita bila kumwita. O: Yakendanga na mshaliro nako sikasinda da hubula basiani bakutanire nabo, lakini para mbu buluma bwira ifisi. T: Alitembeanga na majasusi amabao hawangekawia kusema wavulana amabao amekutana nao, lakini tafakari kwamba tamaa iliua fisi. O: Basiani balonda muhana mpaka wabu, aii yesi yalola yesi yolere. T: Wavulana walimfwata msichana hadi kwao, aii yeye pia aliona amefika kubalehe. O: Biaba mbu mwibusi siyaha mubolera siosi siosi yalonda da. Manya mbu yali yehalire marebo ka ikilasi ya munane. T: Ikawa kuwa mzazi hangeweza kumwambia chochote akatii. Jua kwamba alikuwa akaulie mtihani wa darasa la nane. O: Nndio muhana ya lolipopu, hane bima biabola, samuana yatema humukololosia yaani humukerera lakini sibi ni siba isa. T: Hivyo msichana wa peremende, kumbe tabia zilioza, babaye alijaribu kumrekebisha yaani kumba mawaidha lakini kibaya ni kibaya tu. O: Muhana yehalira marebo kai ikilasi ya ehumi nde thibiri. Nakoruvwe mbuu butuakani nende masomo sibyahathiania da. T: Msichana aliukalia mtihani wa darasa la kumi na mbili. Asipojua kuwa anasa na masomo haziambatani. O: Muhana bamuonya lakini yomarania likosi mana huulira ao ndahamanya mbuu ndekesibwa nende mamuao sialo silakhuekesia. T: Msichana alionywa lakini alikaidi na kufikia hapo nimejua kuwa ukikaidi kufunzwa na mama yako utafuzwa na ulimwengu. O: NEKESA NENDE KUKHU WAYE T: NEKESA NA NYANYA YAKE O: Nekesa yathia mumwalo khudaya mathi kokhunywa. T: Nekesa alienda mtoni kuchota maji ya kunywa. O: Nekesa yakutana nende mukhana. T: Nekesa alikutana na msichana. O: Mhana oyo yari athia khudaya mathi, kukhu nyene yalinda mathi khurula itsuli mpaka ingolobe musirima. T: Huyo msichana alienda kuchota maji, nyanya yake alingoja maji kutoka asubuhi hadi usiku. O: Kukhu nyene yaamua khukona kata bila khuria busuma. T: Nyayake alilala hata bila kukula ugali. O: Naye Nekesa nende mukhana bachaka khuba tsimbakha thiobukheri, yaparanga mbu yahadeshie mwana mhana omulayi sana wayari niyekombele. T: Naye Nekesa na rafike yake walianza kuhadithi ngano za mapenzi, alidhania kwamba angeoa msichana mrembo sana aliyempenda. O: Kata kario bazee vakhare sibakosa ni vabola mbu nolola vindu nibimetameta manya mbu vialongwa. T: Hata hivyo wahenga hawakukosea waliposema ukiona vialea jua vimeundwa O: Kata kario Nekesa nende mukhana kama kawaida yabu bendelea mpaka vakutana nende imbwa nende ipusi nibakendanga. T: Hata hivyo Nekesa alizidi kutembea hadi akakutana na mbwa na pakaa zikitembea. O: Nekesa naye yari yajama khulondana nende bindu kama thimbwa mudala. T: Nekesa naye alikuwa amependa kuambatana na vitu kama umbwa pale nyumbani. O: Yebilira mbu yali nende mukhana nende khuchaka tsimbiro mpaka wabu. T: Alisahau kwamba alikuwa na msichana na hivyo akaanza mbio hadi kwao. O: Kata kario mukhana yadonga musirima, yapara mbu khuyolere khane kuanyolekhane. T: Hata hivyo msichana alibaki kwa giza, alidhania kuwa amepata na kumbe ndio ameptwa. O: Mukharakati eyo mukhana yanyola amakhuwa nikamushira, majambazi kamwingira nende khumukholera sitendo nakhaywa khwiruha mpaka nyangaino. T: Kwa hizo harakati msichana alipata maneno yanayomlemea, magaidi walimvamia na kumfanyia kitendo cha unyama alichoshindwa kukimbia hadi wa leo. O: Erio nirio lisoma riandasoma okhoyere okende nende mundu undi. T: Na hivyo ndivyo nilijifunza kuwa unafaa kutembea na mtu mwingine O: SIKULI SIEFU. T: SHULE YETU. O: Sikuli siefu silangwa Sirikhaya. T: Shule yetu inaitwa Sirikhaya O: Sili nende baalimu makhumi karano nende baana elfu tsiviri. T: Iko na walimu hamsini na wanafunzi elfu mbili. O: Baalimu vefwe vali nende tsidigri tsiekesia mbu vanyala khuekesia bilai. T: Walimu wetu wako na shahada ambazo zinaonyesha wako na umaarufu wa kufunza vizuri. O: Sikuli esio sili nende abaana balai bali tayari khusoma. T: Hiyo shule iko na wanafunzi wazuri waliyo tayari kusoma. O: Nuwingira msikuli sya Sirikhaya, manya mbu ori avundu alai wa masomo kali bilai nende siwango sya akulu. T: Ukiingia kwenye shule ya Sirikhaya, jua kwamba uko pahali pazuri pa masomo yaliyo ya hali ya juu. O: Noli khugeti olanyola mandiko kekesia mbu ori Sirikhaya. T: Ukiwa kwenye lango kuu utapata maandishi ati uko Sirikhaya. O: Maua kali khugeti kosi kandikirwekho lira Sirikhaya. T: Maua yako kwenye lango kuu yaliyorembeshwa na jina Sirikhaya. O: Nikhwingira mumakhua ke mivayo khunyola mbu sikuli esyo siahashira vikombe visavi mumivayo kiauhane. T: Tukiingia kwenye maswala ya michezo utapata kwamba hiyo shule hushinda vikombe ainati. O: Mivayo eko ni shinga mpira, tsimbiro, nende kindi misavi. T: Hizo michezo ni kama mpira na ingine mingi. O: Nikhwingira mumakhua aka masomo khunyola mbu omwaka kwawere sikuli sino siakovere abaana makhumi kaviri mu univasiti. T: Tukiangazia maswala ya masomo utapata kwamba mwaka uliopita hii shule ilipeleka wanafuzi ishirini katika chou kikuu. O: Khukhola tsikosi tsiaukhane nitsilimo tsilia tsia amalesi, budaktari, bulimi nende akandi kaukhane. T: Kufanya kozi tofauti ikiwemo za unesi,udaktari, ukulima na zingine tofauti. O: Khulondahana nende matokeo ka mwaka kwawere vaana vandi vaanyorere ovukhonyi. T: Kutokana na matokeo za mwaka uliopita wanafunzi wengine walipata msaada. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Khale khale tsinyanga tsia bakuka befu balitsingi nende tsing’ombe tsisabi muno. T: Hapo zamani za kale, wakati wa babu zetu walikua na ng’ombe wengi sana O: Tsing’ombe thino tsia bakhonyanga muno kata rero tsisiri tsibakhinyanga muno. T: Ng’ombe hawa walikua wakiwasaidia sana hata siku hizi bado wanasaidia sana. O: Tsing’ombe thino khubera sina bakhonyanga ni khubera bari nende ifaida inyingi muno. T: Ng’ombe hawa mbona wanasaidia ni kwa kuwa wanafaida nyingi sana. O: Bebusi befwe banyola amaamo manji muno khulondokhana nende tsing’ombe tsino T: Wazazi wetu wamepata mazao mengi sana kutokana na ng’ombe hawa. O: Aumao uria washwila ing’ombe. T: Hakuna yule ambaye anachukia ng’ombe. O: Ikhurereranga amabere nikhunywa ichuli nende msidhiambo, nonywa amabere kaa ing’ombe ni malayi muno. T: Hutuletea maziwa tukikunywa asubuhi na jioni, ukinywa maziwa ya ng’ombe ni tamu sana. O: Sikari nende obubu bwosi bwosobwosi tawe hubulamu bwefu. T: Hayana madhara yoyote katika maisha yetu O: Inyama yosi huritsanga ni khuritsanga hubera neya ing’ombe hushira muno humasika huritsanga mpaka efwe bene khurehe ni matamu muno kakhugamiranga amani khumubili. T: Nyama pia huwa tunala na huwa tunala kwa sababu ya ng’ombe na haswa kwenye matanga huwa tunala hadi sisi wenyewe tuache na ni tamu sana tena hutuletea nguvu mwilini. O: Tsikhurimiranga thindalo tsiefu tsiri nende amani wachi khumubili tsing’ombe etsio nitsisatsa. T: Huwa wanatulimia shamba zetu wana nguvu nyingi mwilini na ng’ombe hao ni wakiume O: Masero kayio kari thingubo tsia bakuka befwe. T: Ngozi yao ilikua nguo za babu wetu. O: lwa benyanga khutsia mudala bakendanga msichuru. T: Walipokua wakitaka kwenda nyumbani walikua wakitembea kwenye misitu. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni siruko sia abandu baruka, baruka humadala kabu. T: Ng’ombe ni mfugo wa binadamu, waliwafuga katika maboma yao. O: Ing’ombe ni siruko siarukwa nende abandu. T: Ng’ombe ni mfugo ambaye alifugwa na watu. O: Ing’ombe ni sindu sia abandu bachama khubira sichero T: TNg’ombe ni kitu ambacho watu wanapenda kupita kiasi O: Ing’ombe yeresingia abandu amabere nende inyama. T: Ng’ombe huwapa watu maziwa na nyama. O: Ing’ombe yosi yenyekhana khulindwa, akhoyere khuringwa muno. T: Ng’ombe pia anafaa kutunzwa sana, anafaa aangaliwe sana. O: Omundu akhoyere khuieresia amatsi irie handi yiikure nilaikure siinyala khurusia mabere amangi. T: Mtu anafaa kumpea maji na nyasi ale hadi ashibe asiposhiba hawezi kutoa maziwa mengi. O: Amafwi keing’ombe kalangwa masingo. T: Kinyesi cha ng’ombe kinaitwa zamadi. O: Amasingo karukhonyanga nende imboleya yesikhaya eya khularumikhira amang’ondo kosikosi T: Zamadi hutusaidia na mbolea ya bure ambapo hatutumii pesa yoyote. O: Mundu nabukula amasingo nende khura khu biakhulia bia yaraka nikari amadimwa kanyala khurusia tsingore, kata kario riramwa riosi rinyolanga. T: Mtu akichukua zamadi na aweke kwa chakula ambayo alipanda kama ni mahindi yanaweza kutoa mazao kubwa, hata hivyo ndizi pia hupata. O: Abandu ba khale babechanga nibabukula ing’ombe inamu nibasinja, nibakhamala khusinja nibakhamala husinja babukula lisero erio nibaomia khumubasu mpaka liume nga likina. T: Watu wa kale walikua wakichukua ng’ombe ambaye anauhai wanamchinja wakishamchinja wanachukua ngozi hiyo na kukausha kwenye jua hadi ikauke kama jiwe O: Niriakhamala tsinyanga tsindidi barumikhira ngaa obulili bwa khukonahko kata omwana mudidi niyenyala siinyala hudora T: Ikimaliza siku chache wanatumia kama malazi ya kulalia hata mtoto mdogo anapokojolea haiwezi ikaloa. O: Risero ria ing’ombe ababdu bekhonyeranga hukunga mkhono kwa lupanga. T: Ngozi ya ng’ombe watu hutumia kwa kutengezea mkono wa panga. O: BETTY OTIENO O: S. SIKULI SIA SIKURA T: SHULE YA MSINGI YA SIKURA O: S. IKAUNTI: BUSIA T: KAUNTI: BUSIA T: S. LUKONGO: TINGOLO T: ENEO: TINGOLO T: SKR 12 O: S. ING’OMBE T: NG’OMBE O: S. Ing’ombe ni siruko siri nende ifaida ikhongo sana mshialo. T: Ng’ombe ni mufugo ambaye anafaida kubwa ulimwenguni. O: S. Khubola bwa toto ing’ombe ikhuereshingia vindu vingi muno, irukhonyanga nende ebindu ngaa mabere,inyama nende bindu bindi vingi muno. O: T. T: Kusema ukweli ng’ombe hutupa vitu vingi sana, huwa anatusaidia na vitu kama vile maziwa, nyama, na vitu vingine vingi tu. O: S. Kata ingoma eya khulolanga Nibali nibakasie siikaibwangwa hukhurumukhira sindu sindi irumikhiranga likosi ria ing’ombe ya mlolanga. T: Hata ngoma ambayo tunaona wakiwa wameunda huwa haiundwi kwa kutumia kitu kingine ila kwa kutumia ngozi ya ng’ombe ambayo huwa mnaona. O: S. irukhonyanga nende vindu visabi nga masingo T: Hutusaidia na vitu vingi kama vile zamadi. O: S. Masingo karulanga khung’ombe khurumikhiranga khukasiria tsinyumba mpaka tsilolokhane bulayi. O: . T. Hata zamadi hiyo ukibeba kisha upeleke kwenye shamba yanaweza kutoa mazao bora. T: Zamadi yayatokayo kwenye ng’ombe huwa tunatumia kutengenezea nyumba hadi zionekane vizuri O: S. Siakhulia sia khunyala khuremera ing’ombe ibe nende mubiri omulayi ni lusii T: . T: Chakula ambacho tunaweza katia ng’ombe ili wawe na afya bora ni mabingobingo O: S. Tsing’ombe ethio thia igredi khunyala khutsirskira olusii lwabu ni khandi tsikhoyere khulia olusii lwa khuyera kho tsirusie amabere amangi. T: Ng’ombe hao wa gredi tunaweza wapandia mabingobingo yao na pia wanafaa wale mabingobingo wa kutosha ndipo watoe maziwa mengi. O: s. mabere ako onyala khubikha kaboya nende khuba amalulu kata onyala khulira obusuma. O: T. T: Maziwa hayo unaweza kuhifadhi yakagandamana na kuwa mala hata unaweza kulia sima. O: S. Khuli nende tsing’ombe tsinzalaba nosuda ambi natsio tsinyala tsia khutwoma bubi muno. T: Kuna wale ng’ombe wakali ukisonga karibu nao wanaweza wakakugonga vibaya sana hadi ukaumia O: S. Bulayi bwa ing’ombe ya kienyeji ni khuba onyala khutsia ninatsio abundu wosiwosi wa bunyasi baali mpaka baekula. T: Uzuri wa ng’ombe wa kienyeji ni kwamba unaweza ukaenda nao mahali ambapo kuna nyasi wakala kisha washibe. O: S. Nonyolwa nende ishida onyala khubukula ing’ombe ndala wakusia mana onyole amang’ondo kaa onyala khurumihira khu ishida eyo. T: Ukipatwa na shida unaweza chukua ng’ombe mmoja ukamuuza kisha upate pesa ambazo unaweza kutumia katika shida hiyo. O: S. Inyama iriya yololanga abandu nibalia irulanga mng’ombe kata nosamba inyama eyo inyala khumenyaS.tsinganga tsinyingi khu ako kosi khurinde tsing’ombe etio bulayi. T: Nyama ambayo huwa unaona watu wakila huwa hutoka kwa ng’ombe hata ukichoma nyama hiyo inaweza ikaaishi siku nyingi kwa hayo yote tulinde ng’ombe hao vizuri. O: CYNTHIA ACHIENG O: S. SIKULI SIA SIKURA T: SHULE YA MSINGI YA SIKURA O: S. IKAUNTI: BUSIA T: KAUNTI: BUSIA O: . LUKONGO: TINGOLO T: S T: ENEO: TINGOLO T: SKR 14 O: S. ING’OMBE T: NG’OMBE O: S. Ing’ombe ni sindu sia abandu bajama hubera ili nende obuhkonyi bungi muno khu bandu. T: Ng’ombe ni kitu ambacho watu wanapenda kwa maana ana manufaa mengi sana kwa watu. O: S. Khubola bwadodo ing’ombe ni sindu siria sinyala hukhukhonya abundu andinyu muno inyanga eyo nikari mbu okwamire abundu andinyu T: . T: Kusema kweli ng’ombe ni kitu ambacho kinaweza kukusaidia mahali pagumu sana siku hiyo ukiwa umekwama mahali pagumu O: S. Onyala khukusia wamala tsishughuli tsiao ni bulayi khuruka ing’ombe. T: Unaweza ukauuza kisha ukamaliza shuguli zako ni vizuri kufuga ng’ombe. O: S. Khandi sikhola mbole ing’ombe ni siruko silayi ni kubera inyala khuibula, onyala khukusia amabere wesi khandi onyala khunya khunyola afya indayi, kata onyala khuba obula isukari mnyumba onyala khukusia amabere no okula isukari. T: Tena kinachofanya niseme ng’ombe ni mfugo mzuri ni kuwa anaweza kujifungua, unaweza kuuza maziwa na wewe pia unaweza kunywa na kupata afya bora, hata unaweza kuwa hauna sukari kwa nyumba unaweza uza maziwa na ununue sukari. O: S. Mabere ako nokusia kakhurusia aria wobere nokhairwe. O: T. T: Maziwa hayo unapouza yanakutoa pale ambapo ulikua umelemewa. O: S. Khubola bwa toto khube abandu baa khuhalabanila ing’ombe buli sikha khandi hube nikhutsieresingia amatsi nitsinywa. T: Kusema ukweli tuwe watu wa kushugulia ng’ombe kila wakati tena tuwe tunawapea maji wakinywa. O: S. Noba noruchire ing’ombe ya grade ikhoyere huria olusii mpaka yekure kho irusie amabere manji. O: T. T: Ukiwa umemfuga ng’ombe wa gredi anafaa ale mabingobingo hadi ashibe ili aweze kutoa maziwa mengi. O: S. Kata mabere karia maboyu obulira bulayi bwako, ni bulayikhurisia ing’ombe khubera niwenya khumukusia olanyola ifaida. O: T. T: Hata yale maziwa mala ukinywa unahisi utamu wake, ni vizuri kulisha ng’ombe kwa maana unapotaka kumuuza utapata faida. O: ng’ombe ni indayi muno ikhonyanga. T: I T: Ng’ombe ni kitu kizuri sana husaidia O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni siruko sia mudala, abandu baruka ing’ombe, siruko sino sirukhonyanga nende vindu vingi sia mberi ing’ombe ikhueresingia amabere nende inyama. T: Ng’ombe ni mfugo wa nyumbani, watu walifuga ng’ombe, mufugo huu hutusaidia na vitu vingi ya kwanza ng’ombe hutupa maziwa na nyama O: Kata bikha bindi ing’ombe irukhonyanga nende lisero. Khurumihiranga lisero hukaasia bilaro, bilaro ebio bimenyanga muno sibiri rahisi khunyasikha. T: Hata wakati mwingine ng’ombe hutusaidia na ngozi. Huwa tunatumia ngozi kuunda viatu, viatu hivyo huishi sana si rahisi viharibike O: Khubola bwa dodo ing’ombe ni siruko siamaana muno. T: Kusema kweli ng’ombe ni mfugo wa maana sana. O: Mabere nende inyama khurusianga khung’ombe nonywa amabere oba msangafu mkilasi T: Maziwa na nyama huwa tunatoa kwa ng’ombe ukinywa maziwa unakuwa mchangamfu darasani. O: Inyama nayo irukhonyanga huba nende amani. T: Nyama nayo inatusaidia kuwa na nguvu. O: Ing’ombe nitsia mchoo khurumikhiranga amasingo kayo ngaa imboleya hukhurakira baikhulia ngaa madimwa. T: Ng’ombe anapoenda choo huwa tunatumia kinyesi chake kama mbolea kwa kupandia vyakula kama vile mahindi. T: Hubukulanga amasingo nikhumala hura khumadimwa ni madimwa kamera bwangu. O: Huwa tunachukua zamadi kisha tunaweka kwa mahindi na mahindi yanamea haraka. O: Sikhusandanga nende khukula imboleya muduka. T: Hatuhangaiki na kununua mbolea dukani O: Kata huri nende baria bari nende inyumba yo bunyasi hasi barumikhiranga huoma. T: Hata kuna wale ambao wana nyumba ya nyasi chini hutumia zamadi kuboma. O: Siakhulia sia ing’ombe ni lusi, bunyasi nende amatsi. T: Chakula cha ng’ombe ni mabingobingo, nyasi na maji. O: Ing’ombe siiri nende ikasi isabi nomalakhumuboya oyieresia lusi nomala otsia huthishughuli tsiao. T: Ng’ombe hana kazi mingi ukishamfunga unampa mabingobingo kisha unaenda shuguli zako O: Olwa okarukha omuringa nende khumuba amatsi, nolinda in’ombe bulayi wosi ilakhurusiria mabele vbilayi. T: Unaporudi unamtazama na kumpa maji, unapomlinda ng’ombe vizuri yeye pia atakutolea maziwa vizuri. O: Bikha bindi onyala khukusia amabere nende hunyola amang’ondo kaa khurumihira handi onyala khurumihira humeda tsing’ombe tsindi. T: Wakati mwingine unaweza kuuza maziwa na kupata pesa ya kutumia na unaweza tumia kuongeza ng’ombe wengine O: Khubola bwa dodo ing’ombe iri nende ifaida eya ekulu. T: Kusema kweli ng’ombe anafaida ya juu. O: Khwajama ing’ombe muno irinende ifaida hushira miruko kindi kino nikhwo khubera abandu bangi baruka. Mumadala. T: Tunampenda ng’ombe sana anafaida kuliko mifugo wengine hawa ndio maana watu wengi wamemfuga nyumbani T: S.LIRA: ALEX OTIENO T: JINA: ALEX OTIENO O: S.SIKULI SIA SIKURA T: SHULE YA MSINGI YA SIKURA T: SUB-COUNTY: BUSIA O: S.LUKONGO: TINGOLO T: ENEO: TINGOLO T: SKR 22 T: ING’OMBE O: S.Ing’ombe ni isolo irukungwa mdala wefwe. T: Ng’ombe ni mnyama ambaye anafugwa nyumbani kwetu. O: S. Ing’ombe ni isolo indayi muno khuli nende thing’ombe thikabukhane. Khuli nende ing’ombe eya grade nende ing’ombe ya kawaida T: . Ng’ombe ni mnyama mzuri sana kuna ng’ombe wa aina tofauti tuna ng’ombe wa gredi na ng’ombe wa kienyeji O: S.Ing’ombe irwelesianga amabere nende inyama, ing’ombe yosi iruelesianga anang’ondo T: . T: T.Ng’ombe hutupa maziwa na nyama, ng’ombe pia hutupa pesa O: S. Olanyora mbu balio abandu bangi bachama inyama ya ing’ombe abandu nibasamba inyama ya ing’ombe abo basambanga khubikha inyama ino inyala humenya thinyanga thisabi. T: Utapata kuwa kuna watu wengi wanaopenda nyama ya ng’ombe watu wanapochoma nyama ya ng’ombe wao huchoma na kuhifadhi. Nyama hiyo huweza kuishi kwa muda mrefu. O: S.Kata kario ing’ombe ibetsanga nende amabere amalayi mabere ako kanyala hukobwa mdairi nende hukasibwa hunjira thiabukhane, kario amabere karia kakasibungwa nikaba nga obusie nikakusibwa kabetsanga nende inganga muno. T: Hata hivyo ng’ombe huwa na maziwa mazuri, maziwa hayo yanaweza kupelekwa viwandani na kutengenezwa kwa kupitia njia tofauti tofauti, kuna yale maziwa ambayo huundwa na kuwa kama unga na yanapouzwa huwa na faida kubwa sana. O: S.Huri nende tsing’ombe tsiria tsikhonyanga abandu khulima thing’ombe ethio ni tsisatsa T: Kuna wale ng’ombe ambao huwasaidia watu katika kulima ng’ombe hao ni wandume. O: S. Tsing’ombe etsio tsilimanga bilayi muno kata kario huri nende tsing’ombe tsiiria tsiirumikhiringwa hukinga emizigo. T: Ng’ombe hao hulima vizuri san ahata hivyo kuna wale ng’ombe ambao hutumika katika kubeba mizigo mizito. O: S. Mundu uria urinende ing’ombe ethio anyolanga amang’ondo T: Mtu ambaye ana ng’ombe wa aina hao huweza kupata pesa. O: S. Ing’ombe yosi ebetsanga nende imbole indayi, mundu nari nende ing’ombe anyala khunyola imbolera yakhurakira siakhuria siaye T: Ng’ombe pia huwa na mbolea mzuri, mtu akiwa na ng’ombe anaweza kupata mbolea ya kupandia chakula chake. T: JINA: VALERIAN OMONDI O: S. SIKULI SIA SIKURA T: SHULE YA MSINGI YA SIKURA O: S. IKAUNTI: BUSIA T: KAUNTI: BUSIA O: S. LUKONGO: TINGOLO T: ENEO: TINGOLO O: SKR 27 O: S. ING’OMBE T: NG’OMBE O: S.Ing’ombe ni isolo indai muno khu mundu. T: Ng’ombe ni mnyama muhimu kwa binadamu. O: S. Mundu yajama hukhalabanila ing’ombe olwa aria nende olwa akona abundu andafu T: Binadamu anapenda kushugulikia ng’ombe jinsi anavyo kula na anavyolala mahali pasafi. Ng’ombe wetu hupenda kunywa maji safi. O: S. Ing’ombe yefwe yajama khunywa amathi malafu. T: Ng’ombe wetu hupenda kunywa maji safi. O: Ing’ombe yajama khulia ebindu nga obunyasi nende emilabi kho anyale okhurusia amabere amanji. T: S. T: Ng’ombe hupenda kula vitu kama vile nyasi na mbegu ya viazi vitamu ili akaweze kutoa maziwa mengi. O: Mabere kamrelelanga mundu amang’ondo khandi kakhonyanga omwana omutiti khubera yenyekhana anywe mabere kho abe nende omubili omulayi T: S. T: Maziwa humletea binadamu pesa na pia humsaidia mtoto ambaye ni mdogo kwa maana anhitaji kunywa maziwa ili awe na afya bora. O: S. Ing’ombe ikhonyanga mundu bikha bia ishida, ukobwanga khusiro khukusibwa nende khunyola amang’ondo na amanya ngalwa yekhonya T: Ng’ombe humsaidia mtu wakati wa shida, hupelekwa sokoni na kuuzwa na kupata pesa na kujua jinsi ya kujisaidia. O: S. Abandu bakusingia ing’ombe banyole olwa basomia abana babo. T: Watu huuza ng’ombe ili wapate jinsi ya kuwapeleka wanawo shuleni. O: Ing’ombe yalongwa nga omundu lakini ing’ombe iri nende bilenge binee. T: S. T: Ng’ombe aliumbwa kama binadamu lakini ni tofauuti kuwa ana miguu mine. O: S. Ing’ombe yefu ya gradi yikhalanga msidwoli khuchakira ichuri mpaka siro, olwa khumukhobelanga biakhulia khudedanga sa nihusukuna mkari amathi nako khurethanga sa musidwoli bikha bia khubuliranga nayola khumanyanga mbu yenya amathi. T: Ng’ombe wetu wa gredi wa gredi hukaa kwenye zizi kuanzia asubuhi hadi jioni, wakati tunampelekea chakula huwa tunakata tu na kutupa ndani na maji huwa tunaweka tu zizini wakati tunaposikia akikoroma tunajua anataka maji. O: Abethanga nende isunga khubela siyenyanga khunywa mathi kari nende isabuni kose karimo nende ichumvi. Mathi niko bulamu nende buli sindu. T: S. T: Huwa na malingo kwa maana huwa hataki kunywa maji ambayo yana sabuni au yaliyowekwa chumvi. Na maji ndio uzima na kila kitu. O: MISHELL AWINO O: S. SIKULI SIA SIKURA T: SHULE YA MSINGI YA SIKURA O: S. IKAUNTI: BUSIA T: KAUNTI: BUSIA O: S.LUKONGO: TINGOLO T: ENEO: TINGOLO O: SKR 31 O: S. KHAMUNA NENDE KUKHU WAYE T: KIDIRI NA NYANYA YAKE O: S.Khamuna ni khasolo khamenyanga msichuru. T: Kidiri ni mnyama anayeishi mwituni O: S. Abandu bangi bamujama muno khubera nisiakhulia. T: Watu wengi humpenda sana kwa maana ni kitoweo O: S. Khalekhale khaliyo akhamuna nende kukhu T: Hapo zamani za kale paliondokea kidiri na nyanya O: kukhu yali niyajama khamuna muno. T: S. T: nyanya alikuwa anampenda kidiri sana O: S. Khamuna nakho khari khachesi khushira kukhu T: kidiri naye alikuwa mwerevu kumliko nyanyake. O: S. Yali inyanga eyokhuraka amadimwa kukhu yali nende indalo injerekha ni yali niyenya khunzia khuraka amadimwa inzerekha habula mwalo kwali omukhongo. T: Ilikuwa siku ya kupanda mahindi nyanya alikuwa na shamba ng’ambo na alikuwa anataka kwenda kupanda mahindi ng’ambo lakini kulikuwa na mto mkubwa. O: S. Kukhu yatsia khubolera khamuna banzie husiro bakule chinjugu. T: Nyanya alienda kumwambia kidiri waende sokoni wanunue njugu. O: S Olwa baola khusiro kukhu yakula tsinjugu, liani nende bufwa bwa misala T: . T: T Walipofika sokoni nyanya alinunua njugu, mboga na mbegu ya miti. O: S. Olwa yola inyanga yokhuraka tsiinjugu. Khamuna khabolela kukhu nyine mbu niyenya tsinjugu tsimerere bulayi abukule tsinjugu etsio asiree niyakhamala khusira tsinjugu abukule amatsi abasie nende khuramo majani nende isukari. T: kidiri alimwambia nyanya akitaka njugu ziote vizuri achukue njugu hizo akaange baada ya kukaanga njugu achukue maji achemshe kisha aweke ndani majani na sukari. O: S. Kukhu olwa yamala yabelesia khamuna tsiunjugu atsie arake. Khamuna khabukula thinjugu nende ichai nikhachaka tsimbiro nikhatsira mndalo, nachaka khuria tsinjugu T: Nyanya alipomaliza alimpea sungura mjanja njugu aende apande. Sungura mjanja alichukua njugu na chai akaanza mbio alielekea shambani, akaanza kula njugu. O: S. Khamuna kharia tsinjugu khamala. Khamuna khola mudala nikhaebashire amatoyi khabatsa kukhu mbu amarire okhuraka. T: kidiri alikula njugu hadi akamaliza. Sungura mjanja alirudi nyumbani akiwa amejipaka matope akamdanganya nyanya amemaliza kupanda. O: MICHAEL OKUMU O: S. SIKULI SIA SIKURA T: SHULE YA MSINGI YA SIKURA O: S. IKAUNTI: BUSIA T: KAUNTI YA BUSIA O: S. IKAUNTI INDIDI: BUTULA T: KATA NDOGO: BUTULA O: S. LUKONGO: TINGOLO T: ENEO: TINGOLO O: SKR 32 O: S. ING’OMBE T: NG’OMBE O: S.Ing’ombe ni isolo indai muno, omanyire ing’ombe nola irisiye obulayi sinyala hukhomera dawe. T: T.Ng’ombe ni mnyama mzuri sana, unajua ng’ombe usipomslisha vizuri hawezi akanona O: S. Ing’ombe ni isolo indai muno Ikhoyere khuria biakhuria singa obunyasi nende emilabi nende amasakari ka madimwa khalala nende kusie bwa madimwa busierwe. T: Ng’ombe ni mnyama mzuri sana anafaa ale chakula kama vile nyasi na mbegu za viazi vitamu na mtawi ya mahindi pamoja na unga wa mahindi ambao umesagwa. O: S. Khandi ing’ombe ikhoyere khueresibwa amatsi malafu karimo ichumbi mkari. Abakofu bakhale babola mbu ing’ombe ni indayi khubulamu bwa mundu niwina wachama ing’ombe singa esie? T: . T: Wazee wa kale walisema kuwa ng’ombe ni muhimu kwa maisha ya binadamu nani aneyependa ng’ombe kama mimi? O: S. Ing’ombe ni indayi khubulamu bwa bandu bosi mshialo, niwenya ing’ombe ibee obulayi okhoyele khumukasiria eshitwoli, shitwoli eshio shikhoyere huka silafu muno. T: Ng’ombe ni muhimu kwa maisha ya watu wote ulimwenguni, ukitaka ng’ombe awe salama wafaa kumjengea zizi na zizi hiyo inafaa iwe safi sana. O: Shitwoli siene sikhoyere khurusibwa amasingo mkari khandi ing’ombe ikhoyere khusingwa buli nyanga. T: S. O: T. T: Zizi lenyewe lafaa kutolewa zamadi na tena ng’ombe anafaa aogeshwe kila siku. O: S. Ing;ombe iri nende thifaida thiayo, thifaida ethio ni : ing’ombe irweresingia inyama yabandu bakusingia mbucha, ing’ombe yosi irweresingia amabere, imbolera ya kuretsanga khumadimwa kefu T: Ng’ombe anafaida zake, faida hizo ni kama ng’ombe hutupa nyama ambayo watu huuza buchani hadi ng’ombe pia hutupa maziwa, pia hutupa mbolea tunayoweka kwenye mahindi yetu O: S. Obulayi bundi bwe ing’ombe ni masingo akarumihirwanga khuoma thinyumba thia bunyasi. T: Faida nyingine ya ngombe ni zamadi ambayo hutumika katika kuboma nyumba ya nyasi. O: DUNCAN NYONGESA O: S. SIKULI SIA SIKURA T: SHULE YA MSINGI YA SIKURA O: S. IKAUNTI YA BUSIA T: KAUNTI: BUSIA O: LUKONGO: TINGOLO T: ENEO: TINGOLO T: SKR 41 O: S. BULAYI WA INGOKHO T: UZURI WA KUKU O: S. Mbukulanga bikha bino khubabolera obulayi bwa ingokho T: . T: Nachukua fursa hii kuwaelezea umuhimu wa kuku O: S. Ingokho ni isolo iria irukukwa mudala nende omundu ori owuri nende obunyali bwa khirinda. O: T. T: . Kuku ni ndege ambaye anafugwa nyumbani na mtu yule ambaye anauwezo wa kumlinda O: S. Ingokho handi imurereranga ifaida. T: . Kuku tena humletea faida O: S. Ingokho noirisia bulayi sa inyala khukhurerera amabuyu mangi sana khandi inyala khualula biminywi bingi muno. T: Kuku unapomlisha vizuri tu anaweza kukuletea mayai mengi sana tena anaweza kuagua vifaranga wengi sana. O: S. Biminyi ebo nibikhula onyala khubikusia khu amang’ondo amangi kanyala hukhukhonya ewe mwene. T: vifaranga hao wanapokuwa unaweza kuwauza kwa pesa mingi ambayo inaweza kukusaidia wewe mwenyewe O: S. Nibwatoto wenyekhana obe nende ingokho khubera onyala khukenderwa nende omucheni uria owajama. T: Ni ukweli lazima uwe na kuku kwa sababu unaweza tembelewa na mgeni wako ambaye unampenda. O: S. Nori nende ing’ombe sonyala khumusichila omucheni mulala tawe khubera nomusichira ing’ombe mucheni alaria khandi arekhe. T: ukiwa na ng’ombe hauwezu ukamchinjia mgeni mmoja kwa sababu unapomchinjia ng’ombe mgeni atala kisha abakishe. O: S. Nibwatoto buri mundu yanyekhana abe nende ingokho kata ndala. T: Ni ukweli kila mtu anafaa awe na kuku hata mmoja O: S. Ingokho yosi inyala khualula biminywi ekulu wa khamsini niinyola sa mundu owumulisia bilayi. T: Kuku pia anaweza akagua vifaranga Zaidi ya hamsini akipata tu mtu anayemlisha vizuri O: S. Onyala khubasomia abana bao kata kuerisia mwene nola tegemea omundu yesiyesi khubera orategemea sia omindu wundi mpaka ofwe nori omumanani. T: Unaweza kuwasomesha watoto wako hata kujilisha mwenyewe bila kutegemea mtu yeyote kwa sababu utategemea cha mwingine hadi ufe uwe maskini. O: HENRI SAULU O: S. SIKULI SIA SIKURA T: SHULE YA MSINGI YA SIKURA O: S. IKAUNTI: BUSIA O: T. KAUNTI YA BUSIA O: S. LUKONGO: TINGOLO T: ENEO: TINGOLO O: SKR 59 O: 30/09/2021 O: S. OMURWE NI ING’OMBE T: MADA NI NG’OMBE O: Mshialo shino khuri nende sindu silangungwa mbu ing’ombe, Ing’ombe yenyekhana khuria bulayi. T: Ulimwenguni huu tuna kitu kinachoitwa ng’ombe, ng’ombe anahitaji kula vizuri. O: S. Ing’ombe yenyekhana khuria bulayi, ing’ombe ni indayi muno khu bulamu kwa mundu. T: Ng’ombe ni kitu muhimu sana kwa maisha ya binadamu. O: S. Ing’ombe yeresingia abandu ebindu bingi muno, Bindu biene ni mabere, inyama risero nende bindi birio. T: Ng’ombe humpa binadamu vitu vingi sana, vitu vyenyewe ni kama vile maziwa nyama ngozi n.k. O: S. Khuchake nende amabere: amabere kakholanga mundu huba nende omubili omulayi hubulamu bwa omundu. T: Tuanze na maziwa. Maziwa huwezesha mtu kuwa na afya bora Katika maisha ya mwanadamu. O: S. Sindu sindi ni inyama yosi ikholanga mundu khuba nende omubili omulayi muno kata kario ing’ombe ni indayi hubera ikhueresichia lisero. T: Pia humwezesha mtu kuwa mwili mzuri san ahata hivyo ng’ombe pia ni mzuri kwa maana hutupa ngozi. O: Ing’ombe inyala hukhonya abandu khukasia ebindu bingi muno bindu biene ni kama bisala, bitanda nende bindi birio. T: S. Ng’ombe huweza kuwasaidia watu kwa kutengeneza vitu vingi sana na vitu vyenyewe ni kama vile viti, vitanda n.k. O: S. Kata kario ing’ombe yosi inyala hukhola mirimo minji muno. T: Hata hivyo ng’ombe pia huweza pia kufanya kazi nyingi sana. O: S. Chikasi ethio ni khulima, kata kario ing’ombe inyala hukhola omundu abee omuyinda muno T: Kazi hizo ni kulima hivyo pia ng’ombe huweza kumfanya mtu awe tajiri sana. O: Mbolanga endio khubera ing’ombe ikusibungwa khumapesa amangi muno kata kario ing’ombe inyala khurueresia imbolera eyo ikhonyanga khumera kha ebindu T: Nasema hivyo kwa maana ng’ombe huuzwa kwa pesa nyingi sdana n ahata hivyo ng’ombe huweza kutupea mbolea na mbolea hiyo huweza kusababisha umeaji wa vitu. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni isolo iria eya buri mundu yaruka mshialo sino. Tsing’ombe tsibajamisingia abandu. T: Ng’ombe ni mnyama ambaye kila mtu amefuga ulimwenguni humu, ng’ombe huwapendeza watu. O: Abandu bajama ing’ombe hubera banyoranga amabere nende inyama. T: Watu wanapenda ng’ombe kwa maana wao hupata maziwa na nyama. O: Khwajama ing’ombe muno khubera ajamisingia. T: Tunapenda ng’ombe sana kwa maana huwa anafurahisha. O: . Ing’ombe yosi yenyekhana inyole olwa iria nibari ingo kanyasichia muno khubera aumao abundu aambi ari nende obunyasi bwa ing’ombe ikhoyere khuria khuikura. T: Ng’ombe pia anafaa apate jinsi anavyokula na wanapokuwa nyumbani wao husumbua sana kwa maana hakuna mahali karibu ambapo pana nyasi ambayo ng’ombe wanafaa kula na washibe. O: Ing’ombe khubureka bwayo irwetsanga ifaida. T: Ng’ombe kwa upande wetu huwa wanatupea faida. O: Ing’ombe ikhwetsanga amasingo kaa khuomera tsinyumba, kata kario ing’ombe yosi ikiranga nikhunyola amang’ondo. T: Ng’ombe hutupea zamadi ya kuboma nyumba, hata hivyo ng’ombe pia husababisha kupata pesa. O: Itsitsanga khurima tsindalo. T: Huenda na kulima shamba. O: Ing’ombe yosi inyala khukira obe nende obunyali bwa khusomia mwana msikuli. T: Ng’ombe pia anauwezo wa kufanya uwasomeshe watoto shuleni. O: Onyola mbu abasungu barulanga bulaya khuitsa khulola ib’ombe bureka bwefu buno ino yekesia mbu in’ombe iri nende obulayi. T: Unapatakuwa huwa mzungu hutoka Marekani kuja kutazama ng’ombe upande wetu huu hii inaonyesha kuwa ng’ombe anafaida. O: Ipusi ni isolo iria eya menya mudala, khuri nende tsipusi tsikabukhane. T: Paka ni mnyama anayeishi nyumbani, tuna aina nyingi za paka O: Khuri nende ipusi eyomsichuru iria yakalukhana nende khuba elisimba T: Tuna paka wa mwituni wale ambao waligeuka na kuwa simba O: Ipusi iri nende bulayi bwayo T: Paka pia anafaida zake. O: Ipusi ikhonyanga khandi muno. T: Paka husaidia vitu vingi tena asana. O: Omundu nafuna amadimwa nabikha munyumba tsimbeba tsiitsire niye arukanga ipusi mabimwa ako kadong’a huwa amalayi. T: Mtu anapovuna mahindi kisha ahifadhi kwenye nyumba halafu panya waje yeye hufuga paka kisha mahindi hayo yanabaki kuwa salama O: Khale nende ako kosi ipusi yosi iri nende obulayi bwayo T: Kando na hayo yote paka pia anauzuri wake. O: Ipusi ni ibula abana ireranga ifaida bikha bia abandu betsanga khubukula abana, bareranga amang’ondo nende ebindu bindi kata ingokho ni mundu abukula omwana. T: Paka anapojifungua kipusi hutulea faida wakati watu wanapokuja kuchukua kipusi, hutuletea pesa na vitu vingine hata pia kuku na mtu huchukua na kinyaunyau. O: Ale nende ipusi ya ingo khuri nende tsiria tsipusi tsia musichuru tsilia tsia kalukhana khuba tsisolo timbii muno T: Kando na paka wa nyumbani tuna wale paka wa mwituni ambao waligeuka kuwa wanyama hatari sana. O: Biekesia mbu ipusi iri nende obulayi bwayo nende obubi bwayo T: Huonyesha kuwa paka anauzuri wake na ubaya wake. O: Ipusi eyomusichuru ibechanga imbi handi muno ikendanga niidira tsingikho tsia abandu nitsiria. T: Paka wa mwituni huwa hatari tena sana huwa wanatembeawakishika kuku wa watu wakila. O: Onyala khunyola tsipusi ethio khumwalo msichuru. T: Unaweza pata paka hao mtoni kwenye misitu. O: Balia balarukanga ipusi olanyola nibabola mbu vindu biabo bibwere munyumba khubera imbeba T: Wale ambao hawafugi paka unaweza pata wakilalamika kuwa vitu vyao vimeisha kwenye nyumba kwa sababu ya panya. O: ING’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni isolo indayi muno ari nende ifaida ikhongo muno khubulamu kwa abandu. T: Ng’ombe ni mnyama mzuri sana anafaiuda kubwa kwa maisha ya binadamu O: Ing’ombe ni isolo iria noiyekesia khukhola emirimo kiosikiosi inyala khukhola bilayi muno handi abwene. T: Ng’ombe ni yule mnyama ambaye akifunzwa kufanya kazi yoyote anaweza kufanya vizuri sana tena kwa makini. O: Ing’ombe iri nende obulayi ngaa khurimira abandu tsindalo khandi ing’ombe irusianga amabere kaa khunywetsanga. T: Ng’ombe anafaida kama kulimia watu shamba tena ng’ombe hutoa maziwa ambayo huwa tunakunywa. O: Yale nende ako kosi ng’ombe yosi ikhueresinjia inyama eyakhurichanga T: Kando na hayo yote ng’ombe pia hutupa nyama ambaya huwa tunala. O: Yale nende ako kosi ng’ombe yosi ikhueresinjia inyama eyakhurichanga T: Kando na hayo yote ng’ome pia huwa anatupea nyama ambayo huwa tunala. O: Inyama yosi sikhwenyekhana khuria muno khubera tsing’ombe tsinyala khusirikwa khurumukhira omusala onyala khuria inyama mana ikhurerere obulwale bwa kanja. T: TNyama pia hatufai kula sana kwa sababu ng’ombe wanawezatibiwa kwa kutumia dawa na unaweza kula nyama hiyo kisha ikueletee magonjwa ya saratani O: Kata kario ing’ombe si nisindu sia khubaira onyalakhunyola nobair inyala khukhutwoma wafunukha bubi muno. T: Hata hivyo ng’ombe si kitu ya kuchezea unaweza pata kuwa unapomchezea anaweza akakugonga ukakuvunja vibaya sana. O: Ing’ombe yosi ni inyama eyo okhoyere khuruka mudala khubera onyala khunyolwa nende ishida nokusia ing’ombe inyala khukhukhonya khumala ishida eyo. T: Ng’ombe pia ni mnyama ambaye unafaa kufuga nyumbani kwa sababu unaweza patwa na shida na unamuuza ng’ombe anawezakukusaidia kumaliza shida hiyo. O: Kata kario ing’ombe yenyekhana khurinwa bolayi khurinda ing’ombe eyo bilayi ni khumubikha khabundu alayi. Kuiyeresia biakhulia, matsi nende khumuringa bilayi muno unyala hunyola ifaida ikhongo T: Hata hivyo ng’ombe anafaa kutunzwa vizuri kwa kumlinda ng’ombe huyo mzuri ni kwa kumweka katika mazingira mazuri, kumpa vyakula maji na kumtazama vyema kwa makini unaweza pata faida kubwa. O: NG’OMBE T: NG’OMBE O: Ing’ombe ni isolo indayi khu mundu. T: Ng’ombe ni mnyama mzuri kwa binadamu. O: Ing’ombe nirukwa ebilayi inyala khurela ifaida isabi. T: Ng’ombe akifugwa vizuri anaweza kuleta faida nyingi. O: Ing’ombe yosi iris a nga omundu buli nyanga yenyekhana irie kho irere ifaida indayi T: Ng’ombe pia ako tu kama binadamu kila siku anataka ale vizuri ili alete faida nzuri. O: Ing’ombe yenyekhana khuria bindu ngaa obunyasi, olusii, milabi nende masakaria kaa madimwa. T: Ng’ombe anafaa kula vitu kama vile nyasi, mabingobingo, majani ya viazi vitamu na muhindi O: Ing’ombe ikhoyere khukona abundu andayi. Wenyekhana obe nokasiye esidwoli. T: TNg’ombe anafaa kulala mahali pazuri. Inafaa uwe umetengeneza zizi. O: Buli nyanga norusia ing’ombe msidwoli urusia amasingo. T: Kila wakati unapomtoa ng’ombe kwenye zizi unatoa zamadi. O: Ing’ombe yosi yenyekhana iboywe abundu ari nende obunyasi obulayi. T: Ng’ombe pia anahitaji afungwe mahali ambapo kuna nyasi nzuri. O: Ing’ombe yenyekhana inywe matsi malafu niimala khunywa matsi onyala khukalukha nayo mudala O: Wayidedera olusii notsia khukhola mirimo kiao. T: Ng’ombe anafaa anywe maji safi na anapomaliza kunywa maji unaweza rudi naye eyeye nyumbane ukamkatia mabingobingo na ukaenda kufanya shuguli nyingine O: Khulukongo khwefwe buri mundu ari nende in’ombe. T: Katika kijiji chetu kila mtu ana ng’ombe. O: Ing’ombe mundu arukanga namanyire ing’ombe ilamrerera ifaida. T: Ng’ombe mtu humufuga ng’ombe akijua yakwamba atamletea faida. O: Ing’ombe ikhasi inyala khumurerera mabere alala nende khamosi. T: Ng’ombe wa kike anaweza kumletea maziwa pamoja na ndama. O: Ing’ombe niyakhamala khuibula ikhoyere kulisibwa bilayi khooinyale khulera amabere mangi handi onyala khukusia kandi wanyola amang’ondo. T: Ng’ombe akishajifungua anafaa kulishwa vizuri ndipo aweze kuleta maziwa mengi na tena unaweza kuuza mengine ukapata pesa O: Ing’ombe isatha inyala hukhukhonya hulima, ing’ombe yosi inyala hukhurerera imboleya. T: Ng’ombe ndume anaweza akakusaidia kulima, ng’ombe pia anaweza akakuletea mbolea. O: Imboleya eyo notsukha mundalo mana orake madimwa kamera bulayi. T: Mbolea hio ukimwaga katika shamba kisha upande mahindi yanastawi vizuri O: Aumao uria wajama ing’ombe ngaa esie T: Hakuna yule anyependa ng’ombe kama mimi. O: INYANGA YA BAANGWAKHO T: SIKU NILIYOTEKWA NYARA O: Ndabukha itsuli nende mapema khutsia msikuli. T: Niliamka asubuhi na mapema kuelekea shuleni. O: Ndakutana nde bandu bangi sana khumwanda. T: Nilikutana na watu wengi kwa barabara. O: Ndakumbuka makhuwa ka mama yambolera mbu “mwana wange ulaunanga da msikuli itsuli sana da.” T: Niliyakumbuka maneno ya mama yangu mzazi aliyoniambia “mwanangu usiwe unarauka kuenda shule asubuhi sana.” O: Lakini esie ndali mbukule marwi kange alafu nderemo ipamba ya rachari. T: Lakini mimi nilikuwa nimeyaziba maskio yangu kwa pamba nyeupe O: Sindaulira siosi siosi da. T: Sikuskia chochote. O: Lwandari nithendeleanga nende isafari yange ndalola mbu burisindu siri sawa kabisa lakini hatari yari imberi wange. T: Nilipokuwa naendelea na safari yangu niliona kila kitu kiwa shwari kabisa lakini hali ya hatari ilikuwa mbele yangu. O: Bandu mbali mbali bambirakho nindema khubakhesia sibalomaloma dawe. T: Nilikuwa nikijarabu kusalimia watu waliokuwa wakinipita lakini hawakunijibu. O: Sindafwa da mwoyo ndendelea nende isafari yange yakhutsia msikuli. T: Sikufa moyo niliendelea na safari ya kuenda shuleni. O: Karibu sana khula nasikuli mwange mundu mlale yalulaeria nambolera mbu nimwikhowange. T: Nilipokuwa karibu kufika shuleni, mtu mmoja alitokea ghafla na kuniambia ni jamaa wa familia yangu. O: Ndauka sana itsuli ino mwikho wange alura yena. T: Nilishangaa hii asubuhi jamaa wangu anatoka wapi. O: Handi yambolera mbu ni khotha wange aginge mumutoka mkobe mdala alole mama wange. T: Tena akaniambia kwamba yeye ni mjomba wangu hivyo basi anibebe kwa gari nimpeleke kwa mama yangu. O: Andari nidema khukhaya lakini yambolera mbu yenyera khumlola khubera mbu kukhu wange nimlwae. T: Nilikuwa nataka kukataa lakini akaniambia kuwa angependa kuonana na mama yangu kwa sababu nyanya shangu ni mgonjwa. O: Lwandari ndakhengira mmutoka yafunikha munwa ndaulira lumbutsi. T: Nilipoingia kwa gari alifunika mdomo nikakosa fahamu. O: Alafu ndakona thindolo nga mundu ufwire itsuli. T: Nililala usingizi kama mtu aliyefariki. O: Ndatemanga hubusia ifahamu lakini wapi. T: Nilijaribu kupata fahamu lakini ilishindikana. O: Bafungira munyumba ya madirisha handi irimo itibi ya maani. T: Walinifungia kwa nyumba ya madirisha na tena ikon a televisheni ya maana sana. O: Ndabulira mtibi mama wange natema khundeba khubanakhabari baangi. T: Niliskiza kwenye runinga mama yangu akiniulizia kwa wanahabari wengi. O: Mundu mlala yeetsa munyuba ya bafungiramo khungamira matsi. T: Mtu mmoja alikuja kuniletea maji kwa hiyo nyumba walionifungia. O: Nafungula mikhono kiange ili ngwe matsi. T: Akanifungua mikono zangu ili niweze kunywa maji. O: Ngayafungula mkhono mlala ndamukhuya ingumi ya sikada. T: Aliponifungua mkono mmoja nilimpiga ngumi moja kwa kutumia mkono wa kushoto. O: Nderukha etsimbiro msitekha. T: Nilikimbia mbio hadi kwa kichaka. O: Bangonya lakini sibanyola da. T: Walinitafuta lakini hawakunipata. O: Ndari nde buyendi sana. T: Nilikuwa na wasiwasi sana. O: Msitseha omo ndakutana nde basikari balindanga misala kwe khumbakha tsinyumba msijiji. T: Katika hicho kichaka nilikutana na askari wanaolinda miti za kujenga nyumba kijijini. O: Ndabolera burisindu mani bakhonya ndakalukha mdala mwefu. T: Niliwaeleza kila kit una wakanisaidia kurudi nyumbani kwetu. O: INYANGA YANDALAKHEBIRIRE DAA. T: SIKU SITAWAHI SAHAU KAMWE. O: Iyanga yandalakhebirere yari inyanga lwa huiba. T: Siku ambaya sitawahi sahau ni siku ya wizi ulifanyika. O: Ndatsia akukhu wange mana ninyola befi nindalabamanyirire. T: Nilienda kwa nyanya wake nikawapata wezi bila ya kujua. O: Khulano ndapara sio khukhola. T: Kwa hivyo nilifikiria cha kufanya. O: Khusialo khuno nosirikho olalola makhuwa mangi. T: Ukiwa bado hai kwa hii dunia utayaona mambo mengi. O: Bengirira kukhu wange mana nibari ndebudinyu mani mundu mkofu mani yadong’asa nikhurengerekhanasa khuula isaino. T: Walimvamia nyanya yangu kwa kushtua, akiwa mtu mzee hivyo alisalia kutetemeka hadi wa leo. O: Khalano ngayoba lwang’a befi nibetsere khandi bandu besundukha mani mwifi wali oyo betsa mani ni bamudira. T: Alipopiga mayowe wezi walipokuwa, watu walishtuka na wakafanya bidi wakamkamata uyo mwizi. O: Nibamureba yenyangasina, “khane newe mlala khubalaghai abo.” T: Wakamuuliza huyo mwizi anataka nini, “kumbe ni wewe mmoja wa hao walaghai?” O: ONGOKHO NENDE LIUNGU. T: KUKU NA MWEWE O: Khale khale ingokho nende liungu bialitsingi biamenya alala. Biakholanga mirimo kiabio alala. Nyanga ndala ingokho yalinga bana bayo bakhulire maswiri sana, ongokho yalinga siokhubekera abana yakhaywa hunyola. T: Hapo awali kuku na mwewe walikuwa wanaishi pamoja. Walikuwa wanafanya kazi zao pamoja. Siku moja kuku aliwaangalia watoto wake akaona nywele zao zimekuwa sana, kuku akaangalia atakacho tumia kwanyolea akakosa kupata. O: Ongokho yamua khutsia hu omwitsa wae liungu amukhonyere lumwo. T: Kuku aliamua kuenda kwa rafike yake mwewe amsaidie na wembe. O: Liungu hulwa khubera bwitsa liakhonya ingoho olumwo itsie ibekere abana bayo. T: Kwa sababu ya urafiki mwewe alimsaidia kuku wembe akaende akawanyoe watoto wake. O: Lakini liungu ni lisiri khumwa liaberesia ingoho amalako khulondana nende olumwo olo. Ingokho yaulirisania nende amalako ako. T: Lakini kabla mwewe ampe kuku wembe, alimpaa amri kulingana na huo wembe. Kuku alikubaliana na hizo amri. O: Ingoho yabukula olumwo olo nende hubwao hutska hubeka abana baye. Ingokho yachaaka emirimo kiohubeka avaana. T: Kuku aliuchukua wembe na kuenda kuwanyoa watoto wake. Kuku alianza kazi ya kuwanyoa watoto wake. O: Lakini nisiri khumala yalola mbuebikha vitsire yamua okhuleha emirimo nende hutsia khukonyera abaana vilibwa vya ingolobe. T: Lakini kabla ya kumaliza kuwanyoa, aliona wakati unampa kisogo na hivyo akaamua kuenda kwatafutia watoto chajio. O: Abana ba ingokho hulola mbu ng'inamwana arulire baamua okhubukula lumwo nende okhutsirira nende khuvekana . Lakini nivasiamala vajong'a khuchaka mivayo. T: Watoto wa kuku kuona mamayao ametoka waliamua kuuchukua wembe na kuendelea na kunyoa. Lakini kabla wamalize walichoka wakaamza michezo. O: Nivevirira mbu vavere nende olumwo. Mana ng'ina yesi nakaluha siyarevaho lumwo da T: Walisahau kwamba walikuwa na wembe. Mamayao aliporejea pia hakuulizia wembe. O: Liungu lialinda likalusirivwe olumwo lwae liosi linyole nga libeka abaana lakini ingoho siakalusia da. T: Mwewe alingoja arejeshewe wembe wake pia apate vile anawanyoa watoto wake lakini kuku hakurudisha. O: Liungu liamua okhutsia khwenda olumwo lwae lakini nga liola mana ingoho nilinga wa yali ni irere siyanyola daa. Yamala nireva abana baio. Abana navo nivalinga ababairanga sibanyola da. T: Mwewe aliamua kuenda kuuleta wembe wake lakini alipofika kuku aliangalia alipoweka lakini hakupata .Alimaliza akawauliza watoto wake. Watoto wakaangalia walipoweka wakakosa. O: Makhua kano kasinyisia liungu mno. T: Haya maneno yalisinya mwewe sana O: IFISI NENDE SIDUYU. T: FISI NA SUNGURA. O: Khare khare kwariwo nende ifisi nende siduyu, bamenyanga khalala nende khuhola tsikasi tsiosi halala. T: Hapo awali kulikuwepo fisi na sungura, walikuwa wanaishi pamoja na kufanya kazi zao zote pamoja. O: Inyanga ndala siduyu siabolera ifisi itsie ikonye biakhuria, ifisi yabolera siduyu mbu ‘Esie ndwala nano thiokonye nyangaino esie ndakonya muthuri.’ T: Siku mja sungura alimwambia fisi aende akatafute chakula, fisi alimwambia sungura eti, “Mimi ni mgonjwa sasa wewe ukatafute leo halafu mimi nitaenda kutafuta kesho.” O: Siduyu siabola sawa ndakhurekhera bana bange na kata mlala salakora dawe. T: Sungura alisema ni sawa nitakuwachia watoto wangu na hata mmoja asipotee. O: Siduyu siachaka luchendo lwa khutsia musino khukonya biakhulia. T: Sungura alianza safari ya kuenda kwa msitu kutafuta vyakula. O: Siduyu siakenda khula mu saa thirano bila khunyola siosisiosi. T: Sungura alitembea kufikia saa tano bila kupata chochote. O: Siamua sikone tsidakika makhumi karano. T: Aliamua akalale dakika hamsini. O: Siduyu siakona mpaka siabisya. T: Sungura alila hadi akapitisha muda. O: Siabukha saa ekhumi nende thibili ne inusu nisiamua hutsia mudala alanyola bana baye nibalirwe nende ifisi dawe. T: Aliamka saa kumi na mbili unusu akaamua kurudi nyumbani asije akapata wanawe wakiwa wamekulwa na fisi. O: Siduyu ngasiola lwangulwangu sialola maremwa mengu nisiamua sitsie sisabe. T: Sunguru alipofika haraka aliona ndizi akaamua kuenda kuomba. O: Ngasiasava siakheresibya amaremwa makhumi kabiri nende lala. T: Alipoomba alipewa ndizi ishirini na moja. O: Siduyu siasangala nende khuruka hakulu. T: Sungura alifurahia na kuruka juu. O: Ngasiola mdala sianyola ifisi nilithanga inyama. T: Alipofika nyumbani alimpata fisi akila nyama. O: Siakorwa mbu inyama eyo yarula yena. T: Alikosa kujua mahali hiyo nyama imetoka. O: Siduyu sierukha thimbiro khutsia khuringala bana vaye. T: Sungura alikimbia mbio kuenda kuwaangalia watoto wake. O: Bana basibolela ifisi ikhaire huruba inyama, ibere sa bayio bongone. T: Watoto walimwambia fisi amewanyima nyama, amewapea watoto wake pekee. O: Siduyu siabola sawa mthuli ni inyanga yao yokhukonya biakhulia bana bao balabilira mukwakha. T: Sungura alisema ni sawa kesho siku yako itawadia ya kuenda kukitafuta chakula na watoto wako watakiona cha mtema kuni. O: Siduyu siakaba bana basio maremwa baria. T: Sungura aliwapea watoto wake ndizi wakakula. O: Bana bali nende busangafu bungi sana. T: Watoto walikuwa na furaha sana. O: Inyanga ye ifisi ngayola ifisi yakenda isafari indambi mno ne siumao sianyola siosisiosi. T: Siku ya fisi kutafuta chakula iliwadia, fisi alitembea safari ndefu na hakuna chochote alichopata. O: Yamua ikalukhe mudala na ngayola mudala yanyola bana bae beinamire ne besiduyu bari babayanga ne siduyu. T: Aliamua kurudi nyumbani na alipofika nyumbani aliwapata watoto wake wakihurumisha na wa sungura wakiwa wanacheza na sungura. O: Ifisi yalanga siduyu khulwasina banabange baurumisha ni khubera ekulo walire inyama nende banabao bong’one. T: Fisi alimwita sungura kumuuliza ni kwa nini watoto wake walikuwa wanahurumisha, sungura akamwambia “Ni vile jana ulikula nyama ana wao pekee.” O: “Khalano nyaingaino ndakhaamua khulipsya ngekulo wakholere banabanga.” T: “Sasa leo nimeamua kulipiza kisasi kutokana na vile uliwafanya watoto wangu.” O: Ifisi yamwakhukosana nende siduyu. T: Fisi aliamua kukosana ma sungura. O: Bulimundu yaamua yadekhere biakhulia biaye biongone. T: Kila mtu aliamua kujipikia chakula chake pekee. O: Na khuchaka inyanga olo siduyu nende ifisi byakosana. T: Na tangu hiyo siku sungura na fisi wakakosa. O: Sakira ololanga siduyu nisilola ifisi sirukhunga khuchia khuefisa. T: Ndio maana sungura akimuona fisi hukumbia kujificha. O: Na elo niluo elukano lwange sya ifisi nende suduyu. T: Na hii ndio hadithi yangu ya fisi na sungura. O: MHANA WE THISHIDA. T: MSICHANA MWENYE SHIDA O: Khare khwarithingi nende mhana mlala ulangwa mbu siakhaya. Mhana uno yarithingi mhana wajama husoma. Lakini yarithingi nende ishida ishida ndala khlwohuvera vevusi vaye vafwa mu ajali nano adong'anga sa yenyene. T: Zamani kulikuwa na msichana mmoja jina lake Siakhaya. Msichana huyu alikuwa msichana aliyependa kusoma. Lakini alikuwa na shida moja kwa sababu wazazi wake waliaga dunia kwa ajali akabaki pekee yake. O: Inyumba yaye yarithingi nende ishida ihongo sana kwani, mbolanga mbu muhana oyo yasandanga. Siakhaya yarithingi mwevusi handi ni viula mu husoma rehana sa ninaye. Ni vafunga sikuli Siakhaya yakholanga ikasi nende thibiashara thindidi ndidi mpaka anyole schoolfees. T: Nyumba yake ilikua na shida kubwa sana. Kumaanisha, msichana alikuwa anapitia mateso mengi. Siakhaya alikuwa kama mzazi na tena ikifika wakati wa kusoma alikuwa habaatishi. Shule zikifungwa Siakhaya alikuwa anafanya kazi na biashara ndogo ndogo ili kumuwezesha kupata karo ya shule. O: Siakhaya yekasa yola sa mu class eight skulifees ya khaya yachaka husanda nende hukonya mndu unyala humuhonya. Mhana uno muholiday yathia humenyaho nende kuhunyene. Kukhu oyo yavola mbari Siakhaya alasomera eyo mpaka amale sikuli. T: Siakhaya alijikaza akafika kwenye darasa la nane karo ikawa nadra kwake kupata akaanza kuhangaika akimtafuta mtu mwenye uwezo wa kumsaidia. Msichana huyu wakati wa likizo alienda kuishi na nyanya yake. Nyanya yake huyo akasema kwamba Siakhaya atasomea huko mpaka amalize shule. O: Kukhunyene yaamua huira Siakhaya musikuli yendelee nende masomo kaye. Siakhaya yakholere class eight handi sa yavirire vilayi yalaangwa mu sikuli sikhongo. Kukhunyene Siakhaya mapesa kari nako sikaera Siakhaya khutsia msikuli. T: Nyanya yake aliamua kumpeleka Siakhaya shuleni ili aendelee na masomo yake. Siakhaya akafanya mtihani wa darasa la nane akapita vizuri na akaitwa kwa shule kubwa. Nyanya yake Siakhaya pesa aliyonayo haimwezeshi Siakhaya kwenda shuleni. O: Vakonyere sa mapesa na yaathia mu skuli siri nende skuli fisi yaa asi. Siakhaya yorere sa mu fomu 2 handi kuhunyene yafwa. Lano avula khumukhonya na ni nyasaye yeng’ene. Siakhaya yaririre lakini avula ounyala khumuhonya da. T: Walitafuta pesa akaenda shule ya upili iliyo na karo ya chini. Siakhaya amefika kidato cha pili nyanya yake pia akaaga dunia. Sasa amebaki bila yeyote wa kumsaidia ila mwenyezi mungu pekee. Siakhaya Amelia akitaka usaidizi lakini hakuna aliye tayari kumsaidia. O: Siakhaya yaamue hudropa mu sikuli nari muform 2. T: Siakhaya akaamua kuacha shule akiwa kwenye kidato cha pili. O: MWITSA WA NDAMJAMA. T: RAFIKI NINAYE MPENDA. O: Mwitsa wa ndamujama alangwa Joan. T: Rafiki ninaye mpenda anaitwa Joan. O: Mwitsa wange oyo huwathakana nihusiri mu nasari. T: Urafiki wetu ulianza tukiwa shule ya chekechea. O: Huari khuajamana mpaka bandu babulanga ati khurimakhuana. T: Tulikuwa tumependana hadi watu wakasema sisi ni mapacha. O: Lakini khuarithingi sa bubatsa buhaya. T: Lakini ulikuwa tu uongo. O: Mwitsa wange oyendio khuwakhonyananga burisinduna khuwakholanga bindu khulala. T: Tulikuwa tunafanyia mambo yetu pamoja na kusaidiana kila kitu. O: Mwitsawange oyendio abetsanga mulafu kama riuba, khuarithingi nende bujamani mpaka husiri khubetsanga ninabwo. T: Huyo Rafiki yangu mweupe kama mwangaza, tulikuwanga na upendo na tena bado tunao. O: Mhana oyendio yarinende mima milai kabisa. T: Huyo msichana alikuwa na tabia nzuri sana. O: Mima kiae milai ekiendio yantsekesia mpaka yakera balimu musikuli barumanya hubera hubira marebo nende emima milai musikuli silamba. Khubera bima bilai siniburumwa dawe. T: Hiyo tabia yake nzuri alinifunza hadi akafanya walimu kwa shule wakatujua kwa sababu ya kupita mtihani na tabia nzuri katika shule yote. O: Khubera bima bilai siniburumwa dawe. T: Kwa sababu heshima si utumwa. O: Nda mjama mwitsa wange oyendio sana. T: Nampenda sana huyo rafiki wangu O: INYANGA YA NDALAKHEVIRIRE MUVULAMU VWANGE. T: SIKU SITAWAHI SAHAU MAISHANI MWANGU O: Jumamosi ndarula msikuli ninzia mdala. T: Siku ya Jumamosi nilitoka shule nikienda nyumbani. O: Nga ndola mdala ndanyola bandu nibetsule mlwanyi lwefwe. T: Nilipofika nyumbani niliwapata wtu wamejaa kwa kiwanja chetu. O: Ndengira mnyumba ninyola mukhana wefwe nalira, nindereba sina sitsiririranga. T: Niliingia kwa nikampata dada yangu akilia, nikajiuliza ni nini kinacho endelea. O: Mkhana wefwe nambolera mbu mama nende baba vanyolere ajali nibarula Murumba khukula isukari. T: Dadangu aliniambia kwamba mama na baba wamepata ajali wakitoka Murumba kununua sukari. O: Nga babere nibakalukha bakwire nende imutoka. T: Walipokuwa wakirudi walianguka na gari. O: Baba murwe kwadikhe sa akari mama nae lubere luadikhe ludong'ere khu lami. T: Baba alipasuka kichwa katikati naye mama titi lilikatika likabaki kwa barabara. O: Nga ndavulira endio mani kambwa nindong'a sa ninyemere. T: Niliposkia hivyo nguvu ziliniishia nikabaki nikiwa nimesimama. O: Masika kedikha nga matsi ka mtaro. T: Machozi yalinitiririka kama maji ya mfreji. O: Khu ndali siringi ndalola imutoka niitsa mdala nderukha khulinga mbu ni wina ulimo. T: Nilivyokuwa nalia niliona gari likija kwa boma nikakimbia kuona ni nani aliyekuwemo. O: Ndanyola bebusi bange nibabarerekho tsibandeji buli abundu. T: Niliwapata wazazi wangu wakiwa wamefungwa bandeji kila sehemu. O: Vavakinga nivavengisia mnyumba, mama lakini yali alomalomakho lakini baba siyalomalomakho kata kidogo. T: Walibebwa wakiingizwa kwa nyumba, mama alikuwa anaongea lakini baba hamgeweza kuonge. O: Jumatatu ndatsia msikuli nga kawaida nindakalukha mdala ndanyola bandu nibalira. T: Siku ya Jumatatu nilienda shuleni kama kawaida nikarudi nyumbani nikapata watu wakilia. O: Nderukha khulinga baba lakini sindamnyola da, bandu bambolera mbu baba amalire khufwa. T: Nilikimbia kuenda kumwona baba yangu lakini sikumpata, watu waliniambia baba ameaaga dunia. O: Ndari nende isauti ikhongo kata yakhasingisie avafu vakende. T: Nililia kwa sauti kubwa hata ingeweza kuwaamsha waafu. O: Baba bamugama nibamusikha lakini byali sisa muno. T: Walimleta baba wakamzika lakini ilikuwa inahuzunisha sana. O: Sindakhevirire mpaka nyanga lwa ndakhafwire. T: Siwezi sahau hadi siku nitakapoaga dunia. O: KHUBERA SINA BANDU BARITSANGA IMONDO. T: KWA NINI WATU HUKULA FIRIGISI. O: Imondo neshindu shinyorekhananga mungokho. T: Firigisi ni sehemu inayopatikana ndani ya kuku. O: Shindu shino sichinga’nga obuchafu buwa ingokho lakini neshindu shingwana sana handi siyenyanga omundu wamanya khushikasiya ebilai khushikholekhane kuba eshindu shilai. T: Hii kitu hebeba uchafu wa kuku lakini kina hadhi sana na tena huhitaji mtu anayejua kukianda vyema ndio kiweze kuwa kizuri. O: Handi bienyakhananga booesie nende amatsi amalafu mpaka shilabe thwe. T: Na tena huhutajika kuoshwa na maji safi hadi king’are. O: Imondo shibetsanga shitorotoro sana kwanza nishinyola obusuma wikura mpaka ochake khukona khubwene. T: Firigisi huwa nyepesi sana na kikipata mlo wa ugali mtu hushiba sana akaweza kulala. O: Khuri nende abandu bakorwa obutamu bwa ingokho bubetsanga yena, lakini benya bamanye obutamu bwa ingokho bubetsanga muimondo. T: Kuna wale watu wasiojua utamu wa kuku hukuwa wapi, lakini wanafaa kujua kuwa utamu wa kuku hukuwa kwa firigisi. O: Esieo nishikiranga abaluhya bachama okhuria ingokho. T: Hicho ndicho kinafanya waluhya wakapende kukula kuku. O: Kata shikiranga erisimba niritira ingokho rienyanga khuria imondo eyo handi khubole imondo bila mungokho si ne ingokho taa. T: Hata hufanya mwewe ushike kuku ili kukula tu firigisi na tuseme tena kuku bila firigisi si kuku. O: Imondo niyamundu mulala handi shibakabananga tawe. T: Firigisi ni mtu mmoja pekee na tena huwa haigawanwi. O: Bienyekhananga omundu mulala khiria khubera neshindu shitorotoro handi neshititi mno. T: Hutakikana kuliwa na mtu mmoja kwa maana ni kitu nyepesi na kadogo sana. O: Yesiye ndachama okhuria ingokho hubera ibetsanga nende shindu shingwana shilagwangwa imondo, shindu shitorotoro. T: Mimi hupenda kuikula kuku kwa maana hukuwa na kitu cha hadhi kinaichoitwa firigisi, kitu nyepesi. O: MALORO KA MAKANA. T: NDOTO YA AJABU. O: Nyanga ndala ndamenya mudala nende kuka wange, kuka oyo yari yahera mno. T: Siku moja niliishi kwa boma na babu yangu, huyo babu yangu alikuwa ananipenda sana. O: Siyenyanga da ndule nthie awosiwosi da, siesi ndari ndamuhera mno hubera yari kuka mulayi khandi siyari da wamakhuwa mangi. T: Hakuwa anataka nitoke niende popote, nami pia nilikuwa nampenda sana kwa maana alikuwa babu mzuri na tena hakuwa wa maneno mengi. O: Kando nende awo, yari mukhongo wa madala kari awo kosi. T: Kanda na hayo, alikuwa kiongozi wa maboma yaliyokuwa hapo yote. O: Na burimundu yari yamukhera khubira shikero, kuka oyo yari wa luyari khuburimundu, abe mdidi kose mkhongo. T: Na kila mtu alikuwa anampenda sana, huyo babu alikuwa na hadhi kwa kila mtu iwe ni mdogo au mkubwa. O: Abandu bosi mumadala bari bamuua siribuwa. T: Kila mtu kwa boma alikuwa amempa heshima. O: Nyanga ndi ndeyarisie mubuyarisio bwange ni maloro kanthitsira amabi sana. Yari mbu likhere rindumire khubweni ndaruma khurula khusitanda nimba na marithake nishirwa sia khukola. T: Siku nyingine nilijilaza kwa malazi yangu na nikawa na ndoto na mbaya sana. Ndoto yenyewe ilikuwa kuwa chura amenirukia kwenye uso na hivyo basi nikaliruka kutoka kitandani nikiwa nimeshindwa cha kufanya. O: Ndakhuba thimbungu thiamakana bandu bosi mnyumba besundukha sibere ni sina. T: Nilipiga mayoe watu wote kwa nyumba wakashtuka ni nini kimefanyika. O: Badirwa nende luyabaaba ni bereba mbu ni sina, ningalusia mkhonye sindu sino singwire mubweni. T: Walishikwa na wasi wasi wakiwa wanauliza ni nini kimefanyika, nikawaambia wanisaidie kuna kitu kimenirukia kwa uso. O: Ngabetsa amani kosi kari kambwerere, batema khukhosia si balola sindu siosi siosi khaba, khane ndari mumaloro batema khundeba sibi ni sina. T: Walipokuja nguvu pia zilikuwz zimeniishia, wakajaribu kumulika hawakuweza kuona kitu chochote, waliponiuliza ni nini kimefanyika nikawaeleza nilikuwa naota. O: Ningalusia rikhere rimanyirenge ombweni nindema khuhuya ni liruka aundi, khurula awo ndechenjia akhuweyarisia. T: Nikasema chura alikuwa ananigwara kwenye uso nikajaribu kujaribu kumpiga akaruka hadi kwingine, kutokea hapo nikabadilisha pahali pa kujilaza. O: OBULUAYE BWA KORONA. T: UGONJWA WA KORONA. O: Iriyo iyanga huachia msikuli ichuli sana nende mapema na nikhusiringi, khualola banabe sikuli ba aina nibabira khubipikipiki nikhushirwa khumanya sina sitsiriranga!! T: Kuna siku tulienda shule asubuhi na mapema na kwa ghafla, tuliona wanafuzi wa shule mbali mbali wakipita wakiwa wamebebwa kwenye pikipiki tukashindwa kujua ni nini kinaendelea!! O: Lakini baada ya biha fulani omusomesia mhongo wa sikuli yecha nakhubolala “Khupake bindu biefu byosite khukalukhe mmadala kefwe.” T: Lakini baada ya muda fulani mwalimu mkuu wa shule alikuja akatuambia, “Mkusanye vitu zenu zote mrejee kwa maboma yenu.” O: Khuashirwa khumanya sitsiriranga nesi!! Khuamala nikhupaka vindu byefu vyosi. T: Tulishindwa kujua kilicho kuwa kinaendelea, tulikusanya vitu zetu zote. O: Nalubolera baluo bulwaye bulire bwa korona na bumala bandu khalano serikali nende mhongo wa masomo balusiye amri bana bakalukhe mmadala. T: Akatueleza kuwa kuna ugonjwa wa korona umewasili na unawaua watu na hivyo basi serikali na mkuu wa elimu wametoa amri kwama wanafunzi warejee nyumbani kwao. O: Bwadodo bwa bwene khuakalukha nikhuombolesa hubole kali ni majabu nyanga eyo. T: Kwa ukweli tulirudi nyumbani tukiomboleza maajabu ya hiyo siku. O: Khuekhala mbikuli biyefwe lakini siandire siandire sa. T: Tuliketi katika shule zetu lakini yameshidikana. O: Yola iyanga tsikanisa nitsifungwa nikhudonga khushirwa buno ni bulwaye si. T: Iliwadia siku kanisa zikafungwa tukabung’aa tukishindwa kujua huu ni ugonjwa upi. O: Maisha ketsa nikaba matinyu, burisindu nisinina bukusi kata bali na nibaandikirwe muofisi bafutwa tsikasi. Na bulii bulwaye bwa khurusia sana. T: Hali ya maisha ilikuja ikawa ngumu, bei ya kila bidhaa ikawa ghali na hata wale waliokuwa wameajiriwa kwenye ofisi walipigwa kalamu. O: Na bulii bulwaye bwa khurisia sana. T: Na kila ugonjwa ukatuogopesha sana. O: Kata tsisalamu nibakhaya bandu bala khesiana dawe. Abandu balalamika sana humaisha khabalimo. T: Hata wakaweka marufuku watu kusamiana kwa mikono. Watu walilalamika sana kwa hali ya maisha walikuwemo. O: Khuehala mmadala kefu zaidi ya miosi tisa bila hukhalukha msikuli ama hutangasia sindu siosi siosi. T: Tulikaa nyumbani kwa zaidi ya miezi tisa bila ya kurejea shuleni na hata bila kuskia taarifa zozote kuhusiana na kurudi shule. O: Obulwaye obwo bwecha nibupunguka lano nibabola bana benyehana bahole marebo ka mwaka bakalukhe mubikuli biabwe. T: Huo ugonjwa ulipungua na ikasemekana kwamba wanafunzi wanafaa kuufanya mtihani wa mwisho wa mwaka hivyo basi warejee kwa shule zao. O: Bahana baangi baadira mabanga kabalari ni bategemeye. T: Wasichana walizipata mimba wasizokuwa wametegemea. O: Mwika okwo tsishida tsiari tsiingi mshialo shia Kenya. T: Huo mwaka shida zilikuwa mingi nchini Kenya. O: Lakini mkosi kwalekhera Were, niye mlongi wa bulisindu msialo sino. T: Lakini kwa yote tulimwachia Mungu, yeye ndie muumba wa kila kitu duniani. O: ESKULI SIEFWE T: SHULE YETU O: Skuli siefwe silangwa mtakatifu Petero Sirikhaya. Ndakhera skuli siefwe, siri nende balimu amakhumi karano nende vasomero elefu ndala nende mia tsirano. T: Shule yetu inaitwa mtakatifu Petero Sirikhaya. Naipenda shule yetu, iko na walimu hamsini na wanafunzi elfu moja n amia tano. O: Sili nende tsikilasi ehumi nende tsirano. T: Iko na madarasa kumi na tano. O: Tsikilasi tsiefwe tsili nende abana mahumi karano. Khuvana bosi, esie mbukulanga inamba hadaru ndemanga khuva namba ndala lakini sinyolanga da. T: Madarasa yetu yana wanafunzi hamsini. Kwa wanafunzi wote, mimi hukuwa nambari ya tatu kwenye mtihani, huwa najaribu niwe nambari ya kwanza lakini huwa sipati. O: Tsinyanga tsitsa nyenyanga mpaka nyole namba ndala. T: Siku zizajazo nataka unipate nikiwa katika nafasi ya kwanza. O: Balimu befwe baholanga mani mbwe hube namba ndala, balimu bari nende mani ka huekesia baana. Abana bosi baholanga mani mbu babe namba ndala. T: Walimu wetu hutia bidii ili tuwe nafasi ya kwanza, walimu wako na bidi ya kufunza. Wanafunzi wote pia walikuwa wanatia bidi wakuwe katika nafasi O: Nokhera hukona msikulu olaba namba inyuma. T: Ukipenda kulala utakuwa wa mwisho. O: Balimu ni vagama marebo, abana bangi banyolanga tsigredi A esie nindimo. Balimu baberesanianga izawadi hubaana bakholere bilai marebo. T: Walimu wakileta mtihani, wanafunzi hupata alama za A mimi pia nikiwemo. Walimu walikuwa wanapeana zawadi kwa wanafunzi waliofanya mtihani vyema. O: Esie ndi khukalukha mdala nende bindu bingi. Mbetsanga nende busangafu. T: Mimi nikirudi nyumbani huwa nakuwa na vitu vingi. Nakuwanga na furaha. O: SIDUYU SIA TSISHIDA. T: SUNGURA MWENYE SHIDA. O: Khale khale kwalio nende siduyu silangwa mbu Topi. Siduyu sinosiamenyanga musino ni siari siahera khutsitsanga okhwekonyera viakhulia. T: Hapo awali kulikuwepo na sungura iliyeitwa Topi. Huyu sungura aliishi kwa kichaka na alikuwa anapenda kuenda kujitafutia chakula. O: Inyanga ndala siduyu hulira lindi topi siatsia musino hukendakendaho. Nga khakenda khola abundu nisiema nikhakingula sirwi siaio ekulu. T: Siku moja sungura kwa jina Topi alienda kwa kichaka matembezi. Alipokuwa anatembea alifika mahali akasimama na kutega sikio. O: Nikhachaka khuringa buri abundu. Nikhakholola alafu kheyaka tsimoni tsiakho Topi khalola sindu nihamira mare. T: Akaanza kutazama kila pande. Alipoona kitu alimezea mate. O: Khachaka khusida ambi kala nikharire mbu hari khasiri khumanya nisina. Khane likhene liali liekisire inyuma ya likina. T: Alisongea karibu pole pole akiwa na uoga asipojua ni nini. Kumbe nyani alikuwa amejificha nyuma ya jiwe. O: Nakho siduyu (Topi) nga khasida khalola madimwa nende tsisala alala nikabungikhwe. Topi yachaka khuekomba huria madimwa. Lakini sisiamanya mbu oko ni mreko kwa lihene. T: Naye sungura(Topi) aliposonga aliona maindi na na kuni zikiwa zimepangwa. Topi alianza kutamani kukula maindi. Lakini hakujua kuwa huo ulikuwa mtego wa nyani. O: Topi ngalwa yadira madimwa karia mreko kwamdira mkoe kwario nikumuboya mihono. Likhene nilisangaala nilimrusia siduyu khu mreko. T: Vile topi aliposhika yale maindi, mtego ulimshika Kamba ikamfunga mikono. Nyani akafurahia akamnasua sungura kwa mtego. O: Topi yarira nakonya bukhonyi. Lakini likhene liamkinga siduyu mpaka mdala mwae. Yola muhabanda kha tsinjugu. T: Topi alilia akitafuta usaidizi. Lakini nyani alimbeba sungura hadi nyumbani kwake. Alifika kwa kibanda cha njugu. O: Topi khachaka khumenena tsinjugu thiosi mana nikhamala. Nga likhene liola khusibanda nikhalola buri. Khadira siduyu nikhasinza mana nikhadeha nikhalia. T: Topi alianza kuzikula njugu hadi akazimaliza. Nyani alipofika kwa kibanda, sumgura alipatwa na uoga. Alishika sungura akamchinja na akamla. O: OBUKHONYIBWE MISALA T: MATUMIZI YA MITI O: Omusala nomumera omurambi okunyala khumenya tsindato tsinyingi T: Mti ni mmea mrefu ambao huweza kuishi kwa miaka mingi O: Omusala kuli nende obukhonyi khubandu nende okhukasia ebindu bia tsimbao kubunji emisala kirwetsanga ebitabo nende emiuya kia khuyeranga. T: mti unamatumizi mengi sana kwa binadamu. Miti hutumika katika ujenzi wa nyumba ,miti pia hutumika katika kutengeneza vitu vya dhamana kama vile meza, viti na vitanda. Miti pia hutumika katika kutengeneza vitabu viwandani na pia huleta hewa ambayo tunapumua O: Emisala kiekariranga omuyaka nende omukhula kwa matsi T: Miti huzuia upepo na mafuriko hufanya hivyo kwa kupitia mmomonyoko wa udongo O: Kikholanga kirio nikiekhonyera emisi kiakudisia riloba alala. Riloba ria akulu ribetsanga riangu T: Hufanya hivyo kwa kutumia mizizi ya kuweka udongo pamoja O: Riloba ria akulu ribetsanga riangu T: Udongo wa juu huwa mwepesi sana O: khukwesua nende amatsi komukhula. Khalano bienyekhana buli mundu arake emisala mulukongo. T: kuvutwa na maji ya mafuriko kwa hivyo ni jukumu kwa kila mtu kupanda miti katika jamii yake. O: Khandi emisala kiekariranga omuyaka khufunaka ebindu T: Miti pia huzuia upepo kuvunja vitu O: Bikhavindi omuyaka nikuitsa ebidinyu kunyasianga biakhulia bia abandu T: wakati mwingine unapokuja ule mkali huaribu vyakula vya watu. O: Kuiyaka emimera nende khukwisia tsinyumba. T: Huvunja mimea na pia huangusha nyumba O: Biekholanga mtsingongo tsibula emisala. T: hali hii hufanyika katika jamii ambapo haina miti. O: Emisala kikhonyanga khuveresania embolera khuliroba khulwa amasafu nikakwa asi nikabolera khuliloba. T: T.Miti pia hutumika katika kuongeza rutuba kwenye udongo wakati ambapo matawi yake huanguka chini na kuanza kuoza kisha kuozea kwa udongo. O: Emisala kindi misii kiako nemisala kwa okhunywa kata amasafu kaoningia amalwale kandi humubili T: T. Miti zingine mizizi yake hutumika kama dawa ya kunywa na hata pia matawi yake pia hutumika kama Dawa ya kulea magonjwa tofautitofauti mwilini O: Biakhulia bindi bilura khumusala nga amachungwa nende ebiamo bindi. T: Vyalula vingi hutoka kwenye miti kama vile machungwa na mimea zinginezo O: Emisala nikili alala kikasikia esitsakha T: Miti zikiwa pamoja hutengeneza kichaka. O: sitsakha sikhonyanga tsisolo tsiefwe amayoni kandi kaombokhanga khumisala mumasaga kakio. T: Kichaka husaidia wanyama wetu ndege wengine hujenga kwa miti kwa matawi yazo. O: Tsisolo etsio tsireranga abacheni khulura elwanyi lwa kwenya khulera amang’ondo T: Wanyama hao huleta wageni kutoka nje ya Kenya kuleta pesa. O: Misala kiekhonyeranga mutsingira tsinyingi khandi sikhunyala okhumenya nikhubula emisala khaba. T: Miti hutumika katika njia mingi tena hatuwezi kuishi bila miti kamwe O: Khukhoyere khukhole amani khokhulinda emisala. T: Tunafaa kufanya bidi ya kulinda miti O: OBUKHONYIBWEMISALA. T: UMANUFAA WA MITI O: Omusala nomumera omurambi okunyala khumenya tsindalo tsinyingi. T: Mti ni mmea mrefu ambao unaweza ishi kwa muda mwingi sana. O: Omusala kulinende obukhonyi khubandu. T: Mti unafaa kwa wanadamu. O: Omusala kwekhonyerwanga kwimbakha tsinyumba, amaaro nende hukasia ebindu biesimbao. T: Mti hutumika kejenga nyumba, mashua na kutumika pia kutengeneza raslimali za mbao. O: Khubandi emisala kirwetsanga ebitabo nende emiuya ekiakhuyeranga. T: Kwa wengine miti hutupea vitabu pamoja na hewa tunayoipumua. O: Emisala kikaliranga omuyaka nende omukhula kwa matsi. T: Miti huzui upepo na umomonyoko wa maji. O: Kikholanga kirio nikiekhonyera emisi kiakudisia riloba alala. T: Hufanya hivyo kutumia mizizi kukusanya udongo pamoja. O: Riloba liakulu libetsanga liangu khukwesusa nende amaatsi komukhula. T: Udongo wa juu hukuwa mwepesi kubebwa na mmomonyoko wa udongo. O: Khalano bienyekha bulimundu arake emisala mulukongo. T: Kwa hivyo inatakikana kila mtu apande miti katika kijiji. O: Khandi emisala kikaliranga omuyaka khufunaka ebiindu. T: Pia miti huzui upepo kuvunja vitu. O: Bikhabiindi omuyaka nikuiitsa ebidinyu kunyasianga biakhulia biabandu. T: Wakati mwingine upepo ukija kwa nguvu huharibu mimea ya watu kwa shamba. O: Kwiyaka emimera nende khukwisia tsinyumba, biekholanga mutsingongo tsibula emisala. T: Kung’ooka kwa mimea na kuvunjwa kwa nyumba, hufanyika katika vijiji visivyokuwa na miti. O: Emisala kikhonyanga kuberesania imbolera khuriloba khulwaamasafu nikakwaasi nikabolera khwiloba. T: Miti husaidia kupeana mbolea kwa udongo kwa vile matawi yanapo anguka kwa udongo nakuoza. O: Emisala kindi misikiako nomusaala kwokhunywa ata amasafu kaoningia amalwaye kandi. T: Miti zingine huwa na mizizi ambayo ni dawa ya kutibu baadhi ya maradhi. O: Biakhuria bindu birwa khumisala, kama amachungua nende eviamo bindi. T: Vyakula vingine hutoka kwa miti kama vile machungwa na matundo mengine. O: Emisala nikilialala kikasingia sitsakha, sitsakha sikonyanga tsisolo tsiefwe, amayoni kandi koombakhanga khumisala khumasagakakio. T: Miti zikiwa pamoja huunda kichaka, kichaka husaidia wanyama wetu, ndege pia hujanga viota kwenywe miti. O: Tsisolo etsie tsirenga abacheni khurula rwanyi wa Kenya khulera amapesa. T: Hao wanyama pori huleta watalii kutoka nchi za ugeni wakija Kenya kuleta pesa. O: Misala kiekhunyerwanga mutsingira tsinyingi, khandi sikhunyala khumenya nikhubula emisala khaba. T: Miti hutumika kwa njia mingi sana, na hatuwezi ishi bila miti. O: Khukhoyere khukholeamani kokhulinda emisala. T: Tunafaa tutie bidii tuitunze miti. O: OLUKANO KHULONDANA NENDE OBULWALE BWA KORONA. T: HADITHI KUTOKANA NA UGONJWA WA KORONA O: Kwali omwaka kwa tsielifu tsibiri nende ekhumi na musafu, ewa sialo silamba siali nende okhwesundukha khu madinyu kasinyoola ko bulwale. T: Ilikuwa ni mwaka wa elfu mbili na ishirini, ambapo dunia mzima ilipigwa na butwaa kutokana na ugonjwa mkuu ulioibuka O: Korona buno bwachakira musialo sia Buchina. T: Hii Korona ilianzia kule nchini China O: Ngalwahwari khusiri khurekere marwi mutsiredio, mutsisimu nende mutsitibi ni ketsamo amacheni musialo mbu korona bulire Kenya wefwe eno!! T: Tulipokuwa bado tumetega sikio kwenye radio, simu za rununu na kwenye televisheni, mapya yaliyojiri kwenye dunia ni kwamba ugonjwa wa Korona ulikuwa umewasili hapa kwetu Kenya!! O: Nano omuruchi wesialo sia Kenya yaamua okhurusia omulango mbu amalwale makhongo keikhoma yesirifu, koolere msialo siefwe sino. T: Hivyo basi rais wa jamhuri ya Kenya aliamua kutoa habari kwamba ugonjwa sugu wa homa ya kifua umewasili katika nchi yetu. O: Lano ebikuli, mutsikanisa, viiro, tsibaa nende mutsiarusi na masabo koosi kemibwa. T: Hivyo basi shule, kanisa, soko, baa, harusi na mila za kitamaduni zote zikapigwa marufuku. O: Lano khwachaka okhuelinda nende bindu bio khuedimbia minua nende khwikhala ale nende wasio, naye eno bandu bafwa mubunji. Khulatsire yena bayiee!! T: Tukaanza kujikinga na barakoa na kutokaribiana na mtu, huku watu nao wakiwa wanaaga dunia kwa wingi. Tutaenda wapi jameni!! O: Elia mubasungu abali America bafwitsanga elefu nende tsimia khunyanga. T: Kule wazungu waliokuwa America waliaga elfu na mamia kwa siku. O: Kata isaino korona bwakira sialo siefwe siabiya, khula isaino bafunga abulao okhuchenda khuu masaa kesiro. T: Hata sasa hivi Korona ilifanya dunia yetu ikazorota, kufikia sasa walipiga marufuku hakuna anae tembea saa za usiku. O: Khukorwa buchumi bwefwe ni bulikalukha nga bwalitsingi khale. T: Hatufahamu iwapo uchumi wetu utarejea jinsi ulivyokuwa hapo awali. O: Nyasaye akhonye sialo sia Kenya nende Busia yefwe Korona bulekhe khuulayo. khulindwe na mani ka Nyasaye. Amina. T: Mungu asaidie nchi yetu ya Kenya Pamoja na Busia yetu ili Korona isiji ikafika huko. O: Khulindwe na mani ka Nyasaye. Amina. T: Tulindwe na nguvu zake Maulana. Amina O: BULWAYE BWA KORONA. T: UGONJWA WA KORONA. O: Bulwaye bwa korona bwachakira Wahun China mwaka kwa 2019 mwosi kwa disemba. T: Ugonjwa wa korona ulianzia kule Wahun China mnamo mwaka wa 2019 mwezi wa Desemba. O: Bwachaka sa nga mubayo. Bwaluraga khu mundu mulala mpaka undi khuvirira mavoo. T: Ulianza ghafla bila matarajio. Ulikuwa unajisambaza kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa njia ya hewa. O: Buno bwachaka khukenda khu tsi kaunti thindi tsiosi. T: Huu ulianza kusambaa kwa majimbo yote. O: Kenya yanyola ikesi yamberi mwika kwa 2020, bulimundu yatangasiribwanga khuepuka nde bulwaye ovo. T: Kenya ilipata kisa cha kwanza mnamo mwaka wa 2020, kila mtu alitafiwa kujiepusha na ugonjwa huo. O: Bandu bakhoywa khuikhala imita ndala ndi inusu halala nende khufwala tsimaski. Bandu bakhoere basabe nde khuekhonyera sanitizer. T: Watu walitakiwa kuzingatia mita moja na nusu wanapokuwa pamoja na pia kuvaa barakoa. Pia watu walitakiwa kunawa mikono kutumia kiyeyushi. O: Tarehe kumi na tano, mwosi kwa khudaru mwaka kwa 2020 khulakumbukwa nde bana besikuli. T: Tarehe kumi na tano mwezi wa tatu mnamo mwaka wa 2020 utakumbukwa na wanafuzi. O: Nyanga olo bikuli byafungwa bya ipraimari nende bya isekondari. T: Hiyo siku shule za msingi na za upili zilifungwa. O: Bana bakalukha mu madala khurinda angalau bupungukhekho. T: Wanafunzi walirejea nyumbani kusubiri angalau maradhi yapungue. O: Bindu viindi byosi byafungwa. Tsikanisa, tsibaa, tsikoledgi, tsiunibasiti nde biro. T: Vitu zote zilifungwa. Makanisa, baa, vyuo vikuu na soko. O: Bino byosi viekhorekha ili khupungusia bulwaye buno. Mabadiliko kosi kosi kari kaumao ka khuepuka ka bulwaye buno. T: Hivi vyote vilifanyika ili kupunguza kunea kwa ugonjwa huu. Hakuwepo na mabadiliko yoyote ya kuepuka huu ugonjwa. O: Tsisibutali thyetsula balwaye a korona sa vong’one. T: Hospitali ziijaa wagonjwa wa korona pekee. O: Misaada kyosi kiaendelea khukonywa ili bulwaye buno bubwe. Lakini misala kyakosekana. T: Misaada pia iliendelea kutafutwa ili huu ugonjwa uiishe. Lakini dawa ilikosekana O: Vipimo bya khupima korona bya gamwa khulura China ili khokhonya khumanya mundu uri nabwo nde ulari nabwo. T: Vifaa vya kupima korona vililetwa kutoka nchini China ili kusaidia kutambua mtu aliye na korona na yule asiyekuwa nayo. O: Khwari nende mundu mulala khurula mulukongo lwa bandu ba Nyasaye. T: Kulikuwa na mtu mmoja kutoka kijiji cha watu wa Mungu. O: Naye siyari da nende omuoyo mulayi, yakhera khusumbua bandu nende khubanyeka na khandi yari nende sikharikhari. T: Naye hakuwa na roho safi, alipenda kusumbua watu na kuwatusi na pia alikuwa na wivu. O: Elukongo lwa madharau, elukongo si lwa mhera da na khandi ba msuila sana. T: Kijiji cha madharau, kijiji hakikumpenda na tena walimchukia sana O: Khalano si balomalomanga ni naye dawe, yari nende mukhasi wa mnua naye ya khera khugonganisia vakhasi mulukongo. T: Hivyo sasa hawamwongeleshi, na alikuwa na mke mwenye domo naye alipenda kuleta mzozo kati ya wanawake katika kijiji O: Sijiji eso sia bamchukia sana mpaka bathia husikao na bajadiliana kwa bandu abo baamua khuverusia mulukongo olo bathie khu mukuru wa elukongo olo niba mubolela. T: Kijiji hicho kilimchukia sana hadi wakaenda kuanda kikao na wakajadiliana kwamba hao watu wafrushwe kutoka hicho kijiji, wakaenda kwa mzee wa kijiji hicho kumtaarif O: Lakini mukuru yakhaya khubera mbu oyo ni msiani waye. T: Lakini mzee wa kijii alikataa kwa maana huyo alikuwa mtoto wake mvulana O: Lakini bandu sibamanya da, bambolela mbu amuirsie. T: Lakini watu hawakutaka kujua hilo, walimwambia amfrushe. O: Lakini yakhaya, bandu balira amuirusie lakini sa abaulira da. T: Lakini alikataa, watu wakalia amfrushe lakini hawaskizi. O: Inyanga indi mukuru oyo yali abira ni anyola mbu mwana waye yeva indalo yaundi. T: Siku nyingine mzee wa kijiji alikuwa anapita akapata kwamba mwanawe anaiba kwenye shamba la wenyewe. O: Naye amlanga na athia, msiani yaborera mukuru mbu amlehe nende maisha kaye akhole vyakhola. T: Akamwita yule kijana akaja, kijana akawambia yule mzee wa kijiji amwache yeye na maisha yake afanye anayoyafanya O: Mbukula bikha bino khuandika ibarua khulwa khusaba esilekhelo. T: Nachukua huu nafasi kukuandikia huu waraka kwa ajili ya kukuomba msamaha O: Manyile mbu ndakhukosela ebibi. T: Najua kwamba nilikukosea vibaya. O: Esiakela nikhusamba nende matsi kaire ni khuulira amakhuwa ka bandu. T: Kilichofanya nikakuchoma na maji moto ni vile nilipata ujumbe kutoka kwa watu. O: Nyina mwana Wepekhulu nie waangamila bubatsa. T: Mama ya Wepekhulu ndie alinilete uongo. O: Yasungila mbu walera omukhasi muunzu mwaye. T: Aliniambia kuwa ulileta mke kwa nyumba yake. O: Likhuwa elo liasinyisia mwoyo kwange mana nisinyikha. T: Haya maneno yalinikera mwoyo sana O: Khalano omusatsa wange esie khukhutsina nende matsi kaire biarulana nende amakhuwa ako. Esie khwitsa khumanya hane biari bia bubatsa. T: Kwa hivyo bwanabgu mimi kukuchoma na maji moto ni kutokana na haya maneno. Mimi kukuja ukweli kumbe ulikuwa uongo. O: Khalano omusatsa wange skama imbeli wao nikhusaba esilekhelo. T: Kwa hivyo bwanangu mimi napia magoti mbele yako nikuomba msamakha O: Sindalakaluhilamo dawe, ndekhele sa mana nzitse ili khulele abana befwe. T: Sitarudia tena, nisamehe na unikubalie nirudi tulee watoto wetu. O: Niimbara wakharula amasika kaandonya sa mutsimoni. T: Nikiweza machozi hunitirika tu O: Khulwa ako ndehale sa sindalakalukhiramo dawe. T: Kutokana na hayo sitarudia tena O: Khurula khumukhasi wao, T: Kutoka kwa bibiye, O: ISAFARI EYOKHUTSIA KHUBEBUSI BANGE MOMBASA. T: SAFARI YA KUENDA KWA WAZAZI WANGU MOMBASA. O: Yalio inyanga ndala eya abebusi bange bananga entsie ewabali. T: Kulikuwa na siku wazazi wangu walinialika niande walipokuwa O: Olwa inyanga eyo yola ndetayarisia evilai, nga lwola itsuli ninanga ouchinga neyetsa nikhwanza oluchendo. T: Hiyo siku ilipowadia nijitayarisha vizuri nikamwita anayenibeba akaja tukaanza safari. O: Lwahuola ekhoere obukula omutoka, kwetsa nekwitsule nembara ndole nomba nengore. Khulwa Nyasaye wange okundi khandi kwetsa obulai nenyola obweyango nendipa amatongolo akeisafari. T: Tulipofika nilipofaa kuabiri gari, gari lilikuja likiwa limejaa na kwa bahati njema ya Maulana gari lingine lilikuja nikapata nafi, nililipa nauli. O: Obulayi olwa khwanza oluchendo khwenukha obulayi ne nekhali ambi okhula handi netsia, omutoka kwamala nikukomokha nikulinga kata engorirwe olunyuma kwenyola mbu khuli mamwala omwibusi wange yalinda, yoba isimu nangonya mbu sinzulanga dawe mana yakhaywa siokhukhola. T: Tulipoanza safari tulianza salama na tulipofika karibu na nilipokuwa nakwenda, gari lilichukua mkondo mwingine kuenda mahali nisipojua, mzazi wangu alikuwa ameningoja akapiga simu kuniuliza mbona sifiki, alishindwa cha kufanya. O: Oluchendo lwange lwari lwa tsishida tsinyingi mana silwamala lwakamika dawe. T: Safari yangu ilikuwa na mikosi mingi hadi haikukamilika. O: Omwibusi wange mana yalinda yalola siavenyanga hubera imutoka yetsa yabiya ni huli ambi hula mana tsishida tsia khwabirirakho. T: Mzazi wangu aliningoja akakiona kile alichotaka kwa maana gari lilikuja likaharibika tukiwa karibu kufika na hivyo tulipitia shida mingi. O: Khwalinda vakasie imutoka mpaka vamala lakini inzala yanuma inyanga inamba bila kata huliakho sindu siosi. T: Tulingoja watengeneze gari hadi wamalize lakini nilikuwa nahisi njaa kwa siku mzima sikuwa nimekula kitu chochote. O: Mana khurula ao ndeka makesi nende sindu sikhongo siandusia mbatsa mbu nzie mtauni sindakhanyolere kano dawe kata vaye kata kando nende ao Nyasaye wange uno alolanga vilai vyamakati hadi akhonynga vandu vali mtsishida ngesie ano ni khulwokhuvera yaninda mpaka nga ndola khuvevusi vange mtauni. T: Kutokea hapo tulijifunza na nikajuta kilichonitoa nyumbani niende jijini singepatana na haya yote hata hivyo Mungu wangu huona yote yanayowakumba watu walio na shida kama mimi, alinilinda hadi nilipowafikia wazazi wangu jijini. O: BAKHANA KHUREKHE KHUTSIA KHUBWOBA. T: WASICHANA TUWACHE KUENDA ANASA. O: Kwari mwesi kwa Disemba inyanga ihongo,ndari esie nende basie bange khwari khutsia khukendera senge wefwe. T: Ulikuwa ni mwezi wa Desemba siku sikukuu nilikuwa na wenzangu tulikuwa tunaenda kumtembelea shangazi wetu. O: Khwanyola senge nadekhere biakhuria biingi, syarutsehia yari afuluke busera bwa abada. T: Tulimpata shangazi akiwa amepika vyakula viingi, kilichotufurahisha ni kwamba alikuwa amekoroga uji wa unga wa miogo. O: Ngakhwamala khuria khwamukhonya tsikasi nge; khutsia matsi, khuosia bindu nende khupangusia inyumba. T: Tulipomaliza kukula tulimsaidia kufanya kazi kama; kuchota maji, kuosha vyombo na kupika . O: Ngekhwamala khwatsia khwesinga khwachaka khwepodoa mana khwepodoa mpaka khwalola khuribajamisia ba mlukongo alafu bulimundu yari afwalire achwiti birunapire. T: Tulipomaliza tulienda kuoga tukaanza kujipodoa hadi tukaona tunapendeza kijijini na kila mtu alikuwa amevalia nguo za kubana. O: Tsiola msaa ekhumi khwabora senge khubwao odonge bilai efwe khubwao lakini senge siyari asangalire nga khwefwalire tsingubo tsiefwe yarukania khwahaya sikhurusiamo dawe khwamrekha ao khwabwao. T: Ilifika saa kumi jioni tukamwambia shangazi tunarejea nyumbani yeye abaki salama lakini shangazi hakufurahia jinsi tulivyokuwa tumevalia akatukataza nasi tukakaidi. O: Khwari mlukendo khutsia abetsa befu basiani buli mundu yekabula lukendo lwaye khwabolerana khukalukhe mapema. T: Tulikuwa kwa safari ya kuenda kwa wapenzi wetu wavulana, kila mtu alienda zake tukaagana turudi mapema. O: Ndanyola wange na anindire khwingira ya khutsia wabu. Ndanyola nakurire bindu bwa khulia, isoda nende ikeki mani ndasangala khu mwoyo na ndalola biakhulia. T: Nilimpata mpenzi wangu akiwa ameningoja kwa njia ya kuenda kwao. Nilipata akiwa amenunua vyakula; soda na keki nikafurahia nilipoona vyakula. O: Khurula awo ndenyola ngonere eyo hane biakhuria ebyo yari naleremo malua mani ndamera, ndenyola itsuri ndi khusitanda siyaye ninjafukire, ndamureba Ishida nesi yakhaya khunjiba. Khurula ao inyanga eyo sindalolokha dawe tsinyanga tsia mwesi mani ndagundua ndi mabanga kaye ndetsa ndanyakhana nend inda eyo msiani yanzikana. T: Kutokea hapo nikajipata nimelala kumbe hivyo vyakula viliwekwa dawa ya kulevya, nilijipata asubuhi niko kwa kitanda chake nikiwa nimechafuka, nikamuuliza shida ni ipi akakosa kunijibu. Kutokea hiyo siku sionangi siku zangu za mwezi na nikagundua niko ujauzito na huyo kijana akajikana. O: Mani khurula inyango eyo ndeka. Nandakelerwa yatsia nako nabukwe. Mana bakhana mrekhe khutsia khubwoba. T: Hivyo kutokea hiyo siku nikapata funzo. Asyeskia aienda nayo ukwe. Hivyo wasichana mwache kuenda anasa. O: BULWAYE BWA BUKIMWI. T: UGONJWA WA UKIMWI O: Bukimwi ni bulwaye bukelana mundu akose maani mumbiri. T: Ukimwi ni ugonjwa unaofamfanya mtu akose nguvu mwilini. O: Bulwaye buno bulerwanga nende khuekhonyera bindu nga lumwo, ishindano nende mundu urinabwe khukhola buduakani nende bandu bari nabwo biosi bisambasia bulwaye obwo. T: Huu ugonjwa husambazwa kwa kutumia vifaa kama wembe, shindano na mtu aliye na huu ugonjwa kufanya, kufanya anasa na mtu aliyemgonjwa pia husambaza ugonjwa huo. O: Mundu urinende bulwaye bwa bukimwi yekesianga thidalilikama kama thino; mundu angaya, riswiri liebeka khumurwe, mundu akosa maani mumubili. T: Mtu anaye ugua ugonjwa wa ukimwi huonyesha dalili kama hizi; mtu hukonda, nywele huang’ooka kutoka kwa kichwa, mtu hukosa nguvu mwilini O: Bulwaye bwa ukimwi bunyala khukhola mundu akhae khusuda ambi nende bandu. Akhae khuba nende bukheri nende bandu basie. T: Ugonjwa wa ukimwi unaweza mfanya mtu akose kukaribiana na watu. Akose kukuwa na amani na watu wenzake. O: Tsingira tsiokhuekinga nende bulwae buno ni khurekha buduakani, khurekha khuekhonyera bindu kama lumwo, tsishindano nende bandu bari na bulwaye bwa bukimwi. T: Njia za kujikinga dhidhi ya huu ugonjwa ni kuwacha anasa, kuwacha kutumia vitu kama wembe, shindano na watu waliyo na huu ugonjwa wa ukimwi. O: MIMA NELIKHOBA LIAMUBIRI. T: TABIA NI NGOZI YA MWILI. O: Yali inyanga ndala ndali nende kukhu wange nende abana befu. T: Siku moja tulikuwa tumeketi na nyanya yangu pamoja na ndugu zangu. O: Khuali khwikhale asi mubweru nikhulindire obusuma. T: Tulikuwa tumeketi chini kwa sakafu tukiwa tumengoja ugali O: Kukhu yetsa nende khuchaka khurubolera tsingano nga balitsingi naibasiri abaana badidi. T: Nyanya alikuja na kuanza kutusimulia hadithi jinsi walivyokuwa wakiishi wakiwa wadogo O: Kukhu yalikho omukambi. T: Nyanya aliwahi kuwa mhubiri. O: Kukhu yachaka khurweresia lukano. T: Nyanya alianza kutupea hadithi O: “Munaee!! Kwitse. T: “Kitendaliwa!! Tega. O: Halehale hualio nende mukhana mlai khushira buli mundu mlukongo muno. T: Hapo kitambo tulikuwa na msichana mzuri kuliko kila mtu katika hii Kijiji. O: Yali mulai buleka wosi yali yajama Were sana. T: Kwa upande wote alikuwa mzuri na pia alimpenda mungu sana. O: Mwane emima kie. T: Eeh kwali tabia yake. O: Inyanga ndala yarula nende khutsia mumwalo khudaya matsi musebere. T: Siku moja alitoka na kuenda kwa mto kuchota maji. O: Nga yanyola bandu betsule yamua hutsia khudaya mumutaro matsi. T: Alipopata watu wamejaa aliaamua kuenda kuchota maji kwa mtaro. O: Yedukha khumurwe yakenda kala ngawa yola mdala yanyola bebusi bae nibekhale lwanyi. T: Alibandika maji kwa kichwa akatembea pole pole hadi nyumbani akapata wazazi wake wamekaa kwa kiwanja cha boma. O: Mkhana yakenda kala yola munzu. T: Msichana alitembea pole pole akafika kwa nyumba. O: Bebusi bae bamlanga mkhana yali mulai yarula yatsia khulola siabali bamulangire. T: Wazazi wake walimwita, msichana mzuri alitoka akaenda kuona walichomwitia O: Bebusi baanza khumubolera. T: Wazazi wake walianza kumwambia. O: Apiyo oli mukhana mlai ndakhuyanza khubuli sindu khushira bana bandi bano. T: “Apiyo wewe ni msichana mlai nakupenda kwa kila kitu kuliko hawa watoto wengine.” O: Khulomaloma khwa bebusi khuakira Apiyo yachaka khubareba makhua masiro kali madinyu kawakhanyala khukalusia da. T: Kuongea kwa wazazi kulifanya Apiyo akaanza kuwauliza maneno mazito yasiyoweza kumjibu. O: Bebusi bange sibelewanga dawe. T: Wazazi wake hawakuwa wanaelewa O: Oli mundu mukhongo omanyire mwene papa wae yamubolera. T: Baba yake alimwambia yeye ni mtu mkubwa anaelewa wanachomwambia O: Makhuwa ako kakira Apiyo yachaka khulira. T: Haya maneno yalifanya Apiyo akaanza kulia. O: Inyanga ilondakho mukhana yetserwa nende bakeni bakhongokhongo. T: Siku iliyofwata msichana alikujiwa na wageni wakubwa wakubwa. O: Apiyo yabukulwa yatsia nende abandu abo. T: Apiyo alichkuliwa akaenda na hao watu. O: Abayie mukhana yalira yabula obunyali bwa khukhaya khubera amapesa kali manji.” T: Aah kweli msichana alilia akakosa usaidizi kwa maana pesa ilikuwa mingi.” O: ETSIKUKURHE TSIA CORONA. T: JANGA LA KORONA O: Mwika kwene kwa elfu ntsibili nende likhumi lahlah nende tisa sikukune tsia korona sialilika musialo tsia china. T: Mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa janga la korona lilianzia kule nchini China. O: Bandu babukulira huba mubayo khulwasiola msialo siefwe tsia kenya. T: Watu waliuchukulia kuwa mzaha ulipofika katika nchi yetu ya Kenya. O: Serikali ya Kenya nitangasia bandu bekhale khulondokhana nende bulwaye obo khulwakhubera bwali bulwaye bubi. T: Serikali ya Kenya ilitangazia watu wajilinde kutokana na huo ugonjwa kwa maana ulikuwa mgonjwa mbaya O: Etsikukurhe tsia korona tsiaghamira bandu khufungira ba khulama, khukenda thimbeka tsindi tsiasialo nende kata bikuli nende biro biosi biafungwa. T: Janga la korona lilitea watu gharama kama vile kufungiwa kanisa, kutembea sehemu zingine za dunia pia shule na soko zilifungwa O: Bandu ba Nairobi bafungirwa nende khukanisibua balakalugha mrisafu. T: Watu wa Nairobi walifungiwa na kukatazwa wasirudi mashambani. O: Korona yaghama mafua mangi nende khukhola bandu khuba barekhwa nende betsa babwe khata bwera badu bakhongokhongo muno. T: Korona ilileta maafa mengi ikifanya watu wakawa wafiwa hata iliua watu wakubwa sana. O: Nobwore mwami wefwe Papa Sirandula muya mkhongo wa khukasia tsividio tsindai muno khurala Funyula mwaalo poti ei. T: Huo ugonjwa ndio ulimuua Papa Sirandula mtu mwenye hadhi kubwa kwa kazi ya vinema kutoka huko Funyula ziwa poti. O: SIKIRA RIKHANGA RIBULA MOYA KHUIKOSI. T: SABABU YA KANGA KUKOSA MANYOA KWA SHINGO O: Khare kwariwo nende inzukha nende rikhanga bari bamenya halala bosi mubulamu bwa khunyola. Inzukha yarithingi ingesi khushira rihanga. T: Hapo jadi kulikuwepo na nyoka na kanga walikuwa wanaishi pamoja wote kwa maisha ya kutafuta. Nyoka alikuwa mwerevu kuliko kanga. O: Lano inyanga ndala inzukha yatsia musino khuria vaimo. Rihanga riosi riatsia hukenda. Ingolobe yola nibakalukha bosi. T: Kuna siku nyoka alikwenda kwa kichaka kukula matunda. Kanga pia alikwenda kutembea. Jioni ilifika wakarejea wote. O: Inzuha yakatia rikhanga mbu mukhono kuthuna khandi ibolela likhanga riingisie murwe mumoya kario. Rikhanga liosi riengisiamo. Riaringala mkhono kosi riamala. T: Nyoka alimdanganya kanga kuwa mkono una maumivu na akaingiza kichwa chake kwa manyoa yake. Kanga pia aliingiza. Aliutazama mkono waote akaumaliza. O: Ngariamala nirithomola murwe mana inzuha niikhaira humurwe kwa rikhanga. Rihanga lioba tsimbungu “uwi! uwi! Baye mwitse mukhonye inzuha indekhule murwe.” T: Alipomaliza akawa anataka kutoa kichwa lakini nyoka alikatalia kwa kichwa cha kanga. Kanga alipiga mayoe “uwi uwi! Jameni njoo mnisaidie nyoka aniwachilie kichwa.” O: Inzuha yahaira khumurwe hadi yatsomola moya osikhwikosi. Lakini ikhabi indayi rikhanga rietha riathomola murwe nilirula thimbiro. Mana khurula awo vwista bya rikhanga nende inzukha buabwa kabisa. T: Nyoka alikatalia kwenye kichwa hadi akamtoa kanga manyoa. Lakini kwa bahati nzuri kanga alifaulu kujinasua na akatoka mbio. Na kutokea hapo urafiki wa kanga na nyoka ukaisha kabisa. O: Eso ni sikira rikhanga ribula moya khurikosi nende nyangaino. T: Hio ndio sababu ya kanga kukosa manyoa kwa shingo hadi wa leo. O: LUIMBO LWA LULUHYA VIOLET ATIENO DARASA SABA T: WIMBO WA KILUHYIA VIOLET ATIENO DARASA LA SABA O: Ndi ndi ndi aah T: Ndi ndi ndi aah O: Ndi ndi ndi aee T: Ndi ndi ndi aee O: Ndi ndi ndi aah T: Ndi ndi ndi aah O: Ndi ndi ndi aee T: Ndi ndi ndi aee O: Nindakhachaka khwimbaa Ominde wa mama mlala singira ondusie msibera aee aee T: Nikianza kuimba Ominde wa mama mmoja amka unitoe kwa huzuni aee aee. O: Ominde khuimbanga murwe nikunjuna aee T: Ominde ninakuimba kichwa kikiniuma aee O: E khuimbanga maveka nikanjuna aee T: E nakuimba mabega yakiniuma aee O: E khuimba indaa ninjuna aee T: E nakuimba tumbo likiniuma aee O: E huimbanga mukongo nikunjuna aee T: E nakuimba mgongo ukiniuma aee O: Oriena aah Ominde oriena aee T: Uko wapi aah Ominde uko wapi aee O: Oriena Ominde oriena aee T: Uko wapi aah uko wapi aee. O: Ni njaa Bujumba Ominde kata simulola aee T: Nikienda Bujumba Ominde hata simuoni aee O: Ni njaa Bumala Ominde kata simulola aee T: Nikienda Bumala Ominde hata simuoni aee O: Oriena aah Ominde oriena aee oriena Ominde oriena aee T: Uko wapi aah Ominde uko wapi aee uko wapi Ominde uko wapi aee. O: Obukhekho abandu bakhulole aee T: Amka watu wakuone aee O: Oshinekho abandu bakhulole aee T: Cheza watu wakuone aee